# kwenye (podcasts) — RSS Amplifier

Recent posts from the 5 feeds in the RSS Amplifier directory that cover kwenye.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/kwenye/podcasts>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/kwenye/podcasts.md>

---

## [Vieira ndiye kocha mpya wa Senegal, uwanja wa Talanta wafikia asilimia 95](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260822-vieira-ndiye-kocha-mpya-wa-senegal-uwanja-wa-talanta-wafikia-asilimia-95?GJlXzGgqHj)

_2026-08-22 · Jukwaa la Michezo_

Leo tunaangazia ushindi wa Cameroon taji la Wafcon, Patrick Vieira ndiye kocha mpya wa Senegal, Wanyonyi ang'ara riadha za Diamond League, bondia wa mwafrika kusini auawa nchini Afrika Kusini, uwanja wa Talanta umefikia asilimia 95 kukamilika, michuano ya kufuzu klabu bingwa kwa kina dada ukanda wa Cecafa yaanza, ratiba ya Kombe la Dunia la wanawake 2027 yatolewa, Shakhtar kutumia uwanja wa…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/jukwaa_22_aug.mp3?guid=50e84aae-9e46-11f1-9569-cfbe797c4ef5&source=GJlXzGgqHj)

## [Uchaguzi nchini Zambia, upinzani yalalamikia matokeo ya uchaguzi](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260819-uchaguzi-nchini-zambia-upinzani-yalalamikia-matoke-ya-uchaguzi?GJlXzGgqHj)

_2026-08-19 · Habari RFI-Ki_

Nchini Zambia, Rais Hakainde Hichilema, amechaguliwa kwa muhula wa pili, akimshinda mpinzani wake wa Karibu Brian Mundubile. Hata hivyo kumeshuhudiwa malalamiko ya dosari kadhaa ikiwemo udanganyifu, wizi wa kura na vitisho, mambo yanayoripotiwa wakati wa chaguzi nyingi barani Afrika.s

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/APPELS_ACTU_19-08-26.mp3?guid=ab033668-9be2-11f1-a7fe-db73b9e8d481&source=GJlXzGgqHj)

## [Goma: Wanawake wapambana na umaskini licha ya changamoto za usalama.](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260819-goma-wanawake-wapambana-na-umaskini-licha-ya-changamoto-za-usalama?GJlXzGgqHj)

_2026-08-19 · Gurudumu la Uchumi_

Msikilizaji katika mazingira ambayo migogoro na changamoto za kiuchumi zimeathiri maisha ya kila siku ya wananchi, wanawake wengi wamekuwa wakitafuta njia mbadala za kujipatia kipato na kuendesha familia zao.Hali hii inashuhudiwa katika mji wa Goma, mashariki mwa DRC, ambako baadhi ya wanawake wamegeukia ufugaji wa kuku kama njia ya kujikimu, hasa baada ya shughuli za baadhi ya taasisi za kifedha…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/MAG_ECONOMIE_19-08-26_OK.mp3?guid=440cc496-9bde-11f1-b170-a3fc433b84a6&source=GJlXzGgqHj)

## [Kuna uwezekano wa asilimia 81 Afrika kukumbwa na hali ya hewa ya Elnino](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260818-kuna-uwezekano-wa-asilimia-81-afrika-kukumbwa-na-hali-ya-hewa-ya-elnino?GJlXzGgqHj)

_2026-08-18 · Habari RFI-Ki_

Ripoti ya wataalam wa hali ya hewa imeonya kuwa Afrika inakabiliwa na uwezekano wa aslimia 81 wa kukumbwa na hali ya hewa ya El Nino. Katika ripoti hiyo, eneo la Kusini mwa Afrika linatarajiwa kukumbwa na

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/HABARI_RAFIKI_18-08-26_OK.mp3?guid=958b8d1e-9b13-11f1-bd0b-7fb2265490de&source=GJlXzGgqHj)

## [Vuguvugu la upinzani nchini DRC C64 kutangaza kufanya maandamano Septemba 15](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260818-vuguvugu-la-upinzani-nchini-drc-c64-kutangaza-kufanya-maandamano-septemba-15?GJlXzGgqHj)

_2026-08-18 · Habari RFI-Ki_

Mwishoni mwa juma lililopita, upinzani nchini DRC kupitia vuguvugu la C64 ulitangaza kuwa utafanya maandamano Septemba 15 kupinga mchakato wa marekebisho ya katiba. Tangazo lao walilitoa baada ya muda waliokuwa wameutoa kwa Rais Felix Tshisekedi kuitisha mazungumzo ya kitaifa kupita.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/HABARI_RAFIKI_17-08-26_OK.mp3?guid=590e3e82-9b12-11f1-9f33-8b1d9630ab60&source=GJlXzGgqHj)

## [Kwa nini bima ya afya ya msafiri ni sharti muhimu kwa mataifa ya Afrika](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260818-kwa-nini-bima-ya-msafiri-ni-sharti-muhimu-kwa-mataifa-ya-afrika?GJlXzGgqHj)

