# habari (blogs) — RSS Amplifier

Recent posts from the 12 feeds in the RSS Amplifier directory that cover habari.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/habari/blogs>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/habari/blogs.md>

---

## [KAHAMA: MWENGE WA UHURU WAZINDUA JENGO LA WARAIBU WA DAWA ZA KULEVYA](http://www.huheso.co.tz/2026/08/kahama-mwenge-wa-uhuru-wazindua-jengo.html)

_2026-08-21 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Na Neema Nkumbi, Kahama Mkuu wa wilaya ya Kahama Frank Nkinda ameupokea mwenge wa uhuru leo agosti 21, 2026 kutoka wa Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Julius Mtatiro. Mwenge wa Uhuru umezindua jengo maalumu la kuhudumia waraibu wa dawa za kulevya lililopo katika Hospitali ya Manispaa ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga, lililogharimu zaidi ya Shilingi milioni 467. Jengo hilo limejengwa kwa ufadhili wa…

## [Lissu akutwa na kesi ya kujibu, akitaja mashahidi 11](https://nukta.co.tz/lissu-akutwa-na-kesi-ya-kujibu-akitaja-mashahidi-11)

_2026-08-21 · Lucy Samson · Nukta Habari_

Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania imemkuta Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu na kesi ya kujibu katika mashtaka ya uhaini yanayomkabili, hatua itakayomfanya aendelee tena kusota mahabusu huku akijitetea kujinasua katika shtaka hilo. Uamuzi huo, uliotolewa na Jaji Dunstan Ndunguru kwa niaba ya majaji wenzie wawili, ni pigo kwa \[…\] The post Lissu akutwa na…

## [TUNDU LISSU AKUTWA NA KESI YA KUJIBU](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/tundu-lissu-akutwa-na-kesi-ya-kujibu/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI WETU MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imemkuta Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ana kesi ya kujibu katika shauri la uhaini linalomkabili. Akisoma uamuzi huo Leo Agosti 21, 2026, Jaji Ndunguru, anayeongoza jopo la majaji linalosikiliza shauri hilo, amesema mahakama imejiridhisha kuwa upande wa \[…\]

## [Athari za dawa za kufisha ganzi wakati wa kujifungua kwa upasuaji](https://taifaleo.nation.co.ke/makala/afya-na-jamii/athari-za-dawa-za-kufisha-ganzi-wakati-wa-kujifungua-kwa-upasuaji/)

_2026-08-21 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

KWA Atieno, kumbukumbu ya siku aliyomkaribisha kifungua mimba wake duniani haikujumuisha tu furaha ya kumwona mwanawe, bali pia hofu aliyokuwa nayo kabla ya kujifungua kwa upasuaji (Caesarean Section). Alipofahamishwa kuwa angelazimika kujifungua kwa upasuaji, jambo lililomtisha zaidi halikuwa upasuaji wenyewe bali sindano ya kufisha ganzi inayodungwa kwenye uti wa mgongo. Alikuwa amesikia kutoka…

## [MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA KAHAMA, MIRADI 21 YENYE THAMANI YA BILIONI 5.4 YAKAGULIWA](http://www.huheso.co.tz/2026/08/mwenge-wa-uhuru-wapokelewa-kahama.html)

_2026-08-21 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Na Neema Nkumbi, Kahama Mwenge wa Uhuru umepokelewa katika Wilaya ya Kahama na kufanya ziara ya kukagua miradi 21 ya maendeleo yenye thamani ya Shilingi bilioni 5.4. Katika ziara hiyo, Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la msingi katika ujenzi wa madarasa matatu katika Shule ya Sekondari Kagongwa, mradi wenye thamani ya Shilingi milioni 70.4. Kati ya fedha hizo, Shilingi milioni 63 zimetokana na mapato…

## [KUNENGE: JNHPP KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME NCHINI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/kunenge-jnhpp-kuimarisha-upatikanaji-umeme-nchini/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Pwani Na Mwamvua Mwinyi MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema uzinduzi wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), utakaofanyika kesho wilayani Rufiji mkoani hapa, ni atua kubwa ya kihistoria katika kuimarisha upatikanaji nishati ya uhakika nchini. Mradi huo wenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme unaotekelezwa kwa asilimia 60 katika \[…\]

