Utangulizi Miaka 20 imepita tangu Prof. Chachage S. L. Chachage atutoke duniani. Ni muda mrefu lakini bado anakumbukwa kwa namna mbalimbali na wanazuoni wenzake, ndugu, marafiki, na watu wengine wasio katika makundi haya. Katika kipindi chote hicho nimekuwa nikikutana na watu wa rika mbalimbali ambao wamekuwa wakimkumbuka kwa kujiuliza: ‘Sijui Chachage angekuwepo angefanya nini, au [...]
The Commonwealth Foundation's recent post and the powerful article by Richardo Aiken on Socioeconomic inequality in communities: true impact is built from within, cut to the heart of a crisis that defines our era: the systemic exclusion of billions from basic resources, opportunities, and fundamental rights. It is a crisis that transcends borders, and [...]
HOTUBA YA MWENYEKITI WA UDASA KATIKA KUMBUKIZI YA MIAKA 20 YA PROF. CHACHAGE S. CHACHAGE Familia ya Profesa Chachage Ndugu Wanataaluma, Wakereketwa wa Uhuru wa Kitaaluma Marafiki na Wanafunzi waProfesa Chachage Wapenda Haki Wote, Wageni Waalikwa, Mabibi na Mabwana, Habari za Mchana. Tunakusanyika hapa leo tukiwa na hisia nzito kuadhimisha miaka 20 tangu kuondoka [...]
1. The Ambition: A Tenfold Leap Tanzania has set its sights on a transformation of historic proportions. Under Vision 2050, the country aims to grow its economy tenfold to $1 trillion and increase GDP per capita from $1,318 to $7,000 – the threshold for upper-middle-income status. The population is projected to expand from about [...]
Twenty years have elapsed since the passing of Prof. Chachage Seithy L. Chachage, one of Tanzania’s most distinguished public intellectuals, scholars, and social critics. Chachage was renowned for his unwavering commitment to intellectual freedom, critical scholarship, and social justice. Throughout his academic career and public life, he challenged dominant orthodoxies and consistently argued…
I first had the idea of interviewing Frank Mgalla Mbago in 2022. A sibling introduced me when I was working on my bilingual book project, Flowers, Plants, and Fascinating Facts: First Reference for Children. I needed a botanical expert to assist me with some aspects of the book, including the naming of plants in [...]
Writing about dysfunctional public toilets may sound trivial given the many problems African public institutions are grappling with. Common decency, however, often manifests in basic things. Where we decide people we serve deserve to go to answer the ‘call of nature’ is one such thing. I was introduced to flash toilets at Weruweru Secondary [...]
Intro In life, the older generations have always had a say on how the youth act. But recently things have changed. It seems like people are even louder and angrier about this shift in social norms. From “Sephora kids” to Generation Alpha (Gen Alpha) allegedly not knowing how to spell, I will show you [...]
Kabla ya kuelezana maana ya neno “mwanamajumui”, kuna mambo mawili ambayo ni muhimu kuyaeleza. La kwanza, ni kwamba kuna wasemao “mwanaumajumui”; na baadhi ya watu huidondosha hiyo u walitumiapo neno hilo. La pili, kama tulionavyo, hilo ni neno lililokusanya maneno mawili – mwana na (u)majumui. Na, kama tujuavyo, neno mwana liwapo pekee huwa lina [...]
"Our Continent, Our Future is the very first publication to present the African perspective on the Bretton Woods approach to structural adjustment, and it does so with the input and support of top economists and scholars from every corner of Africa. This important book should be read by students, professors, academics, and researchers in development, economics, and African studies; professionals…