# katika (blogs) — RSS Amplifier

Recent posts from the 12 feeds in the RSS Amplifier directory that cover katika.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/katika/blogs>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/katika/blogs.md>

---

## [WAZIRI KAIRUKI AITAKA TTCL KUONGEZA KASI YAKUUNGANISHA FIBER MAJUMBANI](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/21/waziri-kairuki-aitaka-ttcl-kuongeza-kasi-yakuunganisha-fib/)

_2026-08-21 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angela Kairuki, ameitaka Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kuongeza kasi ya kuwaunganisha wananchi na intaneti ya mkongo wa nyuzi majumbani (FTTH), huku akilenga huduma hiyo kuwafikia nyumba milioni moja ifikapo Juni 2028. Kairuki alitoa agizo hilo leo Agosti 21, 2026 ,jijini Dar... The post WAZIRI KAIRUKI AITAKA…

## [Benki ya Dunia kufikiria kuunga mkono maboresho ya ziada Bandari ya Dar es Salaam](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/21/benki-ya-dunia-kufikiria-kuunga-mkono-maboresho-ya-ziada-bandari-ya-dar-es-salaam/)

_2026-08-21 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam BENKI ya Dunia imesifu uhusiano kati yake na Tanzania na kusifu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kusimamia vizuri wa utekelezaji wa awamu ya kwanza ya ujenzi na maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam chini ya mpango unaofadhiliwa na benki hiyo. Mpango huo unajulikana kwa jina \[…\] The post Benki ya Dunia kufikiria kuunga mkono maboresho ya ziada…

## [Betis vs Real Sociedad: Msimu mpya wa LaLiga Waanza kwa Vita Kali](https://salehjembe.co.tz/2026/08/21/betis-vs-real-sociedad-msimu-mpya-wa-laliga-waanza-kwa-vita-kali/)

_2026-08-21 · Saleh · Saleh Jembe_

Ligi Kuu ya Uhispania (LaLiga) inaendelea na mzunguko wake wa pili leo Ijumaa, Agosti 21, ambapo Real Betis watawakaribisha Real Sociedad katika mchezo unaotarajiwa kuwa na hamasa kubwa. Mchezo huu utaanza saa 22:00 usiku. Timu zote mbili zilikosa kucheza raundi ya kwanza ya msimu, hivyo huu utakuwa mchezo wao wa kwanza rasmi wa msimu 2026/27....

## [Ali Kamwe Azungumzia Kauli ya Magori Kuhusu Teknolojia ya VFS](https://salehjembe.co.tz/2026/08/21/ali-kamwe-azungumzia-kauli-ya-magori-kuhusu-teknolojia-ya-vfs/)

_2026-08-21 · Saleh · Saleh Jembe_

Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe, amezungumzia kauli ya Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC, Crescentius Magori, kuhusu matumizi ya teknolojia ya Football Video Support (VFS) katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara. Kauli ya Kamwe imekuja wakati mjadala kuhusu matumizi na ufanisi wa teknolojia hiyo ukiendelea katika soka...

## [TUNDU LISSU AKUTWA NA KESI YA KUJIBU](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/tundu-lissu-akutwa-na-kesi-ya-kujibu/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI WETU MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imemkuta Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ana kesi ya kujibu katika shauri la uhaini linalomkabili. Akisoma uamuzi huo Leo Agosti 21, 2026, Jaji Ndunguru, anayeongoza jopo la majaji linalosikiliza shauri hilo, amesema mahakama imejiridhisha kuwa upande wa \[…\]

## [Singida Black Stars vs Simba SC NBC Premier League](https://salehjembe.co.tz/2026/08/21/singida-black-stars-vs-simba-sc-nbc-premier-league/)

_2026-08-21 · Saleh · Saleh Jembe_

Singida Black Stars vs Simba SC NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwa wababe hawa unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Airtel, Singida. Huu unakuwa ni mchezo wa tatu kwa wababe hawa kushuka uwanjani kusaka pointi 3 muhimu msimu mpya 2026/27 ambao umeanza kwa kasi. Simba SC itaingia uwanjani bila huduma ya Duchu ambaye alionyeshwa kadi nyekundu...

