# wetu (blogs) — RSS Amplifier

Recent posts from the 5 feeds in the RSS Amplifier directory that cover wetu.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/wetu/blogs>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/wetu/blogs.md>

---

## [Rais Samia aagiza ma -RC, ma- DC kujiandaa mapema kukabiliana na athari za Elnino](https://www.jamhurimedia.co.tz/rais-samia-aagiza-ma-rc-ma-dc-kujiandaa-mapema-kukabiliana-na-athari-za-elnino/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=rais-samia-aagiza-ma-rc-ma-dc-kujiandaa-mapema-kukabiliana-na-athari-za-elnino)

_2026-08-22 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Taasisi mbalimbali za serikali kujiandaa mapema kukabiliana na mvua kubwa zinazotabiriwa nchini, ili kuepusha maafa na madhara kwa wananchi....

## [NEMC na JNHPP: usimamizi wa mazingira katika miradi ya kimkakati](https://www.jamhurimedia.co.tz/nemc-na-jnhpp-usimamizi-wa-mazingira-katika-miradi-ya-kimkakati/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=nemc-na-jnhpp-usimamizi-wa-mazingira-katika-miradi-ya-kimkakati)

_2026-08-22 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki kikamilifu katika uzinduzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), unaofanywa leo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni...

## [Rais Samia azindua rasmi kituo cha kuzalidha umeme cha Julius Nyerere](https://www.jamhurimedia.co.tz/rais-samia-azindua-rasmi-kituo-cha-kuzalidha-umeme-cha-julius-nyerere/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=rais-samia-azindua-rasmi-kituo-cha-kuzalidha-umeme-cha-julius-nyerere)

_2026-08-22 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 leo, tarehe 22 Agosti 2026, katika eneo la mradi lililopo Rufiji, mkoani Pwani....

## [TFS yatumia jogging kama sehemu ya kujiimarisha kiafya](https://www.jamhurimedia.co.tz/tfs-yatumia-jogging-kama-sehemu-ya-kujiimarisha-kiafya/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=tfs-yatumia-jogging-kama-sehemu-ya-kujiimarisha-kiafya)

_2026-08-22 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

WAFANYAKAZI wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Kanda ya Mashariki wamefanya mazoezi ya kukimbia umbali wa takribani kilomita saba katika eneo la Coco Beach jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya kujiweka katika hali nzuri ya kiafya...

## [Historia ya Mradi wa JNHPP](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/22/historia-ya-mradi-wa-jnhpp/)

_2026-08-22 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu HAYATI Mwalimu Julius Nyerere ndiye aliyetoa msukumo mkubwa wa awali wa kuendeleza mradi huu katika miaka ya 1970. Serikali yake ilifanya tafiti mbalimbali za kitaalamu na upembuzi yakinifu ili kubaini uwezekano wa kujenga bwawa na kituo kikubwa cha kuzalisha umeme katika eneo la Stiegler’s Gorge. Eneo hilo lilitambuliwa kuwa na uwezo mkubwa \[…\] The post Historia ya Mradi wa…

## [Rais Samia awasili JNHPP](https://www.jamhurimedia.co.tz/rais-samia-awasili-jnhpp/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=rais-samia-awasili-jnhpp)

_2026-08-22 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi na viongozi wengine wakati alipowasili katika eneo la Mradi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP). Rais Samia atazindua rasmi...

## [Rais Samia kuzindua kituo cha kuzalisha umeme JNHPP, historia yaandikwa](https://www.jamhurimedia.co.tz/rais-samia-kuzindua-kituo-cha-kuzalisha-umeme-jnhpp-historia-yaandikwa/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=rais-samia-kuzindua-kituo-cha-kuzalisha-umeme-jnhpp-historia-yaandikwa)

_2026-08-22 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Rais Samia kuzindua rasmi kituo cha kuzalisha umeme cha JNHPP Agosti 22 Uzinduzi huo unaashiria hatua kubwa katika safari ya Tanzania ya kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika, kuchochea shughuli za uzalishaji na kuimarisha uchumi wa Taifa. Tayari mitambo yote...

## [Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuongeza ruzuku kwa TBA](https://www.jamhurimedia.co.tz/kamati-ya-bunge-yaishauri-serikali-kuongeza-ruzuku-kwa-tba/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=kamati-ya-bunge-yaishauri-serikali-kuongeza-ruzuku-kwa-tba)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiomba Serikali kuongeza ruzuku kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), ili kuwezesha kuongeza kasi ya ujenzi wa nyumba za makazi ya watumishi wa umma nchini. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo,...

