# uchumi (blogs) — RSS Amplifier

Recent posts from the 3 feeds in the RSS Amplifier directory that cover uchumi.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/uchumi/blogs>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/uchumi/blogs.md>

---

## [Rais Samia: JNHPP ndoto ya umeme wa uhakika yatimia](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/22/rais-samia-jnhpp-ndoto-ya-umeme-wa-uhakika-yatimia/)

_2026-08-22 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Rufiji RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema ndoto ya muda mrefu ya Tanzania ya kuwa na chanzo kikubwa na cha uhakika cha nishati imetimia baada ya kukamilika na kuzinduliwa rasmi kwa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP). Amesema kukamilika kwa mradi huo ni uthibitisho wa uwezo wa Tanzania kutekeleza miradi \[…\] The post Rais Samia: JNHPP ndoto ya umeme wa uhakika…

## [Historia ya Mradi wa JNHPP](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/22/historia-ya-mradi-wa-jnhpp/)

_2026-08-22 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu HAYATI Mwalimu Julius Nyerere ndiye aliyetoa msukumo mkubwa wa awali wa kuendeleza mradi huu katika miaka ya 1970. Serikali yake ilifanya tafiti mbalimbali za kitaalamu na upembuzi yakinifu ili kubaini uwezekano wa kujenga bwawa na kituo kikubwa cha kuzalisha umeme katika eneo la Stiegler’s Gorge. Eneo hilo lilitambuliwa kuwa na uwezo mkubwa \[…\] The post Historia ya Mradi wa…

## [Benki ya Dunia kufikiria kuunga mkono maboresho ya ziada Bandari ya Dar es Salaam](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/21/benki-ya-dunia-kufikiria-kuunga-mkono-maboresho-ya-ziada-bandari-ya-dar-es-salaam/)

_2026-08-21 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam BENKI ya Dunia imesifu uhusiano kati yake na Tanzania na kusifu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kusimamia vizuri wa utekelezaji wa awamu ya kwanza ya ujenzi na maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam chini ya mpango unaofadhiliwa na benki hiyo. Mpango huo unajulikana kwa jina \[…\] The post Benki ya Dunia kufikiria kuunga mkono maboresho ya ziada…

## [Serengeti awards 2026 usajili wafunguliwa kwa wadau wa utalii](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/20/serengeti-awards-2026-usajili-wafunguliwa-kwa-wadau-wa-utalii/)

_2026-08-20 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WIZARA ya Maliasili na Utalii imetangaza rasmi dirisha la usajili kwa wadau wa uhifadhi na utalii kuwania Serengeti Awards 2026, huku ikiwasisitiza kutumia fursa hiyo kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika uhifadhi wa wanyamapori, maliasili na uendelezaji wa utalii. Dirisha hilo litafunguliwa Agosti 20, 2026 na litafungwa Septemba \[…\] The post Serengeti…

## [NMB YAINGIA AWAMU MPYA YA UBORA WA HUDUMA KWA WATEJA](https://pesatu.co.tz/nmb-yaingia-awamu-mpya-ya-ubora-wa-huduma-kwa-wateja/)

_2026-08-20 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

NMB yaingia awamu mpya ya ubora wa huduma kwa Wateja.Katika hatua kubwa inayotarajiwa kubadilisha mwelekeo wa sekta ya fedha nchini Tanzania, Benki ya NMB imekamilisha rasmi mchakato wa kuhamisha shughuli zake zote za kibenki kwenda kwenye mfumo mkuu mpya wa teknolojia. Hatua hii ya kihistoria inalenga kuleta mapinduzi makubwa kwenye huduma kwa wateja NMB, huku...

## [PSSSF YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI](https://pesatu.co.tz/psssf-yatoa-mafunzo-kwa-waandishi-wa-habari/)

_2026-08-20 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

PSSSF yatoa mafunzo kwa waandishi wa habari.Sekta ya PSSSF na hifadhi ya jamii Tanzania imepiga hatua nyingine kubwa katika kuhakikisha wananchi na watumishi wa umma wanapata taarifa sahihi, za kina, na zisizo na upotoshaji. Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeratibu na kuendesha mafunzo maalum ya siku mbili kwa waandishi wa...

