# kwa (audio feeds) — RSS Amplifier

Recent posts from the 11 feeds in the RSS Amplifier directory that cover kwa.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/kwa/audio>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/kwa/audio.md>

---

## [21 AGOSTI 2026](https://news.un.org/feed/view/sw/audio/2026/08/1193075)

_2026-08-21 · Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu_

Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nduha anakuletea-Julien Harneis, Mratibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Ebola amesema nchini DRC “Katika miezi mitatu iliyopita watu 2,500 wamekufa na nusu yao wamekufa katika kipindi cha siku tatu zilizopita na mlipuko unaendelea kusambaa zaidi, hivi sasa umesambaa katika eneo lenye ukubwa sawa na nchi ya Ufaransa.”-Hali ya ukosefu wa fedha…

[Listen](https://news.un.org/feed/listen/1193075/sw/sites/default/files/audio/2026/08/un-daily-news-156-2026.mp3)

## [Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango](http://www.bbc.co.uk/programmes/p0p5k9j2)

_2026-08-20 · Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango_

Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango

[Listen](http://open.live.bbc.co.uk/mediaselector/6/redir/version/2.0/mediaset/audio-nondrm-download-rss-low/proto/http/vpid/p0p5k98g.mp3)

## [20 Agosti 2026](https://news.un.org/feed/view/sw/audio/2026/08/1193068)

_2026-08-20 · Anold Kayanda · Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu_

Tume ya UN: Uchaguzi Sudan Kusini usigeuke kuwa uwanja mwingine wa mapiganoWFP yaongeza operesheni za msaada kwa manusra wa teteko la ardhi ColombiaUmoja wa Mataifa na Sudan Kusini waimarisha maandalizi dhidi ya Ebola

[Listen](https://news.un.org/feed/listen/1193068/sw/sites/default/files/audio/2026/08/1-un-daily-news-155-long.mp3)

## [Uchaguzi nchini Zambia, upinzani yalalamikia matokeo ya uchaguzi](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260819-uchaguzi-nchini-zambia-upinzani-yalalamikia-matoke-ya-uchaguzi?GJlXzGgqHj)

_2026-08-19 · Habari RFI-Ki_

Nchini Zambia, Rais Hakainde Hichilema, amechaguliwa kwa muhula wa pili, akimshinda mpinzani wake wa Karibu Brian Mundubile. Hata hivyo kumeshuhudiwa malalamiko ya dosari kadhaa ikiwemo udanganyifu, wizi wa kura na vitisho, mambo yanayoripotiwa wakati wa chaguzi nyingi barani Afrika.s

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/APPELS_ACTU_19-08-26.mp3?guid=ab033668-9be2-11f1-a7fe-db73b9e8d481&source=GJlXzGgqHj)

## [19 AGOSTI 2026](https://news.un.org/feed/view/sw/audio/2026/08/1193062)

_2026-08-19 · UN News/ Flora Nducha · Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu_

Leo katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataofa Flora Nducha anakuletea --Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wahudumu wa Kibinadamu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka kuwalinda wahudumu wa kibinadamu wanaotoa msaada wa kuokoa maisha katika maeneo yenye migogoro-Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu na Misaada ya…

[Listen](https://news.un.org/feed/listen/1193062/sw/sites/default/files/audio/2026/08/un-daily-news-154-2026.mp3)

## [Kuna uwezekano wa asilimia 81 Afrika kukumbwa na hali ya hewa ya Elnino](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260818-kuna-uwezekano-wa-asilimia-81-afrika-kukumbwa-na-hali-ya-hewa-ya-elnino?GJlXzGgqHj)

_2026-08-18 · Habari RFI-Ki_

Ripoti ya wataalam wa hali ya hewa imeonya kuwa Afrika inakabiliwa na uwezekano wa aslimia 81 wa kukumbwa na hali ya hewa ya El Nino. Katika ripoti hiyo, eneo la Kusini mwa Afrika linatarajiwa kukumbwa na

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/HABARI_RAFIKI_18-08-26_OK.mp3?guid=958b8d1e-9b13-11f1-bd0b-7fb2265490de&source=GJlXzGgqHj)

## [JIFUNZE KISWAHILI - NENO KARAKARA](https://news.un.org/feed/view/sw/audio/2026/08/1193054)

_2026-08-18 · UN News/ Flora Nducha · Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu_

Sasa umewadia wasaa wa kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "KARAKARA"

[Listen](https://news.un.org/feed/listen/1193054/sw/sites/default/files/audio/2026/08/jifunze-kiswahili-karakara-onni-sigalla.mp3)

## [18 AGOSTI 2026](https://news.un.org/feed/view/sw/audio/2026/08/1193053)

_2026-08-18 · Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu_

Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea-Leo WHO imefanya mkutano wa pili wa kamati ya dharura ya kanuni za afya za Kimataifa mjini Geneva Uswisi kutathmini kuhusu mlipuko wa virusi vya Ebola aina ya Bundibugyo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC.-WHO pia imezungumza na waandshi wa habari DRC katika jitihada za kupambana na Ebola na pia kuhakikisha jamii…

[Listen](https://news.un.org/feed/listen/1193053/sw/sites/default/files/audio/2026/08/un-daily-news-153-2026.mp3)

## [Vuguvugu la upinzani nchini DRC C64 kutangaza kufanya maandamano Septemba 15](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260818-vuguvugu-la-upinzani-nchini-drc-c64-kutangaza-kufanya-maandamano-septemba-15?GJlXzGgqHj)

