# kwa (blogs) — RSS Amplifier

Recent posts from the 15 feeds in the RSS Amplifier directory that cover kwa.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/kwa/blogs>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/kwa/blogs.md>

---

## [Serengeti awards 2026 usajili wafunguliwa kwa wadau wa utalii](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/20/serengeti-awards-2026-usajili-wafunguliwa-kwa-wadau-wa-utalii/)

_2026-08-20 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WIZARA ya Maliasili na Utalii imetangaza rasmi dirisha la usajili kwa wadau wa uhifadhi na utalii kuwania Serengeti Awards 2026, huku ikiwasisitiza kutumia fursa hiyo kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika uhifadhi wa wanyamapori, maliasili na uendelezaji wa utalii. Dirisha hilo litafunguliwa Agosti 20, 2026 na litafungwa Septemba \[…\] The post Serengeti…

## [Kombe la Dunia la Hockey ya Wanawake Latikisa Uholanzi, Vita Vyaendelea](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/kombe-la-dunia-la-hockey-ya-wanawake-latikisa-uholanzi-vita-vyaendelea/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

Amsterdam, Agosti 20, 2026 — Mashindano ya Kombe la Dunia la Hockey ya Wanawake yanaendelea nchini Uholanzi na Ubelgiji, huku timu mbalimbali zikisaka nafasi ya kusonga mbele katika hatua inayofuata ya mashindano. Leo, Alhamisi, Agosti 20, ratiba imejumuisha michezo kadhaa muhimu. Miongoni mwao ni China dhidi ya Afrika Kusini pamoja na New Zealand dhidi ya...

## [PROFESA MBARAWA:SERIKALI HAITAKI TAFITI ZINAZOISHIA KWENYE MAKABRASHA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/20/profesa-mbarawaserikali-haitaki-tafiti-zinazoishia-kwenye-makabrasha/)

_2026-08-20 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amewataka watafiti nchini kuhakikisha tafiti wanazofanya katika sekta ya usafiri na usafirishaji zinatoa suluhisho la changamoto halisi, badala ya kuishia kwenye makabrasha na mikutano. Akizungumza leo Agosti 20, 2026 wakati akifungua mkutano wa kimataifa unaohusu usafiri, lojistiki na usimamizi, kuwa mafanikio ya…

## [CCM INAHESHIMU UPINZANI–KIHONGOSI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/20/ccm-inaheshimu-upinzani-kihongosi/)

_2026-08-20 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na REHEMA MAIGALA KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema Chama kinaheshimu maoni ya wanasiasa na vyama vyote vya upinzani. MAWAZO MBADALA Pia, CCM imesisitiza iko tayari kuyafanyia kazi mawazo yenye msingi kutoka kwa vyama vya upinzani kwa maslahi mapana ya nchi. Kihongosi alisema hayo jijini Dar \[…\]

## [Kifukwe Aagwa Karimjee, Yanga na Simba Zamuaga kwa Heshima](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/kifukwe-aagwa-karimjee-yanga-na-simba-zamuaga-kwa-heshima/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

DAR ES SALAAM — Mazingira ya huzuni na heshima yalitawala leo Alhamisi, Agosti 20, katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, ambako familia, viongozi wa michezo, wachezaji wa zamani na wanachama wa Yanga walikusanyika kutoa salamu za mwisho kwa aliyekuwa Rais wa klabu hiyo, Eng. Francis Kifukwe. Mwili wa Kifukwe uliwasili Karimjee kwa ajili...

## [PSSSF YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI](https://pesatu.co.tz/psssf-yatoa-mafunzo-kwa-waandishi-wa-habari/)

_2026-08-20 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

PSSSF yatoa mafunzo kwa waandishi wa habari.Sekta ya PSSSF na hifadhi ya jamii Tanzania imepiga hatua nyingine kubwa katika kuhakikisha wananchi na watumishi wa umma wanapata taarifa sahihi, za kina, na zisizo na upotoshaji. Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeratibu na kuendesha mafunzo maalum ya siku mbili kwa waandishi wa...