## [Wakazi wataka maisha bora baada ya ujangili kuzimwa mpakani](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/habari-za-kaunti/wakazi-wataka-maisha-bora-baada-ya-ujangili-kuzimwa-mpakani/)

_2026-08-21 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

KWA zaidi ya miongo mitatu, wakazi wa Lorogon, mpakani mwa Turkana na West Pokot, wameishi kwa hofu ya majangili wenye silaha. Lakini sasa bunduki zimetulia kwa kiasi kikubwa kufuatia operesheni ya serikali ya kuwapokonya silaha wahalifu hao, na wakazi wanataka amani hiyo iwaletee ajira, maji, umeme na maisha bora. Lorogon iko kati ya Mto Turkwel na vilima vyenye mabonde magumu kufikika, ambayo…

## [CCM YATAKA VIONGOZI WASIOYUMBA -WASIRA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/ccm-yataka-viongozi-wasioyumba-wasira/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Iramba NA MWANDISHI WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amekemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya Chama, akisisitiza umuhimu wa kuzingatia haki kwa kutoegemea maslahi binafsi. Amesema CCM inahitaji viongozi wasioyumba katika masuala ya msingi, hivyo wanachama wanapaswa kuwapa uongozi watu wenye sifa za uadilifu. Wasira aliyasema hayo alipozungumza na \[…\]

## [Dola yaendelea kudhoofika, Euro, Pauni kuimarika](https://nukta.co.tz/dola-yaendelea-kudhoofika-euro-pauni-kuimarika)

_2026-08-21 · Fatuma Hussein · Nukta Habari_

The post Dola yaendelea kudhoofika, Euro, Pauni kuimarika appeared first on Nukta Habari .

## [Maafisa waagizwa kupigia debe mafanikio ya serikali kuelekea 2027](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/habari-za-kitaifa/maafisa-waagizwa-kupigia-debe-mafanikio-ya-serikali-kuelekea-2027/)

_2026-08-21 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

SERIKALI ya Rais William Ruto imeanza kuimarisha kampeni ya mawasiliano kwa umma kuhusu sera, miradi na mafanikio yake huku uchaguzi mkuu wa 2027 ukikaribia. Hatua hiyo inafuatia barua ya Mkuu wa Utumishi wa Umma na Wafanyakazi wa Ikulu, Felix Koskei, kwa mawaziri, makatibu, msemaji wa serikali na wakuu wa mashirika ya serikali. Katika barua iliyoandikwa Agosti 17, 2026, Bw Koskei aliwaagiza…

## [AI QA That Opens Fix PRs (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/fq7cW8kQEZNx)

_2026-08-21 · **Sponsored**_

Runs browser QA, files issues with repro evidence, and opens fix PRs.

## [Faili ya uchunguzi wa mlinzi wa Katibu Fikirini Jacobs yafungwa](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/habari-za-kitaifa/faili-ya-uchunguzi-wa-mlinzi-wa-katibu-fikirini-jacobs-yafungwa/)

_2026-08-21 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

MAHAKAMA ya Makadara imefunga faili ya uchunguzi dhidi ya mlinzi wa Katibu wa Masuala ya Vijana, Fikirini Jacobs kuhusu kupigwa risasi na kuuawa kwa kiongozi wa vijana mtaani Kariokor, Cecil Ouma, huku ikisubiri uamuzi wa Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP). Mahakama ilisema faili hilo haiwezi kuendelea kuwa wazi kusubiri wachunguzi kukamilisha mchakato wa kuwasilisha ripoti ya uchunguzi wa…

## [Afisa wa polisi aliyeuawa Homa Bay alikuwa akisubiri kupandishwa cheo](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/habari-za-kitaifa/afisa-wa-polisi-aliyeuawa-homa-bay-alikuwa-akisubiri-kupandishwa-cheo/)