_2026-08-18 · Habari RFI-Ki_

Mwishoni mwa juma lililopita, upinzani nchini DRC kupitia vuguvugu la C64 ulitangaza kuwa utafanya maandamano Septemba 15 kupinga mchakato wa marekebisho ya katiba. Tangazo lao walilitoa baada ya muda waliokuwa wameutoa kwa Rais Felix Tshisekedi kuitisha mazungumzo ya kitaifa kupita.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/HABARI_RAFIKI_17-08-26_OK.mp3?guid=590e3e82-9b12-11f1-9f33-8b1d9630ab60&source=GJlXzGgqHj)

## [Kwa nini bima ya afya ya msafiri ni sharti muhimu kwa mataifa ya Afrika](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260818-kwa-nini-bima-ya-msafiri-ni-sharti-muhimu-kwa-mataifa-ya-afrika?GJlXzGgqHj)

_2026-08-18 · Siha Njema_

Umuhimu wa bima ya afya kwa wasafiri ni pamoja na kupunguza gharama kwa taifa mwenyeji haswa wakati huu nchi nyingi hususan za Afrika zinashuhudia ongezeko la milipuko wa magonjwa ya milipuko Sharti hilo pia linatoa fursa kwa nchi kuboresha mifumo ya afya ili kukidhi mahitaji ya wasafiri wanaohitaji huduma za afya kwa nchi wanazozitembelea.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/SIHA_NJEMA_18-08-26_OK.mp3?guid=c3cf0fac-9ad7-11f1-925a-5b2668a9d0ce&source=GJlXzGgqHj)

## [Marketplace for AI-Powered Professionals (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/ow4DwtMMVPFK)

_2026-08-18 · **Sponsored**_

Find professionals who use ChatGPT, Copilot, and Claude to deliver work faster.

## [Sudan Kusini : Wakimbizi wako hatarini kukosa chakula yasema UN](https://news.un.org/feed/view/sw/audio/2026/08/1193049)

_2026-08-17 · Leah Mushi/ Feisal Kirwa · Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu_

Zaidi ya wakimbizi na waomba hifadhi 650,000 nchini Sudan Kusini wako katika hatari ya kupoteza msaada muhimu wa chakula na lishe kutokana na ukosefu mkubwa wa fedha, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, WFP, na lile linalohusika na masuala ya wakimbizi UNHCR zimeonya. Kupunguzwa kwa msaada kunaweza kuwaathiri wakimbizi 240,000 ndani ya wiki chache, wakati nchi hiyo yenyewe…

[Listen](https://news.un.org/feed/listen/1193049/sw/sites/default/files/audio/2026/08/3.mp3)

## [FAO yawezesha wanawake na vijana katika sekta ya mwani Zanzibar](https://news.un.org/feed/view/sw/audio/2026/08/1193048)

_2026-08-17 · Leah Mushi / Assumpta Massoi · Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu_

Nchini Tanzania hususan visiwani Zanzibar, Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, (FAO) tangu mwaka 2019, kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wanaimarisha sekta ya mwani, kwa kuwekeza katika mafunzo yanayolenga kuongeza uzalishaji, tija na kipato. Miongoni mwa walionufaika zaidi ni vikundi vya wanawake, ambavyo vimejengewa uwezo kuhusu mbinu bora za uzalishaji,…

[Listen](https://news.un.org/feed/listen/1193048/sw/sites/default/files/audio/2026/08/2_0.mp3)

## [Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango ,Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango](http://www.bbc.co.uk/programmes/p0p50kjm)

_2026-08-17 · Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango_

Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango

[Listen](http://open.live.bbc.co.uk/mediaselector/6/redir/version/2.0/mediaset/audio-nondrm-download-rss-low/proto/http/vpid/p0p50g4d.mp3)

## [Licha ya changamoto mijini, Somalia yafanikisha kampeni ya chanjo ya polio](https://news.un.org/feed/view/sw/audio/2026/08/1193047)

_2026-08-17 · Leah Mushi/ Flora Nducha · Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu_

Zoezi la siku tano la utoaji chanjo dhidi ya polio limekamilika katika mkoa wa Banadir nchini Somalia, likiwafikia watoto zaidi ya 122,000 walio chini ya umri wa miaka mitano. Kampeni hiyo imeendeshwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Somalia, mashirika ya Umoja wa Mataifa na wadau wengine. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Flora Nducha.(TAARIFA YA FLORA NDUCHA)Kampeni hiyo imetekelezwa katika wilaya…

[Listen](https://news.un.org/feed/listen/1193047/sw/sites/default/files/audio/2026/08/1.mp3)

## [17 AGOSTI 2026](https://news.un.org/feed/view/sw/audio/2026/08/1193044)

_2026-08-17 · Leah Mushi · Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu_

Karibu usikilize jarida la habari za UN ambalo leo habari zake zote zimetoka barani Afrika. Utasikia kuhusu juhudi za kutoa chanjo wa watoto wenye umri wa chini ya miaka 5 huko nchini Somalia.Utasikia namna FAO inavyowasaidia wananchi huko Zanzibar kuongeza ubora wa zao la Mwani.Na mwisho utasikia ufinyu wa bajeti unavyoathiri utoaji wa misaada ya kibinadamu nchini Sudan Kusini.