## [Yanga Yashuka Dimbani Kuendeleza Moto Dhidi ya Coastal Union](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/yanga-yashuka-dimbani-kuendeleza-moto-dhidi-ya-coastal-union/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

DAR ES SALAAM — Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Yanga SC, leo Alhamisi, Agosti 20, 2026, wanatarajiwa kushuka dimbani kuikabili Coastal Union katika mchezo wa raundi ya pili ya msimu wa 2026/27. Mchezo huo utapigwa katika Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam, huku Yanga ikiwa na dhamira ya kuendeleza mwanzo mzuri...

## [BLOCKCHAIN FESTIVAL 2026 KUUNGANISHA AFRIKA](https://pesatu.co.tz/blockchain-festival-2026-kuunganisha-afrika/)

_2026-08-20 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

BLOCKCHAIN FESTIVAL 2026 KUUNGANISHA AFRIKA.Hatua zinazochukuliwa na Tanzania kuelekea kuweka mfumo rasmi wa udhibiti wa sarafu na mali za kidijitali zinaweza kufungua ukurasa mpya katika uchumi wa kidijitali nchini. Wabunifu wa teknolojia, kampuni za fintech, wawekezaji, watengenezaji wa mifumo ya blockchain pamoja na wadau wa Web3 nchini sasa wanahimizwa kwa dhati kushiriki katika mkutano wa...

## [Ibrahim Jabaar Aomba Msamaha, Akubali Kuwajibika kwa Kadi Nyekundu](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/ibrahim-jabaar-aomba-msamaha-akubali-kuwajibika-kwa-kadi-nyekundu/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

Nyota wa Ibrahim Jabaar, Ibrahim Jabaar, ameonyesha ukomavu kwa kukubali na kuchukua jukumu kamili kufuatia tukio lililomfanya kuonyeshwa kadi nyekundu katika mchezo uliopita. Kupitia ujumbe aliouweka kwenye Instagram, Jabaar amesema: “Hakuna visingizio. Ninachukua jukumu kamili.” 🙏🏽 Kauli hiyo inaonyesha kuwa Jabaar ametambua kosa lake na yuko tayari kuwajibika, huku akitarajiwa kujifunza…

## [Leo ni Kubeti Kitaalamu! Mechi Kali na Odds Kubwa Zipo Meridianbet](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/leo-ni-kubeti-kitaalamu-mechi-kali-na-odds-kubwa-zipo-meridianbet/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

Tengeneza pesa ndefu kwa kusuka jamvi lako la ushindi na Meridianbet. Timu kibao zenye Odds kubwa zipo kwaajili yako, ingia na usuke jamvi siku ya leo. Kama kawaida ligi zinaendelea kuchanganya huku wewe ukichangamkia odds za kibabe, Yanga atakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Coastal Union kwenye Ligi kuu ya Tanzania, NBC PREMIER LEAGUE. Hii ni...

## [Your 24/7 AI Media Buyer (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/hmYewAKpVMKI)

_2026-08-20 · **Sponsored**_

Finds placement, geo, and funnel leaks and proposes fixes you approve

## [PROF. KABUDI AWATAKA WANANCHI KUZINGATIA TAHADHARI ZA MAAFA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/20/prof-kabudi-awataka-wananchi-kuzingatia-tahadhari-za-maafa/)

_2026-08-20 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na, Mwandishi wetu – Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu–Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi kuzingatia tahadhari na maelekezo yanayotolewa na wataalamu na mamlaka husika ili kupunguza madhara yanayotokana na majanga na maafa. Prof. Kabudi ametoa wito huo Agosti 19, 2026, akizungumza katika maadhimisho ya Siku \[…\]

## [Rashford Aomba Jina Lake Lisitajwe Kila Siku, Asema Anataka Kuzingatia Soka](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/rashford-aomba-jina-lake-lisitajwe-kila-siku-asema-anataka-kuzingatia-soka/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

MANCHESTER: Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford, amesema angependa kupata nafasi ya kujikita katika kucheza soka bila jina lake kutajwa kila siku katika mijadala ya vyombo vya habari. Rashford alitoa kauli hiyo baada ya mchezaji wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, kuanzisha mjadala kuhusu mshambuliaji huyo katika podcast ya Stick to Football. Katika kipande...