## [Waziri wa Fedha aishukuru IMF kwa mchango wake](https://www.jamhurimedia.co.tz/waziri-wa-fedha-aishukuru-imf-kwa-mchango-wake/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=waziri-wa-fedha-aishukuru-imf-kwa-mchango-wake)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Na. Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, amelishukuru Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa mchango wake kwa Tanzania tangu kuanza kwa ushirikiano kati yake na Shirika hilo, akieleza kuwa ushirikiano huo umeendelea kuwa...

## [Prof. Shemdoe awaasa viongozi Serikali za mitaa kuepuka migogoro ili kuongeza ufanisi wa huduma kwa wananchi](https://www.jamhurimedia.co.tz/prof-shemdoe-awaasa-viongozi-serikali-za-mitaa-kuepuka-migogoro-ili-kuongeza-ufanisi-wa-huduma-kwa-wananchi/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=prof-shemdoe-awaasa-viongozi-serikali-za-mitaa-kuepuka-migogoro-ili-kuongeza-ufanisi-wa-huduma-kwa-wananchi)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewaasa viongozi katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuepuka migogoro miongoni mwao...

## [Generate Viral Hot Takes (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/2VKa1zmqxaP9)

_2026-08-21 · **Sponsored**_

Get platform-optimized hot takes and rebuttals to spark debate and engagement

## [WAZIRI KAIRUKI AITAKA TTCL KUONGEZA KASI YAKUUNGANISHA FIBER MAJUMBANI](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/21/waziri-kairuki-aitaka-ttcl-kuongeza-kasi-yakuunganisha-fib/)

_2026-08-21 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angela Kairuki, ameitaka Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kuongeza kasi ya kuwaunganisha wananchi na intaneti ya mkongo wa nyuzi majumbani (FTTH), huku akilenga huduma hiyo kuwafikia nyumba milioni moja ifikapo Juni 2028. Kairuki alitoa agizo hilo leo Agosti 21, 2026 ,jijini Dar... The post WAZIRI KAIRUKI AITAKA…

## [Mwambene awataka walimu wapya kushirikiana na wenzao](https://www.jamhurimedia.co.tz/mwambene-awataka-walimu-wapya-kushirikiana-na-wenzao/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=mwambene-awataka-walimu-wapya-kushirikiana-na-wenzao)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Atupele Mwambene ametoa wito kwa walimu walioshiriki mafunzo ya somo la Elimu ya Biashara kuonesha ushirikiano kwa walimu wataowakuta katika vituo vyao vya kazi ili kuwasaidia watoto katika malezi pamoja na...

## [Benki ya Dunia kufikiria kuunga mkono maboresho ya ziada Bandari ya Dar es Salaam](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/21/benki-ya-dunia-kufikiria-kuunga-mkono-maboresho-ya-ziada-bandari-ya-dar-es-salaam/)

_2026-08-21 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam BENKI ya Dunia imesifu uhusiano kati yake na Tanzania na kusifu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kusimamia vizuri wa utekelezaji wa awamu ya kwanza ya ujenzi na maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam chini ya mpango unaofadhiliwa na benki hiyo. Mpango huo unajulikana kwa jina \[…\] The post Benki ya Dunia kufikiria kuunga mkono maboresho ya ziada…

## [Balozi Salum azitaka FCC, TBS na WMA kupambana na bidhaa bandia na duni](https://www.jamhurimedia.co.tz/balozi-salum-azitaka-fcc-tbs-na-wma-kupambana-na-bidhaa-bandia-na-duni/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=balozi-salum-azitaka-fcc-tbs-na-wma-kupambana-na-bidhaa-bandia-na-duni)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Mameneja wa Kanda na Mikoa wa Taasisi za Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Tume ya Ushindani (FCC) pamoja na Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) wameagizwa kuhakikisha hakuna bidhaa bandia na duni katika maeneo yao wanayoyasimamia kiutendaji. Maelekezo hayo yametolewa na...