[Listen](https://news.un.org/feed/listen/1193044/sw/sites/default/files/audio/2026/08/un-daily-news-152-1.mp3)

## [Malawi na Cameroon zatinga fainali michuano ya WAFCON 2026 nchini Morocco](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260815-malawi-na-cameroon-zatinga-fainali-michuano-ya-wafcon-2026-nchini-morocco?GJlXzGgqHj)

_2026-08-15 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyoangazia leo ni pamoja na uchambuzi wa matokeo na matukio ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kina dada inayofikia tamati wikendi hii, mechi za kufuzu kombe la dunia la basketboli chini ya miaka 18, Kenya yawasilisha nia ya kuandaa mashindano ya dunia ya riadha 2029. Je, Yanga itatetea ubingwa wa ligi kuu Tanzania baada ya kushinda ngao ya jamii?, PSG yashinda taji la UEFA Super Cup, tetesi za…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/jukwaa_15th_aug_2026.mp3?guid=ebfa9d3a-98c4-11f1-85ee-d7c37b4cc29f&source=GJlXzGgqHj)

## [Tanzania: Muziki wa reggae Asilia na Ramadhani Yahaya Shaaban](https://www.rfi.fr/sw/makala/nyumba-ya-sanaa/20260815-tanzania-muziki-wa-reggae-asilia-na-ramadhani-yahaya-shaaban?GJlXzGgqHj)

_2026-08-15 · Nyumba ya Sanaa_

Ramadhani Yahaya Shaaban Mwanamuziki wa Reggae aliyechanganya na Vionjo vya kabilala Wazaramo anajivunia sanaa ya Muziki wa Asili Tanzania.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/NYUMBA_YA_SANAA_Kuhusu_MUZIKI_WA_REGGAE_ASILIA_15AUG2026.mp3?guid=48c557be-9891-11f1-a139-f70db041340a&source=GJlXzGgqHj)

## [Uchaguzi wa nchini Zambia, siasa za DRC, Kenya naTanzania kushika kasi](https://www.rfi.fr/sw/makala/mtazamo-wako-kwa-yaliyojiri-wiki-hii/20260815-uchaguzi-wa-nchini-zambia-siasa-za-drc-kenya-natanzania-kushika-kasi?GJlXzGgqHj)

_2026-08-15 · Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii_

Uchaguzi wa urais na wabunge ulivyofanyika nchini Zambia wiki hii, na sasa wananchi wanasubiri matokeo rasmi, baada ya vurugu za siku ya Ijumaa, rais wa Kenya William Ruto aliongoza mazungumzo kuhusu ruwaza ya Kenya 2060, muungano wa upinzani nchini DRC watishia kuitisha maandamano kupinga marekebisho ya katiba; tutaangazia siasa za Tanzania, Sudan, Washington kuiwekea vikwazo Iran kuhusu udhibiti…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/SEMAINE_MONDE_15-08-26.mp3?guid=b08f0e76-987d-11f1-b739-65b2820ed99c&source=GJlXzGgqHj)

## [14 agosti 2026](https://news.un.org/feed/view/sw/audio/2026/08/1193039)

_2026-08-14 · Leah Mushi · Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu_

Karibu kusikiliza jarida ambapo leo utasikia mahojiano na kijana kutoka nchini Kenya Feisal Kirwa aliyekuwa akishiriki mafunzo kwa Vitendo katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani kwa muda wa miezi sita na sasa amehitimu mafunzo hayo. Pia utapata fursa ya kusikiliza muhtasari wa habari.

[Listen](https://news.un.org/feed/listen/1193039/sw/sites/default/files/audio/2026/08/jarida-raw-14-agosti-2026-ijumaa.mp3)

## [13 AGOSTI 2026](https://news.un.org/feed/view/sw/audio/2026/08/1193032)

_2026-08-13 · UN News/ Flora Nducha · Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu_

Katika jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea-Harakati za kutokomeza Ebola ya virusi vya Bundibugyo huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, zinakumbwa na mkwamo kwani wananchi wamesema wanahitaji sio tu matibabu dhidi ya ugonjwa huo, bali pia maji, chakula, matibabu ya malaria, chanjo na huduma za afya uzazi, mama na mtoto.-hirika la Umoja wa Mataifa…

[Listen](https://news.un.org/feed/listen/1193032/sw/sites/default/files/audio/2026/08/un-daily-news-150-2026.mp3)

## [Transcript-Driven Stock Discovery (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/6EnFVwZEzalc)

_2026-08-13 · **Sponsored**_

Ranked, evidence-backed watchlists from indexed executive transcripts for 1–2 quarter horizons

## [12 AGOSTI 2026](https://news.un.org/feed/view/sw/audio/2026/08/1193027)

_2026-08-13 · Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu_

Katika Jarida la habari hii leo Flora Nducha anakuletea-Leo ni Siku ya vijana Duniani Umoja wa Mataifa wasisitiza umuhimu wa kuwasikiliza, kuwapa fursa na kuwasaidia vijana kuchangia na kushamiri katika jamii-Ripoti ya shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi duniani, ILO kuhusu ajira kwa kundi la vijana inasema ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana duniani umeongezeka, huku ukuaji dhaifu wa uchumi na…

[Listen](https://news.un.org/feed/listen/1193027/sw/sites/default/files/audio/2026/08/un-daily-news-149-26.mp3)

## [Je, Nchi Inaweza Kuendelea Bila Dira ya Maendeleo?](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260812-je-nchi-inaweza-kuendelea-bila-dira-ya-maendeleo?GJlXzGgqHj)