## [Azam FC 2-1 TRA United, Manula aonyeshwa kadi nyekundu](https://salehjembe.co.tz/2026/08/21/azam-fc-2-1-tra-united-manula-aonyeshwa-kadi-nyekundu/)

_2026-08-21 · Saleh · Saleh Jembe_

MTAJIRI wa Dar, Azam FC wameanza na ushindi kwenye mchezo wa nyumbani msimu wa 2026/27 baada ya kuanza na sare ugenini dhidi ya Polisi Tanzania. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Azam Complex Agosti 20,2026 ulisoma Azam FC 2-1 TRA United. Ni Idd Suleman alianza kufunga dakika ya 8 na Abdul Suleiman alipachika...

## [KUNENGE: JNHPP KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME NCHINI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/kunenge-jnhpp-kuimarisha-upatikanaji-umeme-nchini/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Pwani Na Mwamvua Mwinyi MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema uzinduzi wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), utakaofanyika kesho wilayani Rufiji mkoani hapa, ni atua kubwa ya kihistoria katika kuimarisha upatikanaji nishati ya uhakika nchini. Mradi huo wenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme unaotekelezwa kwa asilimia 60 katika \[…\]

## [CCM YATAKA VIONGOZI WASIOYUMBA -WASIRA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/ccm-yataka-viongozi-wasioyumba-wasira/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Iramba NA MWANDISHI WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amekemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya Chama, akisisitiza umuhimu wa kuzingatia haki kwa kutoegemea maslahi binafsi. Amesema CCM inahitaji viongozi wasioyumba katika masuala ya msingi, hivyo wanachama wanapaswa kuwapa uongozi watu wenye sifa za uadilifu. Wasira aliyasema hayo alipozungumza na \[…\]

## [Allan Okello Atambulishwa Rasmi AS FAR Rabat Baada ya Kuondoka Yanga](https://salehjembe.co.tz/2026/08/21/allan-okello-atambulishwa-rasmi-as-far-rabat-baada-ya-kuondoka-yanga/)

_2026-08-21 · Saleh · Saleh Jembe_

Rabat, Morocco — Kiungo mshambuliaji wa Uganda, Allan Okello, ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa AS FAR Rabat baada ya kukamilisha uhamisho wake kutoka Young Africans SC, maarufu Yanga. Okello, ambaye alikuwa sehemu ya kikosi cha Yanga, sasa ameanza ukurasa mpya wa maisha yake ya soka nchini Morocco baada ya AS FAR kukamilisha taratibu zote...

## [Crypto Payments, No Custody (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/ObESRaoLE3HU)

_2026-08-21 · **Sponsored**_

Send crypto to merchant wallets via API with real-time updates and automatic fees.

## [Ronaldinho Atoa Mshangao, Arejea Soka Akiwa Na Miaka 46](https://salehjembe.co.tz/2026/08/21/ronaldinho-atoa-mshangao-arejea-soka-akiwa-na-miaka-46/)

_2026-08-21 · Saleh · Saleh Jembe_

Milan, Italia — Mwanasoka nguli wa Brazil, Ronaldinho Gaúcho, anatarajiwa kurejea rasmi uwanjani akiwa na umri wa miaka 46, miaka 11 baada ya kucheza mchezo wake wa mwisho wa soka la ushindani. Ronaldinho amefikia makubaliano na Ravenna FC, klabu ya Italia inayoshiriki Serie C, ambapo atahusishwa na klabu hiyo si tu kama mwekezaji, bali pia...

## [Chicken Hot Run Yaanza Kutamba Meridianbet, Je Utafika Mbali?](https://salehjembe.co.tz/2026/08/21/chicken-hot-run-yaanza-kutamba-meridianbet-je-utafika-mbali/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

Uko tayari kwa mbio ambazo hazikupi nafasi ya kulegea? Chicken Hot Run imewasili Meridianbet ikiwa na burudani ya kasi na changamoto inayoweza kukuweka kwenye presha kila unapopiga hatua. Mchezo huu uliotengenezwa na Expanse Studios unakupeleka kwenye safari ya kukimbia, kukwepa vikwazo na kukusanya odds huku ukijaribu kuona ni umbali gani unaweza kufika. Hapa kila sekunde...