## [BLOCKCHAIN FESTIVAL 2026 KUUNGANISHA AFRIKA](https://pesatu.co.tz/blockchain-festival-2026-kuunganisha-afrika/)

_2026-08-20 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

BLOCKCHAIN FESTIVAL 2026 KUUNGANISHA AFRIKA.Hatua zinazochukuliwa na Tanzania kuelekea kuweka mfumo rasmi wa udhibiti wa sarafu na mali za kidijitali zinaweza kufungua ukurasa mpya katika uchumi wa kidijitali nchini. Wabunifu wa teknolojia, kampuni za fintech, wawekezaji, watengenezaji wa mifumo ya blockchain pamoja na wadau wa Web3 nchini sasa wanahimizwa kwa dhati kushiriki katika mkutano wa...

## [Tanzania yahitaji rasilimali watu wenye afya na vijana wenye fursa](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/tanzania-yahitaji-rasilimali-watu-wenye-afya-na-vijana-wenye-fursa/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Tanzania inahitaji rasilimali watu wenye afya bora, vijana wanaopata fursa na sekta binafsi inayowajibika ili kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Hemed alisema hayo kwa niaba ya Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Lameck Nchemba, wakati wa \[…\] The post Tanzania yahitaji rasilimali watu…

## [TANTRADE YASHIRIKI MAONESHO YA WAKULIMA ZANZIBAR](https://pesatu.co.tz/tantrade-yashiriki-maonesho-ya-wakulima-zanzibar/)

_2026-08-17 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

TANTRADE YASHIRIKI MAONESHO YA WAKULIMA ZANZIBAR.Hafla ya ufungaji wa Maonesho ya Wakulima Zanzibar imekamilika kwa mafanikio makubwa, ikishuhudia msukumo mpya katika kuimarisha sekta ya kilimo na biashara nchini. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imeshiriki kikamilifu katika hafla hii muhimu iliyoadhimisha miaka kumi ya maonesho hayo, ikionyesha mchango wake mkubwa katika…

## [TIB Rasilimali Yaongeza Elimu ya Uwekezaji kwa Wananchi](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/tib-rasilimali-yaongeza-elimu-ya-uwekezaji-kwa-wananchi/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KAMPUNI ya TIB Rasilimali Limited imeendelea kutoa elimu ya uwekezaji kwa wananchi kupitia programu yake ya Rasilimali Academy, ikiwa na lengo la kuongeza uelewa kuhusu fursa za uwekezaji katika hisa, hati fungani, mifuko ya uwekezaji wa pamoja na masuala ya usimamizi wa fedha binafsi. Akizungumza kuhusu mpango huo, Mkurugenzi Mkuu \[…\] The post TIB Rasilimali…

## [Open-source Screen Sharing with Control (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/4NpSgXvv8bxt)

_2026-08-17 · **Sponsored**_

WebRTC screen sharing with simultaneous mouse & keyboard control; viewers join in browser.

## [DCEA yateketeza ekari 603 za bangi mvomero](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/dcea-yateketeza-ekari-603-za-bangi-mvomero/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Morogoro MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza ekari 603 za mashamba ya bangi na kukamata magunia 49 ya bangi katika operesheni maalum iliyofanyika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, huku watuhumiwa 13 wakikamatwa kuhusisiana na mashamba hayo. Operesheni hiyo iliyofanyika katika vijiji vya Misengele, Lugenge, Kisaki na Nyarutanga, \[…\] The post…

## [TIB yaunga mkono ajenda ya Nishati Safa kuelekea 2050](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/tib-yaunga-mkono-ajenda-ya-nishati-safa-kuelekea-2050/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SAFARI ya mageuzi ya kiuchumi kuelekea Dira ya Taifa 2050 imeanza kushika kasi, huku mijadala kuhusu vichocheo vya uchumi ikiendelea kupewa uzito mkubwa nchini. Miongoni mwa matukio yaliyoibua mjadala huo ni Tamasha la Kizimkazi 2026, lililofanyika kusini mwa Unguja na kukutanisha viongozi wakuu wa serikali, taasisi na wadau mbalimbali wa maendeleo. \[…\] The post TIB…

## [NMB YATIA NGUVU TAMASHA LA KIZIMKAZI](https://pesatu.co.tz/nmb-yatia-nguvu-tamasha-la-kizimkazi/)

_2026-08-15 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

NMB yatia nguvu Tamasa la Kizimkazi.Benki ya NMB imehitimisha rasmi ushiriki wake wa kihistoria katika Tamasha la Kizimkazi 2026 visiwani Zanzibar, huku ikionyesha dhamira ya dhati ya kuendelea kuunganisha wananchi na huduma za kifedha za kisasa pamoja na fursa za kipekee za kukuza biashara na uwekezaji. Tamasha hili maarufu, lililofikia kilele chake Agosti 14, 2026...