_2026-08-12 · Gurudumu la Uchumi_

Msikilizaji taifa linaweza kuishi siku moja baada ya nyingine bila kujua linaelekea wapi. Lakini taifa linalotaka kujenga uchumi imara, ajira bora na maisha bora kwa wananchi wake, linahitaji zaidi ya mipango ya leo, kwa kifupî linahitaji dira. Kwenye makala ya wiki hii tunaangazia dira ya taifa ni nini.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/MAG_ECONOMIE_12-08-26.mp3?guid=d106a06c-964b-11f1-aeb0-7d99e01fd3b0&source=GJlXzGgqHj)

## [Amakuru ya Gahuzamiryango](http://www.bbc.co.uk/programmes/p0p3yc1y)

_2026-08-11 · Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango_

Amakuru yo ku wa kabiri, tariki 11/08/2026 kuri BBC Gahuzamiryango.

[Listen](http://open.live.bbc.co.uk/mediaselector/6/redir/version/2.0/mediaset/audio-nondrm-download-rss-low/proto/http/vpid/p0p3ybhb.mp3)

## [Tume Huru ya Uchaguzi nchini Kenya, yatoa kanuni mpya za ufadhili wa kampeni](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260811-tume-huru-ya-uchaguzi-nchini-kenya-yatoa-kanuni-mpya-za-ufadhili-wa-kampeni?GJlXzGgqHj)

_2026-08-11 · Habari RFI-Ki_

Mwaka mmoja kuelekea uchaguzi mkuu nchini Kenya, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, imetoa kanuni mpya za ufadhili wa kampeni za wagombea mbalimbali.Mgombea urais atatakiwa kutumia kiasi cha shilingi za Kenya zisizozidi Bilioni 6 huku vyama vya siasa vikitakiwa kutokuvuka matumizi ya bilioni 25 za Kenya.Tumemuuliza mskilizaji ,anazungumzia vipi kanuni hii ?na nchini mwake , kuna utaratibu kama…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/HABARI_RAFIKI_11_08_2026_KENYA.mp3?guid=9e33eab6-959f-11f1-8189-41de3659ab5f&source=GJlXzGgqHj)

## [Unaweza kuendelea kunyonyesha hata baada ya kutenganishwa kwa muda na mwanao](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260811-unaweza-kuendelea-kunyonyesha-hata-baada-ya-kutenganishwa-kwa-muda-na-mwanao?GJlXzGgqHj)

_2026-08-11 · Siha Njema_

Imani kuwa mama na mtoto wanapotenganishwa inaweza kuathiri ubora wa maziwa ya mama inapotosha. Watalaam wanasisitiza maziwa ya mama hayawezi kuharibika kwenye titi. Aidha kunyonyesha kwa uaminifu kunaweza kukuepusha na saratani na mbinu pia ya kupanga uzazi.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/SIHA_NJEMA_11-08-26_OK.mp3?guid=c76cdf08-957e-11f1-99a3-7b9dab358cb5&source=GJlXzGgqHj)

## [Kenya: Familia hatarini kutokana na kupanda kwa kiwango cha maji ziwa Naivasha](https://www.rfi.fr/sw/makala/mazingira-leo-dunia-yako-kesho/20260810-kenya-familia-hatarini-kutokana-na-kupanda-kwa-kiwango-cha-maji-ziwa-naivasha?GJlXzGgqHj)

_2026-08-10 · Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho_

Familia katika kijiji cha Kihoto mjini Naivasha, zimeendelea kutaabika kutokana na athari za kupanda kwa kiwango cha maji kwenye ziwa Naivasha, na kusababisha maji kuingia kwenye kijiji ambayo pia yamesababisha kuenea kwa magugumaji. Nikurejesha nchini kenya, katika eneo la bonde la ufa, ziwa Bogoria, ziwa Baringo na Ziwa Niavasha, ni mfano wa maziwa ambayo yameendelea kushuhudia kupanda kwa kina…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/MAG_DEV_DURABLE_10-08-26.mp3?guid=ca4772d2-94ad-11f1-b853-7d972a30fe03&source=GJlXzGgqHj)

## [WAFCON yaingia mtoano, Rayon mabingwa wa CECAFA, CAF yamuunga mkono Infantino](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260808-wafcon-yaingia-mtoano-rayon-mabingwa-wa-cecafa-caf-yamuunga-mkono-infantino?GJlXzGgqHj)

_2026-08-08 · Jukwaa la Michezo_

Tumeangazia uchambuzi wa matokeo na matukio kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika kina dada inayoingia kwenye mtoano, droo ya michuano ya klabu bingwa, CAF yamuunga mkono rais Infantino, Rayon yashinda ubingwa CECAFA baada ya miaka 28, Simba Day ni leo, mshindi wa medali ya fedha mbio za kutembea mita 10,000 kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola 2026 Stephen Ndangiri apigwa marufuku kwa tuhuma za…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/S_PORTS_MAKALA.mp3?guid=48ffdf34-9327-11f1-bec5-6133779e0a1a&source=GJlXzGgqHj)

## [Mahakama ya haki yaratibu vikao vya kusikiliza kesi iliyowasilishwa na DRC dhidi ya Rwanda](https://www.rfi.fr/sw/makala/mtazamo-wako-kwa-yaliyojiri-wiki-hii/20260808-mahakama-ya-haki-yaratibu-vikao-vya-kusikiliza-kesi-iliyowasilishwa-na-drc-dhidi-ya-rwanda?GJlXzGgqHj)

