# kitaifa (blogs) — RSS Amplifier

Recent posts from the 5 feeds in the RSS Amplifier directory that cover kitaifa.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/kitaifa/blogs>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/kitaifa/blogs.md>

---

## [Rais Samia: JNHPP ndoto ya umeme wa uhakika yatimia](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/22/rais-samia-jnhpp-ndoto-ya-umeme-wa-uhakika-yatimia/)

_2026-08-22 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Rufiji RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema ndoto ya muda mrefu ya Tanzania ya kuwa na chanzo kikubwa na cha uhakika cha nishati imetimia baada ya kukamilika na kuzinduliwa rasmi kwa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP). Amesema kukamilika kwa mradi huo ni uthibitisho wa uwezo wa Tanzania kutekeleza miradi \[…\] The post Rais Samia: JNHPP ndoto ya umeme wa uhakika…

## [HATIMAYE](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/22/hatimaye/)

_2026-08-22 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Waandishi Wetu HATIMAYE ile siku iliyosubiriwa kwa hamu na Watanzania, ni leo, ambayo Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amezindua Bwawa la kihistoria la kuzalisha umeme la Julius Nyerere (JNHHP). JNHPP ni maono ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, aliyoyajenga na waasisi wenzake kuanzia mwaka 1976, hatimaye leo yametimia chini ya uongozi imara wa Rais \[…\]

## [SAFARI KUTOKA STIEGLER’S GORGE HADI BWAWA LA JULIUS NYERERE](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/22/safari-kutoka-stieglers-gorge-hadi-bwawa-la-julius-nyerere/)

_2026-08-22 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Ramadhani Semtawa ILIKUWA ndoto sasa ni halisi. Ndicho kinachoshuhudiwa na kusikika leo, kwa taifa kuzindua mradi mkubwa wa umeme wa Julius Nyerere, ambao awali ulijulikana Stiegler’s Gorge. Ni mradi wa kihistoria unaoendeleza msingi wa taifa kujitegemea, kwani unapunguza utegemezi wa ununuzi wa umeme kutoka nchi jirani na kulifanya taifa kuwa na zaida ya kuuza \[…\]

## [TANZANIA SASA INA ZIADA YA MEGAWATI 2,375 ZA UMEME, KUANZA KUUZA NJE- NDEJEMBI](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/22/tanzania-sasa-ina-ziada-ya-megawati-2375-za-umeme-kuanza-kuuza-nje-ndejembi/)

_2026-08-22 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Rufiji Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema uzinduzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere ni matokeo ya juhudi kubwa za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha mradi huo unakamilika na kuongeza uwezo wa Taifa wa kuzalisha umeme. Ndejembi amesema hayo leo Jumamosi, Agosti 22, 2026, wakati akizungumza... The post TANZANIA SASA INA ZIADA…

## [JNHPP YAONGEZA UMEME,TANZANIA YAGEUKIA FURSA ZA UCHUMI](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/22/jnhpp-yaongeza-umemetanzania-yageukia-fursa-za-uchumi/)

_2026-08-22 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Rufiji TANZANIA imeingia katika hatua mpya ya uzalishaji na matumizi ya nishati baada ya kukamilika kwa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), unaotarajiwa kuongeza upatikanaji wa umeme na kuchochea uwekezaji, viwanda na biashara ndani na nje ya nchi. Mradi huo umeongeza uwezo wa uzalishaji wa umeme nchini na kuiwezesha Tanzania kuwa... The post JNHPP YAONGEZA…

## [ZAIDI YA 95% YA WALIOHUSIKA NA UJENZI BWAWA LA MWALIMU NYERERE NI WATANZANIA- TWANGE](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/22/zaidi-ya-95-ya-waliohusika-na-ujenzi-bwawa-la-mwalimu-nyerere-ni-watanzania-twange/)

_2026-08-22 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Rufiji Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Lazaro Jacob Twange, amesema ujenzi wa Bwawa la Kuzalisha Umeme la Mwalimu Nyerere umewezesha Watanzania kupata ujuzi na uzoefu mkubwa katika utekelezaji wa miradi mikubwa, jambo litakalowaongezea uwezo wa kushindana katika soko la ajira ndani na nje ya nchi. Twange amesema hayo leo Jumamosi,... The post ZAIDI YA…

