# salaam (blogs) — RSS Amplifier

Recent posts from the 3 feeds in the RSS Amplifier directory that cover salaam.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/salaam/blogs>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/salaam/blogs.md>

---

## [WAZIRI KAIRUKI AITAKA TTCL KUONGEZA KASI YAKUUNGANISHA FIBER MAJUMBANI](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/21/waziri-kairuki-aitaka-ttcl-kuongeza-kasi-yakuunganisha-fib/)

_2026-08-21 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angela Kairuki, ameitaka Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kuongeza kasi ya kuwaunganisha wananchi na intaneti ya mkongo wa nyuzi majumbani (FTTH), huku akilenga huduma hiyo kuwafikia nyumba milioni moja ifikapo Juni 2028. Kairuki alitoa agizo hilo leo Agosti 21, 2026 ,jijini Dar... The post WAZIRI KAIRUKI AITAKA…

## [PROFESA MBARAWA:SERIKALI HAITAKI TAFITI ZINAZOISHIA KWENYE MAKABRASHA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/20/profesa-mbarawaserikali-haitaki-tafiti-zinazoishia-kwenye-makabrasha/)

_2026-08-20 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amewataka watafiti nchini kuhakikisha tafiti wanazofanya katika sekta ya usafiri na usafirishaji zinatoa suluhisho la changamoto halisi, badala ya kuishia kwenye makabrasha na mikutano. Akizungumza leo Agosti 20, 2026 wakati akifungua mkutano wa kimataifa unaohusu usafiri, lojistiki na usimamizi, kuwa mafanikio ya…

## [DAWASA YAANZA MSAKO KWA WANAOJIUNGANISHIA MAJI KINYEMELA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/19/dawasa-yaanza-msako-kwa-wanaojiunganishia-maji-kinyemela/)

_2026-08-19 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imefanya operesheni katika Mtaa wa Majizzo katika Kata ya Kunduchi Wilaya ya Kinondoni na kubaini matumizi yasiyo halali ya maji yaliyokuwa yakitumika katika shughuli za kilimo cha mbogamboga ambayo imeingiza hasara Mamlaka ya zaidi ya Shilingi Milioni 50 Mamlaka... The post DAWASA YAANZA MSAKO KWA…

## [DIRISHA LA USAJILI WA TUZO ZA SERENGETI 2026 KUFUNGULIWA KESHO](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/19/dirisha-la-usajili-wa-tuzo-za-serengeti-2026-kufunguliwa-kesho/)

_2026-08-19 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa. WIZARA ya Maliasili na Utalii imetangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha la usajili kwa wadau wa uhifadhi na utalii kuwania The Serengeti Awards 2026, huku ikiwasisitiza kutumia fursa hiyo kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika uhifadhi na uendelezaji wa utalii. Dirisha la usajili litafunguliwa kesho Agosti 20, 2026 na kufungwa... The post DIRISHA LA USAJILI…

## [&#8220;UKARABATI WA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA WAFIKIA ASILIMIA 67&#8221; WAZIRI MBARAWA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/18/ukarabati-wa-kiwanja-cha-ndege-kigoma-wafikia-asilimia-67-waziri-mbarawa/)

_2026-08-18 · Hubert Kiwale · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema ukarabati wa Uwanja wa Ndege wa Kigoma umefikia asilimia 67 na unatarajiwa kukamilika Desemba 5, 2026, hatua inayolenga kuimarisha huduma za usafiri wa anga na kuchochea shughuli za kiuchumi mkoani humo Akizungumza na waandishi wa habari Agosti 15, 2026, wakati akikagua maendeleo ya mradi huo,... The post “UKARABATI WA KIWANJA CHA…

## [UJENZI WA MELI MPYA NA CHELEZO KIGOMA KUFUNGUA SOKO LA BIASHARA KIMATAIFA- WAZIRI MBARAWA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/17/ujenzi-wa-meli-mpya-na-chelezo-kigoma-kufungua-soko-la-biashara-kimataifa-waziri-mbarawa/)

_2026-08-17 · Hubert Kiwale · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema uwekezaji wa kampuni ya kizawa ya Dar es Salaam Merchant Group katika ujenzi wa chelezo na meli mpya mkoani Kigoma utaongeza uwezo wa Tanzania kujenga na kukarabati meli nchini, huku ukifungua fursa za biashara na huduma za ujenzi wa meli kwa nchi zinazozunguka Ziwa Tanganyika,... The post UJENZI WA MELI MPYA NA CHELEZO KIGOMA…

## [Before You Run: A Note to the Next Progressive Looking at a Crowded Field](https://salaambhattiforcongress.substack.com/p/before-you-run-a-note-to-the-next)

_2026-08-14 · Salaam Bhatti · Salaam Bhatti_

Part 2 of 2. The death of your campaign could keep Medicare for All alive.