_2026-08-08 · Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii_

Mahakama ya Kimataifa ya Haki wiki hii iliratibu vikao vya kuskiliza kesi iliyowaislishwa na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo dhidi ya Rwanda, ambapo Kinshasa inaituhumu Kigali kwa kukiuka mikataba minne ya kimataifa ikiwemo mkataba wa mauaji ya kimbari, mkataba wa kupinga mateso na mkataba wa kutokomeza aina zote za ubaguzi dhidi ya wanawake.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/YALIO_JIRIWIKI_HII_08-08-26_OK.mp3?guid=b1ed2b90-9300-11f1-bd87-474c180e1155&source=GJlXzGgqHj)

## [Uchoraji wa pembe (Qubical Drawings) na Maria Magige kutoka Daria Arts](https://www.rfi.fr/sw/makala/nyumba-ya-sanaa/20260808-uchoraji-wa-pembe-qubical-drawings-na-maria-magige-kutoka-daria-arts?GJlXzGgqHj)

_2026-08-08 · Nyumba ya Sanaa_

Uchoraji wa pembe(Qubical Drawings) ni sanaa inayozingatia uwasilishwaji wa ujumbe zaidi kuliko uhalisia wa picha. Katika makala ya Nyumba ya Sanaa juma hili tumezungumza na Maria Magige kutoka Daria Arts.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/NYUMBA_YA_SANAA_08-08-26_OK.mp3?guid=977b9d4c-92ff-11f1-9770-fd0820079880&source=GJlXzGgqHj)

## [Sehemu ya Pili: Hatifungani ni nini na kwanini inakuhusu](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260805-sehemu-ya-pili-hatifungani-ni-nini-na-kwanini-inakuhusu?GJlXzGgqHj)

_2026-08-05 · Gurudumu la Uchumi_

Mara kadhaa tumesikia serikali zetu zikitangaza kuwa zinauza hati fungani za Serikali za muda mfupi na muda mrefu, yaani Government Bonds na Treasury bill, serikali zikikusanya mabilioni ya fedha kutoka kwa wawekezaji. Sasa je, hatifungani ni nini? Je, mwananchi wa kawaida anaweza kuwekeza?

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_05-08-26.mp3?guid=779d9fd0-8b42-11f1-b1b5-550ac6cc2a27&source=GJlXzGgqHj)

## [Browse ThreatCrush Modules (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/FvXS7ww8B1IS)

_2026-08-05 · **Sponsored**_

Install community-built security modules to extend real-time threat intelligence and monitoring

## [Kenya: Uchunguzi wabainisha uwepo wa kemikali hatari kwenye bidhaa za plastiki](https://www.rfi.fr/sw/makala/mazingira-leo-dunia-yako-kesho/20260804-kenya-uchunguzi-wabainisha-uwepo-wa-kemikali-hatari-kwenye-bidhaa-za-plastiki?GJlXzGgqHj)

_2026-08-04 · Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAZINGIRA_LEO_DUNIA_YAKO_KESHO_13-07-26_OK.mp3?guid=72feedf2-8fee-11f1-ab0d-2ddc3fc82d0a&source=GJlXzGgqHj)

## [El Niño: Wataalam waonya kuhusu mvua kubwa, mafuriko na joto la kali](https://www.rfi.fr/sw/makala/mazingira-leo-dunia-yako-kesho/20260803-el-ni%C3%B1o-wataalam-waonya-kuhusu-mvua-kubwa-mafuriko-na-joto-la-kali?GJlXzGgqHj)

_2026-08-03 · Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho_

Hali ya hewa ya El Niño inaendelea kuimarika kwa kasi na inatarajiwa kutawala katika kipindi cha kuanzia mwezi Agosti hadi Oktoba mwaka wa 2026, hali itakayoongeza uwezekano wa viwango vya joto kuzidi wastani katika maeneo mengi ya dunia na kusababisha mabadiliko makubwa katika mifumo ya mvua. Mashirika ya hali ya hewa likiwemo lile la dunia WMO na KMD nchini Kenya, yameongeza utaratibu, huduma za…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/MAG_DEV_DURABLE_03-08-26_OK.mp3?guid=c01c1234-8f55-11f1-a196-f790d80cc44e&source=GJlXzGgqHj)

## [Changamoto za wasichana wanaopata ujauzito wakiwa shuleni](https://www.rfi.fr/sw/makala/jua-haki-zako/20260803-changamoto-za-wasichana-wanaopata-ujauzito-wakiwa-shuleni?GJlXzGgqHj)

_2026-08-03 · Jua Haki Zako_

Utafiti wa punde zaidi uliofanywa na Kituo cha Utafiti wa Idadi ya Watu na Afya barani Afrika (APHRC) unaonyesha kuwa, Kusini mwa Jangwa la Sahara, msichana mmoja kati ya wanne anapata ujauzito kabla ya kufikisha miaka 18. Ingawa sheria na sera katika nchi mbalimbali katika ukanda wa Afrika Mashariki zinatambua haki ya wasichana hao kuendelea na masomo hata baada ya kujifungua, wengi bado…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/MAG_DROITS_HUMAINS_03-08-26_OK.mp3?guid=73f44386-8f50-11f1-b8e4-81cc075b0caa&source=GJlXzGgqHj)