## [RAIS SAMIA AZINDUA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA JULIUS NYERERE](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/22/rais-samia-azindua-kituo-cha-kuzalisha-umeme-cha-julius-nyerere/)

_2026-08-22 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Rufiji Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Jumamosi Agosti 22, 2026, amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), kilichopo Rufiji, Mkoa wa Pwani. JNHPP ni mradi mkubwa wa kimkakati katika sekta ya nishati nchini, wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115 kupitia mitambo tisa, kila... The post RAIS SAMIA AZINDUA KITUO CHA…

## [DKT. YONAZI AWAKUMBUSHA VIJANA KULINDA AFYA ZAO KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI](https://www.habarika24.co.tz/2026/08/dkt-yonazi-awakumbusha-vijana-kulinda.html)

_2026-08-22 · www.habarika24.blogspots.com · Habarika24_

Na. Mwandishi Wetu - Kazuramimba Kigoma Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dkt. Jim Yonazi, Amewaasa vijana kulinda afya zao na kuepuka tabia hatarishi ili kupunguza maambukizi mapya ya VVU, kwa kuzingatia kuwa ni kundi linaloongoza kuwa hatarini zaidi nchini Tanzania. Dkt. Yonazi ameyasema hayo mwishoni mwa wiki wakati wa ziara…

## [Historia ya Mradi wa JNHPP](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/22/historia-ya-mradi-wa-jnhpp/)

_2026-08-22 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu HAYATI Mwalimu Julius Nyerere ndiye aliyetoa msukumo mkubwa wa awali wa kuendeleza mradi huu katika miaka ya 1970. Serikali yake ilifanya tafiti mbalimbali za kitaalamu na upembuzi yakinifu ili kubaini uwezekano wa kujenga bwawa na kituo kikubwa cha kuzalisha umeme katika eneo la Stiegler’s Gorge. Eneo hilo lilitambuliwa kuwa na uwezo mkubwa \[…\] The post Historia ya Mradi wa…

## [RAIS DK. SAMIA AWASILI JNHPP](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/22/rais-dk-samia-awasili-jnhpp/)

_2026-08-22 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi na viongozi wengine wakati alipowasili katika eneo la Mradi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP). Rais Samia atazindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115 leo... The post RAIS DK. SAMIA AWASILI…

## [Licensed Dispensaries, Pay with Crypto (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/xF4PbzJsjKUF)

_2026-08-22 · **Sponsored**_

Search verified licensed dispensaries and pay with Bitcoin, Lightning, or stablecoins.

## [WANANCHI WAFURIKA KUSHUHUDIA UZINDUZI WA KITUO CHA KIHISTORIA CHA JNHPP](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/22/wananchi-wafurika-kushuhudia-uzinduzi-wa-kituo-cha-kihistoria-cha-jnhpp/)

_2026-08-22 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Rufiji RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 22, 2026 anatarajiwa kuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), kilichopo Rufiji, Mkoa wa Pwani. Kutokana na umuhimu wa kituo hicho hasa katika kuendelea kuchechemu sekta ya nishati nchini kwakupata umeme wa uhakika viongozi mbalimbali... The post WANANCHI WAFURIKA…

## [PROFESA MBARAWA:ENEO LA KUHIFADHIA KONTENA KURASINI KUANZA KAZI NOVEMBA 2026](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/21/profesa-mbarawaeneo-la-kuhifadhia-kontena-kurasini-kuanza-kazi-novemba-2026/)

_2026-08-21 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amesema eneo jipya la kuhifadhia makontena linaloandaliwa kwa upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam (Port Extension) linatarajiwa kuanza kutoa huduma ifikapo Novemba 2026, hatua inayolenga kupunguza msongamano bandarini na kurahisisha upatikanaji wa mizigo kwa wafanyabiashara. Profesa Mbarawa alisema hayo jana wakati wa...…