## [Thypoch Simera 28mm f/1.4 Review](https://fcracer.com/thypoch-simera-28mm-f-1-4-review/)

_2026-08-14 · fcracer · fcracer &#8211; Travel & Photography_

In this post, we’ll review the Thypoch Simera 28 mm f/1.4 lens for the Leica M-Mount. I always get excited when a company introduces a new lens, but I also question what incremental value the lens will bring to the \[ \] Source

## [BITEKO: TANZANIA IMEPIGA HATUA KUBWA KATIKA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/12/biteko-tanzania-imepiga-hatua-kubwa-katika-ajenda-ya-nishati-safi-ya-kupikia/)

_2026-08-12 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

📌 Asema wajibu wa kila Mtanzania ni kuhakikisha mafanikio yanakuwa endelevu KIZIMKAZI, ZANZIBAR Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia, huku akisisitiza kuwa ni wajibu wa kila Mtanzania kuhakikisha mafanikio yaliyopatikana yanaendelea kuwa endelevu.... The post…

## [ZOEZI LA UVUTAJI NYAYA AWAMU YA PILI ENEO LA KIKOMBO NA MKONZE KATIKA MRADI WA CHALINZE–DODOMA KUANZA KESHO](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/10/zoezi-la-uvutaji-nyaya-awamu-ya-pili-eneo-la-kikombo-na-mkonze-katika-mradi-wa-chalinze-dodoma-kuanza-kesho/)

_2026-08-10 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

📌TANESCO yasema baadhi ya Mikoa ya Kanda ya Kati, Kanda ya Magharibi, Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Kusini Magharibi na Kanda ya ziwa kupata umeme kwa ratiba maalumu 📌Lengo ni kumpisha Mkandarasi kuendelea na utekelezaji wa Mradi huo wa kusafirisha umeme Msongo wa Kilovolti 400 ambao uko mbioni kukamilika. Na Mwandishi Wetu,Chalinze Shirika la Umeme... The post ZOEZI LA UVUTAJI NYAYA AWAMU YA…

## [Stay updated on your professional world (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/Gc4ke9Kh04fr)

_2026-08-10 · **Sponsored**_

Keep in touch with people you know, build your career.

## [WAZIRI NDEJEMBI AWASHA UMEME MWANUBI, ASEMA UMEME NI HITAJI LA MSINGI KWA WATANZANIA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/10/waziri-ndejembi-awasha-umeme-mwanubi-asema-umeme-ni-hitaji-la-msingi-kwa-watanzania/)

_2026-08-10 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Shinyanga Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasha umeme katika Kitongoji cha Mwanubi mkoani Shinyanga na kusema kuwa huduma ya umeme ni hitaji la msingi kwa Watanzania na nyenzo muhimu katika kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Akizungumza wakati wa hafla ya kuwasha umeme katika kitongoji hicho, Mhe. Ndejembi amesema kufikishwa kwa umeme... The post WAZIRI…

## [SOKO BUBU LA MADINI LAGUNDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/09/soko-bubu-la-madini-lagunduliwa-jijini-dar-es-salaam/)

_2026-08-09 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam IKIWA ni sehemu ya usimamizi thabiti wa sekta na kuhakikisha Serikali inapata mapato yake ipasavyo kupitia mfumo rasmi wa masoko ya madini nchini, soko bubu la madini lagunduliwa jijini Dar es Salaam. Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde (Mb) ameyasema hayo leo tarehe 09 Agosti, 2026 wakati akizungumza na waandishi... The post SOKO BUBU LA MADINI LAGUNDULIWA…

## [DMI:WATALAAMU WA USAFIRISHAJI MUHIMU KUONGEZA USHINDANI WA BIDHAA ZA NDANI](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/08/dmiwatalaamu-wa-usafirishaji-muhimu-kuongeza-ushindani-wa-bidhaa-za-ndani/)

_2026-08-08 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Dodoma CHUO cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesema kuwa Tanzania inahitaji kuongeza idadi ya wataalamu wa usafirishaji na usimamizi wa mnyororo wa bidhaa ili kuongeza tija, ushindani wa bidhaa za ndani na kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza wakati wa alipotembelea Maonesho ya Wakulima Nanenane ,Mkuu wa... The post DMI:WATALAAMU WA USAFIRISHAJI MUHIMU…

## [A Message from Salaam and a Word of Warning](https://salaambhattiforcongress.substack.com/p/a-message-from-salaam-and-a-word)

_2026-08-07 · Salaam Bhatti · Salaam Bhatti_

Part 1 of 2.

## [Three Things You Can Do Today, Election Day](https://salaambhattiforcongress.substack.com/p/three-things-you-can-do-today-election)

_2026-08-04 · Salaam Bhatti · Salaam Bhatti_

Polls close at 7 PM

## [4 ways to help in the final 4 days](https://salaambhattiforcongress.substack.com/p/4-ways-to-help-in-the-final-4-days)

_2026-07-31 · Salaam Bhatti · Salaam Bhatti_

Early voting ends Saturday. Election Day is Tuesday. Here's where we need you.

## [5 Days!!](https://salaambhattiforcongress.substack.com/p/5-days)

_2026-07-30 · Salaam Bhatti · Salaam Bhatti_

You can still make a difference in this election

## [The Tides are Turning: The Progressives Are Winning](https://salaambhattiforcongress.substack.com/p/the-tides-are-turning-the-progressives)

_2026-07-29 · Salaam Bhatti · Salaam Bhatti_

Across the country, there is a new wave of democratic leadership being elected.