## [Airtel Africa yaandika historia kwa kuzindua intaneti ya satelaiti kwa simu DRC](https://www.jamhurimedia.co.tz/airtel-africa-yaandika-historia-kwa-kuzindua-intaneti-ya-satelaiti-kwa-simu-drc/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=airtel-africa-yaandika-historia-kwa-kuzindua-intaneti-ya-satelaiti-kwa-simu-drc)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Kinshasa, 17 Agosti 2026: Airtel Africa imeandika historia baada ya kuwa kampuni ya kwanza ya mawasiliano barani Afrika kuzindua kibiashara intaneti ya satelaiti kwa simu nchini Jamhuriya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ikifungua ukurasa mpya katika upatikanaji wa mawasilianokatika maeneo yasiyofikiwa...

## [Port Extension kuanza kutumika Novemba, kupunguza msongamano Bandari ya Dar](https://www.jamhurimedia.co.tz/port-extension-kuanza-kutumika-novemba-kupunguza-msongamano-bandari-ya-dar/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=port-extension-kuanza-kutumika-novemba-kupunguza-msongamano-bandari-ya-dar)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam ENEO la Kurasini Logistics Park linaloandaliwa kuwa Port Extension ya Bandari ya Dar es Salaam linatarajiwa kuanza kutumika rasmi Novemba mwaka huu, hatua inayolenga kupunguza msongamano wa makontena na malori katika bandari hiyo. Akizungumza...

## [Mbarawa awataka watafiti kubadili tafiti kuwa suluhisho la changamoto za usafiri](https://www.jamhurimedia.co.tz/mbarawa-awataka-watafiti-kubadili-tafiti-kuwa-suluhisho-la-changamoto-za-usafiri/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=mbarawa-awataka-watafiti-kubadili-tafiti-kuwa-suluhisho-la-changamoto-za-usafiri)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amewataka watafiti nchini kuhakikisha tafiti wanazofanya katika sekta ya usafiri na usafirishaji zinatoa suluhisho la changamoto halisi na kuchangia maendeleo ya kiuchumi, badala ya kuishia kwenye makabrasha...

## [Dk Mwigulu aagiza kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vya AFCON](https://www.jamhurimedia.co.tz/dk-mwigulu-aagiza-kasi-ya-ujenzi-wa-viwanja-vya-mazoezi-vya-afcon/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=dk-mwigulu-aagiza-kasi-ya-ujenzi-wa-viwanja-vya-mazoezi-vya-afcon)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

\*Awataka wakandarasi kukamilisha mikataba ya wafanyakazi na kushughulikia stahiki zao ndani ya wiki moja. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuongezwa kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vitakavyotumika katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, ili...

## [NMB yawainua wafanyabiashara tisa wa Lumumba kwa fidia ya Sh1.072 bilioni](https://www.jamhurimedia.co.tz/nmb-yawainua-wafanyabiashara-tisa-wa-lumumba-kwa-fidia-ya-sh1-072-bilioni/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=nmb-yawainua-wafanyabiashara-tisa-wa-lumumba-kwa-fidia-ya-sh1-072-bilioni)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

●NMB yawawezesha wafanyabiashara tisa wa Lumumba kuanza upya Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Wafanyabiashara tisa wa mtaa wa Lumumba jijini Mwanza wamepata nafasi ya kujenga upya biashara zao baada ya NMB Bank, kwa kushirikiana na Reliance Insurance, kuwalipa fidia ya...

## [Meneja Mkuu: Huduma bora kwa mteja ndio kipaumbele cha shirika](https://www.jamhurimedia.co.tz/meneja-mkuu-huduma-bora-kwa-mteja-ndio-kipaumbele-cha-shirika/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=meneja-mkuu-huduma-bora-kwa-mteja-ndio-kipaumbele-cha-shirika)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo CPA. Ashraph Abdulkarim amewataka watumishi kuhakikisha kuwa wanakuwa suluhu ya changamoto za wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo kwa kusikiliza, kutoa majawabu ya uhakika kwa wakati na kutoa mrejesho kwa wafanyabiashara hao...

## [Licensed Dispensaries, Pay with Crypto (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/Oly2GsrbtqSp)

_2026-08-21 · **Sponsored**_

Search verified licensed dispensaries and pay with Bitcoin, Lightning, or stablecoins.