## [WAZIRI KAIRUKI AITAKA TTCL KUONGEZA KASI YAKUUNGANISHA FIBER MAJUMBANI](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/21/waziri-kairuki-aitaka-ttcl-kuongeza-kasi-yakuunganisha-fib/)

_2026-08-21 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angela Kairuki, ameitaka Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kuongeza kasi ya kuwaunganisha wananchi na intaneti ya mkongo wa nyuzi majumbani (FTTH), huku akilenga huduma hiyo kuwafikia nyumba milioni moja ifikapo Juni 2028. Kairuki alitoa agizo hilo leo Agosti 21, 2026 ,jijini Dar... The post WAZIRI KAIRUKI AITAKA…

## [Benki ya Dunia kufikiria kuunga mkono maboresho ya ziada Bandari ya Dar es Salaam](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/21/benki-ya-dunia-kufikiria-kuunga-mkono-maboresho-ya-ziada-bandari-ya-dar-es-salaam/)

_2026-08-21 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam BENKI ya Dunia imesifu uhusiano kati yake na Tanzania na kusifu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kusimamia vizuri wa utekelezaji wa awamu ya kwanza ya ujenzi na maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam chini ya mpango unaofadhiliwa na benki hiyo. Mpango huo unajulikana kwa jina \[…\] The post Benki ya Dunia kufikiria kuunga mkono maboresho ya ziada…

## [TCAA YAPONGEZWA KWA MABORESHO YA HUDUMA NA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA SEKTA YA ANGA](https://www.habarika24.co.tz/2026/08/itcaa-yapongezwa-kwa-maboresho-ya.html)

_2026-08-21 · www.habarika24.blogspots.com · Habarika24_

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imepongezwa kwa kuendelea kusimamia sekta ya usafiri wa anga kwa ufanisi na kuimarisha utoaji wa huduma kupitia mifumo ya kisasa ya kidijital Pongezi hizo zimetolewa na Waziri wa Uchukuzi Mh. Prof.Makame Mbarawa aliyekuwa mgeni rasmi katika Kongamano la Nne la Kimataifa la Sekta ya Uchukuzi na Usafirishaji, linalofanyika tarehe 20 na 21 Agosti 2026 katika…

## [TUNDU LISSU AKUTWA NA KESI YA KUJIBU](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/tundu-lissu-akutwa-na-kesi-ya-kujibu/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI WETU MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imemkuta Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ana kesi ya kujibu katika shauri la uhaini linalomkabili. Akisoma uamuzi huo Leo Agosti 21, 2026, Jaji Ndunguru, anayeongoza jopo la majaji linalosikiliza shauri hilo, amesema mahakama imejiridhisha kuwa upande wa \[…\]

## [KUNENGE: JNHPP KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME NCHINI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/kunenge-jnhpp-kuimarisha-upatikanaji-umeme-nchini/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Pwani Na Mwamvua Mwinyi MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema uzinduzi wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), utakaofanyika kesho wilayani Rufiji mkoani hapa, ni atua kubwa ya kihistoria katika kuimarisha upatikanaji nishati ya uhakika nchini. Mradi huo wenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme unaotekelezwa kwa asilimia 60 katika \[…\]

## [CCM YATAKA VIONGOZI WASIOYUMBA -WASIRA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/ccm-yataka-viongozi-wasioyumba-wasira/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Iramba NA MWANDISHI WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amekemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya Chama, akisisitiza umuhimu wa kuzingatia haki kwa kutoegemea maslahi binafsi. Amesema CCM inahitaji viongozi wasioyumba katika masuala ya msingi, hivyo wanachama wanapaswa kuwapa uongozi watu wenye sifa za uadilifu. Wasira aliyasema hayo alipozungumza na \[…\]

## [Serengeti awards 2026 usajili wafunguliwa kwa wadau wa utalii](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/20/serengeti-awards-2026-usajili-wafunguliwa-kwa-wadau-wa-utalii/)