## [Arsenal Yakubaliana na Aston Villa Kumsajili Ezri Konsa kwa Zaidi ya Pauni Milioni 50](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/arsenal-yakubaliana-na-aston-villa-kumsajili-ezri-konsa-kwa-zaidi-ya-pauni-milioni-50/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

LONDON: Arsenal imefikia makubaliano na Aston Villa kuhusu kumsajili beki wa England, Ezri Konsa, kwa ada inayozidi pauni milioni 50. Konsa, mwenye umri wa miaka 28, anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kukamilisha uhamisho wake kwenda Emirates Stadium. Arsenal ilianza tena mazungumzo na Aston Villa wiki iliyopita baada ya awali kushindwa kufikia makubaliano. Kwa...

## [Mzozo wa Ardhi ya Cheluget Waelekea Kumalizika Narok](https://www.radioosotua.co.ke/mzozo-wa-ardhi-ya-cheluget-waelekea-kumalizika-narok/)

_2026-08-20 · John Waicua · Radio Osotua_

Huenda mzozo wa muda mrefu unaozingira ardhi ya Cheluget katika eneo bunge la Narok Kusini umefikia tamati. Serikali imetangaza hatua ya kumaliza mzozo huo uliodumu kwa takriban miaka 30. Kwa miaka mingi, maelfu ya familia wamekuwa wakiishi katika ardhi hiyo bila uhakika wa umiliki. Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi na Mipango ya Maeneo, Nixon... The post Mzozo wa Ardhi ya Cheluget Waelekea…

## [Hospitali ya Kigogo Yapokea Wheelchairs, Meridianbet Yaongeza Tabasamu](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/hospitali-ya-kigogo-yapokea-wheelchairs-meridianbet-yaongeza-tabasamu/)

_2026-08-19 · Saleh · Saleh Jembe_

Meridianbet imeongeza nguvu katika kampeni yake ya kusaidia jamii baada ya kuikabidhi Hospitali ya Kigogo msaada wa viti vya magurudumu, maarufu kama wheelchairs. Msaada huo umetolewa kupitia programu ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), ukiwa na lengo la kuboresha huduma kwa wagonjwa wenye mahitaji maalum. Hatua hii imekuja wakati ambapo hospitali zinahitaji vifaa mbalimbali vinavyoweza kurahisisha...

## [WASIRA ATAKA WANA CCM WAKUTANE, WASIINGIE MKENGE KWA MANENO YA MITANDAONI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/wasira-ataka-wana-ccm-wakutane-wasiingie-mkenge-kwa-maneno-ya-mitandaoni/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu – Singida MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka wanachama wa CCM kukutana mara kwa mara katika vikao rasmi vya chama ili kujadili masuala muhimu na kuepuka kupotoswa na taarifa zisizo na ukweli zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii. Akizungumza leo Agosti 19, 2026 Wilaya ya Ikungi mkoani Singida \[…\]

## [Watu Saba Wafariki Baada ya Ndege Kuanguka Samburu East](https://ngasumedia.co.ke/watu-saba-wafariki-baada-ya-ndege-kuanguka-samburu-east/)

_2026-08-19 · ngasumedia · NGASU NEWS_

Watu saba, akiwemo rubani, wamefariki dunia baada ya ndege ndogo kuanguka katika eneo la Sabache Hills, Samburu East. Kwa mujibu wa taarifa za polisi, ndege hiyo iliyotambuliwa kwa jina Lady Lorry, ilianguka majira ya saa 3:13 asubuhi, ikiwa njiani kutoka Suyian, Laikipia, kuelekea Loisaba Conservancy. Waliofariki wametajwa kuwa Josh Outran, Roger Duarte, Adam Navaty, Stephen \[…\] The post Watu…

## [TUTAENDELEA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO YA UKIMWI &#8211; YONAZI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/tutaendelea-kuongeza-nguvu-mapambano-ya-ukimwi-yonazi/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI MAALUMU, Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, kuhakikisha Tanzania inatokomeza virusi hivyo ifikapo mwaka 2030.Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na…

## [Simba Yaibuka na Ushindi wa 2-1 Dhidi ya Pamba Jiji, Yakwea Kileleni](https://salehjembe.co.tz/2026/08/19/simba-yaibuka-na-ushindi-wa-2-1-dhidi-ya-pamba-jiji-yakwea-kileleni/)

_2026-08-19 · Saleh · Saleh Jembe_

Mwanza: Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameanza msimu wa NBC Premier League kwa kasi baada ya kuichapa Pamba Jiji FC mabao 2-1 na kuchukua alama zote tatu. Simba ilipata mabao yake kupitia Clatous Chama dakika ya 18 na Oura dakika ya 30, kabla ya Pamba Jiji kujibu kupitia Diomande dakika ya 72. Mchezo huo ulikuwa...