## [Rais Dkt. Samia anatarajia kuzindua JNHPP Agosti, 22 2026](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/15/rais-dkt-samia-anatarajia-kuzindua-jnhpp-agosti-22-2026/)

_2026-08-15 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiakuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) Agosti,22 2026 katika eneo la mradi Rufiji, Mkoa wa Pwani. JNHPP ni miongoni mwa miradi mikubwa na ya kimkakati katika historia ya sekta ya nishati nchini.Kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115 za \[…\] The post Rais Dkt. Samia anatarajia kuzindua…

## [MIRADI YA MAENDELEO KUSINI UNGUJA YAPATIWA MSUKUMO](https://pesatu.co.tz/miradi-ya-maendeleo-kusini-unguja-yapatiwa-msukumo/)

_2026-08-14 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

Miradi ya maendeleo kusini unguja yapatiwa Msukumo. Kipindi cha ushereheshaji wa utamaduni, fursa za kiuchumi, na mshikamano wa kijamii kimefikia kilele chake kikiwa na ujumbe mzito wa maendeleo na uwajibikaji. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka kwa dhati wananchi wa Kizimkazi na maeneo yote ya Mkoa wa Kusini...

## [SERIKALI YATANGAZA KUANZA KUKAGUA MIKATABA YA MADINI](https://pesatu.co.tz/serikali-yatangaza-kuanza-kukagua-mikataba-ya-madini/)

_2026-08-13 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

Serikali yatangaza kuanza kukagua Mikataba ya Madini.Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imechukua hatua madhubuti na za kimkakati zenye lengo la kuleta uwazi, haki, na tija katika usimamizi wa rasilimali za madini nchini. Katika muendelezo wa jitihada hizo, Wizara ya Madini imetangaza rasmi maandalizi ya operesheni maalum ya ukaguzi wa mikataba ya msaada wa...

## [MITAMBO YA KUCHENJUA DHAHABU KUTENGEWA KUTENGEWA ENEO LAKE](https://pesatu.co.tz/mitambo-ya-kuchenjua-dhahabu-kutengewa-eneo-lake/)

_2026-08-13 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

Mitambo ya Kuchenjua dhahabu kutengewa eneo lake.Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kimkakati katika kupanga mji na kulinda afya za wakazi wake, huku ikiimarisha sekta ya uchimbaji na uchenjuaji wa madini. Katika kikao cha kawaida cha Baraza la Madiwani cha Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, Hoja nzito imeibuliwa ikitaka eneo maalum...

## [Kafulila kuongoza mhadhara wa umma kuhusu nafasi ya ubia (PPP) katika maendeleo ya watu](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/12/kafulila-kuongoza-mhadhara-wa-umma-kuhusu-nafasi-ya-ubia-ppp-katika-maendeleo-ya-watu/)

_2026-08-12 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

KITUO cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre) kinatarajiwa kufanya mhadhara wa umma utakaolenga kujadili mchango wa ubia kati ya sekta umma na sekta binafsi katika kuchochea maendeleo ya watu na uchumi wa taifa. Mhadhara huo utaongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa PPP Centre, Mhe. David Kafulila ukiwa umebeba mada ya \[…\] The post Kafulila kuongoza mhadhara wa umma kuhusu nafasi…

## [Vyama vyote ni sawa hakuna chama kidogo wala kikubwa](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/12/vyama-vyote-ni-sawa-hakuna-chama-kidogo-wala-kikubwa/)

_2026-08-12 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu,Dodoma VYAMA vya Siasa vyote nchini vina hadhi sawa na hakuna chama kinachopaswa kujiona chenyewe ni kikubwa kiliko vingine kutokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria za nchi. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Profesa Palamagamba Kabudi alipokuwa \[…\] The post Vyama vyote ni sawa hakuna chama…