## [Yanga Yatinga Ushindi wa 4-1 Dhidi ya Coastal Union](https://salehjembe.co.tz/2026/08/21/yanga-yatinga-ushindi-wa-4-1-dhidi-ya-coastal-union/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

Dar es Salaam — Yanga SC imeendelea na mwanzo mzuri wa msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2026/27 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo uliopigwa leo kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, jijini Dar es Salaam. Yanga ilianza mchezo kwa kasi huku ikitawala sehemu kubwa ya mchezo...

## [CCM kuimarisha uhusiano na chama cha kikomonisti cha China](https://tanzanialeo.co.tz/ccm-kuimarisha-uhusiano-na-chama-cha-kikomonisti-cha-china/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=ccm-kuimarisha-uhusiano-na-chama-cha-kikomonisti-cha-china)

_2026-08-20 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Aggrey Mwanri, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) nchini Tanzania, Xu…

## [Waandishi Oman, JOWUTA, kuandaa kongamano la kimataifa](https://tanzanialeo.co.tz/waandishi-oman-jowuta-kuandaa-kongamano-la-kimataifa/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=waandishi-oman-jowuta-kuandaa-kongamano-la-kimataifa)

_2026-08-20 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam UJUMBE maalum kutoka Chama cha Waandishi wa Habari wa Ufalme wa Oman (OJA), uliopo nchini leo Agosti 19, 2026 umefanya mazungumzo na Chama cha wafanyakazi…

## [Serengeti awards 2026 usajili wafunguliwa kwa wadau wa utalii](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/20/serengeti-awards-2026-usajili-wafunguliwa-kwa-wadau-wa-utalii/)

_2026-08-20 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WIZARA ya Maliasili na Utalii imetangaza rasmi dirisha la usajili kwa wadau wa uhifadhi na utalii kuwania Serengeti Awards 2026, huku ikiwasisitiza kutumia fursa hiyo kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika uhifadhi wa wanyamapori, maliasili na uendelezaji wa utalii. Dirisha hilo litafunguliwa Agosti 20, 2026 na litafungwa Septemba \[…\] The post Serengeti…

## [Yanga SC mafia yanasa faili la Coastal Union](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/yanga-sc-mafia-yanasa-faili-la-coastal-union/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

BENCHI la ufundi la Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi limefanya ‘umafia’ kwa kunasa faili zima la wapinzani wao Coastal Union kabla ya kuwakabili leo Agosti 20,2026 Uwanja wa KMC Complex.Huu utakuwa ni mchezo wa pili kwa mabingwa watetezi wa ligi kushuka uwanjani, wamekusanya pointi 3 baada ya ushindi dhidi ya Namungo FC...

## [Kombe la Dunia la Hockey ya Wanawake Latikisa Uholanzi, Vita Vyaendelea](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/kombe-la-dunia-la-hockey-ya-wanawake-latikisa-uholanzi-vita-vyaendelea/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

Amsterdam, Agosti 20, 2026 — Mashindano ya Kombe la Dunia la Hockey ya Wanawake yanaendelea nchini Uholanzi na Ubelgiji, huku timu mbalimbali zikisaka nafasi ya kusonga mbele katika hatua inayofuata ya mashindano. Leo, Alhamisi, Agosti 20, ratiba imejumuisha michezo kadhaa muhimu. Miongoni mwao ni China dhidi ya Afrika Kusini pamoja na New Zealand dhidi ya...

## [PROFESA MBARAWA:SERIKALI HAITAKI TAFITI ZINAZOISHIA KWENYE MAKABRASHA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/20/profesa-mbarawaserikali-haitaki-tafiti-zinazoishia-kwenye-makabrasha/)

_2026-08-20 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amewataka watafiti nchini kuhakikisha tafiti wanazofanya katika sekta ya usafiri na usafirishaji zinatoa suluhisho la changamoto halisi, badala ya kuishia kwenye makabrasha na mikutano. Akizungumza leo Agosti 20, 2026 wakati akifungua mkutano wa kimataifa unaohusu usafiri, lojistiki na usimamizi, kuwa mafanikio ya…