## [Baraza la Michezo Laibua Jingine Simba! “Serikali Imekamilisha Wajibu Wake” – Video](https://salehjembe.co.tz/2026/08/19/baraza-la-michezo-laibua-jingine-simba-serikali-imekamilisha-wajibu-wake-video/)

_2026-08-19 · Saleh · Saleh Jembe_

Dar es Salaam: Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa Katiba ya Klabu ya Simba iliyofanyiwa marekebisho na kuidhinishwa rasmi Februari 18, 2026. Kwa mujibu wa BMT, marekebisho hayo yalipitishwa na Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Simba uliofanyika Novemba 30, 2025, kabla ya kuwasilishwa kwa Msajili wa Vyama na Vilabu vya...

## [Non-Custodial Crypto Gateway (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/LQrFsj8T6dwt)

_2026-08-19 · **Sponsored**_

Accept multi-chain crypto, automated fee handling, and trustless escrow with real-time settlement.

## [DAWASA YAANZA MSAKO KWA WANAOJIUNGANISHIA MAJI KINYEMELA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/19/dawasa-yaanza-msako-kwa-wanaojiunganishia-maji-kinyemela/)

_2026-08-19 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imefanya operesheni katika Mtaa wa Majizzo katika Kata ya Kunduchi Wilaya ya Kinondoni na kubaini matumizi yasiyo halali ya maji yaliyokuwa yakitumika katika shughuli za kilimo cha mbogamboga ambayo imeingiza hasara Mamlaka ya zaidi ya Shilingi Milioni 50 Mamlaka... The post DAWASA YAANZA MSAKO KWA…

## [DIRISHA LA USAJILI WA TUZO ZA SERENGETI 2026 KUFUNGULIWA KESHO](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/19/dirisha-la-usajili-wa-tuzo-za-serengeti-2026-kufunguliwa-kesho/)

_2026-08-19 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa. WIZARA ya Maliasili na Utalii imetangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha la usajili kwa wadau wa uhifadhi na utalii kuwania The Serengeti Awards 2026, huku ikiwasisitiza kutumia fursa hiyo kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika uhifadhi na uendelezaji wa utalii. Dirisha la usajili litafunguliwa kesho Agosti 20, 2026 na kufungwa... The post DIRISHA LA USAJILI…

## [KETE NGUMU SIMBA, PAMBA JIJI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/kete-ngumu-simba-pamba-jiji/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na NASRA KITANA KIKOSI cha Simba leo kinashuka dimbani katika mchezo namba mbili, kumenyana na Pamba Jiji katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Simba itakuwa ugenini kupepetana na Pamba Jiji katika mechi itakayopigwa dimba la CCM Kirumba, Mwanza kuanzia majira ya saa 10:00 jioni. Timu hiyo yenye maskani yake Mtaa \[…\]

## [Omar Artan Aweka Historia, Aitwa na UEFA kwa Mafunzo ya Waamuzi](https://ngasumedia.co.ke/omar-artan-aweka-historia-aitwa-na-uefa-kwa-mafunzo-ya-waamuzi/)

_2026-08-19 · ngasumedia · NGASU NEWS_

Mwamuzi wa kimataifa kutoka Somalia, Omar Artan Abdulkadir, amepewa nafasi ya kipekee baada ya UEFA kumwalika kushiriki kozi maalum ya mafunzo kwa waamuzi wa kiume itakayofanyika Geneva, Uswisi, kuanzia Agosti 31 hadi Septemba 2, 2026. UEFA imewasiliana rasmi na CAF pamoja na Shirikisho la Soka la Somalia kuhusu ushiriki wa Artan katika mafunzo hayo. Baada \[…\] The post Omar Artan Aweka Historia,…