_2026-08-21 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

KONSTABO Jim Richardson Onkundi, aliyefariki baada ya kupigwa na jiwe wakati wa mkutano wa Linda Mwananchi Homa Bay, alikuwa akisubiri kupandishwa cheo kuwa koplo. Onkundi, 36, alikuwa akiendesha gari la polisi lililokuwa limewabeba maafisa watano kutoka Kituo cha Polisi cha Chemelil, Muhoroni, Kaunti ya Kisumu. Alikuwa amemaliza mafunzo ya kupandishwa cheo katika Chuo cha Polisi Kiganjo na…

## [Mapanga 500 na silaha zingine zilisambaziwa wahuni Homa Bay, polisi wafichua](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/habari-za-kitaifa/mapanga-500-na-silaha-zingine-zilisambaziwa-wahuni-homa-bay-polisi-wafichua/)

_2026-08-21 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

TAKRIBAN vijana 500 walilipwa kuziba barabara kuwazuia wafuasi wa Linda Mwananchi kuingia Homa Bay wakati wa mkutano wao Jumapili iliyopita, huku polisi wakifichua kuwa mapanga 500 na silaha nyingine zilisambazwa kabla ya ghasia hizo. Ripoti ya kijasusi iliyotayarishwa baada ya polisi kunasa silaha hizo imeibua wasiwasi kuhusu kiwango cha maandalizi yaliyofanyika kabla ya mkutano wa Agosti 16.…

## [MAGAZETI YA LEO IJUMAA AGOSTI 21, 2026](http://www.huheso.co.tz/2026/08/magazeti-ya-leo-ijumaa-agosti-21-2026.html)

_2026-08-21 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

https://account.jubna.com/en/rferl/MTk0ODA~

## [Gachagua aapa kutembea Emurua Dikirr licha ya vitisho](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/habari-za-kitaifa/gachagua-aapa-kutembea-emurua-dikirr-licha-ya-vitisho/)

_2026-08-21 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameapa kutembelea Emurua Dikirr, Narok, leo Ijumaa licha ya vitisho kutoka kwa viongozi wa eneo hilo. Chama chake cha Democracy for Citizens Party (DCP) kimesema Bw Gachagua atatumia ziara hiyo kuwashukuru wakazi waliounga mkono chama hicho katika uchaguzi mdogo wa ubunge uliofanyika hivi majuzi. Pia, anatarajiwa kuzungumzia masuala ya ardhi na kile anachodai ni…

## [REDESO, VETA WAFUNDISHA WAKUFUNZI NISHATI SAFI](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/redeso-veta-wafundisha-wakufunzi.html)

_2026-08-20 · Post · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Shirika la Relief to Development Society (REDESO) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) limetoa mafunzo kwa wakufunzi 12 kutoka vyuo vya VETA kuwa wakufunzi wa wakufunzi (Trainers of Trainers - ToT) katika teknolojia za nishati safi. Wakufunzi…

## [(untitled)](http://www.huheso.co.tz/2026/08/mboi-mhita-shinyanga-kuhakikisha-hakuna.html)

_2026-08-20 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

MBOI MHITA: SHINYANGA KUHAKIKISHA HAKUNA UHABA WA MADARASA, MADAWATI NA VITI Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita, amesema mkoa huo unaendelea kukagua na kuboresha miradi mbalimbali ya maendeleo, ikiwemo miradi ambayo Mwenge wa Uhuru utapita, huku akisisitiza kuhakikisha hakuna uhaba wa madarasa, viti, meza na madawati katika shule za mkoa huo. Mboni amesema baada ya kukabidhiwa Mwenge wa Uhuru…

## [TACAIDS YAWEKA MIKAKATI MADHUBUTI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/tacaids-yaweka-mikakati-madhubuti.html)