_2026-08-20 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WIZARA ya Maliasili na Utalii imetangaza rasmi dirisha la usajili kwa wadau wa uhifadhi na utalii kuwania Serengeti Awards 2026, huku ikiwasisitiza kutumia fursa hiyo kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika uhifadhi wa wanyamapori, maliasili na uendelezaji wa utalii. Dirisha hilo litafunguliwa Agosti 20, 2026 na litafungwa Septemba \[…\] The post Serengeti…

## [PROFESA MBARAWA:SERIKALI HAITAKI TAFITI ZINAZOISHIA KWENYE MAKABRASHA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/20/profesa-mbarawaserikali-haitaki-tafiti-zinazoishia-kwenye-makabrasha/)

_2026-08-20 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amewataka watafiti nchini kuhakikisha tafiti wanazofanya katika sekta ya usafiri na usafirishaji zinatoa suluhisho la changamoto halisi, badala ya kuishia kwenye makabrasha na mikutano. Akizungumza leo Agosti 20, 2026 wakati akifungua mkutano wa kimataifa unaohusu usafiri, lojistiki na usimamizi, kuwa mafanikio ya…

## [Ship software peacefully (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/zMRdWi9q5qbi)

_2026-08-20 · **Sponsored**_

Deploy apps from your repo with auto-config, instant previews, scaling, and monitoring.

## [CCM INAHESHIMU UPINZANI–KIHONGOSI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/20/ccm-inaheshimu-upinzani-kihongosi/)

_2026-08-20 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na REHEMA MAIGALA KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema Chama kinaheshimu maoni ya wanasiasa na vyama vyote vya upinzani. MAWAZO MBADALA Pia, CCM imesisitiza iko tayari kuyafanyia kazi mawazo yenye msingi kutoka kwa vyama vya upinzani kwa maslahi mapana ya nchi. Kihongosi alisema hayo jijini Dar \[…\]

## [PROF. KABUDI AWATAKA WANANCHI KUZINGATIA TAHADHARI ZA MAAFA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/20/prof-kabudi-awataka-wananchi-kuzingatia-tahadhari-za-maafa/)

_2026-08-20 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na, Mwandishi wetu – Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu–Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi kuzingatia tahadhari na maelekezo yanayotolewa na wataalamu na mamlaka husika ili kupunguza madhara yanayotokana na majanga na maafa. Prof. Kabudi ametoa wito huo Agosti 19, 2026, akizungumza katika maadhimisho ya Siku \[…\]

## [WASIRA ATAKA WANA CCM WAKUTANE, WASIINGIE MKENGE KWA MANENO YA MITANDAONI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/wasira-ataka-wana-ccm-wakutane-wasiingie-mkenge-kwa-maneno-ya-mitandaoni/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu – Singida MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka wanachama wa CCM kukutana mara kwa mara katika vikao rasmi vya chama ili kujadili masuala muhimu na kuepuka kupotoswa na taarifa zisizo na ukweli zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii. Akizungumza leo Agosti 19, 2026 Wilaya ya Ikungi mkoani Singida \[…\]

## [TUTAENDELEA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO YA UKIMWI &#8211; YONAZI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/tutaendelea-kuongeza-nguvu-mapambano-ya-ukimwi-yonazi/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI MAALUMU, Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, kuhakikisha Tanzania inatokomeza virusi hivyo ifikapo mwaka 2030.Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na…

## [DAWASA YAANZA MSAKO KWA WANAOJIUNGANISHIA MAJI KINYEMELA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/19/dawasa-yaanza-msako-kwa-wanaojiunganishia-maji-kinyemela/)

_2026-08-19 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imefanya operesheni katika Mtaa wa Majizzo katika Kata ya Kunduchi Wilaya ya Kinondoni na kubaini matumizi yasiyo halali ya maji yaliyokuwa yakitumika katika shughuli za kilimo cha mbogamboga ambayo imeingiza hasara Mamlaka ya zaidi ya Shilingi Milioni 50 Mamlaka... The post DAWASA YAANZA MSAKO KWA…