## [SERIKALI KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI](https://www.habarika24.co.tz/2026/08/serikali-kuongeza-nguvu-mapambano-dhidi.html)

_2026-08-19 · www.habarika24.blogspots.com · Habarika24_

Na. Mwandishi Wetu - Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, ili kuhakikisha Tanzania inafikia lengo la kutokomeza UKIMWI ifikapo mwaka 2030. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera,…

## [MIAKA 50 YA UPUNGUFU WA MAFUTA YA KULA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/miaka-50-ya-upungufu-wa-mafuta-ya-kula/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na JOE NAKAJUMO MOJA ya malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni Tanzania kuwa mzalishaji mkuu wa chakula Afrika na kuwa miongoni mwa nchi 10 bora katika uzalishaji wa chakula. Kwa miaka kadhaa mfululizo, uzalishaji wa mazao ya chakula umekuwa ukiongezeka. Tani milioni 18 za mazao ya chakula zilizalishwa mwaka 2020/2021 na ziliongezeka hadi tani milioni \[…\]

## [&#8220;UKARABATI WA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA WAFIKIA ASILIMIA 67&#8221; WAZIRI MBARAWA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/18/ukarabati-wa-kiwanja-cha-ndege-kigoma-wafikia-asilimia-67-waziri-mbarawa/)

_2026-08-18 · Hubert Kiwale · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema ukarabati wa Uwanja wa Ndege wa Kigoma umefikia asilimia 67 na unatarajiwa kukamilika Desemba 5, 2026, hatua inayolenga kuimarisha huduma za usafiri wa anga na kuchochea shughuli za kiuchumi mkoani humo Akizungumza na waandishi wa habari Agosti 15, 2026, wakati akikagua maendeleo ya mradi huo,... The post “UKARABATI WA KIWANJA CHA…

## [NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA BWAWA LA JULIUS NYERERE YA CHALINZE &#8211; DODOMA IMEKAMILIKA: MRAMBA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/njia-ya-kusafirisha-umeme-kutoka-bwawa-la-julius-nyerere-ya-chalinze-dodoma-imekamilika-mramba/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI WETU KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma imekamilika hatua itakayowezesha umeme unaozalishwa katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) kufika Dodoma kupitia Chalinze. Mramba ameyasema hayo leo, Agosti 18, 2026, akikagua hatua \[…\]

## [Polisi ya Rwanda Yatangaza Ajira kwa Maofisa Cadet](https://rubanda.rw/Polisi-ya-Rwanda-Yatangaza-Ajira-kwa-Maofisa-Cadet)

_2026-08-18 · Chief Editor · amakuru agezweho &#45; INKURU ZIHERUKA_

Polisi ya Rwanda imetangaza kuwa inaanza kupokea maombi ya vijana wanaotaka kujiunga na Polisi katika ngazi ya Ofisa (Cadet). Waombaji wanatakiwa kujaza na kuwasilisha maombi yao mtandaoni (Online) kuanzia 19 Agosti 2026 hadi 31 Agosti 2026.

## [SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA AFUA ZA UKIMWI NCHINI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/serikali-kuendelea-kuimarisha-afua-za-ukimwi-nchini/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu, MWANZA SERIKALI imesema imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za ukimwi nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza ushirikiano na wadau katika kuendeleza mapambano dhidi ya virusi hivyo. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, alipotembelea na \[…\]

## [Point once, get highlights (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/RCYFiye7cMzP)

_2026-08-18 · **Sponsored**_

Get minutes worth watching from a whole game — point once

## [FVS MWAROBAINI TLP KUPUNGUZA MAKOSA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/fvs-mwarobaini-tlp-kupunguza-makosa/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

ABDUL DUNIA Na NASRA KITANA WAKATI mechi za mzunguko wa kwanza Ligi Kuu Tanzania Bara, msimu huu, zikimalizika mwisho mwa wiki, Teknolojia ya Usaidizi wa Video (FVS), imeelezwa inaweza kuwa tiba ya makosa ya waamuzi na kuleta usawa kwa timu katika kuamua matukio uwanjani. FVS ilianza kutumika katika mechi ya Ngao ya Jamii, iliyochezwa wiki \[…\]