_2026-08-18 · Siha Njema_

Umuhimu wa bima ya afya kwa wasafiri ni pamoja na kupunguza gharama kwa taifa mwenyeji haswa wakati huu nchi nyingi hususan za Afrika zinashuhudia ongezeko la milipuko wa magonjwa ya milipuko Sharti hilo pia linatoa fursa kwa nchi kuboresha mifumo ya afya ili kukidhi mahitaji ya wasafiri wanaohitaji huduma za afya kwa nchi wanazozitembelea.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/SIHA_NJEMA_18-08-26_OK.mp3?guid=c3cf0fac-9ad7-11f1-925a-5b2668a9d0ce&source=GJlXzGgqHj)

## [Malawi na Cameroon zatinga fainali michuano ya WAFCON 2026 nchini Morocco](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260815-malawi-na-cameroon-zatinga-fainali-michuano-ya-wafcon-2026-nchini-morocco?GJlXzGgqHj)

_2026-08-15 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyoangazia leo ni pamoja na uchambuzi wa matokeo na matukio ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kina dada inayofikia tamati wikendi hii, mechi za kufuzu kombe la dunia la basketboli chini ya miaka 18, Kenya yawasilisha nia ya kuandaa mashindano ya dunia ya riadha 2029. Je, Yanga itatetea ubingwa wa ligi kuu Tanzania baada ya kushinda ngao ya jamii?, PSG yashinda taji la UEFA Super Cup, tetesi za…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/jukwaa_15th_aug_2026.mp3?guid=ebfa9d3a-98c4-11f1-85ee-d7c37b4cc29f&source=GJlXzGgqHj)

## [Je, Nchi Inaweza Kuendelea Bila Dira ya Maendeleo?](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260812-je-nchi-inaweza-kuendelea-bila-dira-ya-maendeleo?GJlXzGgqHj)

_2026-08-12 · Gurudumu la Uchumi_

Msikilizaji taifa linaweza kuishi siku moja baada ya nyingine bila kujua linaelekea wapi. Lakini taifa linalotaka kujenga uchumi imara, ajira bora na maisha bora kwa wananchi wake, linahitaji zaidi ya mipango ya leo, kwa kifupî linahitaji dira. Kwenye makala ya wiki hii tunaangazia dira ya taifa ni nini.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/MAG_ECONOMIE_12-08-26.mp3?guid=d106a06c-964b-11f1-aeb0-7d99e01fd3b0&source=GJlXzGgqHj)

## [Tume Huru ya Uchaguzi nchini Kenya, yatoa kanuni mpya za ufadhili wa kampeni](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260811-tume-huru-ya-uchaguzi-nchini-kenya-yatoa-kanuni-mpya-za-ufadhili-wa-kampeni?GJlXzGgqHj)

_2026-08-11 · Habari RFI-Ki_

Mwaka mmoja kuelekea uchaguzi mkuu nchini Kenya, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, imetoa kanuni mpya za ufadhili wa kampeni za wagombea mbalimbali.Mgombea urais atatakiwa kutumia kiasi cha shilingi za Kenya zisizozidi Bilioni 6 huku vyama vya siasa vikitakiwa kutokuvuka matumizi ya bilioni 25 za Kenya.Tumemuuliza mskilizaji ,anazungumzia vipi kanuni hii ?na nchini mwake , kuna utaratibu kama…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/HABARI_RAFIKI_11_08_2026_KENYA.mp3?guid=9e33eab6-959f-11f1-8189-41de3659ab5f&source=GJlXzGgqHj)

## [Unaweza kuendelea kunyonyesha hata baada ya kutenganishwa kwa muda na mwanao](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260811-unaweza-kuendelea-kunyonyesha-hata-baada-ya-kutenganishwa-kwa-muda-na-mwanao?GJlXzGgqHj)

_2026-08-11 · Siha Njema_

Imani kuwa mama na mtoto wanapotenganishwa inaweza kuathiri ubora wa maziwa ya mama inapotosha. Watalaam wanasisitiza maziwa ya mama hayawezi kuharibika kwenye titi. Aidha kunyonyesha kwa uaminifu kunaweza kukuepusha na saratani na mbinu pia ya kupanga uzazi.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/SIHA_NJEMA_11-08-26_OK.mp3?guid=c76cdf08-957e-11f1-99a3-7b9dab358cb5&source=GJlXzGgqHj)

## [Open directory of blogs for agents (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/w9nVXT00o2nr)

_2026-08-11 · **Sponsored**_

Submit URLs or OPML; receive feed pages with summaries, plus JSON/OPML/plain text

## [Kenya: Familia hatarini kutokana na kupanda kwa kiwango cha maji ziwa Naivasha](https://www.rfi.fr/sw/makala/mazingira-leo-dunia-yako-kesho/20260810-kenya-familia-hatarini-kutokana-na-kupanda-kwa-kiwango-cha-maji-ziwa-naivasha?GJlXzGgqHj)

_2026-08-10 · Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho_

Familia katika kijiji cha Kihoto mjini Naivasha, zimeendelea kutaabika kutokana na athari za kupanda kwa kiwango cha maji kwenye ziwa Naivasha, na kusababisha maji kuingia kwenye kijiji ambayo pia yamesababisha kuenea kwa magugumaji. Nikurejesha nchini kenya, katika eneo la bonde la ufa, ziwa Bogoria, ziwa Baringo na Ziwa Niavasha, ni mfano wa maziwa ambayo yameendelea kushuhudia kupanda kwa kina…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/MAG_DEV_DURABLE_10-08-26.mp3?guid=ca4772d2-94ad-11f1-b853-7d972a30fe03&source=GJlXzGgqHj)