_2026-08-20 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) inaendelea kuimarisha mikakati madhubuti ya kupambana na VVU na UKIMWI kupitia ushirikiano wa kisekta, kuhamasisha vyanzo vya fedha vya ndani, kusogeza huduma karibu na jamii ikiwemo Vituo vya Maarifa kwa madereva wa malori na kuwajengea uwezo vijana na wanawake ili kufikia lengo la kutokomeza kabisa janga hili ifikapo mwaka 2030. Hayo yamebainishwa na…

## [Bunge lapitisha sheria kutatua msongamano shule za kitaifa](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/bunge-lapitisha-sheria-kutatua-msongamano-shule-za-kitaifa/)

_2026-08-20 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

SHULE za jamii, zilizo katika kundi la C4, huenda zikanufaika pakubwa na mpango mpya wa usajili wa wanafunzi wa Gredi 10 unaopendekezwa kuanza Januari 2027. Wabunge wamepitisha kwa kauli moja hoja inayotaka Wizara ya Elimu, kwa ushirikiano na taasisi nyingine, kuweka idadi ya mikondo ambayo kila kundi la shule linaweza kuwa nayo. Chini ya pendekezo hilo, shule za kitaifa zilizo kundi la C1…

## [CCM kuimarisha uhusiano na chama cha kikomonisti cha China](https://tanzanialeo.co.tz/ccm-kuimarisha-uhusiano-na-chama-cha-kikomonisti-cha-china/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=ccm-kuimarisha-uhusiano-na-chama-cha-kikomonisti-cha-china)

_2026-08-20 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Aggrey Mwanri, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) nchini Tanzania, Xu…

## [Crush Every Threat in Real Time (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/03Fbj9MwSHhd)

_2026-08-20 · **Sponsored**_

One agent for real-time detection, exposure tracking, and active defense.

## [Waandishi Oman, JOWUTA, kuandaa kongamano la kimataifa](https://tanzanialeo.co.tz/waandishi-oman-jowuta-kuandaa-kongamano-la-kimataifa/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=waandishi-oman-jowuta-kuandaa-kongamano-la-kimataifa)

_2026-08-20 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam UJUMBE maalum kutoka Chama cha Waandishi wa Habari wa Ufalme wa Oman (OJA), uliopo nchini leo Agosti 19, 2026 umefanya mazungumzo na Chama cha wafanyakazi…

## [MWENGE WA UHURU WAZINDUA TAWI LA CRDB TINDE](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/mwenge-wa-uhuru-wazindua-tawi-la-crdb.html)

_2026-08-20 · Post · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Mwenge wa Uhuru ukiwa katika Tawi la Benki ya CRDB Tinde mkoani Shinyanga wakati wa uzinduzi rasmi wa tawi hilo. Mwenge wa Uhuru ukiwa katika Tawi la Benki ya CRDB Tinde mkoani Shinyanga wakati wa uzinduzi rasmi wa tawi hilo. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo…

## [MAONI: Tuzoee kama nchi kukubali maoni na mitazamo kinzani](https://taifaleo.nation.co.ke/maoni/maoni-tuzoee-kama-nchi-kukubali-maoni-na-mitazamo-kinzani/)

_2026-08-20 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

KADRI uchaguzi mkuu unavyojongea ndivyo tabia ya kufadhaisha isiyoruhusu mtazamo na msimamo tofauti inavyozidi kujitokeza. Katika taifa linalojivunia demokrasia na utawala wa kikatiba, ungetarajia sote tunafahamu kila mwananchi, awe raia wa kawaida au kiongozi, amehakikishiwa kufurahia haki na uhuru kikatiba mradi hatoingilia uhuru na haki za mwananchi mwenzake. Ni kinaya kuwaona watu mashuhuri…

## [MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MTEULE WA TANZANIA NCHINI MALAYSIA](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/makamu-wa-rais-afanya-mazungumzo-na.html)

_2026-08-20 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi mteule wa Tanzania nchini Malaysia, Meja Jenerali Mbaraka Mkeremy, Mazungumzo yaliyofanyika mkoani Dodoma, leo tarehe 20 Agosti 2026. Katika mazungumzo hayo, Makamu wa Rais amempongeza Balozi Mkeremy kwa imani aliyopewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.…