## [MKUCHIKA, LUBINGA, MNDOLWA WASIFU USHIRIKIANO CCM, SWAPO](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/17/mkuchika-lubinga-mndolwa-wasifu-ushirikiano-ccm-swapo/)

_2026-08-17 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na SIMON NYALOBI BAADHI ya wanasiasa wakongwe nchini, wamesema ushirikiano baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vya ukombozi Kusini mwa Afrika, umezidi kuimarika. Waliyasema hayo zikiwa ni siku chache baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, kufanya mazungumzo na Katibu wa Chama cha SWAPO cha Namibia, Sophia Shaningwa. Dk. Migiro na \[…\]

## [Tanzania yahitaji rasilimali watu wenye afya na vijana wenye fursa](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/tanzania-yahitaji-rasilimali-watu-wenye-afya-na-vijana-wenye-fursa/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Tanzania inahitaji rasilimali watu wenye afya bora, vijana wanaopata fursa na sekta binafsi inayowajibika ili kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Hemed alisema hayo kwa niaba ya Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Lameck Nchemba, wakati wa \[…\] The post Tanzania yahitaji rasilimali watu…

## [Kirehe: Umugabo yapfuye azize isake](https://rubanda.rw/kirehe-umugabo-yapfuye-azize-isake)

_2026-08-17 · Chief Editor · amakuru agezweho &#45; INKURU ZIHERUKA_

Mu karere ka Kirehe mu Murenge wa Mushikiri Akagari ka Rwanyamuhanga, Umugabo witwa MANIRAGUHA Jean Claude w'imyaka 49 yishwe n'umugore we witwa UBURIYEMUYE Theophile ufite imyaka 48, amuziza ko yagurishije isake akajya kuyanywera Pirimusi.

## [TANTRADE YASHIRIKI MAONESHO YA WAKULIMA ZANZIBAR](https://pesatu.co.tz/tantrade-yashiriki-maonesho-ya-wakulima-zanzibar/)

_2026-08-17 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

TANTRADE YASHIRIKI MAONESHO YA WAKULIMA ZANZIBAR.Hafla ya ufungaji wa Maonesho ya Wakulima Zanzibar imekamilika kwa mafanikio makubwa, ikishuhudia msukumo mpya katika kuimarisha sekta ya kilimo na biashara nchini. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imeshiriki kikamilifu katika hafla hii muhimu iliyoadhimisha miaka kumi ya maonesho hayo, ikionyesha mchango wake mkubwa katika…

## [UJENZI WA MELI MPYA NA CHELEZO KIGOMA KUFUNGUA SOKO LA BIASHARA KIMATAIFA- WAZIRI MBARAWA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/17/ujenzi-wa-meli-mpya-na-chelezo-kigoma-kufungua-soko-la-biashara-kimataifa-waziri-mbarawa/)

_2026-08-17 · Hubert Kiwale · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema uwekezaji wa kampuni ya kizawa ya Dar es Salaam Merchant Group katika ujenzi wa chelezo na meli mpya mkoani Kigoma utaongeza uwezo wa Tanzania kujenga na kukarabati meli nchini, huku ukifungua fursa za biashara na huduma za ujenzi wa meli kwa nchi zinazozunguka Ziwa Tanganyika,... The post UJENZI WA MELI MPYA NA CHELEZO KIGOMA…

## [TIB Rasilimali Yaongeza Elimu ya Uwekezaji kwa Wananchi](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/tib-rasilimali-yaongeza-elimu-ya-uwekezaji-kwa-wananchi/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KAMPUNI ya TIB Rasilimali Limited imeendelea kutoa elimu ya uwekezaji kwa wananchi kupitia programu yake ya Rasilimali Academy, ikiwa na lengo la kuongeza uelewa kuhusu fursa za uwekezaji katika hisa, hati fungani, mifuko ya uwekezaji wa pamoja na masuala ya usimamizi wa fedha binafsi. Akizungumza kuhusu mpango huo, Mkurugenzi Mkuu \[…\] The post TIB Rasilimali…