## [WAFCON yaingia mtoano, Rayon mabingwa wa CECAFA, CAF yamuunga mkono Infantino](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260808-wafcon-yaingia-mtoano-rayon-mabingwa-wa-cecafa-caf-yamuunga-mkono-infantino?GJlXzGgqHj)

_2026-08-08 · Jukwaa la Michezo_

Tumeangazia uchambuzi wa matokeo na matukio kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika kina dada inayoingia kwenye mtoano, droo ya michuano ya klabu bingwa, CAF yamuunga mkono rais Infantino, Rayon yashinda ubingwa CECAFA baada ya miaka 28, Simba Day ni leo, mshindi wa medali ya fedha mbio za kutembea mita 10,000 kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola 2026 Stephen Ndangiri apigwa marufuku kwa tuhuma za…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/S_PORTS_MAKALA.mp3?guid=48ffdf34-9327-11f1-bec5-6133779e0a1a&source=GJlXzGgqHj)

## [Sehemu ya Pili: Hatifungani ni nini na kwanini inakuhusu](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260805-sehemu-ya-pili-hatifungani-ni-nini-na-kwanini-inakuhusu?GJlXzGgqHj)

_2026-08-05 · Gurudumu la Uchumi_

Mara kadhaa tumesikia serikali zetu zikitangaza kuwa zinauza hati fungani za Serikali za muda mfupi na muda mrefu, yaani Government Bonds na Treasury bill, serikali zikikusanya mabilioni ya fedha kutoka kwa wawekezaji. Sasa je, hatifungani ni nini? Je, mwananchi wa kawaida anaweza kuwekeza?

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_05-08-26.mp3?guid=779d9fd0-8b42-11f1-b1b5-550ac6cc2a27&source=GJlXzGgqHj)

## [Kenya: Uchunguzi wabainisha uwepo wa kemikali hatari kwenye bidhaa za plastiki](https://www.rfi.fr/sw/makala/mazingira-leo-dunia-yako-kesho/20260804-kenya-uchunguzi-wabainisha-uwepo-wa-kemikali-hatari-kwenye-bidhaa-za-plastiki?GJlXzGgqHj)

_2026-08-04 · Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAZINGIRA_LEO_DUNIA_YAKO_KESHO_13-07-26_OK.mp3?guid=72feedf2-8fee-11f1-ab0d-2ddc3fc82d0a&source=GJlXzGgqHj)

## [El Niño: Wataalam waonya kuhusu mvua kubwa, mafuriko na joto la kali](https://www.rfi.fr/sw/makala/mazingira-leo-dunia-yako-kesho/20260803-el-ni%C3%B1o-wataalam-waonya-kuhusu-mvua-kubwa-mafuriko-na-joto-la-kali?GJlXzGgqHj)

_2026-08-03 · Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho_

Hali ya hewa ya El Niño inaendelea kuimarika kwa kasi na inatarajiwa kutawala katika kipindi cha kuanzia mwezi Agosti hadi Oktoba mwaka wa 2026, hali itakayoongeza uwezekano wa viwango vya joto kuzidi wastani katika maeneo mengi ya dunia na kusababisha mabadiliko makubwa katika mifumo ya mvua. Mashirika ya hali ya hewa likiwemo lile la dunia WMO na KMD nchini Kenya, yameongeza utaratibu, huduma za…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/MAG_DEV_DURABLE_03-08-26_OK.mp3?guid=c01c1234-8f55-11f1-a196-f790d80cc44e&source=GJlXzGgqHj)

## [Darubini ya mashindano ya Wafcon, Jumuiya ya Madola na Cecafa Kagame Cup](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260801-darubini-ya-mashindano-ya-wafcon-jumuiya-ya-madola-na-cecafa-kagame-cup?GJlXzGgqHj)

_2026-08-01 · Jukwaa la Michezo_

Leo kwenye kipindi tunaangazia WAFCON inayoendelea nchini Morocco - Kenya yaaga mashindano huku Tanzania ikisalia na matumaini lakini Nigeria na Afrika Kusini zimeanza kwa kusuasua, wanariadha wanaendelea kunyakua medali katika mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Scotland, wakati mashindano ya Cecafa Kagame Cup yakiingia nusu fainali.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/jukwaa_01st_aug.mp3?guid=536799ec-8dc5-11f1-887b-9973daf882d0&source=GJlXzGgqHj)

## [Kwa nini watalaam wanahoji maumivu makali wakati wa hedhi si kawaida](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260731-kwa-nini-watalaam-wanahoji-maumivu-makali-wakati-wa-hedhi-si-kawaida?GJlXzGgqHj)

_2026-07-31 · Siha Njema_

Maumivu wakati msichana au mwanamke anapokuwa kwenye siku zake za hedhi, yanaweza kuwa ya kawaida ila maumivu haya yanapomfanya kushindwa na shughuli za kawaida si kawaida Dkt Dominic Osiemo anasema maumivu haya makali yanaweza kuwa dalili za baadhi ya changamoto za kiafya kama vile Uvimbe au ugonjwa wa Endometriosis.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/SIHA_NJEMA_28-07-26_OK.mp3?guid=38c77424-8cdd-11f1-8c87-0b9b6fc7e5a3&source=GJlXzGgqHj)

## [Hatifungani za serikali na hazina: Kwa nini zinahusu kila mwananchi?](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260729-hatifungani-za-serikali-na-hazina-kwa-nini-zinahusu-kila-mwananchi?GJlXzGgqHj)

_2026-07-29 · Gurudumu la Uchumi_

Mara kadhaa tumesikia serikali zetu zikitangaza kuwa zinauza hati fungani za Serikali za muda mfupi na muda mrefu, yaani Government Bonds na Treasury bill, serikali zikikusanya mabilioni ya fedha kutoka kwa wawekezaji. Sasa je, hatifungani ni nini? Je, mwananchi wa kawaida anaweza kuwekeza?