## [Darubini ya mashindano ya Wafcon, Jumuiya ya Madola na Cecafa Kagame Cup](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260801-darubini-ya-mashindano-ya-wafcon-jumuiya-ya-madola-na-cecafa-kagame-cup?GJlXzGgqHj)

_2026-08-01 · Jukwaa la Michezo_

Leo kwenye kipindi tunaangazia WAFCON inayoendelea nchini Morocco - Kenya yaaga mashindano huku Tanzania ikisalia na matumaini lakini Nigeria na Afrika Kusini zimeanza kwa kusuasua, wanariadha wanaendelea kunyakua medali katika mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Scotland, wakati mashindano ya Cecafa Kagame Cup yakiingia nusu fainali.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/jukwaa_01st_aug.mp3?guid=536799ec-8dc5-11f1-887b-9973daf882d0&source=GJlXzGgqHj)

## [Kuzirai kwa kiongozi wa upinzani Uganda, mahakama ya katiba nchini DRC yaamua](https://www.rfi.fr/sw/makala/mtazamo-wako-kwa-yaliyojiri-wiki-hii/20260801-kuzirai-kwa-kiongozi-wa-upinzani-uganda-mahakama-ya-katiba-nchini-drc-yaamua?GJlXzGgqHj)

_2026-08-01 · Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii_

Kinara wa upinzani nchini Uganda azirai akiwa mahakamani, mahakama ya katiba nchini DRC ilisema kwamba sheria iliyopendekezwa kuhusu kuandaa kura ya maoni katika nchi hiyo ni ya kikatiba, seneta wa Nairobi Edwin Sifuna autikisa mwamba wa siasa nchini Kenya kuelekea uchaguzi wa 2027, siasa za Tanzania, Sudan, na Morocco ambako wahamiaji waliamua kuogelea kuvuka kwenda ulaya, uhispania, Washington…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/YALIYOJIRI_WIKI_HII_01-08-26_OK.mp3?guid=064e6570-8d7d-11f1-95d0-f716cf42b3e4&source=GJlXzGgqHj)

## [Tanzania: Uigizaji Radio na Kudra Kwingi](https://www.rfi.fr/sw/makala/nyumba-ya-sanaa/20260801-tanzania-uigizaji-radio-na-kudra-kwingi?GJlXzGgqHj)

_2026-08-01 · Nyumba ya Sanaa_

Uigizaji Radio ni mbinu ya kisanii ya kusimulia hadithi, kutoa elimu, au kuburudisha kwa kutumia sauti pekee , Kudra Kwingi ni Miongoni mwa waigizaji wanawake wa mwanzo nchini tanzania anajivuia sana hii, katika Makala ya Nyumba ya Sanaa utamsikia.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/NYUMBA_YA_SANAA_na_KUDRA_WINGWI_UIGIZAJI_RADIO_01AUG2026.mp3?guid=2b6414ea-8d78-11f1-827f-552e004a9353&source=GJlXzGgqHj)

## [Kwa nini watalaam wanahoji maumivu makali wakati wa hedhi si kawaida](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260731-kwa-nini-watalaam-wanahoji-maumivu-makali-wakati-wa-hedhi-si-kawaida?GJlXzGgqHj)

_2026-07-31 · Siha Njema_

Maumivu wakati msichana au mwanamke anapokuwa kwenye siku zake za hedhi, yanaweza kuwa ya kawaida ila maumivu haya yanapomfanya kushindwa na shughuli za kawaida si kawaida Dkt Dominic Osiemo anasema maumivu haya makali yanaweza kuwa dalili za baadhi ya changamoto za kiafya kama vile Uvimbe au ugonjwa wa Endometriosis.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/SIHA_NJEMA_28-07-26_OK.mp3?guid=38c77424-8cdd-11f1-8c87-0b9b6fc7e5a3&source=GJlXzGgqHj)

## [Hatifungani za serikali na hazina: Kwa nini zinahusu kila mwananchi?](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260729-hatifungani-za-serikali-na-hazina-kwa-nini-zinahusu-kila-mwananchi?GJlXzGgqHj)

_2026-07-29 · Gurudumu la Uchumi_

Mara kadhaa tumesikia serikali zetu zikitangaza kuwa zinauza hati fungani za Serikali za muda mfupi na muda mrefu, yaani Government Bonds na Treasury bill, serikali zikikusanya mabilioni ya fedha kutoka kwa wawekezaji. Sasa je, hatifungani ni nini? Je, mwananchi wa kawaida anaweza kuwekeza?

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_29-07-26.mp3?guid=add5281a-8b3e-11f1-aca8-77c54ba7030c&source=GJlXzGgqHj)

## [Safari ya akina mama wachanga kutafuta uraia wao na watoto wao mipakani Kenya](https://www.rfi.fr/sw/makala/jua-haki-zako/20260728-safari-ya-akina-mama-wachanga-kutafuta-uraia-wao-na-watoto-wao-mipakani-kenya?GJlXzGgqHj)

_2026-07-28 · Jua Haki Zako_

Nchini Kenya changamoto za kupata stakabadhi muhimu kama vile vitambulisho na vyeti vya kuzaliwa zingali zinashuhudiwa miongoni wa raia wake hususan kwenye jamii ambazo zinaishi kaunti za miapakani kama vile Busia ,Turkana na Mandera, hali inayoendelea kuwanyika raia hao haki zao za kimsingi na kukosa huduma muhimu za serikali . Hii leo katika makala Jua haki zako tunaangazia akina mama hao na…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/JUA_HAKI_ZAKO_27-07-26_OK.mp3?guid=717d1330-8a6e-11f1-959b-032336fcdb0b&source=GJlXzGgqHj)