## [DCEA yateketeza ekari 603 za bangi mvomero](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/dcea-yateketeza-ekari-603-za-bangi-mvomero/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Morogoro MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza ekari 603 za mashamba ya bangi na kukamata magunia 49 ya bangi katika operesheni maalum iliyofanyika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, huku watuhumiwa 13 wakikamatwa kuhusisiana na mashamba hayo. Operesheni hiyo iliyofanyika katika vijiji vya Misengele, Lugenge, Kisaki na Nyarutanga, \[…\] The post…

## [TIB yaunga mkono ajenda ya Nishati Safa kuelekea 2050](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/tib-yaunga-mkono-ajenda-ya-nishati-safa-kuelekea-2050/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SAFARI ya mageuzi ya kiuchumi kuelekea Dira ya Taifa 2050 imeanza kushika kasi, huku mijadala kuhusu vichocheo vya uchumi ikiendelea kupewa uzito mkubwa nchini. Miongoni mwa matukio yaliyoibua mjadala huo ni Tamasha la Kizimkazi 2026, lililofanyika kusini mwa Unguja na kukutanisha viongozi wakuu wa serikali, taasisi na wadau mbalimbali wa maendeleo. \[…\] The post TIB…

## [MAKALA; KWANINI UNAWEZA KUAMBIWA NDEGE IMEJAA ILA VITI VIKO TUPU NA HAVINA ABIRIA?](https://www.habarika24.co.tz/2026/08/makala-kwanini-unaweza-kuambiwa-ndege.html)

_2026-08-16 · www.habarika24.blogspots.com · Habarika24_

. VIDEO YA MAKALA 👇👇 MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA-TCAA Kwanini Ndege inaweza kuwa na viti vya abiria vilivyo wazi lakini ikaelezwa kwamba Ndege Imejaa? Umewahi kusafiri na ndege ya abiria halafu ukakuta baadhi ya viti vipo wazi bila abiria lakini ukaambiwa ndege imejaa? Leo Tunakuletea Ufafanuzi na elimu ya kutosha kuhusu Hali hiyo. TCAA

## [NMB YATIA NGUVU TAMASHA LA KIZIMKAZI](https://pesatu.co.tz/nmb-yatia-nguvu-tamasha-la-kizimkazi/)

_2026-08-15 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

NMB yatia nguvu Tamasa la Kizimkazi.Benki ya NMB imehitimisha rasmi ushiriki wake wa kihistoria katika Tamasha la Kizimkazi 2026 visiwani Zanzibar, huku ikionyesha dhamira ya dhati ya kuendelea kuunganisha wananchi na huduma za kifedha za kisasa pamoja na fursa za kipekee za kukuza biashara na uwekezaji. Tamasha hili maarufu, lililofikia kilele chake Agosti 14, 2026...

## [Rais Dkt. Samia anatarajia kuzindua JNHPP Agosti, 22 2026](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/15/rais-dkt-samia-anatarajia-kuzindua-jnhpp-agosti-22-2026/)

_2026-08-15 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiakuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) Agosti,22 2026 katika eneo la mradi Rufiji, Mkoa wa Pwani. JNHPP ni miongoni mwa miradi mikubwa na ya kimkakati katika historia ya sekta ya nishati nchini.Kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115 za \[…\] The post Rais Dkt. Samia anatarajia kuzindua…

## [Senderi yiteguye kwamagana Ingufu Gin](https://rubanda.rw/senderi-yiteguye-kwamagana-ingufu-gin)

_2026-08-14 · Chief Editor · amakuru agezweho &#45; INKURU ZIHERUKA_

Umuhanzi Eric Senderi Nzaramba yatangaje ko yiteguye igihe cyose abayobozi ba mugana bakamuha umurongo yakora Ubukangurambaga bwamagana inzoga zitujuje ubuziranenge.

## [MIRADI YA MAENDELEO KUSINI UNGUJA YAPATIWA MSUKUMO](https://pesatu.co.tz/miradi-ya-maendeleo-kusini-unguja-yapatiwa-msukumo/)

_2026-08-14 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

Miradi ya maendeleo kusini unguja yapatiwa Msukumo. Kipindi cha ushereheshaji wa utamaduni, fursa za kiuchumi, na mshikamano wa kijamii kimefikia kilele chake kikiwa na ujumbe mzito wa maendeleo na uwajibikaji. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka kwa dhati wananchi wa Kizimkazi na maeneo yote ya Mkoa wa Kusini...