## [CCM INAHESHIMU UPINZANI–KIHONGOSI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/20/ccm-inaheshimu-upinzani-kihongosi/)

_2026-08-20 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na REHEMA MAIGALA KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema Chama kinaheshimu maoni ya wanasiasa na vyama vyote vya upinzani. MAWAZO MBADALA Pia, CCM imesisitiza iko tayari kuyafanyia kazi mawazo yenye msingi kutoka kwa vyama vya upinzani kwa maslahi mapana ya nchi. Kihongosi alisema hayo jijini Dar \[…\]

## [Mundubile kupinga ushindi wa Hichilema mahakamani](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/kimataifa/mundubile-kupinga-ushindi-wa-hichilema/)

_2026-08-20 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

LUSAKA, Zambia: KIONGOZI wa upinzani Zambia, Brian Mundubile, Alhamisi alisema atapinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Agosti 13 kortini, akidai kuwa kulikuwa na udanganyifu na ukiukaji mkubwa wa haki. Mundubile alisema Jumatano jioni kuwa kampeni yake imekusanya ushahidi wa kasoro katika mchakato wa uchaguzi, kuhesabiwa kwa kura, kutumwa kwa matokeo na kutangazwa kwake. “Kampeni yetu…

## [NMB YAINGIA AWAMU MPYA YA UBORA WA HUDUMA KWA WATEJA](https://pesatu.co.tz/nmb-yaingia-awamu-mpya-ya-ubora-wa-huduma-kwa-wateja/)

_2026-08-20 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

NMB yaingia awamu mpya ya ubora wa huduma kwa Wateja.Katika hatua kubwa inayotarajiwa kubadilisha mwelekeo wa sekta ya fedha nchini Tanzania, Benki ya NMB imekamilisha rasmi mchakato wa kuhamisha shughuli zake zote za kibenki kwenda kwenye mfumo mkuu mpya wa teknolojia. Hatua hii ya kihistoria inalenga kuleta mapinduzi makubwa kwenye huduma kwa wateja NMB, huku...

## [Kenya kuagiza magunia milioni 25 ya mahindi ukame ukipunguza uzalishaji](https://taifaleo.nation.co.ke/makala/kenya-kuagiza-magunia-milioni-25-ya-mahindi-ukame-ukipunguza-uzalishaji/)

_2026-08-20 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

KENYA inapanga kuagiza magunia milioni 25 ya mahindi ili kuziba pengo la nafaka hiyo lililosababishwa na ukame unaoendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali nchini yanayotegemewa kwa uzalishaji wake. Kwenye mahojiano ya kipekee na Taifa Leo Dijitali, Waziri wa Kilimo na Maendeleo ya Mifugo, Mutahi Kagwe, alisema uagizaji huo utafanywa na sekta binafsi. “Ni sekta binafsi itakayonunua mahindi.…

## [PSSSF YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI](https://pesatu.co.tz/psssf-yatoa-mafunzo-kwa-waandishi-wa-habari/)

_2026-08-20 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

PSSSF yatoa mafunzo kwa waandishi wa habari.Sekta ya PSSSF na hifadhi ya jamii Tanzania imepiga hatua nyingine kubwa katika kuhakikisha wananchi na watumishi wa umma wanapata taarifa sahihi, za kina, na zisizo na upotoshaji. Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeratibu na kuendesha mafunzo maalum ya siku mbili kwa waandishi wa...