## [DIRISHA LA USAJILI WA TUZO ZA SERENGETI 2026 KUFUNGULIWA KESHO](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/19/dirisha-la-usajili-wa-tuzo-za-serengeti-2026-kufunguliwa-kesho/)

_2026-08-19 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa. WIZARA ya Maliasili na Utalii imetangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha la usajili kwa wadau wa uhifadhi na utalii kuwania The Serengeti Awards 2026, huku ikiwasisitiza kutumia fursa hiyo kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika uhifadhi na uendelezaji wa utalii. Dirisha la usajili litafunguliwa kesho Agosti 20, 2026 na kufungwa... The post DIRISHA LA USAJILI…

## [KETE NGUMU SIMBA, PAMBA JIJI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/kete-ngumu-simba-pamba-jiji/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na NASRA KITANA KIKOSI cha Simba leo kinashuka dimbani katika mchezo namba mbili, kumenyana na Pamba Jiji katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Simba itakuwa ugenini kupepetana na Pamba Jiji katika mechi itakayopigwa dimba la CCM Kirumba, Mwanza kuanzia majira ya saa 10:00 jioni. Timu hiyo yenye maskani yake Mtaa \[…\]

## [SERIKALI KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI](https://www.habarika24.co.tz/2026/08/serikali-kuongeza-nguvu-mapambano-dhidi.html)

_2026-08-19 · www.habarika24.blogspots.com · Habarika24_

Na. Mwandishi Wetu - Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, ili kuhakikisha Tanzania inafikia lengo la kutokomeza UKIMWI ifikapo mwaka 2030. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera,…

## [MIAKA 50 YA UPUNGUFU WA MAFUTA YA KULA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/miaka-50-ya-upungufu-wa-mafuta-ya-kula/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na JOE NAKAJUMO MOJA ya malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni Tanzania kuwa mzalishaji mkuu wa chakula Afrika na kuwa miongoni mwa nchi 10 bora katika uzalishaji wa chakula. Kwa miaka kadhaa mfululizo, uzalishaji wa mazao ya chakula umekuwa ukiongezeka. Tani milioni 18 za mazao ya chakula zilizalishwa mwaka 2020/2021 na ziliongezeka hadi tani milioni \[…\]

## [&#8220;UKARABATI WA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA WAFIKIA ASILIMIA 67&#8221; WAZIRI MBARAWA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/18/ukarabati-wa-kiwanja-cha-ndege-kigoma-wafikia-asilimia-67-waziri-mbarawa/)

_2026-08-18 · Hubert Kiwale · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema ukarabati wa Uwanja wa Ndege wa Kigoma umefikia asilimia 67 na unatarajiwa kukamilika Desemba 5, 2026, hatua inayolenga kuimarisha huduma za usafiri wa anga na kuchochea shughuli za kiuchumi mkoani humo Akizungumza na waandishi wa habari Agosti 15, 2026, wakati akikagua maendeleo ya mradi huo,... The post “UKARABATI WA KIWANJA CHA…

## [Hire AI-Powered Professionals (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/rDYswOgxV1cc)

_2026-08-18 · **Sponsored**_

Browse public gigs, message candidates, and run video interviews — free to start.

## [NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA BWAWA LA JULIUS NYERERE YA CHALINZE &#8211; DODOMA IMEKAMILIKA: MRAMBA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/njia-ya-kusafirisha-umeme-kutoka-bwawa-la-julius-nyerere-ya-chalinze-dodoma-imekamilika-mramba/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI WETU KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma imekamilika hatua itakayowezesha umeme unaozalishwa katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) kufika Dodoma kupitia Chalinze. Mramba ameyasema hayo leo, Agosti 18, 2026, akikagua hatua \[…\]

## [SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA AFUA ZA UKIMWI NCHINI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/serikali-kuendelea-kuimarisha-afua-za-ukimwi-nchini/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu, MWANZA SERIKALI imesema imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za ukimwi nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza ushirikiano na wadau katika kuendeleza mapambano dhidi ya virusi hivyo. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, alipotembelea na \[…\]

## [FVS MWAROBAINI TLP KUPUNGUZA MAKOSA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/fvs-mwarobaini-tlp-kupunguza-makosa/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