## [CCM INAHESHIMU UPINZANI–KIHONGOSI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/20/ccm-inaheshimu-upinzani-kihongosi/)

_2026-08-20 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na REHEMA MAIGALA KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema Chama kinaheshimu maoni ya wanasiasa na vyama vyote vya upinzani. MAWAZO MBADALA Pia, CCM imesisitiza iko tayari kuyafanyia kazi mawazo yenye msingi kutoka kwa vyama vya upinzani kwa maslahi mapana ya nchi. Kihongosi alisema hayo jijini Dar \[…\]

## [Make any domain metal (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/7DvRO8Sl4Gvv)

_2026-08-20 · **Sponsored**_

Turn any domain into a blacked-out metal landing page with an email waitlist

## [NMB YAINGIA AWAMU MPYA YA UBORA WA HUDUMA KWA WATEJA](https://pesatu.co.tz/nmb-yaingia-awamu-mpya-ya-ubora-wa-huduma-kwa-wateja/)

_2026-08-20 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

NMB yaingia awamu mpya ya ubora wa huduma kwa Wateja.Katika hatua kubwa inayotarajiwa kubadilisha mwelekeo wa sekta ya fedha nchini Tanzania, Benki ya NMB imekamilisha rasmi mchakato wa kuhamisha shughuli zake zote za kibenki kwenda kwenye mfumo mkuu mpya wa teknolojia. Hatua hii ya kihistoria inalenga kuleta mapinduzi makubwa kwenye huduma kwa wateja NMB, huku...

## [Kifukwe Aagwa Karimjee, Yanga na Simba Zamuaga kwa Heshima](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/kifukwe-aagwa-karimjee-yanga-na-simba-zamuaga-kwa-heshima/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

DAR ES SALAAM — Mazingira ya huzuni na heshima yalitawala leo Alhamisi, Agosti 20, katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, ambako familia, viongozi wa michezo, wachezaji wa zamani na wanachama wa Yanga walikusanyika kutoa salamu za mwisho kwa aliyekuwa Rais wa klabu hiyo, Eng. Francis Kifukwe. Mwili wa Kifukwe uliwasili Karimjee kwa ajili...

## [PSSSF YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI](https://pesatu.co.tz/psssf-yatoa-mafunzo-kwa-waandishi-wa-habari/)

_2026-08-20 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

PSSSF yatoa mafunzo kwa waandishi wa habari.Sekta ya PSSSF na hifadhi ya jamii Tanzania imepiga hatua nyingine kubwa katika kuhakikisha wananchi na watumishi wa umma wanapata taarifa sahihi, za kina, na zisizo na upotoshaji. Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeratibu na kuendesha mafunzo maalum ya siku mbili kwa waandishi wa...

## [Yanga Yashuka Dimbani Kuendeleza Moto Dhidi ya Coastal Union](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/yanga-yashuka-dimbani-kuendeleza-moto-dhidi-ya-coastal-union/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

DAR ES SALAAM — Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Yanga SC, leo Alhamisi, Agosti 20, 2026, wanatarajiwa kushuka dimbani kuikabili Coastal Union katika mchezo wa raundi ya pili ya msimu wa 2026/27. Mchezo huo utapigwa katika Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam, huku Yanga ikiwa na dhamira ya kuendeleza mwanzo mzuri...

## [BLOCKCHAIN FESTIVAL 2026 KUUNGANISHA AFRIKA](https://pesatu.co.tz/blockchain-festival-2026-kuunganisha-afrika/)

_2026-08-20 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

BLOCKCHAIN FESTIVAL 2026 KUUNGANISHA AFRIKA.Hatua zinazochukuliwa na Tanzania kuelekea kuweka mfumo rasmi wa udhibiti wa sarafu na mali za kidijitali zinaweza kufungua ukurasa mpya katika uchumi wa kidijitali nchini. Wabunifu wa teknolojia, kampuni za fintech, wawekezaji, watengenezaji wa mifumo ya blockchain pamoja na wadau wa Web3 nchini sasa wanahimizwa kwa dhati kushiriki katika mkutano wa...