## [SERIKALI YAWASILISHA RASIMU YA MWONGOZO WA URATIBU MAHUSIANO KWA WADAU](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/serikali-yawasilisha-rasimu-ya-mwongozo.html)

_2026-08-20 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Serikali imewasilisha rasimu ya Mwongozo wa Uratibu wa Mahusiano baina ya Serikali na Makundi ya Kijamii wa mwaka 2026 kwa wadau mbalimbali ili kupokea maoni na ushauri wao wa mwisho kabla ya mwongozo huo kukamilishwa rasmi na kutolewa kwa umma. Akizungumza katika warsha maalum jijini Dar es Salaam kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Bi. Mary…

## [Browse ThreatCrush Modules (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/fQ6YoOabwNos)

_2026-08-20 · **Sponsored**_

Install community-built security modules to extend real-time threat intelligence and monitoring

## [BLOCKCHAIN FESTIVAL 2026 KUUNGANISHA AFRIKA](https://pesatu.co.tz/blockchain-festival-2026-kuunganisha-afrika/)

_2026-08-20 · Peninah · PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania_

BLOCKCHAIN FESTIVAL 2026 KUUNGANISHA AFRIKA.Hatua zinazochukuliwa na Tanzania kuelekea kuweka mfumo rasmi wa udhibiti wa sarafu na mali za kidijitali zinaweza kufungua ukurasa mpya katika uchumi wa kidijitali nchini. Wabunifu wa teknolojia, kampuni za fintech, wawekezaji, watengenezaji wa mifumo ya blockchain pamoja na wadau wa Web3 nchini sasa wanahimizwa kwa dhati kushiriki katika mkutano wa...

## [Mkuu wa runinga ya Telemundo, mkuu wa Ujasusi Ecuador miongoni mwa 7 waliofariki ajali ya helikopta](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/mkuu-wa-runinga-ya-telemundo-mkuu-wa-ujasusi-ecuador-miongoni-mwa-7-waliofia-kwa-helikopta/)

_2026-08-20 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

WATU saba walioangamia katika ajali ya helikopta Mlima Ololokwe, Samburu walijumuisha Mkenya, Waamerika watano na raia wa Ecuador. Waliofariki wanajumuisha rubani Mkenya na mkurugenzi wa kampuni ya African Heli Adventures Josh Outram, pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Ujasusi cha Ecuador Michele Sensi-Contugi na mkewe Stephany Hollihan Yeaza. \[caption id="attachment\_191376" align="alignnone"…

## [Binti aonya mamake akome kuchekacheka na mume wake](https://taifaleo.nation.co.ke/dondoo/binti-aonya-mamake-akome-kuchekacheka-na-mume-wake/)

_2026-08-20 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

KATIKA tukio lisilo la kawaida,msupa mmoja wa hapa alimpigia mamake simu na kumuonya vikali akome kucheka cheka na mumewe kila mara. Mwanadada huyo alishuku kwamba wawili hao walikuwa kwenye uhusiano wa kisiri baada ya jamaa kutoa usemi kwamba mama-mkwe alikuwa amedumisha urembo wake. Matamshi hayo yalimshtua mwanadada huyo aliyehisi kwamba mumewe alikuwa na lengo la kunyemelea mama mkwe. Demu…

## [Wanafunzi wengi wa Gredi 9 hawawezi kusoma ipasavyo -Ripoti](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/habari-za-kitaifa/wanafunzi-wengi-wa-gredi-9-hawawezi-kusoma-ipasavyo-ripoti/)

_2026-08-20 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

TAKRIBAN thuluthi moja ya wanafunzi wanaojiunga na Sekondari Pevu kutoka Sekondari Msingi hawana ujuzi muhimu wa kusoma, kuandika na kuhesabu, ripoti mpya imefichua. Ripoti hiyo iliyotolewa na Usawa Agenda, shirika linalofanya utafiti kuhusu elimu ya msingi, pia imeonyesha kuwa wanafunzi katika shule za umma za maeneo ya mashambani ndio walioathirika zaidi. Utafiti huo uliofanywa katika kaunti…

## [Songwe yafungua milango kwa Sekta Binafsi kwenye miradi](https://tanzanialeo.co.tz/songwe-yafungua-milango-kwa-sekta-binafsi-kwenye-miradi/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=songwe-yafungua-milango-kwa-sekta-binafsi-kwenye-miradi)

_2026-08-20 · Zahoro mlanzi · Tanzania Leo_

Na Mwandishi Wetu, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabir Makame, amepigia chapuo matumizi ya mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kama njia kuu…