## [Fahamu kuhusu chanzo cha wimbi la joto kali linaloshuhudiwa Ulaya.](https://www.rfi.fr/sw/makala/mazingira-leo-dunia-yako-kesho/20260728-fahamu-kuhusu-chanzo-cha-wimbi-la-joto-kali-linaloshuhudiwa-ulaya?GJlXzGgqHj)

_2026-07-28 · Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho_

Wimbi la joto kali limekumba bara la Ulaya kwa muda sasa, hali iliyosababisha viwango vya juu vya joto katika nchi kadhaa na kusababisha maelfu ya vifo. Zaidi ya watu 300,000 wamehamishwa na angalau mtu mmoja alifariki dunia kutokana na moto wa nyika nchini Ufaransa na Uhispania, huku vikosi vya zimamoto vikipambana na mioto hiyo. Leo katika uchambuzi wetu tunaungana na Daktari Joyce Kimutai,…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAZINGIRA_YAKO_DUNIA_YAKO_KESHO_27-07-26_OK.mp3?guid=f4a4483a-8a6b-11f1-a675-990bbc2b046a&source=GJlXzGgqHj)

## [CAF: Wafcon, mashindano ya jumuiya ya madola na Kombe la Cecafa yaanza](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260725-caf-wafcon-mashindano-ya-jumuiya-ya-madola-na-kombe-la-cecafa-yaanza?GJlXzGgqHj)

_2026-07-25 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyokuandalia leo ni pamoja na kuanza kwa mashindano ya kina dada ya Afcon, Kombe la Cecafa, mashindano ya Jumuiya ya Madola, tetesi za uhamisho Ulaya na Afrika Mashariki, mahakama ya kutatua migogoro duniani kuskiza kesi ya kubaini bingwa wa Afcon 2025 mwezi Oktoba tarehe nane.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/jukwaa_25th_july.mp3?guid=656565c4-8844-11f1-bd06-8df5cb2cc9d2&source=GJlXzGgqHj)

## [Sanaa ya ucheshi na msani Abdul Chacha maarufu headmaster](https://www.rfi.fr/sw/makala/nyumba-ya-sanaa/20260725-sanaa-ya-ucheshi-na-msani-abdul-chacha-maarufu-headmaster?GJlXzGgqHj)

_2026-07-25 · Nyumba ya Sanaa_

Sanaa ya ucheshi wima ni aina ya ucheshi unaotokana na tofauti za hadhi, mamlaka au nafasi za watu katika jamii huku mzaha ukitawala katika kuwasilisha Maudhui, Abdul Chacha maarufu headmaster ni msanii wa sanaa ya ucheshi.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/NYUMBA_YA_SANAA_Kuhusu_UCHESHI_WIMA_na_ABDUL_CHACHA_HEADMASTER_25JULY2026.mp3?guid=00d9022e-87f3-11f1-86ee-e34480b4c363&source=GJlXzGgqHj)

## [Watu zaidi ya 20 kuuawa mashariki mwa DRC, mchakato wa katiba mpya Tanzania](https://www.rfi.fr/sw/makala/mtazamo-wako-kwa-yaliyojiri-wiki-hii/20260725-watu-zaidi-ya-20-kuuawa-mashariki-mwa-drc-mchakato-wa-katiba-mpya-tanzania?GJlXzGgqHj)

_2026-07-25 · Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii_

Shambulio la ADF laua zaidi ya 20 mashariki mwa DRC, ziara ya waziri mkuu Judith Suminwa huko Ituri, gavana wa zamani wa migori akutwa na hatia ya mauaji, huku rais Ruto akionya kuhusu matumizi ya wahuni kwenye mikutano ya kisiasa, siasa za Tanzania, Sudan na rais wa zamani wa Senegal Macky Sall, kuwasilisha maono yake mbele ya baraza la Umoja wa Mataifa, katibu mkuu wa UN Antonio Guteress atoa…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/YALIYOJIRI_WIKI_HII_25-07-26_OK.mp3?guid=10688776-87f0-11f1-a018-e34480b4c363&source=GJlXzGgqHj)

## [Sanaa ya ucheshi na ukuzaji wa vipaji kwa vijana wa Tanzania](https://www.rfi.fr/sw/makala/nyumba-ya-sanaa/20260725-sanaa-ya-ucheshi-na-ukuzaji-wa-vipaji-kwa-vijana-wa-tanzania?GJlXzGgqHj)

_2026-07-25 · Nyumba ya Sanaa_

Sanaa ya ucheshi wima ni aina ya ucheshi unaotokana na tofauti za hadhi, mamlaka au nafasi za watu katika jamii huku Mzaha ukitawala katika kuwasilisha Maudhui, Abdul Chacha maarufu Headmaster ni msanii wa sanaa hiyo Ungana na Steven Mumbi akizungumza na msanii huyo.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/NYUMBA_YA_SANAA_25-07-26_OK.mp3?guid=f0039090-87ed-11f1-89ee-85ad6324ddca&source=GJlXzGgqHj)

## [Migogoro ya kimataifa inavyoathiri uchumi wa wananchi Afrika](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260722-migogoro-ya-kimataifa-inavyoathiri-uchumi-wa-wananchi-afrika?GJlXzGgqHj)