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_29-07-26.mp3?guid=add5281a-8b3e-11f1-aca8-77c54ba7030c&source=GJlXzGgqHj)

## [Fahamu kuhusu chanzo cha wimbi la joto kali linaloshuhudiwa Ulaya.](https://www.rfi.fr/sw/makala/mazingira-leo-dunia-yako-kesho/20260728-fahamu-kuhusu-chanzo-cha-wimbi-la-joto-kali-linaloshuhudiwa-ulaya?GJlXzGgqHj)

_2026-07-28 · Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho_

Wimbi la joto kali limekumba bara la Ulaya kwa muda sasa, hali iliyosababisha viwango vya juu vya joto katika nchi kadhaa na kusababisha maelfu ya vifo. Zaidi ya watu 300,000 wamehamishwa na angalau mtu mmoja alifariki dunia kutokana na moto wa nyika nchini Ufaransa na Uhispania, huku vikosi vya zimamoto vikipambana na mioto hiyo. Leo katika uchambuzi wetu tunaungana na Daktari Joyce Kimutai,…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAZINGIRA_YAKO_DUNIA_YAKO_KESHO_27-07-26_OK.mp3?guid=f4a4483a-8a6b-11f1-a675-990bbc2b046a&source=GJlXzGgqHj)

## [CAF: Wafcon, mashindano ya jumuiya ya madola na Kombe la Cecafa yaanza](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260725-caf-wafcon-mashindano-ya-jumuiya-ya-madola-na-kombe-la-cecafa-yaanza?GJlXzGgqHj)

_2026-07-25 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyokuandalia leo ni pamoja na kuanza kwa mashindano ya kina dada ya Afcon, Kombe la Cecafa, mashindano ya Jumuiya ya Madola, tetesi za uhamisho Ulaya na Afrika Mashariki, mahakama ya kutatua migogoro duniani kuskiza kesi ya kubaini bingwa wa Afcon 2025 mwezi Oktoba tarehe nane.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/jukwaa_25th_july.mp3?guid=656565c4-8844-11f1-bd06-8df5cb2cc9d2&source=GJlXzGgqHj)

## [One platform, from silicon to agent (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/h8BBl2409w0l)

_2026-07-25 · **Sponsored**_

Serverless inference plus Inference Router to optimize cost and latency at scale.

## [Migogoro ya kimataifa inavyoathiri uchumi wa wananchi Afrika](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260722-migogoro-ya-kimataifa-inavyoathiri-uchumi-wa-wananchi-afrika?GJlXzGgqHj)

_2026-07-22 · Gurudumu la Uchumi_

Katika Makala haya hivi leo tunajadili uhusiano kati ya siasa za kimataifa na uchumi wa wananchi wa Afrika, mara yingi tunasikia taarifa za vita, migogoro ya kisiasa au mivutano kati ya mataifa makubwa kama Urusi na Ukraine, Mashariki ya Kati, au migogoro inayovuruga usafirishaji wa bidhaa duniani. Kuzungumzia hili, hivi leo nimemualika Safari Fungo, mtaalamu wa masuala ya uchumi, utangamano wa…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_22-07-26.mp3?guid=b3a7fed4-85d5-11f1-8777-c7f48c98c05f&source=GJlXzGgqHj)

## [Changamoto ya wanaume na wanawake kukosa hamu ya tendo la ndoa](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260721-changamoto-ya-wanaume-na-wanawake-kukosa-hamu-ya-tendo-la-ndoa?GJlXzGgqHj)

_2026-07-21 · Siha Njema_

Raia mmoja wa Kenya amefika kwenye bunge la kitaifa nchini Kenya akitaka swala la wanaume na wanawake kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa kuorodheshwa kuwa ulemavu Kwa mujibu wa daktari Dominic Osiemo ,tatizo hilo linachangiwa na maswala kadhaa yakiwemo matumizi ya dawa za kisukari ,shinikizo la damu na msongo wa mawazo.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/SIHA_NJEMA_21-07-26_OK.mp3?guid=7086cafc-851e-11f1-87df-b529d8dcc1bf&source=GJlXzGgqHj)

## [Visa vya kung'atwa na Nyoka vyaongezeka kaunti ya Turkana Nchini Kenya](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260721-visa-vya-kung-atwa-na-nyoka-vyaongezeka-kaunti-ya-turkana-nchini-kenya?GJlXzGgqHj)