## [BITEKO ASEMA TANZANIA YAPIGA HATUA NISHATI SAFI YA KUPIKIA](https://pesatu.co.tz/tanzania-yapiga-hatua-nishati-safi-ya-kupikia/)

_2026-08-12 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

Biteko Asema Tanzania Yapiga hatua nishati Safi ya Kupikia.Katika kuhakikisha afya ya jamii na hifadhi ya mazingira vinazingatiwa kwa kiwango cha juu, Tanzania imeendelea kupiga hatua kubwa na za kihistoria katika utekelezaji wa ajenda ya nishati safi ya kupikia. Hatua hizi ni matokeo ya juhudi za makusudi zilizowekwa na Serikali ya Awamu ya Sasa, zikilenga...

## [Meet Claude, an AI assistant (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/tEEBRHGeVKv4)

_2026-08-12 · **Sponsored**_

Chat with Claude at claude.ai — a conversational AI assistant.

## [DIPLOMASIA YA UCHUMI YAONGEZA FURSA ZA TANZANIA](https://pesatu.co.tz/diplomasia-ya-uchumi-yaongeza-fursa-za-tanzania/)

_2026-08-12 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

Diplomasia ya Uchumi yaongeza fursa za Tanzania.Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inaendelea kudhihirisha kuwa ni nguzo kuu katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini Tanzania. Kupitia utendaji kazi uliotukuka wa Balozi zake zilizotawanyika katika pembe mbalimbali za dunia, wizara hii imekuwa kiungo chenye tija kubwa katika...

## [MADINI NA GESI KUCHOCHEA UKUAJI WA UCHUMI TANZANIA](https://pesatu.co.tz/madini-na-gesi-kuchochea-ukuaji-wa-uchumi-tanzania/)

_2026-08-12 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

Madini na gesi kuchochea ukuaji wa uchumi Tanzania.Uchumi wa Tanzania unaendelea kuonyesha ustahimilivu na kasi kubwa ya kuimarika, huku sekta kuu za uzalishaji zikitarajiwa kuwa injini kuu ya kuendesha gurudumu la maendeleo nchini. Katika kipindi hiki ambacho mataifa mengi duniani yanakabiliana na changamoto mbalimbali za kiuchumi na kimfumo, Tanzania imefanikiwa kudumisha uwezo wake wa…

## [Mavunde aagiza masoko ya madini kuwa wazi mpaka usiku](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/11/mavunde-aagiza-masoko-ya-madini-kuwa-wazi-mpaka-usiku/)

_2026-08-11 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

▪️ Lengo ni kurahisisha huduma kwa wateja ▪️ Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kupunguza tozo zinazowaumiza wachimbaji wadogo ▪️ Dhahabu tani 67.8 zenye thamani ya Sh trilioni 18.4 zazalishwa kwenye viwanda vya usafishaji ▪️Waziri Mavunde aeleza mkakati wa kukuza biashara ya Tanzanite Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, ameiagiza Tume ya Madini \[…\] The post Mavunde aagiza…

## [RITA yaimarisha usajili wa matukio muhimu ya binadamu](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/11/rita-yaimarisha-usajili-wa-matukio-muhimu-ya-binadamu/)

_2026-08-11 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) umeendelea kuimarisha usajili wa matukio muhimu ya binadamu nchini kwa kutumia mifumo ya kidijitali na kusogeza huduma karibu na wananchi, hatua inayolenga kuhakikisha kila mwananchi anapata nyaraka muhimu za utambulisho na kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii na kiuchumi. Waziri wa Katiba na \[…\] The post…

## [WANANCHI WA MABOGINI WANUFAIKA NA MRADI WA RISE](https://www.mtwarapressblog.co.tz/wananchi-wa-mabogini-wanufaika-na-mradi-wa-rise/)

_2025-12-03 · Mtwara Press Blog · Mtwara Press Blog_

MOSHI-KILIMANJARO Wananchi wa kijiji cha Mabogini, kata ya Mabogini, wilayani Moshi Mkoani Kilimanjaro, wameishukuru Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kupitia mradi wa RISE kwa kuanza kukarabati barabara ya Mabogini–Kahe ambayo kwa miaka mingi ilikuwa katika hali mbaya na imekuwa chanzo cha adha kubwa kwa wakazi wa eneo hilo. Barabara hiyo yenye urefu … The post WANANCHI WA…