ABDUL DUNIA Na NASRA KITANA WAKATI mechi za mzunguko wa kwanza Ligi Kuu Tanzania Bara, msimu huu, zikimalizika mwisho mwa wiki, Teknolojia ya Usaidizi wa Video (FVS), imeelezwa inaweza kuwa tiba ya makosa ya waamuzi na kuleta usawa kwa timu katika kuamua matukio uwanjani. FVS ilianza kutumika katika mechi ya Ngao ya Jamii, iliyochezwa wiki \[…\]

## [MKUCHIKA, LUBINGA, MNDOLWA WASIFU USHIRIKIANO CCM, SWAPO](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/17/mkuchika-lubinga-mndolwa-wasifu-ushirikiano-ccm-swapo/)

_2026-08-17 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na SIMON NYALOBI BAADHI ya wanasiasa wakongwe nchini, wamesema ushirikiano baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vya ukombozi Kusini mwa Afrika, umezidi kuimarika. Waliyasema hayo zikiwa ni siku chache baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, kufanya mazungumzo na Katibu wa Chama cha SWAPO cha Namibia, Sophia Shaningwa. Dk. Migiro na \[…\]

## [Tanzania yahitaji rasilimali watu wenye afya na vijana wenye fursa](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/tanzania-yahitaji-rasilimali-watu-wenye-afya-na-vijana-wenye-fursa/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Tanzania inahitaji rasilimali watu wenye afya bora, vijana wanaopata fursa na sekta binafsi inayowajibika ili kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Hemed alisema hayo kwa niaba ya Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Lameck Nchemba, wakati wa \[…\] The post Tanzania yahitaji rasilimali watu…

## [UJENZI WA MELI MPYA NA CHELEZO KIGOMA KUFUNGUA SOKO LA BIASHARA KIMATAIFA- WAZIRI MBARAWA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/17/ujenzi-wa-meli-mpya-na-chelezo-kigoma-kufungua-soko-la-biashara-kimataifa-waziri-mbarawa/)

_2026-08-17 · Hubert Kiwale · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema uwekezaji wa kampuni ya kizawa ya Dar es Salaam Merchant Group katika ujenzi wa chelezo na meli mpya mkoani Kigoma utaongeza uwezo wa Tanzania kujenga na kukarabati meli nchini, huku ukifungua fursa za biashara na huduma za ujenzi wa meli kwa nchi zinazozunguka Ziwa Tanganyika,... The post UJENZI WA MELI MPYA NA CHELEZO KIGOMA…

## [TIB Rasilimali Yaongeza Elimu ya Uwekezaji kwa Wananchi](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/tib-rasilimali-yaongeza-elimu-ya-uwekezaji-kwa-wananchi/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KAMPUNI ya TIB Rasilimali Limited imeendelea kutoa elimu ya uwekezaji kwa wananchi kupitia programu yake ya Rasilimali Academy, ikiwa na lengo la kuongeza uelewa kuhusu fursa za uwekezaji katika hisa, hati fungani, mifuko ya uwekezaji wa pamoja na masuala ya usimamizi wa fedha binafsi. Akizungumza kuhusu mpango huo, Mkurugenzi Mkuu \[…\] The post TIB Rasilimali…

## [DCEA yateketeza ekari 603 za bangi mvomero](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/dcea-yateketeza-ekari-603-za-bangi-mvomero/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Morogoro MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza ekari 603 za mashamba ya bangi na kukamata magunia 49 ya bangi katika operesheni maalum iliyofanyika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, huku watuhumiwa 13 wakikamatwa kuhusisiana na mashamba hayo. Operesheni hiyo iliyofanyika katika vijiji vya Misengele, Lugenge, Kisaki na Nyarutanga, \[…\] The post…