_2026-07-21 · Siha Njema_

Kaunti ya Turkana inaongoza nchini Kenya kwa visa vya watu kung'atwa na nyoka. Wataalamu wa afya wanasema mabadiliko ya tabianchi, joto kali na changamoto za upatikanaji wa huduma za afya vinaongeza hatari kwa wakazi wa maeneo mengi ya kaunti hiyo,huku shirika la afya duniani WHO likisema visa vya kuumwa na nyoka vinapuuzwa wakati huu karibia watu 32000 wakifariki kila mwaka kutokana na sumu ya…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/SIHA_NJEMA_14-07-26_OK.mp3?guid=38d06aca-84e5-11f1-81de-1d36bc2bd5dc&source=GJlXzGgqHj)

## [Juhudi za akina mama kuhifadhi fukwe za bahari pwani ya Kenya](https://www.rfi.fr/sw/makala/mazingira-leo-dunia-yako-kesho/20260721-juhudi-za-akina-mama-kuhifadhi-fukwe-za-bahari-pwani-ya-kenya?GJlXzGgqHj)

_2026-07-21 · Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho_

Wakati mataifa mbalimbali duniani yakiongeza juhudi za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi na uchafuzi wa bahari, nchini Kenya akina mama wamejitokeza mstari wa mbele kulinda mazingira. Katika Kaunti ya Mombasa, wameanzisha kampeni ya kupanda miti ya asili na kurejesha uoto uliopotea kwenye maeneo ya pwani. .Hii leo katika makala mazingira leo dunia yako kesho ,tunaangazia juhudi za…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAZINGIRA_LEO_DUNIA_YAKO_KESHO_20-07-26_OK.mp3?guid=06d9234c-84e3-11f1-b9fc-1d36bc2bd5dc&source=GJlXzGgqHj)

## [Ufaransa na Uingereza zaondolewa kwenye nusu fainali Kombe la Dunia](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260718-ufaransa-na-uingereza-zaondolewa-kwenye-nusu-fainali-kombe-la-dunia?GJlXzGgqHj)

_2026-07-18 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyokuandalia leo ni pamoja uchambuzi wa nusu fainali, mechi ya mshindi wa tatu na taarifa kuu kuhusu Kombe la Dunia kuhusu washindi kutuzwa pete pamoja na medali na kombe huku Ballon d'Or yatangaza mchezaji anayecheza nje ya Ulaya ana uwezo wa kushinda tuzo hiyo. Timu ya taifa ya kina dada ya Kenya na Tanzania zasafiri kwa ajili ya Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Morocco, fainali ya Congo Cup…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/jukwaa_18th_july.mp3?guid=a20a6954-82c5-11f1-ae6d-c5cf415204d3&source=GJlXzGgqHj)

## [Maoni ya mskilizaji Wiki hii kutokana na matangazo yetu](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260717-maoni-ya-mskilizaji-wiki-hii-kutokana-na-matangazo-yetu?GJlXzGgqHj)

_2026-07-17 · Habari RFI-Ki_

Na Hannah Nalianya Kila Ijumaa rfi Kiswahili inakupa nafasi kuchangia mada yoyote kuhusiana na matangazo yetu. Skiza maoni ya Juma hili

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAKALA_YA_HABARI_RAFIKI_17_07_2026_KUHUSU_MADA_HURU.mp3?guid=9527ec56-81ef-11f1-bb47-357bd9b41020&source=GJlXzGgqHj)

## [Argentina kuvaana na Uhuspania kwenye fainali](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260716-argentina-kuvaana-na-uhuspania-kwenye-fainali?GJlXzGgqHj)

_2026-07-16 · Habari RFI-Ki_

Fainali ya kombe la dunia katika mchezo wa soka, itawakutanisha mabingwa watetezi Argentina na Hispania waliowahi kushinda taji hili mwaka 2010. Mechi hiyo itapigwa siku ya Jumapili nchini Marekani. Unatarajia nani ataibuka mshindi katika mechi hiyo na kwanini. Skiza ya mskilizaji

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_16-07-26_OK.mp3?guid=c7dc6642-812a-11f1-8cf2-79394af737f0&source=GJlXzGgqHj)

## [Ufaransa yaondolewa kwenye kombe la dunia](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260715-ufaransa-yaondolewa-kwenye-kombe-la-dunia?GJlXzGgqHj)

_2026-07-15 · Habari RFI-Ki_

Na Hannah Naliaka Safari ya Ufaransa kutinga fainali za kombe la dunia imefikia tamati baada ya kushindwa mabao 2-0 na Uhispania katika nusu fainali ya kwanza. Unazungumziaje mechi hiyo ? Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/HABARI_RAFIKI_15-07-26_OK.mp3?guid=931824d6-8059-11f1-8e3b-b7c298cf2416&source=GJlXzGgqHj)

## [Sarafu za kidijitali ‘Cryptocurrency’ uwekezaji wa kisasa wenye fursa na hatari](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260715-sarafu-za-kidijitali-cryptocurrency-uwekezaji-wa-kisasa-wenye-fursa-na-hatari?GJlXzGgqHj)

_2026-07-15 · Gurudumu la Uchumi_

Katika miaka ya hivi karibuni, sarafu za kidijitali maarufu kama cryptocurrency zimezidi kuvutia watu wengi duniani. Wapo waliopata faida kubwa, lakini pia wapo waliopoteza fedha nyingi kutokana na kushuka kwa thamani ya sarafu hizo. Leo katika Makala ya Gurudumu la Uchumi, tunajiuliza: Je, sarafu za kidijitali ‘cryptocurrency’ ni uwekezaji wa kweli, au ni uwekezaji wenye hatari kubwa ambao watu…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_15-07-26.mp3?guid=42245d0e-8056-11f1-998b-b7c298cf2416&source=GJlXzGgqHj)