## [Someone covered our yard signs last night](https://salaambhattiforcongress.substack.com/p/someone-covered-our-yard-signs-last)

_2026-07-28 · Salaam Bhatti · Salaam Bhatti_

Friends,

## [8 Days to Choose.](https://salaambhattiforcongress.substack.com/p/8-days-to-choose)

_2026-07-27 · Salaam Bhatti · Salaam Bhatti_

The district will flip. Who wins when it does?

## [Open-source Screen Sharing with Control (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/ns4g7k1DGzeG)

_2026-07-27 · **Sponsored**_

WebRTC screen sharing with simultaneous mouse & keyboard control; viewers join in browser.

## [We Need a Federal Moratorium on Data Centers](https://salaambhattiforcongress.substack.com/p/we-need-a-federal-moratorium-on-data)

_2026-07-22 · Salaam Bhatti · Salaam Bhatti_

Why data centers don't help the people and only the corporate profiteers.

## [Chiang Mai 2026, Thailand](https://fcracer.com/chiang-mai-2026-thailand/)

_2026-07-21 · fcracer · fcracer &#8211; Travel & Photography_

In this post, I ll share images taken in Chiang Mai over a four night trip in late June, 2026. I ve visited Chiang Mai several times before and shared information on its history and the touristic places to visit. You can \[ \] Source

## [Two Weeks Away](https://salaambhattiforcongress.substack.com/p/two-weeks-away)

_2026-07-20 · Salaam Bhatti · Salaam Bhatti_

Election Day is 15 days away, and at Team Salaam we’re doing everything we can to ensure that we nominate a strong progressive fighter that can defeat Wittman and authentically represent our community in DC.

## [Capture One Mobile Workflow](https://fcracer.com/capture-one-mobile-workflow/)

_2026-06-13 · fcracer · fcracer &#8211; Travel & Photography_

Capture One Mobile has advanced significantly in the two years since I wrote a post about a suggested workflow, so I thought it was time for an updated view. For most of my recent trips, the images you’ve seen have \[ \] Source

## [UniFi Travel Router Review](https://fcracer.com/unifi-travel-router-review/)

_2026-05-10 · fcracer · fcracer &#8211; Travel & Photography_

In this post, I’ll review the UniFi Travel Router and share how it has become a “must pack” travel accessory for my trips. In preparation for a medical tourism trip to Seoul, South Korea, I picked up two accessories I \[ \] Source

## [Gaggan Trip, Bangkok and Koh Samui, Thailand](https://fcracer.com/gaggan-trip-bangkok-and-koh-samui-thailand/)

_2026-05-04 · fcracer · fcracer &#8211; Travel & Photography_

When I was in Cannes, France, I met some of my brother s closest friends. One of his friends is a big foodie and over the course of a few nights, I managed to convince him to visit Bangkok to explore \[ \] Source

## [LUX Marijani, Zanzibar, Tanzania](https://fcracer.com/lux-marijani-zanzibar-tanzania/)

_2026-03-13 · fcracer · fcracer &#8211; Travel & Photography_

After the intensity and history of Stone Town, we were ready for something slower, quieter and more beach‑focused. LUX Marijani, located on the northeast coast of Zanzibar, offered exactly that, a modern beachfront resort designed for unwinding rather than sightseeing. \[ \] Source

## [Bawe Island, Tanzania](https://fcracer.com/bawe-island-tanzania/)

_2026-03-06 · fcracer · fcracer &#8211; Travel & Photography_

While we were vacationing in Zanzibar Stone Town, my brother mentioned that his client had a long-term lease on a resort island nearby and that we could visit it. In my line of work, it’s pretty rare to know anyone \[ \] Source

## [Zanzibar Stone Town, Tanzania](https://fcracer.com/zanzibar-stone-town-tanzania/)

_2026-02-17 · fcracer · fcracer &#8211; Travel & Photography_

In the third instalment of the Tanzania series, I’ll take you to the incredible Zanzibar Island Stone Town, a 1.5-hour ferry away from Dar es Salaam. This post will be image-heavy and word-light because we only spent two nights in \[ \] Source

## [Mikumi National Park, Tanzania – First Safari Experience](https://fcracer.com/mikumi-national-park-tanzania-first-safari-experience/)

_2026-02-01 · fcracer · fcracer &#8211; Travel & Photography_

In this post, I’ll share my first safari experience in East Africa and the things I learned along the way. While I was visiting Dar es Salaam with family, I had no plans to do a safari. However, with so \[ \] Source

## [A Friend Gave You $30 (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/tcdhCpfeykNG)

_2026-02-01 · **Sponsored**_

Sign up, deposit $5 within 30 days, and start investing with expert guidance.

## [Dar es Salaam, Tanzania](https://fcracer.com/dar-es-salaam-tanzania/)

_2026-01-26 · fcracer · fcracer &#8211; Travel & Photography_

I’ve just completed the trip of a lifetime and I’m struggling with where to start in sharing all of this with you. I’m currently typing this on my first Qatar business class experience from Zanzibar to Doha and I could \[ \] Source