## [Samia: Mimi ndiye mwenye dhamana kuu ya uongozi wa nchi](https://rubanda.rw/samia-mimi-ndiye-mwenye-dhamana-kuu-ya-uongozi-wa-nchi)

_2026-08-14 · Chief Editor · amakuru agezweho &#45; INKURU ZIHERUKA_

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa kauli inayozua mjadala kuhusu nafasi yake ya uongozi na mamlaka ndani ya Serikali, akisisitiza kuwa yeye ndiye mwenye dhamana kuu ya uongozi wa nchi.

## [Guinness World Records Yamtunuku Erling Haaland Vyeti kwa Rekodi Nne za Kipekee](https://ngasumedia.co.ke/guinness-world-records-yamtunuku-erling-haaland-vyeti-kwa-rekodi-nne-za-kipekee/)

_2026-08-13 · ngasumedia · NGASU NEWS_

Guinness World Records imemtunuku mshambuliaji wa Manchester City, Erling Haaland, vyeti vinne vya kutambua rekodi mbalimbali alizoweka katika soka, wakati msimu mpya wa Ligi Kuu ya England ukikaribia kuanza. Haaland ametambuliwa kwa rekodi hizi: Haaland, mwenye umri wa miaka 26, sasa anaendelea kuongeza rekodi katika historia ya soka huku akijiandaa kuanza msimu mwingine akiwa na \[…\] The post…

## [RIB yaonyesha watu 18 waliokamatwa, akiwemo Prof. Emile Bienvenu](https://rubanda.rw/rib-yaonyesha-watu-18-waliokamatwa-akiwemo-prof-emile-bienvenu)

_2026-08-13 · Chief Editor · amakuru agezweho &#45; INKURU ZIHERUKA_

Idala ya Upelelezi wa Jinai (RIB) imewaonesha watu 18 waliokamatwa, akiwemo Prof. Emile Bienvenu, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa ya Rwanda (Rwanda FDA).

## [SERIKALI YATANGAZA KUANZA KUKAGUA MIKATABA YA MADINI](https://pesatu.co.tz/serikali-yatangaza-kuanza-kukagua-mikataba-ya-madini/)

_2026-08-13 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

Serikali yatangaza kuanza kukagua Mikataba ya Madini.Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imechukua hatua madhubuti na za kimkakati zenye lengo la kuleta uwazi, haki, na tija katika usimamizi wa rasilimali za madini nchini. Katika muendelezo wa jitihada hizo, Wizara ya Madini imetangaza rasmi maandalizi ya operesheni maalum ya ukaguzi wa mikataba ya msaada wa...

## [MITAMBO YA KUCHENJUA DHAHABU KUTENGEWA KUTENGEWA ENEO LAKE](https://pesatu.co.tz/mitambo-ya-kuchenjua-dhahabu-kutengewa-eneo-lake/)

_2026-08-13 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

Mitambo ya Kuchenjua dhahabu kutengewa eneo lake.Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kimkakati katika kupanga mji na kulinda afya za wakazi wake, huku ikiimarisha sekta ya uchimbaji na uchenjuaji wa madini. Katika kikao cha kawaida cha Baraza la Madiwani cha Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, Hoja nzito imeibuliwa ikitaka eneo maalum...

## [Kafulila kuongoza mhadhara wa umma kuhusu nafasi ya ubia (PPP) katika maendeleo ya watu](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/12/kafulila-kuongoza-mhadhara-wa-umma-kuhusu-nafasi-ya-ubia-ppp-katika-maendeleo-ya-watu/)

_2026-08-12 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

KITUO cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre) kinatarajiwa kufanya mhadhara wa umma utakaolenga kujadili mchango wa ubia kati ya sekta umma na sekta binafsi katika kuchochea maendeleo ya watu na uchumi wa taifa. Mhadhara huo utaongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa PPP Centre, Mhe. David Kafulila ukiwa umebeba mada ya \[…\] The post Kafulila kuongoza mhadhara wa umma kuhusu nafasi…