## [TUNDU LISSU AKUTWA NA KESI YA KUJIBU](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/tundu-lissu-akutwa-na-kesi-ya-kujibu/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI WETU MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imemkuta Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ana kesi ya kujibu katika shauri la uhaini linalomkabili. Akisoma uamuzi huo Leo Agosti 21, 2026, Jaji Ndunguru, anayeongoza jopo la majaji linalosikiliza shauri hilo, amesema mahakama imejiridhisha kuwa upande wa \[…\]

## [KUNENGE: JNHPP KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME NCHINI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/kunenge-jnhpp-kuimarisha-upatikanaji-umeme-nchini/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Pwani Na Mwamvua Mwinyi MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema uzinduzi wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), utakaofanyika kesho wilayani Rufiji mkoani hapa, ni atua kubwa ya kihistoria katika kuimarisha upatikanaji nishati ya uhakika nchini. Mradi huo wenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme unaotekelezwa kwa asilimia 60 katika \[…\]

## [CCM YATAKA VIONGOZI WASIOYUMBA -WASIRA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/ccm-yataka-viongozi-wasioyumba-wasira/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Iramba NA MWANDISHI WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amekemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya Chama, akisisitiza umuhimu wa kuzingatia haki kwa kutoegemea maslahi binafsi. Amesema CCM inahitaji viongozi wasioyumba katika masuala ya msingi, hivyo wanachama wanapaswa kuwapa uongozi watu wenye sifa za uadilifu. Wasira aliyasema hayo alipozungumza na \[…\]

## [Serikali yaweka mkazo chanjo ya polio, watoto milioni 6.5 kulengwa](https://www.jamhurimedia.co.tz/serikali-yaweka-mkazo-chanjo-ya-polio-watoto-milioni-6-5-kulengwa/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=serikali-yaweka-mkazo-chanjo-ya-polio-watoto-milioni-6-5-kulengwa)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeweka mkazo katika kuzuia ugonjwa wa kupooza (Polio) kwa kuendesha kampeni maalum ya chanjo itakayowafikia watoto zaidi ya milioni 6.5 katika mikoa nane nchini. Kampeni hiyo inatarajiwa kufanyika Agosti 27 hadi 30, 2026, ambapo chanjo...

## [Kamati ya Bunge yaipongeza WRRB, yaitaka kuongeza kasi matumizi ya WRS](https://www.jamhurimedia.co.tz/kamati-ya-bunge-yaipongeza-wrrb-yaitaka-kuongeza-kasi-matumizi-ya-wrs/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=kamati-ya-bunge-yaipongeza-wrrb-yaitaka-kuongeza-kasi-matumizi-ya-wrs)

_2026-08-21 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Na.Mwandishi Wetu- Dodoma KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kwa utekelezaji mzuri wa majukumu yake na kuitaka kuharakisha matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS)...

## [Wasira asisitiza misimamo, haki CCM](https://www.jamhurimedia.co.tz/wasira-asisitiza-misimamo-haki-ccm/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=wasira-asisitiza-misimamo-haki-ccm)

_2026-08-20 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

\*Akemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya Chama MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesisitiza umuhimu wa kuzingatia haki kwa kutoegemea maslahi binafsi huku akikemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya CCM. Wasira aliyasema hayo alipozungumza...

## [TBS yapongezwa kwa kuimarisha udhibiti wa ubora wa bidhaa](https://www.jamhurimedia.co.tz/tbs-yapongezwa-kwa-kuimarisha-udhibiti-wa-ubora-wa-bidhaa/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=tbs-yapongezwa-kwa-kuimarisha-udhibiti-wa-ubora-wa-bidhaa)

_2026-08-20 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo imeipongeza TBS kwa kutekeleza majukumu yake ya udhibiti ubora kwa ufanisi. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe.Deogratias Mwanyika kwaniaba ya kamati wakati wa...

## [Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Balozi wa Marekani wakutana kujadii ushirikiano](https://www.jamhurimedia.co.tz/mwanasheria-mkuu-wa-serikali-balozi-wa-marekani-wakutana-kujadii-ushirikiano/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=mwanasheria-mkuu-wa-serikali-balozi-wa-marekani-wakutana-kujadii-ushirikiano)

_2026-08-20 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari, amekutana na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bw. Andrew Lentz, na ujumbe wake kwa ajili ya kufanya mazungumzo kuhusu masuala mbalimbali yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania...