_2026-07-22 · Gurudumu la Uchumi_

Katika Makala haya hivi leo tunajadili uhusiano kati ya siasa za kimataifa na uchumi wa wananchi wa Afrika, mara yingi tunasikia taarifa za vita, migogoro ya kisiasa au mivutano kati ya mataifa makubwa kama Urusi na Ukraine, Mashariki ya Kati, au migogoro inayovuruga usafirishaji wa bidhaa duniani. Kuzungumzia hili, hivi leo nimemualika Safari Fungo, mtaalamu wa masuala ya uchumi, utangamano wa…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_22-07-26.mp3?guid=b3a7fed4-85d5-11f1-8777-c7f48c98c05f&source=GJlXzGgqHj)

## [Changamoto ya wanaume na wanawake kukosa hamu ya tendo la ndoa](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260721-changamoto-ya-wanaume-na-wanawake-kukosa-hamu-ya-tendo-la-ndoa?GJlXzGgqHj)

_2026-07-21 · Siha Njema_

Raia mmoja wa Kenya amefika kwenye bunge la kitaifa nchini Kenya akitaka swala la wanaume na wanawake kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa kuorodheshwa kuwa ulemavu Kwa mujibu wa daktari Dominic Osiemo ,tatizo hilo linachangiwa na maswala kadhaa yakiwemo matumizi ya dawa za kisukari ,shinikizo la damu na msongo wa mawazo.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/SIHA_NJEMA_21-07-26_OK.mp3?guid=7086cafc-851e-11f1-87df-b529d8dcc1bf&source=GJlXzGgqHj)

## [Visa vya kung'atwa na Nyoka vyaongezeka kaunti ya Turkana Nchini Kenya](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260721-visa-vya-kung-atwa-na-nyoka-vyaongezeka-kaunti-ya-turkana-nchini-kenya?GJlXzGgqHj)

_2026-07-21 · Siha Njema_

Kaunti ya Turkana inaongoza nchini Kenya kwa visa vya watu kung'atwa na nyoka. Wataalamu wa afya wanasema mabadiliko ya tabianchi, joto kali na changamoto za upatikanaji wa huduma za afya vinaongeza hatari kwa wakazi wa maeneo mengi ya kaunti hiyo,huku shirika la afya duniani WHO likisema visa vya kuumwa na nyoka vinapuuzwa wakati huu karibia watu 32000 wakifariki kila mwaka kutokana na sumu ya…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/SIHA_NJEMA_14-07-26_OK.mp3?guid=38d06aca-84e5-11f1-81de-1d36bc2bd5dc&source=GJlXzGgqHj)

## [Juhudi za akina mama kuhifadhi fukwe za bahari pwani ya Kenya](https://www.rfi.fr/sw/makala/mazingira-leo-dunia-yako-kesho/20260721-juhudi-za-akina-mama-kuhifadhi-fukwe-za-bahari-pwani-ya-kenya?GJlXzGgqHj)

_2026-07-21 · Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho_

Wakati mataifa mbalimbali duniani yakiongeza juhudi za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi na uchafuzi wa bahari, nchini Kenya akina mama wamejitokeza mstari wa mbele kulinda mazingira. Katika Kaunti ya Mombasa, wameanzisha kampeni ya kupanda miti ya asili na kurejesha uoto uliopotea kwenye maeneo ya pwani. .Hii leo katika makala mazingira leo dunia yako kesho ,tunaangazia juhudi za…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAZINGIRA_LEO_DUNIA_YAKO_KESHO_20-07-26_OK.mp3?guid=06d9234c-84e3-11f1-b9fc-1d36bc2bd5dc&source=GJlXzGgqHj)

## [Ufaransa na Uingereza zaondolewa kwenye nusu fainali Kombe la Dunia](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260718-ufaransa-na-uingereza-zaondolewa-kwenye-nusu-fainali-kombe-la-dunia?GJlXzGgqHj)

_2026-07-18 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyokuandalia leo ni pamoja uchambuzi wa nusu fainali, mechi ya mshindi wa tatu na taarifa kuu kuhusu Kombe la Dunia kuhusu washindi kutuzwa pete pamoja na medali na kombe huku Ballon d'Or yatangaza mchezaji anayecheza nje ya Ulaya ana uwezo wa kushinda tuzo hiyo. Timu ya taifa ya kina dada ya Kenya na Tanzania zasafiri kwa ajili ya Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Morocco, fainali ya Congo Cup…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/jukwaa_18th_july.mp3?guid=a20a6954-82c5-11f1-ae6d-c5cf415204d3&source=GJlXzGgqHj)

## [Sanaa ya muziki wa asili ya walega nchini DRC](https://www.rfi.fr/sw/makala/nyumba-ya-sanaa/20260718-sanaa-ya-muziki-wa-asili-ya-walega-nchini-drc?GJlXzGgqHj)

_2026-07-18 · Nyumba ya Sanaa_

Nyumba ya sanaa juma hili imeangazia umuhimu wa kuwafundisha watoto lugha, usanii wamuziki za asili, na kujenga utamaduni wa kudumisha lugha za asili, mwanahabari wetu Reuben Lukumbuka anazungumza na msanii wa muziki za kilega, kutoka mjini Goma huko mashariki mwa Jamahuri ya kidemokrasia ya Congo Ngolis Mwindulwa Ngoma

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/NYUMBA_YA_SANAA_18-07-26_OK.mp3?guid=6569afd0-8281-11f1-b584-45facf4300bb&source=GJlXzGgqHj)