## [Bara Ulaya linatathimini kudhibiti mitandao kwa watoto](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260714-bara-ulaya-linatathimini-kudhibiti-mitandao-kwa-watoto?GJlXzGgqHj)

_2026-07-14 · Habari RFI-Ki_

Umoja wa Ulaya unatathmini kuweka marufuku ya matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto kutokana na athari za mitandao hiyo kwa watoto. Unazungumziaje pendekezo hili? Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAKALA_YA_HABARI_RAFIKI_14_07_2026_KUHUSU_WATOTO.mp3?guid=30e50a3a-7f9c-11f1-bdf8-77b4e25bc2d2&source=GJlXzGgqHj)

## [Point a Domain, Start a Pit (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/5APYbPAuCnJa)

_2026-07-14 · **Sponsored**_

Point any domain to a blacked-out, poison-green coming-soon page with an email waitlist.

## [Nani atabeba kombe la dunia mwaka huu](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260713-nani-atabeba-kombe-la-dunia-mwaka-huu?GJlXzGgqHj)

_2026-07-13 · Habari RFI-Ki_

Fainali za kombe la dunia zimefikia hatua ya nusu fainali, huku timu nne zikisalia kwenye mbio za kutwaa ubingwa. Uhispania itacheza na Ufaransa, wakati Uingereza itapambana na mabingwa watetezi Argentina. Unatathmini vipi hatua iliyofikia? Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAKALA_HABARI_RAFIKI_13_07_2026_KUHUSU_WORLD_CUP.mp3?guid=81eb9306-7ec8-11f1-8311-dbb701fa6098&source=GJlXzGgqHj)

## [Mbio za nusu fainali Kombe la Dunia, Kocha mpya wa Yanga ni nani?](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260711-mbio-za-nusu-fainali-kombe-la-dunia-kocha-mpya-wa-yanga-ni-nani?GJlXzGgqHj)

_2026-07-11 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyokuandalia leo ni pamoja na uchambuzi wa raundi ya 16 bora na robo fainali michuano ya Kombe la Dunia, Misri na Morocco zikiaga mashindano, Mbappe na Messi wang'ang'ania kiatu cha dhahabu, Yanga yapata kocha mpya Manqoba Mngqithi kutoka Afrika Kusini, Emmanuel Wanyonyi avunja rekodi ya mita 1000m mashindano ya Diamond League, mchezo mpya wa Flag Football waendelea kukua na kupata umaarufu…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/Jukwaa_11th_july.mp3?guid=a3fdf860-7d44-11f1-90be-3d1ed36326f4&source=GJlXzGgqHj)

## [Maoni yako katika makala ya Habari rafiki Mada huru](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260710-maoni-yako-katika-makala-ya-habari-rafiki-mada-huru?GJlXzGgqHj)

_2026-07-10 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_10-07-26.mp3?guid=aa0b97be-7c6b-11f1-a012-8db244004842&source=GJlXzGgqHj)

## [Mashirika ya kiraia Afrika yaanza kampeni dhidi ya madeni ya umma](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260710-mashirika-ya-kiraia-afrika-yaanza-kampeni-dhidi-ya-madeni-ya-umma?GJlXzGgqHj)

_2026-07-10 · Siha Njema_

Mashirika ya kiraia yanasema nchi za Afrika zinalipa deni na kuachwa na kiasi kidogo cha pesa kuendesha shughuli muhimu za serikali ,sekta ya afya ikiathirika zaidi Mashirika haya yanataka umoja wa Afrika kuja na jopo ambalo litakuwa linaangazia maswala yote kuhusu mikopo ili kupunguza dhulma kwa nchi zinazoendelea

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/SIHA_NJEMA_07-07-26_OK.mp3?guid=45541bfe-7c55-11f1-8cda-9380539ec062&source=GJlXzGgqHj)

## [DRC: Muungano wa upinzani wa C64 kutangaza kuendelea na maandamano yake ya amani Julai 22](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260709-drc-muungano-wa-upinzani-wa-c64-kutangaza-kuendelea-na-maandamano-yake-ya-amani-julai-22?GJlXzGgqHj)

_2026-07-09 · Habari RFI-Ki_

Tangazo hilo limetolewa licha ya kushiriki kwenye mazungumzo ya kisiasa na rais wa Burundi Évariste Ndayishimiye, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_08-07-26.mp3?guid=ffffa514-7b8c-11f1-8494-f9a2c7cb99bd&source=GJlXzGgqHj)

## [Kodi na Maendeleo: Je, tunapata thamani ya kodi tunazolipa?](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260708-kodi-na-maendeleo-je-tunapata-thamani-ya-kodi-tunazolipa?GJlXzGgqHj)

_2026-07-08 · Gurudumu la Uchumi_

Katika makala ya Gurudumu la Uchumi hivi leo, tunajadili nafasi ya kodi katika maendeleo ya uchumi, umuhimu wa kulipa kodi, na jinsi serikali na wananchi wanavyoweza kushirikiana kujenga uchumi imara na wenye manufaa kwa wote.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_08-07-26.mp3?guid=c7b833ec-7aba-11f1-8941-8115b569da94&source=GJlXzGgqHj)