## [TIB yaunga mkono ajenda ya Nishati Safa kuelekea 2050](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/tib-yaunga-mkono-ajenda-ya-nishati-safa-kuelekea-2050/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SAFARI ya mageuzi ya kiuchumi kuelekea Dira ya Taifa 2050 imeanza kushika kasi, huku mijadala kuhusu vichocheo vya uchumi ikiendelea kupewa uzito mkubwa nchini. Miongoni mwa matukio yaliyoibua mjadala huo ni Tamasha la Kizimkazi 2026, lililofanyika kusini mwa Unguja na kukutanisha viongozi wakuu wa serikali, taasisi na wadau mbalimbali wa maendeleo. \[…\] The post TIB…

## [MAKALA; KWANINI UNAWEZA KUAMBIWA NDEGE IMEJAA ILA VITI VIKO TUPU NA HAVINA ABIRIA?](https://www.habarika24.co.tz/2026/08/makala-kwanini-unaweza-kuambiwa-ndege.html)

_2026-08-16 · www.habarika24.blogspots.com · Habarika24_

. VIDEO YA MAKALA 👇👇 MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA-TCAA Kwanini Ndege inaweza kuwa na viti vya abiria vilivyo wazi lakini ikaelezwa kwamba Ndege Imejaa? Umewahi kusafiri na ndege ya abiria halafu ukakuta baadhi ya viti vipo wazi bila abiria lakini ukaambiwa ndege imejaa? Leo Tunakuletea Ufafanuzi na elimu ya kutosha kuhusu Hali hiyo. TCAA

## [Rais Dkt. Samia anatarajia kuzindua JNHPP Agosti, 22 2026](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/15/rais-dkt-samia-anatarajia-kuzindua-jnhpp-agosti-22-2026/)

_2026-08-15 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiakuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) Agosti,22 2026 katika eneo la mradi Rufiji, Mkoa wa Pwani. JNHPP ni miongoni mwa miradi mikubwa na ya kimkakati katika historia ya sekta ya nishati nchini.Kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115 za \[…\] The post Rais Dkt. Samia anatarajia kuzindua…

## [Kafulila kuongoza mhadhara wa umma kuhusu nafasi ya ubia (PPP) katika maendeleo ya watu](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/12/kafulila-kuongoza-mhadhara-wa-umma-kuhusu-nafasi-ya-ubia-ppp-katika-maendeleo-ya-watu/)

_2026-08-12 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

KITUO cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre) kinatarajiwa kufanya mhadhara wa umma utakaolenga kujadili mchango wa ubia kati ya sekta umma na sekta binafsi katika kuchochea maendeleo ya watu na uchumi wa taifa. Mhadhara huo utaongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa PPP Centre, Mhe. David Kafulila ukiwa umebeba mada ya \[…\] The post Kafulila kuongoza mhadhara wa umma kuhusu nafasi…

## [BITEKO: TANZANIA IMEPIGA HATUA KUBWA KATIKA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/12/biteko-tanzania-imepiga-hatua-kubwa-katika-ajenda-ya-nishati-safi-ya-kupikia/)

_2026-08-12 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

📌 Asema wajibu wa kila Mtanzania ni kuhakikisha mafanikio yanakuwa endelevu KIZIMKAZI, ZANZIBAR Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia, huku akisisitiza kuwa ni wajibu wa kila Mtanzania kuhakikisha mafanikio yaliyopatikana yanaendelea kuwa endelevu.... The post…

## [Vyama vyote ni sawa hakuna chama kidogo wala kikubwa](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/12/vyama-vyote-ni-sawa-hakuna-chama-kidogo-wala-kikubwa/)

_2026-08-12 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu,Dodoma VYAMA vya Siasa vyote nchini vina hadhi sawa na hakuna chama kinachopaswa kujiona chenyewe ni kikubwa kiliko vingine kutokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria za nchi. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Profesa Palamagamba Kabudi alipokuwa \[…\] The post Vyama vyote ni sawa hakuna chama…

## [Mavunde aagiza masoko ya madini kuwa wazi mpaka usiku](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/11/mavunde-aagiza-masoko-ya-madini-kuwa-wazi-mpaka-usiku/)