## [Kamati ya Bunge yaipongeza Wizara ya Viwanda na Taasisi zake kwa ufanisi](https://www.jamhurimedia.co.tz/kamati-ya-bunge-yaipongeza-wizara-ya-viwanda-na-taasisi-zake-kwa-ufanisi/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=kamati-ya-bunge-yaipongeza-wizara-ya-viwanda-na-taasisi-zake-kwa-ufanisi)

_2026-08-20 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, kupitia Mwenyekiti wake Mhe.Deodatus Mwanyika, ameipongeza Wizara ya Viwanda na Biashara pamoja na taasisi zake kwa utekelezaji mzuri wa majukumu yake ya udhibiti ubora kwa ufanisi . Mhe. Mwanyika...

## [Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar yazuru NEMC](https://www.jamhurimedia.co.tz/kamati-ya-kudumu-ya-baraza-la-wawakilishi-zanzibar-yazuru-nemc/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=kamati-ya-kudumu-ya-baraza-la-wawakilishi-zanzibar-yazuru-nemc)

_2026-08-20 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

📌Yafurahishwa na Mradi wa Kituo cha Gesi Asilia kwa matumizi ya Nishati Safi Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar inayosimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa, ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Machano Othman Said, imezuru Ofisi za Baraza...

## [Make any domain metal (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/n4BRvjykyzPi)

_2026-08-20 · **Sponsored**_

Turn any domain into a blacked-out metal landing page with an email waitlist

## [CCM kuimarisha uhusiano na chama cha kikomonisti cha China](https://tanzanialeo.co.tz/ccm-kuimarisha-uhusiano-na-chama-cha-kikomonisti-cha-china/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=ccm-kuimarisha-uhusiano-na-chama-cha-kikomonisti-cha-china)

_2026-08-20 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Aggrey Mwanri, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) nchini Tanzania, Xu…

## [Waandishi Oman, JOWUTA, kuandaa kongamano la kimataifa](https://tanzanialeo.co.tz/waandishi-oman-jowuta-kuandaa-kongamano-la-kimataifa/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=waandishi-oman-jowuta-kuandaa-kongamano-la-kimataifa)

_2026-08-20 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam UJUMBE maalum kutoka Chama cha Waandishi wa Habari wa Ufalme wa Oman (OJA), uliopo nchini leo Agosti 19, 2026 umefanya mazungumzo na Chama cha wafanyakazi…

## [Serengeti awards 2026 usajili wafunguliwa kwa wadau wa utalii](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/20/serengeti-awards-2026-usajili-wafunguliwa-kwa-wadau-wa-utalii/)

_2026-08-20 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WIZARA ya Maliasili na Utalii imetangaza rasmi dirisha la usajili kwa wadau wa uhifadhi na utalii kuwania Serengeti Awards 2026, huku ikiwasisitiza kutumia fursa hiyo kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika uhifadhi wa wanyamapori, maliasili na uendelezaji wa utalii. Dirisha hilo litafunguliwa Agosti 20, 2026 na litafungwa Septemba \[…\] The post Serengeti…

## [Benki ya Dunia yaahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania kuendeleza miradi ya kimkakati](https://www.jamhurimedia.co.tz/benki-ya-dunia-yaahidi-kuendelea-kushirikiana-na-tanzania-kuendeleza-miradi-ya-kimkakati/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=benki-ya-dunia-yaahidi-kuendelea-kushirikiana-na-tanzania-kuendeleza-miradi-ya-kimkakati)

_2026-08-20 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Na. Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Benki ya Dunia imeahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania kuendeleza miradi ya kimkakati inayolenga kutumia fursa zilizopo katika Ushoroba wa Kati (Central Corridor) ili kuchochea ukuaji wa uchumi, kuongeza ajira na kuleta maendeleo kwa wananchi...

## [Kunenge: Uzinduzi wa JNHPP ni historia mpya ya nishati Tanzania](https://www.jamhurimedia.co.tz/kunenge-uzinduzi-wa-jnhpp-ni-historia-mpya-ya-nishati-tanzania/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=kunenge-uzinduzi-wa-jnhpp-ni-historia-mpya-ya-nishati-tanzania)

_2026-08-20 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Na Mwamvua Mwinyi, JamhiriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema uzinduzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), unaofanyika Agosti 22, mwaka huu, wilayani Rufiji, ni hatua kubwa ya kihistoria katika kuimarisha upatikanaji wa nishati...