## [Ibrahim Jabaar Aomba Msamaha, Akubali Kuwajibika kwa Kadi Nyekundu](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/ibrahim-jabaar-aomba-msamaha-akubali-kuwajibika-kwa-kadi-nyekundu/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

Nyota wa Ibrahim Jabaar, Ibrahim Jabaar, ameonyesha ukomavu kwa kukubali na kuchukua jukumu kamili kufuatia tukio lililomfanya kuonyeshwa kadi nyekundu katika mchezo uliopita. Kupitia ujumbe aliouweka kwenye Instagram, Jabaar amesema: “Hakuna visingizio. Ninachukua jukumu kamili.” 🙏🏽 Kauli hiyo inaonyesha kuwa Jabaar ametambua kosa lake na yuko tayari kuwajibika, huku akitarajiwa kujifunza…

## [Leo ni Kubeti Kitaalamu! Mechi Kali na Odds Kubwa Zipo Meridianbet](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/leo-ni-kubeti-kitaalamu-mechi-kali-na-odds-kubwa-zipo-meridianbet/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

Tengeneza pesa ndefu kwa kusuka jamvi lako la ushindi na Meridianbet. Timu kibao zenye Odds kubwa zipo kwaajili yako, ingia na usuke jamvi siku ya leo. Kama kawaida ligi zinaendelea kuchanganya huku wewe ukichangamkia odds za kibabe, Yanga atakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Coastal Union kwenye Ligi kuu ya Tanzania, NBC PREMIER LEAGUE. Hii ni...

## [Songwe yafungua milango kwa Sekta Binafsi kwenye miradi](https://tanzanialeo.co.tz/songwe-yafungua-milango-kwa-sekta-binafsi-kwenye-miradi/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=songwe-yafungua-milango-kwa-sekta-binafsi-kwenye-miradi)

_2026-08-20 · Zahoro mlanzi · Tanzania Leo_

Na Mwandishi Wetu, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabir Makame, amepigia chapuo matumizi ya mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kama njia kuu…

## [PROF. KABUDI AWATAKA WANANCHI KUZINGATIA TAHADHARI ZA MAAFA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/20/prof-kabudi-awataka-wananchi-kuzingatia-tahadhari-za-maafa/)

_2026-08-20 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na, Mwandishi wetu – Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu–Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi kuzingatia tahadhari na maelekezo yanayotolewa na wataalamu na mamlaka husika ili kupunguza madhara yanayotokana na majanga na maafa. Prof. Kabudi ametoa wito huo Agosti 19, 2026, akizungumza katika maadhimisho ya Siku \[…\]

## [NIMR to Lead Ethical Oversight in a Multicountry Trial Exploring New Approaches to Prevent Childhood Diarrhoeal Diseases.](https://nimr.or.tz/nimr-to-lead-ethical-oversight-in-a-multicountry-trial-exploring-new-approaches-to-prevent-childhood-diarrhoeal-diseases/)

_2026-08-20 · Erick Mboma · NIMR_

The National Institute for Medical Research (NIMR) is leading ethical oversight in a new multicountry clinical trial investigating whether probiotics can enhance the protection provided by rotavirus vaccination and reduce diarrhoeal disease among children. This approach could also help reduce antibiotic exposure and contribute to efforts to address antimicrobial resistance (AMR).The PRoRota…

## [One OS for your AI workforce (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/ywslFAI9vzyQ)

_2026-08-20 · **Sponsored**_

Build, direct, and supervise an AI workforce from a single operating workspace.

## [Rashford Aomba Jina Lake Lisitajwe Kila Siku, Asema Anataka Kuzingatia Soka](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/rashford-aomba-jina-lake-lisitajwe-kila-siku-asema-anataka-kuzingatia-soka/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

MANCHESTER: Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford, amesema angependa kupata nafasi ya kujikita katika kucheza soka bila jina lake kutajwa kila siku katika mijadala ya vyombo vya habari. Rashford alitoa kauli hiyo baada ya mchezaji wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, kuanzisha mjadala kuhusu mshambuliaji huyo katika podcast ya Stick to Football. Katika kipande...