_2026-08-11 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

▪️ Lengo ni kurahisisha huduma kwa wateja ▪️ Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kupunguza tozo zinazowaumiza wachimbaji wadogo ▪️ Dhahabu tani 67.8 zenye thamani ya Sh trilioni 18.4 zazalishwa kwenye viwanda vya usafishaji ▪️Waziri Mavunde aeleza mkakati wa kukuza biashara ya Tanzanite Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, ameiagiza Tume ya Madini \[…\] The post Mavunde aagiza…

## [RITA yaimarisha usajili wa matukio muhimu ya binadamu](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/11/rita-yaimarisha-usajili-wa-matukio-muhimu-ya-binadamu/)

_2026-08-11 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) umeendelea kuimarisha usajili wa matukio muhimu ya binadamu nchini kwa kutumia mifumo ya kidijitali na kusogeza huduma karibu na wananchi, hatua inayolenga kuhakikisha kila mwananchi anapata nyaraka muhimu za utambulisho na kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii na kiuchumi. Waziri wa Katiba na \[…\] The post…

## [ZOEZI LA UVUTAJI NYAYA AWAMU YA PILI ENEO LA KIKOMBO NA MKONZE KATIKA MRADI WA CHALINZE–DODOMA KUANZA KESHO](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/10/zoezi-la-uvutaji-nyaya-awamu-ya-pili-eneo-la-kikombo-na-mkonze-katika-mradi-wa-chalinze-dodoma-kuanza-kesho/)

_2026-08-10 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

📌TANESCO yasema baadhi ya Mikoa ya Kanda ya Kati, Kanda ya Magharibi, Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Kusini Magharibi na Kanda ya ziwa kupata umeme kwa ratiba maalumu 📌Lengo ni kumpisha Mkandarasi kuendelea na utekelezaji wa Mradi huo wa kusafirisha umeme Msongo wa Kilovolti 400 ambao uko mbioni kukamilika. Na Mwandishi Wetu,Chalinze Shirika la Umeme... The post ZOEZI LA UVUTAJI NYAYA AWAMU YA…

## [WAZIRI NDEJEMBI AWASHA UMEME MWANUBI, ASEMA UMEME NI HITAJI LA MSINGI KWA WATANZANIA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/10/waziri-ndejembi-awasha-umeme-mwanubi-asema-umeme-ni-hitaji-la-msingi-kwa-watanzania/)

_2026-08-10 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Shinyanga Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasha umeme katika Kitongoji cha Mwanubi mkoani Shinyanga na kusema kuwa huduma ya umeme ni hitaji la msingi kwa Watanzania na nyenzo muhimu katika kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Akizungumza wakati wa hafla ya kuwasha umeme katika kitongoji hicho, Mhe. Ndejembi amesema kufikishwa kwa umeme... The post WAZIRI…

## [SOKO BUBU LA MADINI LAGUNDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/09/soko-bubu-la-madini-lagunduliwa-jijini-dar-es-salaam/)

_2026-08-09 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam IKIWA ni sehemu ya usimamizi thabiti wa sekta na kuhakikisha Serikali inapata mapato yake ipasavyo kupitia mfumo rasmi wa masoko ya madini nchini, soko bubu la madini lagunduliwa jijini Dar es Salaam. Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde (Mb) ameyasema hayo leo tarehe 09 Agosti, 2026 wakati akizungumza na waandishi... The post SOKO BUBU LA MADINI LAGUNDULIWA…

## [DMI:WATALAAMU WA USAFIRISHAJI MUHIMU KUONGEZA USHINDANI WA BIDHAA ZA NDANI](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/08/dmiwatalaamu-wa-usafirishaji-muhimu-kuongeza-ushindani-wa-bidhaa-za-ndani/)

_2026-08-08 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Dodoma CHUO cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesema kuwa Tanzania inahitaji kuongeza idadi ya wataalamu wa usafirishaji na usimamizi wa mnyororo wa bidhaa ili kuongeza tija, ushindani wa bidhaa za ndani na kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza wakati wa alipotembelea Maonesho ya Wakulima Nanenane ,Mkuu wa... The post DMI:WATALAAMU WA USAFIRISHAJI MUHIMU…