## [PROFESA MBARAWA:SERIKALI HAITAKI TAFITI ZINAZOISHIA KWENYE MAKABRASHA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/20/profesa-mbarawaserikali-haitaki-tafiti-zinazoishia-kwenye-makabrasha/)

_2026-08-20 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amewataka watafiti nchini kuhakikisha tafiti wanazofanya katika sekta ya usafiri na usafirishaji zinatoa suluhisho la changamoto halisi, badala ya kuishia kwenye makabrasha na mikutano. Akizungumza leo Agosti 20, 2026 wakati akifungua mkutano wa kimataifa unaohusu usafiri, lojistiki na usimamizi, kuwa mafanikio ya…

## [NeST yatoa zabuni za trilioni 40.4/-, makundi maalum yanufaika bilioni 56/-](https://www.jamhurimedia.co.tz/nest-yatoa-zabuni-za-trilioni-40-4-makundi-maalum-yanufaika-bilioni-56/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=nest-yatoa-zabuni-za-trilioni-40-4-makundi-maalum-yanufaika-bilioni-56)

_2026-08-20 · Jamhuri · JAMHURI MEDIA_

Na Dot Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma MFUMO wa Ununuzi wa Umma Kielektroniki (NeST) umewezesha kutolewa kwa zabuni 397,395 zenye thamani ya Sh40.4 trilioni tangu kuanza kutumika, huku vikundi maalum 27,946 vikinufaika na zabuni zenye thamani ya Sh56 bilioni. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka...

## [CCM INAHESHIMU UPINZANI–KIHONGOSI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/20/ccm-inaheshimu-upinzani-kihongosi/)

_2026-08-20 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na REHEMA MAIGALA KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema Chama kinaheshimu maoni ya wanasiasa na vyama vyote vya upinzani. MAWAZO MBADALA Pia, CCM imesisitiza iko tayari kuyafanyia kazi mawazo yenye msingi kutoka kwa vyama vya upinzani kwa maslahi mapana ya nchi. Kihongosi alisema hayo jijini Dar \[…\]

## [Songwe yafungua milango kwa Sekta Binafsi kwenye miradi](https://tanzanialeo.co.tz/songwe-yafungua-milango-kwa-sekta-binafsi-kwenye-miradi/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=songwe-yafungua-milango-kwa-sekta-binafsi-kwenye-miradi)

_2026-08-20 · Zahoro mlanzi · Tanzania Leo_

Na Mwandishi Wetu, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabir Makame, amepigia chapuo matumizi ya mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kama njia kuu…

## [PROF. KABUDI AWATAKA WANANCHI KUZINGATIA TAHADHARI ZA MAAFA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/20/prof-kabudi-awataka-wananchi-kuzingatia-tahadhari-za-maafa/)

_2026-08-20 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na, Mwandishi wetu – Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu–Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi kuzingatia tahadhari na maelekezo yanayotolewa na wataalamu na mamlaka husika ili kupunguza madhara yanayotokana na majanga na maafa. Prof. Kabudi ametoa wito huo Agosti 19, 2026, akizungumza katika maadhimisho ya Siku \[…\]

## [WASIRA ATAKA WANA CCM WAKUTANE, WASIINGIE MKENGE KWA MANENO YA MITANDAONI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/wasira-ataka-wana-ccm-wakutane-wasiingie-mkenge-kwa-maneno-ya-mitandaoni/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu – Singida MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka wanachama wa CCM kukutana mara kwa mara katika vikao rasmi vya chama ili kujadili masuala muhimu na kuepuka kupotoswa na taarifa zisizo na ukweli zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii. Akizungumza leo Agosti 19, 2026 Wilaya ya Ikungi mkoani Singida \[…\]

## [TUTAENDELEA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO YA UKIMWI &#8211; YONAZI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/tutaendelea-kuongeza-nguvu-mapambano-ya-ukimwi-yonazi/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI MAALUMU, Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, kuhakikisha Tanzania inatokomeza virusi hivyo ifikapo mwaka 2030.Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na…

## [DAWASA YAANZA MSAKO KWA WANAOJIUNGANISHIA MAJI KINYEMELA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/19/dawasa-yaanza-msako-kwa-wanaojiunganishia-maji-kinyemela/)

_2026-08-19 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imefanya operesheni katika Mtaa wa Majizzo katika Kata ya Kunduchi Wilaya ya Kinondoni na kubaini matumizi yasiyo halali ya maji yaliyokuwa yakitumika katika shughuli za kilimo cha mbogamboga ambayo imeingiza hasara Mamlaka ya zaidi ya Shilingi Milioni 50 Mamlaka... The post DAWASA YAANZA MSAKO KWA…