## [DALILI ZA UWEPO WA GESI ASILIA ZAONEKANA KATIKA KITALU CHA LINDI-MTWARA](https://www.mtwarapressblog.co.tz/dalili-za-uwepo-wa-gesi-asilia-zaonekana-katika-kitalu-cha-lindi-mtwara/)

_2025-10-16 · Mtwara Press Blog · Mtwara Press Blog_

BRYSON MSHANA,MTWARA Utafiti unaoendelea kufanyika katika Kitalu cha Lindi–Mtwara, mkoani Mtwara umeonesha dalili za uwepo wa Gesi Asilia, hususani katika vijiji vya Mnyundo na Mpapura, mkoani Mtwara, ambapo visima vya maji vilibainika kuvujisha gesi asilia. Utafiti huo unajumuisha jumla ya vijiji 48 katika eneo la takriban kilomita za mraba 736 ambapo vijiji 40 vinatoka katika … The post DALILI…

## [ZAIDI YA BILIONI 27 KUIPENDEZESHA MANISPAA YA MTWARA-MIKINDANI KUPITIA MRADI WA TACTIC](https://www.mtwarapressblog.co.tz/zaidi-ya-bilioni-27-kuipendezesha-manispaa-ya-mtwara-mikindani-kupitia-mradi-wa-tactic/)

_2025-10-11 · Mtwara Press Blog · Mtwara Press Blog_

BRYSON MSHANA, MTWARA Manispaa ya Mtwara-Mikindani mkoani Mtwara imesaini mkataba wa fedha zaidi ya shilingi bilioni 27 zinazolenga katika uboreshaji wa miundombinu ya mji kupitia Mradi wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Miji ya Tanzania (TACTIC) unaofadhiliwa na Serikali kuu kupitia mkopo wa Benki ya Dunia wenye thamani ya dola za Kimarekani Milioni 410 (Bila VAT). … The post ZAIDI YA BILIONI 27…

## [KOROSHO MARATHON MSIMU WA NNE KUFANYIKA NOVEMBA 29, 2025](https://www.mtwarapressblog.co.tz/korosho-marathon-msimu-wa-nne-kufanyika-novemba-29-2025/)

_2025-10-10 · Mtwara Press Blog · Mtwara Press Blog_

BRYSON MSHANA, MTWARA Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), imetangaza rasmi ratiba ya Korosho Marathon msimu wa nne, ambayo mwaka huu inatarajiwa kufanyika tarehe 29 Novemba 2025 na kushirikisha wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi. Taarifa iliyotolewa kwa waandishi wa habari leo tarehe 10 Octoba 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania … The post KOROSHO MARATHON MSIMU WA NNE…

## [SERIKALI ITAENDELEA KUTOA RUZUKU YA PEMBEJEO KWA WAKULIMA WA KOROSHO – DKT. NCHIMBI](https://www.mtwarapressblog.co.tz/serikali-itaendelea-kutoa-ruzuku-ya-pembejeo-kwa-wakulima-wa-korosho-dkt-nchimbi/)

_2025-10-03 · Mtwara Press Blog · Mtwara Press Blog_

BRYSON MSHANA, MTWARA Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameahidi kuwa serikali itaendelea kutoa ruzuku ya pembejeo bure kwa wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kukuza kilimo na kuongeza kipato cha wakulim a vijijini. Dkt. Nchimbi alitoa ahadi hiyo … The post SERIKALI ITAENDELEA KUTOA RUZUKU YA PEMBEJEO…

## [CBT YAENDELEA NA MAANDALIZI YA MSIMU WA MAUZO YA KOROSHO GHAFI 2025/2026](https://www.mtwarapressblog.co.tz/cbt-yaendelea-na-maandalizi-ya-msimu-wa-mauzo-ya-korosho-ghafi-2025-2026/)