## [PROF. KABUDI AWATAKA WANANCHI KUZINGATIA TAHADHARI ZA MAAFA](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/prof-kabudi-awataka-wananchi-kuzingatia.html)

_2026-08-20 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu–Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi kuzingatia tahadhari na maelekezo yanayotolewa na wataalamu na mamlaka husika ili kupunguza madhara yanayotokana na majanga na maafa. Prof. Kabudi ametoa wito huo tarehe 19 Agosti, 2026 wakati akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Watoa Huduma za Misaada ya Kibinadamu…

## [Benki ya Equity yaripoti kuvuna faida kemkem ikielezea kuimarika sekta ya mikopo na akiba](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/benki-ya-equity-yaripoti-kuvuna-faida-kemkem-ikielezea-kuimarika-kwa-biashara-zake/)

_2026-08-20 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

EQUITY Group Holdings imeripoti ongezeko la asilimia 32 la faida baada ya ushuru katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu, ikiashiria kuimarika kwa biashara yake nchini Kenya na katika matawi yake ya kikanda. Benki hiyo ilisema jana faida baada ya ushuru ilipanda hadi Sh45.5 bilioni kutoka Sh34.6 bilioni katika kipindi kama hicho mwaka jana. Faida kabla ya ushuru iliongezeka kwa asilimia 39 hadi…

## [Mwanamume kulipa mpenziwe wa zamani Sh2.5m baada picha za siri kusambaa mitandaoni](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/mwanamume-kulipa-mpenziwe-wa-zamani-sh2-5m-baada-picha-za-siri-kusambaa-mitandaoni/)

_2026-08-20 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

MAHAKAMA Kuu imeamuru mwanamume mmoja kumlipa Sh2.5 milioni mwanamke aliyeolewa baada ya picha zake za uchi kusambaa mtandaoni, ikisema mtu anayemiliki picha za siri za mwingine ana wajibu wa kuzilinda. Mahakama ilisema kutozuia picha hizo kusambazwa bila idhini kunaweza kumfanya mhusika kuwajibika, hata kama mwathiriwa hawezi kuonyesha moja kwa moja akaunti iliyozichapisha. Mwanamume huyo, GH,…

## [Wataalamu waeleza kwa nini kuna baridi kali Nairobi mwezi huu wa Agosti](https://taifaleo.nation.co.ke/habari/habari-za-kitaifa/wataalamu-waeleza-kwa-nini-kuna-baridi-kali-nairobi-mwezi-huu-wa-agosti/)

_2026-08-20 · Fatuma Bariki · Taifa Leo_

KWA Wakenya wengi, Agosti umekuwa mwezi wa kuvaa nguo nzito, kujifunika blanketi na baridi kali isiyo ya kawaida asubuhi. Nairobi na maeneo ya nyanda za juu katikati mwa nchi yamekuwa yakishuhudia hali hiyo hadi mchana, jambo linalowafanya wengi kujiuliza ni kwa nini ilhali msimu wa kiangazi unakaribia kufika mwisho. Lakini wataalamu wa masuala ya hali ya hewa wanasema baridi ya Agosti si jambo…

## [JAB YATOA ELIMU YA SHERIA NA MAADILI KWA WAANDISHI CROWN MEDIA](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/waandishi-crown-media-watakiwa.html)

_2026-08-20 · Unknown · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Na Mwandishi Wetu. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewataka Waandishi wa Habari wa Crown Media kulinda imani ya umma kwa kuzingatia weledi, maadili, uadilifu na uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao. Wito huo umetolewa wakati wa mafunzo ya siku mbili…

## [MAGAZETI YA LEO ALHAMISI AGOSTI 20, 2026](http://www.huheso.co.tz/2026/08/magazeti-ya-leo-alhamisi-agosti-20-2026.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

https://account.jubna.com/en/rferl/MTk0ODA~

## [THPS YATAMBULISHA MRADI WA TANZANIA FAST HEALTH MANISPAA YA KAHAMA KUIMARISHA HUDUMA ZA VVU](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/thps-yatambulisha-mradi-wa-tanzania.html)