## [Arsenal Yakubaliana na Aston Villa Kumsajili Ezri Konsa kwa Zaidi ya Pauni Milioni 50](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/arsenal-yakubaliana-na-aston-villa-kumsajili-ezri-konsa-kwa-zaidi-ya-pauni-milioni-50/)

_2026-08-20 · Saleh · Saleh Jembe_

LONDON: Arsenal imefikia makubaliano na Aston Villa kuhusu kumsajili beki wa England, Ezri Konsa, kwa ada inayozidi pauni milioni 50. Konsa, mwenye umri wa miaka 28, anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kukamilisha uhamisho wake kwenda Emirates Stadium. Arsenal ilianza tena mazungumzo na Aston Villa wiki iliyopita baada ya awali kushindwa kufikia makubaliano. Kwa...

## [Mzozo wa Ardhi ya Cheluget Waelekea Kumalizika Narok](https://www.radioosotua.co.ke/mzozo-wa-ardhi-ya-cheluget-waelekea-kumalizika-narok/)

_2026-08-20 · John Waicua · Radio Osotua_

Huenda mzozo wa muda mrefu unaozingira ardhi ya Cheluget katika eneo bunge la Narok Kusini umefikia tamati. Serikali imetangaza hatua ya kumaliza mzozo huo uliodumu kwa takriban miaka 30. Kwa miaka mingi, maelfu ya familia wamekuwa wakiishi katika ardhi hiyo bila uhakika wa umiliki. Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi na Mipango ya Maeneo, Nixon... The post Mzozo wa Ardhi ya Cheluget Waelekea…

## [Hospitali ya Kigogo Yapokea Wheelchairs, Meridianbet Yaongeza Tabasamu](https://salehjembe.co.tz/2026/08/20/hospitali-ya-kigogo-yapokea-wheelchairs-meridianbet-yaongeza-tabasamu/)

_2026-08-19 · Saleh · Saleh Jembe_

Meridianbet imeongeza nguvu katika kampeni yake ya kusaidia jamii baada ya kuikabidhi Hospitali ya Kigogo msaada wa viti vya magurudumu, maarufu kama wheelchairs. Msaada huo umetolewa kupitia programu ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), ukiwa na lengo la kuboresha huduma kwa wagonjwa wenye mahitaji maalum. Hatua hii imekuja wakati ambapo hospitali zinahitaji vifaa mbalimbali vinavyoweza kurahisisha...

## [WASIRA ATAKA WANA CCM WAKUTANE, WASIINGIE MKENGE KWA MANENO YA MITANDAONI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/wasira-ataka-wana-ccm-wakutane-wasiingie-mkenge-kwa-maneno-ya-mitandaoni/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu – Singida MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka wanachama wa CCM kukutana mara kwa mara katika vikao rasmi vya chama ili kujadili masuala muhimu na kuepuka kupotoswa na taarifa zisizo na ukweli zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii. Akizungumza leo Agosti 19, 2026 Wilaya ya Ikungi mkoani Singida \[…\]

## [Watu Saba Wafariki Baada ya Ndege Kuanguka Samburu East](https://ngasumedia.co.ke/watu-saba-wafariki-baada-ya-ndege-kuanguka-samburu-east/)

_2026-08-19 · ngasumedia · NGASU NEWS_

Watu saba, akiwemo rubani, wamefariki dunia baada ya ndege ndogo kuanguka katika eneo la Sabache Hills, Samburu East. Kwa mujibu wa taarifa za polisi, ndege hiyo iliyotambuliwa kwa jina Lady Lorry, ilianguka majira ya saa 3:13 asubuhi, ikiwa njiani kutoka Suyian, Laikipia, kuelekea Loisaba Conservancy. Waliofariki wametajwa kuwa Josh Outran, Roger Duarte, Adam Navaty, Stephen \[…\] The post Watu…

## [TUTAENDELEA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO YA UKIMWI &#8211; YONAZI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/tutaendelea-kuongeza-nguvu-mapambano-ya-ukimwi-yonazi/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI MAALUMU, Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, kuhakikisha Tanzania inatokomeza virusi hivyo ifikapo mwaka 2030.Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na…

## [Simba Yaibuka na Ushindi wa 2-1 Dhidi ya Pamba Jiji, Yakwea Kileleni](https://salehjembe.co.tz/2026/08/19/simba-yaibuka-na-ushindi-wa-2-1-dhidi-ya-pamba-jiji-yakwea-kileleni/)

_2026-08-19 · Saleh · Saleh Jembe_

Mwanza: Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameanza msimu wa NBC Premier League kwa kasi baada ya kuichapa Pamba Jiji FC mabao 2-1 na kuchukua alama zote tatu. Simba ilipata mabao yake kupitia Clatous Chama dakika ya 18 na Oura dakika ya 30, kabla ya Pamba Jiji kujibu kupitia Diomande dakika ya 72. Mchezo huo ulikuwa...