## [DIRISHA LA USAJILI WA TUZO ZA SERENGETI 2026 KUFUNGULIWA KESHO](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/19/dirisha-la-usajili-wa-tuzo-za-serengeti-2026-kufunguliwa-kesho/)

_2026-08-19 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa. WIZARA ya Maliasili na Utalii imetangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha la usajili kwa wadau wa uhifadhi na utalii kuwania The Serengeti Awards 2026, huku ikiwasisitiza kutumia fursa hiyo kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika uhifadhi na uendelezaji wa utalii. Dirisha la usajili litafunguliwa kesho Agosti 20, 2026 na kufungwa... The post DIRISHA LA USAJILI…

## [KETE NGUMU SIMBA, PAMBA JIJI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/kete-ngumu-simba-pamba-jiji/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na NASRA KITANA KIKOSI cha Simba leo kinashuka dimbani katika mchezo namba mbili, kumenyana na Pamba Jiji katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Simba itakuwa ugenini kupepetana na Pamba Jiji katika mechi itakayopigwa dimba la CCM Kirumba, Mwanza kuanzia majira ya saa 10:00 jioni. Timu hiyo yenye maskani yake Mtaa \[…\]

## [MIAKA 50 YA UPUNGUFU WA MAFUTA YA KULA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/miaka-50-ya-upungufu-wa-mafuta-ya-kula/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na JOE NAKAJUMO MOJA ya malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni Tanzania kuwa mzalishaji mkuu wa chakula Afrika na kuwa miongoni mwa nchi 10 bora katika uzalishaji wa chakula. Kwa miaka kadhaa mfululizo, uzalishaji wa mazao ya chakula umekuwa ukiongezeka. Tani milioni 18 za mazao ya chakula zilizalishwa mwaka 2020/2021 na ziliongezeka hadi tani milioni \[…\]

## [&#8220;UKARABATI WA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA WAFIKIA ASILIMIA 67&#8221; WAZIRI MBARAWA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/18/ukarabati-wa-kiwanja-cha-ndege-kigoma-wafikia-asilimia-67-waziri-mbarawa/)

_2026-08-18 · Hubert Kiwale · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema ukarabati wa Uwanja wa Ndege wa Kigoma umefikia asilimia 67 na unatarajiwa kukamilika Desemba 5, 2026, hatua inayolenga kuimarisha huduma za usafiri wa anga na kuchochea shughuli za kiuchumi mkoani humo Akizungumza na waandishi wa habari Agosti 15, 2026, wakati akikagua maendeleo ya mradi huo,... The post “UKARABATI WA KIWANJA CHA…

## [NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA BWAWA LA JULIUS NYERERE YA CHALINZE &#8211; DODOMA IMEKAMILIKA: MRAMBA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/njia-ya-kusafirisha-umeme-kutoka-bwawa-la-julius-nyerere-ya-chalinze-dodoma-imekamilika-mramba/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI WETU KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma imekamilika hatua itakayowezesha umeme unaozalishwa katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) kufika Dodoma kupitia Chalinze. Mramba ameyasema hayo leo, Agosti 18, 2026, akikagua hatua \[…\]

## [SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA AFUA ZA UKIMWI NCHINI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/serikali-kuendelea-kuimarisha-afua-za-ukimwi-nchini/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu, MWANZA SERIKALI imesema imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za ukimwi nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza ushirikiano na wadau katika kuendeleza mapambano dhidi ya virusi hivyo. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, alipotembelea na \[…\]

## [Njia ya kusafirisha umeme kutoka Bwawa la Nyerere Chalinze-Dodoma yakamilika](https://tanzanialeo.co.tz/njia-ya-kusafirisha-umeme-kutoka-bwawa-la-nyerere-chalinze-dodoma-yakamilika/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=njia-ya-kusafirisha-umeme-kutoka-bwawa-la-nyerere-chalinze-dodoma-yakamilika)

_2026-08-18 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

– Umeme wa JNHPP kufika Dodoma kupitia Chalinze -SGR kupata njia yake maalum ya umeme, kuimarisha uhakika wa huduma Na Mwandishi Wetu, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia…