_2025-10-01 · Mtwara Press Blog · Mtwara Press Blog_

BRYSON MSHANA, MTWARA Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imeeleza kuwa maandalizi ya msimu mpya wa mauzo ya korosho ghafi wa mwaka 2025/2026 yanaendelea kwa vizuri, huku ikiahidi msimu wenye tija zaidi kwa wakulima na wadau wote wa tasnia hiyo. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliwasilishwa na Mkurugenzi wa Masoko na Udhibiti wa Ubora wa … The post CBT YAENDELEA NA MAANDALIZI YA MSIMU WA MAUZO YA KOROSHO…

## [From any door to your door (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/i0iocXDyJp0o)

_2025-10-01 · **Sponsored**_

Book rides, errands, deliveries, groceries and home help in one app

## [BANDARI YA MTWARA YAONGEZA UFANISI KATIKA KUHUDUMIA SHEHENA YA KOROSHO](https://www.mtwarapressblog.co.tz/bandari-ya-mtwara-yaongeza-ufanisi-katika-kuhudumia-shehena-ya-korosho/)

_2025-09-30 · Mtwara Press Blog · Mtwara Press Blog_

BRYSON MSHANA, MTWARA Bandari ya Mtwara imefanikiwa kuongeza kiwango cha ufanisi katika kuhudumia shehena ya korosho baada ya kufanikisha usafirishaji wa jumla ya tani 370,896 katika msimu wa 2024/2025, ikilinganishwa na tani 253,616.94 za msimu wa 2023/2024. Taarifa hiyo imetolewa tarehe 29 septemba 2025, na Meneja wa Bandari ya Mtwara Ferdinand Nyathi, katika mkutano wa … The post BANDARI YA…

## [DKT. SAMIA AAHIDI NEEMA MIKOA YA KUSINI, LNG KUKAMILIKA LINDI](https://www.mtwarapressblog.co.tz/dkt-samia-aahidi-neema-mikoa-ya-kusini-lng-kukamilika-lindi/)

_2025-09-26 · Mtwara Press Blog · Mtwara Press Blog_

BRYSON MSHANA, LINDI Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kukamilika kwa mradi mkubwa wa uchakataji na usindikaji wa gesi asilia ya kimiminika (LNG) mkoani Lindi, mradi ambao umesimama kwa zaidi ya miaka 12. Akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika Lindi Mjini, Dkt. Samia alisema Serikali ipo … The post DKT. SAMIA AAHIDI NEEMA…

## [OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI MKOA WA MTWARA YAFANYA KIKAO CHA KWANZA CHA KAMATI YA USHAURI WA KISHERIA](https://www.mtwarapressblog.co.tz/ofisi-ya-mwanasheria-mkuu-wa-serikali-mkoa-wa-mtwara-yafanya-kikao-cha-kwanza-cha-kamati-ya-ushauri-wa-kisheria/)

_2025-09-12 · Mtwara Press Blog · Mtwara Press Blog_

BRYSON MSHANA, MTWARA Ofisi ya Mwanasheria mkuu wa Serikali Mkoa wa Mtwara, imefanya kikao cha kwanza cha Kamati ya ushauri wa kisheria, chenye lengo la kupeana majukumu na namna ya utekelezaji wake ikiwa ni pamoja na ushauri na uangalizi katika utekelezaji wa huduma za ushauri wa kisheria na Elimu ya Sheria kwa wananchi. Kikao hicho … The post OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI MKOA WA MTWARA…

## [BALOZI WA URUSI AKUTANA NA MKURUGENZI WA BODI YA KOROSHO TANZANIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIBISHARA](https://www.mtwarapressblog.co.tz/balozi-wa-urusi-akutana-na-mkurugenzi-wa-bodi-ya-korosho-tanzania-kuimarisha-ushirikiano-wa-kibishara/)

_2025-09-08 · Mtwara Press Blog · Mtwara Press Blog_

ABDUL LUKANGA, MTWARA Balozi wa Urusi nchini Tanzania, Andrey Avetisyan, amefanya ziara rasmi ya kutembelea Bodi ya Korosho Tanzania mkoani Mtwara, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Urusi. Ziara hiyo imefanyika leo septemba 8/ ambapo ilimfikisha Balozi kwenye Kongani ya Viwanda inayoendelea kujengwa katika kijiji cha Maranje, … The post BALOZI WA…