## [Baraza la Michezo Laibua Jingine Simba! “Serikali Imekamilisha Wajibu Wake” – Video](https://salehjembe.co.tz/2026/08/19/baraza-la-michezo-laibua-jingine-simba-serikali-imekamilisha-wajibu-wake-video/)

_2026-08-19 · Saleh · Saleh Jembe_

Dar es Salaam: Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa Katiba ya Klabu ya Simba iliyofanyiwa marekebisho na kuidhinishwa rasmi Februari 18, 2026. Kwa mujibu wa BMT, marekebisho hayo yalipitishwa na Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Simba uliofanyika Novemba 30, 2025, kabla ya kuwasilishwa kwa Msajili wa Vyama na Vilabu vya...

## [DAWASA YAANZA MSAKO KWA WANAOJIUNGANISHIA MAJI KINYEMELA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/19/dawasa-yaanza-msako-kwa-wanaojiunganishia-maji-kinyemela/)

_2026-08-19 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imefanya operesheni katika Mtaa wa Majizzo katika Kata ya Kunduchi Wilaya ya Kinondoni na kubaini matumizi yasiyo halali ya maji yaliyokuwa yakitumika katika shughuli za kilimo cha mbogamboga ambayo imeingiza hasara Mamlaka ya zaidi ya Shilingi Milioni 50 Mamlaka... The post DAWASA YAANZA MSAKO KWA…

## [DIRISHA LA USAJILI WA TUZO ZA SERENGETI 2026 KUFUNGULIWA KESHO](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/19/dirisha-la-usajili-wa-tuzo-za-serengeti-2026-kufunguliwa-kesho/)

_2026-08-19 · Aziza Masoud · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa. WIZARA ya Maliasili na Utalii imetangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha la usajili kwa wadau wa uhifadhi na utalii kuwania The Serengeti Awards 2026, huku ikiwasisitiza kutumia fursa hiyo kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika uhifadhi na uendelezaji wa utalii. Dirisha la usajili litafunguliwa kesho Agosti 20, 2026 na kufungwa... The post DIRISHA LA USAJILI…

## [KETE NGUMU SIMBA, PAMBA JIJI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/kete-ngumu-simba-pamba-jiji/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na NASRA KITANA KIKOSI cha Simba leo kinashuka dimbani katika mchezo namba mbili, kumenyana na Pamba Jiji katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Simba itakuwa ugenini kupepetana na Pamba Jiji katika mechi itakayopigwa dimba la CCM Kirumba, Mwanza kuanzia majira ya saa 10:00 jioni. Timu hiyo yenye maskani yake Mtaa \[…\]

## [Omar Artan Aweka Historia, Aitwa na UEFA kwa Mafunzo ya Waamuzi](https://ngasumedia.co.ke/omar-artan-aweka-historia-aitwa-na-uefa-kwa-mafunzo-ya-waamuzi/)

_2026-08-19 · ngasumedia · NGASU NEWS_

Mwamuzi wa kimataifa kutoka Somalia, Omar Artan Abdulkadir, amepewa nafasi ya kipekee baada ya UEFA kumwalika kushiriki kozi maalum ya mafunzo kwa waamuzi wa kiume itakayofanyika Geneva, Uswisi, kuanzia Agosti 31 hadi Septemba 2, 2026. UEFA imewasiliana rasmi na CAF pamoja na Shirikisho la Soka la Somalia kuhusu ushiriki wa Artan katika mafunzo hayo. Baada \[…\] The post Omar Artan Aweka Historia,…

## [NIMR TABORA RESEARCH CENTRE A CENTURY OF SCIENCE: A NEW ERA OF PUBLIC HEALTH IMPACT](https://nimr.or.tz/nimr-tabora-research-centre-a-century-of-science-a-new-era-of-public-health-impact/)