## [Siku ya Kiswahili duniani Juni 07 2026](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260707-siku-ya-kiswahili-duniani-juni-07-2026?GJlXzGgqHj)

_2026-07-07 · Habari RFI-Ki_

Dunia hivi leo inaadhimisha siku ya Kiswahili Duniani, kutambua mchango wa lugha ya Kiswahili katika kuunganisha watu, tamaduni na mataifa mbalimbali, kauli mbiu ikiwa Kiswahili Lugha ya kimataifa ya amani, mshikamano na diplomasia ya kiuchumi.” Siku hii inafanyika wakati pia RFI Kiswahili tunatimiza miaka 16 tangu tulipoanza kurusha matangazo yetu, una ujumbe gani kwetu?

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_07-07-26.mp3?guid=c5942848-7a22-11f1-b844-319e252bcfee&source=GJlXzGgqHj)

## [Je, serikali ya Afrika Kusini ilichukua hatua za kutosha kulinda usalama wa raia wa kigeni?](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260706-je-serikali-ya-afrika-kusini-ilichukua-hatua-za-kutosha-kulinda-usalama-wa-raia-wa-kigeni?GJlXzGgqHj)

_2026-07-06 · Habari RFI-Ki_

Wiki iliyopita, maelfu ya raia wa mataifa mbalimbali ya Afrika waliondoka Afrika Kusini kutokana na hofu ya usalama baada ya maandamano yaliyolenga wageni. Baadhi ya nchi zimeikosoa serikali ya Afrika Kusini kwa kushindwa kudhibiti hali hiyo.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_06-07-26_OK.mp3?guid=aa1630ea-794e-11f1-9578-71106e32aecc&source=GJlXzGgqHj)

## [Utengenezaji wa mkaa kutoka kwa mmea wa mianzi](https://www.rfi.fr/sw/makala/mazingira-leo-dunia-yako-kesho/20260706-utengenezaji-wa-mkaa-kutoka-kwa-mmea-wa-mianzi?GJlXzGgqHj)

_2026-07-06 · Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho_

Misitu ni sehemu muhimu katika mapambano ya dunia dhidi ya mabadiliko ya tabianchi, hata hivyo misitu mingi ipo hatarini kutokan ana shughuli za binadamu. Fahamu kuhu mkaa unaotengenezwa kutokana na mmea wa mianzi(Bamboo)

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAZINGIRA_LEO_DUNIA_YAKO_KESHO_06-07-26_OK.mp3?guid=52e88b78-794f-11f1-9c79-71106e32aecc&source=GJlXzGgqHj)

## [Kombe La Dunia 2026: Raundi ya 32 yakamilika, Morocco na Misri zafuzu 16 bora](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260704-kombe-la-dunia-2026-raundi-ya-32-yakamilika-morocco-na-misri-zafuzu-16-bora?GJlXzGgqHj)

_2026-07-04 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyokuandalia leo ni mkusanyiko wa matukio ya raundi ya 32, je ni wakati timu changa kuanza kutamba? Timu mbili tu za Afrika kati ya tisa zafuzu kumi na sita bora, nini kimeiponza Afrika? uchambuzi wa raundi ya 16 bora inaanza leo, kiatu cha dhahabu na mechi za kufuzu Kombe la Dunia la wasichana chini ya miaka 17. Yanga yashinda ubingwa wa Tanzania kwa mara ya 32 huku DRC ikifuzu raundi ya pili…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/jukwaa_04_july.mp3?guid=2e8daade-77c3-11f1-82d7-f9d3412b6fa2&source=GJlXzGgqHj)

## [Timu ya DRC ya Leopard yaondolewa na Uingereza kwenye mashindano ya kombe la dunia](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260703-timu-ya-drc-ya-leopard-yaondolewa-na-uingereza-kwenye-mashindano-ya-kombe-la-dunia?GJlXzGgqHj)

_2026-07-03 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_02-07-26.mp3?guid=2d7e81c2-76ec-11f1-a8b9-1d81afdc4925&source=GJlXzGgqHj)

## [Maandamano ya Afrika Kusini kushinikiza wageni kuondoka yaibua maswali](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260703-maandamano-ya-afrika-kusini-kushinikiza-wageni-kuondoka-yaibua-maswali?GJlXzGgqHj)

_2026-07-03 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/HABARI_RAFIKI_01-07-26_OK.mp3?guid=fe9655de-76ea-11f1-b73f-2d617bb3142b&source=GJlXzGgqHj)

## [Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yaadhimisha miaka 66 ya Uhuru](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260703-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-congo-yaadhimisha-miaka-66-ya-uhuru?GJlXzGgqHj)

_2026-07-03 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/HABARI_RAFIKI_30-06-26_OK.mp3?guid=4fea8ece-76ea-11f1-a081-1d81afdc4925&source=GJlXzGgqHj)

## [Uganda : Yamfurusha wakili na mwanaharakati Martha Karua](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260701-uganda-yamfurusha-wakili-na-mwanaharakati-martha-karua?GJlXzGgqHj)