_2026-08-19 · Erick Mboma · NIMR_

From a Sleeping Sickness Unit to a Modern Public Health Research Hub For more than a century, NIMR Tabora has connected scientific discovery with practical public health action. Established in Tabora in 1922 to support regional control of sleeping sickness, the unit has evolved into one of Tanzania’s oldest public health research platforms and a strategic scientific presence in the western zone.…

## [MIAKA 50 YA UPUNGUFU WA MAFUTA YA KULA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/miaka-50-ya-upungufu-wa-mafuta-ya-kula/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na JOE NAKAJUMO MOJA ya malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni Tanzania kuwa mzalishaji mkuu wa chakula Afrika na kuwa miongoni mwa nchi 10 bora katika uzalishaji wa chakula. Kwa miaka kadhaa mfululizo, uzalishaji wa mazao ya chakula umekuwa ukiongezeka. Tani milioni 18 za mazao ya chakula zilizalishwa mwaka 2020/2021 na ziliongezeka hadi tani milioni \[…\]

## [&#8220;UKARABATI WA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA WAFIKIA ASILIMIA 67&#8221; WAZIRI MBARAWA](https://taifatanzania.co.tz/2026/08/18/ukarabati-wa-kiwanja-cha-ndege-kigoma-wafikia-asilimia-67-waziri-mbarawa/)

_2026-08-18 · Hubert Kiwale · Taifa Tanzania_

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema ukarabati wa Uwanja wa Ndege wa Kigoma umefikia asilimia 67 na unatarajiwa kukamilika Desemba 5, 2026, hatua inayolenga kuimarisha huduma za usafiri wa anga na kuchochea shughuli za kiuchumi mkoani humo Akizungumza na waandishi wa habari Agosti 15, 2026, wakati akikagua maendeleo ya mradi huo,... The post “UKARABATI WA KIWANJA CHA…

## [NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA BWAWA LA JULIUS NYERERE YA CHALINZE &#8211; DODOMA IMEKAMILIKA: MRAMBA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/njia-ya-kusafirisha-umeme-kutoka-bwawa-la-julius-nyerere-ya-chalinze-dodoma-imekamilika-mramba/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI WETU KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma imekamilika hatua itakayowezesha umeme unaozalishwa katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) kufika Dodoma kupitia Chalinze. Mramba ameyasema hayo leo, Agosti 18, 2026, akikagua hatua \[…\]

## [SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA AFUA ZA UKIMWI NCHINI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/serikali-kuendelea-kuimarisha-afua-za-ukimwi-nchini/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu, MWANZA SERIKALI imesema imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za ukimwi nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza ushirikiano na wadau katika kuendeleza mapambano dhidi ya virusi hivyo. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, alipotembelea na \[…\]

## [Njia ya kusafirisha umeme kutoka Bwawa la Nyerere Chalinze-Dodoma yakamilika](https://tanzanialeo.co.tz/njia-ya-kusafirisha-umeme-kutoka-bwawa-la-nyerere-chalinze-dodoma-yakamilika/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=njia-ya-kusafirisha-umeme-kutoka-bwawa-la-nyerere-chalinze-dodoma-yakamilika)

_2026-08-18 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

– Umeme wa JNHPP kufika Dodoma kupitia Chalinze -SGR kupata njia yake maalum ya umeme, kuimarisha uhakika wa huduma Na Mwandishi Wetu, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia…

## [FVS MWAROBAINI TLP KUPUNGUZA MAKOSA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/fvs-mwarobaini-tlp-kupunguza-makosa/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

ABDUL DUNIA Na NASRA KITANA WAKATI mechi za mzunguko wa kwanza Ligi Kuu Tanzania Bara, msimu huu, zikimalizika mwisho mwa wiki, Teknolojia ya Usaidizi wa Video (FVS), imeelezwa inaweza kuwa tiba ya makosa ya waamuzi na kuleta usawa kwa timu katika kuamua matukio uwanjani. FVS ilianza kutumika katika mechi ya Ngao ya Jamii, iliyochezwa wiki \[…\]