_2026-07-01 · Habari RFI-Ki_

Tunaangazia serikali ya Uganda kumfurusha wakili na mwanaharakati wa Kenya, Martha Karua nchini humo, ikiwa ni mwendelezo wa matukio ambayo yamekuwa yakishuhudiwa hapa Afrika Mashariki. Skiza maoni ya waskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_24-06-26_OK.mp3?guid=41b1f360-6fce-11f1-9cdc-8b18087b57bb&source=GJlXzGgqHj)

## [Mkuu wa majeshi nchini Uganda kuamuru kufungwa runinga ya NTV](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260630-mkuu-wa-majeshi-nchini-uganda-kuamuru-kufungwa-runinga-ya-ntv?GJlXzGgqHj)

_2026-06-30 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_29-06-26_OK.mp3?guid=3214934c-747c-11f1-acdf-e3536907b568&source=GJlXzGgqHj)

## [Kampeni kuhakikisha vyakula vilivyosindikwa vina maandishi ya kuonya](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260630-kampeni-kuhakikisha-vyakula-vilivyosindikwa-vina-maandishi-ya-kuonya?GJlXzGgqHj)

_2026-06-30 · Siha Njema_

Tafiti kadhaa za kiafya zimebainisha magonjwa mengi yasiyoambukizwa yana uhusiano mkubwa na vyakula vilivyosindikwa na hali ya watu kukosa kuzingatia mazoezi ya kila mara. Kenya ikiwa taifa la kwanza Afrika Mashariki kupitisha mwongozo unaotoa maelekezo kuhusu viwango vya madini ambavyo vyakula au vinywaji vinavyouzwa vinafaa kukidhii au kwa lugha ya kiingereza Kenya Nutrient Profile Model,sasa…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/SIHA_NJEMA_30-06-26_OK.mp3?guid=ab0e078a-747a-11f1-9fbe-e3536907b568&source=GJlXzGgqHj)

## [Mkutano wa Innovate4cities: Kuharakisha hatua za kukabili mabadiliko ya tabianchi kwenye miji duniani.](https://www.rfi.fr/sw/makala/mazingira-leo-dunia-yako-kesho/20260629-mkutano-wa-innovate4cities-kengo-la-kuharakisha-hatua-za-kukabili-mabadiliko-ya-tabianchi-kwenye-miji-duniani?GJlXzGgqHj)

_2026-06-29 · Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho_

Mkutano huo ulioandaliwa na Global Covenant of Mayors for Climate and Energy (GCoM kwa ushirikiano na UN-Habitat, ulijadili mada tofauti kama vile sayansi ya tabianchi, sera na namna ya kuangazia mianya iliopo katika elimu, data, ufadhili na utakelezaji zinazolemaza mikakati ya kukabili tabainchi kwenye miji. Katika makala yetu hivi leo, nimezungumza na Bi Maryam Wangeshi , ni msanifu wa majengo…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/MAG_DEV_DURABLE_29-06-26.mp3?guid=b9a8743a-738d-11f1-a8b9-7d8eb55a1ec6&source=GJlXzGgqHj)

## [Kombe la Dunia 2026: Timu saba za Afrika zafuzu hatua ya muondoano](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260627-kombe-la-dunia-2026-timu-saba-za-afrika-zafuzu-hatua-ya-muondoano?GJlXzGgqHj)

_2026-06-27 · Jukwaa la Michezo_

Hatua ya makundi kwenye Kombe la Dunia inafikia kilele hii leo, ni timu gani zimefuzu hatua ya mtoano? Wiki ya pili ya michuano hii imeshuhudia rekodi zikiwekwa na kuvunjwa huku mataifa ya Afrika yakiendelea kufanya vizuri zaidi, lakini pia tutakupa uchambuzi wa mechi za kesho asubuhi. Aidha tumeangazia michuano ya Afrika Mashariki mchezo wa Baseball, tetesi za uhamisho na mashindano ya Paris…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/Jukwaa_27th_june.mp3?guid=fd986404-723c-11f1-bb68-3d610b7cd326&source=GJlXzGgqHj)

## [Kila Ijumaa unapata nafasi kutoa maoni ndani ya rfi Kiswahili](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260626-kila-ijumaa-unapata-nafasi-kutoa-maoni-ndani-ya-rfi-kiswahili?GJlXzGgqHj)

_2026-06-26 · Habari RFI-Ki_

Kila Ijumaa unapata nafasi kuchangia chochote kile, pengine ulikiskia kwenye matangazo yetu au kile kinafanyika hapo uliopo. Skiza maoni ya mskilizaji

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_26-06-26_OK.mp3?guid=823d855c-7177-11f1-a3f0-9b37fc2e51ce&source=GJlXzGgqHj)

## [Kenya : Miaka miwili baada ya maandamano ya Gen Z](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260625-kenya-miaka-miwili-baada-ya-maandamano-ya-gen-z?GJlXzGgqHj)

_2026-06-25 · Habari RFI-Ki_

Shaba yetu leo inalenga nchini Kenya mbapo raia nchini humo wameadimisha miaka miwili tangu kutokea kwa maandamano ya mwaka 2024 ya vijana waliokuwa wapigigania mageuzi nchini humo. Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_25-06-26_OK.mp3?guid=ec199ee8-70af-11f1-b8e1-a3b5228db9b9&source=GJlXzGgqHj)