_2026-08-19 · Post · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Dkt. Honoratha Rutatinisibwa, akizungumza wakati wa utambulisho wa Mradi wa Tanzania FAST Health unaotekelezwa na THPS katika Manispaa ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga, Agosti 19, 2026. Picha na Kadama Malunde Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Dkt.…

## [Tanzania Yaahidi Kulinda Haki za Wafanyakazi na Kuboresha Mazingira Salama ya Kazi](http://www.huheso.co.tz/2026/08/tanzania-yaahidi-kulinda-haki-za.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Tanzania imeahidi kuhakikisha inalinda haki za wafanyakazi wanaohamia nje na kuwapatia mazingira salama ya kazi. Ahadi hiyo imetolewa Agosti 18, 2026 jijini Dodoma na Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, wakati akizungumza katika mkutano wa Jukwaa la Mawaziri na Kamati ya Kikanda ya Ushauri wa Kitaalamu na Sekretarieti kuhusu Uhamaji wa Nguvu Kazi. Alisisitiza…

## [TANZANIA NA DRC ZAKUBALIANA KUONGEZA KASI YA MIRADI YA UCHUKUZI NA BIASHARA](http://www.huheso.co.tz/2026/08/tanzania-na-drc-zakubaliana-kuongeza.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimefikia makubaliano rasmi ya kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya uchukuzi inayounganisha nchi hizo mbili kwa lengo la kupunguza muda na gharama za usafirishaji wa mizigo sambamba na kupanua wigo wa biashara na uwekezaji kwa manufaa ya pande zote mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa leo katika Ikulu Ndogo iliyopo Zanzibar wakati wa mazungumzo rasmi…

## [LUKA Yapongeza Tanzania kwa Kushirikisha Wataalamu wa Afrika kwenye Tume ya UchunguziL](http://www.huheso.co.tz/2026/08/luka-yapongeza-tanzania-kwa.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Jumuiya ya Kifalme ya Afrika (League of United Kingdom of Africa - LUKA) imepongeza uamuzi wa Serikali ya Tanzania wa kuwashirikisha wataalamu wa sheria na majaji kutoka nchi nyingine za Afrika katika Tume ya Uchunguzi wa Kijinai inayochunguza matukio ya vurugu na uhalifu yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Katika tamko lake, Jumuiya hiyo imesema kuwa hatua hiyo ni…

## [Bilioni 600 Zilizowekezwa Chalinze-Dodoma: Mapinduzi ya Kiuchumi na Usalama wa Nishati Nchini](http://www.huheso.co.tz/2026/08/bilioni-600-zilizowekezwa-chalinze.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Kukamilika kwa mradi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma kunaashiria hatua kubwa ya kimkakati yenye tija za kipekee kwa maendeleo ya kiuchumi na ufanisi wa huduma nchini. Kupitia uwekezaji huu uliogharamiwa kwa asilimia 100 na Serikali ya Tanzania kwa takribani Shilingi bilioni 600, nchi inaonesha uwezo mkubwa wa kujitegemea katika kutekeleza miradi…

## [WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMWAKILISHA RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA SADC](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/waziri-wa-ulinzi-na-jkt-amwakilisha.html)

_2026-08-19 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa 46 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Mkutano huo ulifanyika tarehe 16 na 17 Agosti 2026, jijini Durban, Afrika Kusini, ambapo Mhe. Dkt. Nyansaho aliongoza ujumbe wa Serikali ya…

## [WASIRA ATAKA WANA CCM WAKUTANE, WASIINGIE MKENGE KWA MANENO YA MITANDAONI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/wasira-ataka-wana-ccm-wakutane-wasiingie-mkenge-kwa-maneno-ya-mitandaoni/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu – Singida MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka wanachama wa CCM kukutana mara kwa mara katika vikao rasmi vya chama ili kujadili masuala muhimu na kuepuka kupotoswa na taarifa zisizo na ukweli zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii. Akizungumza leo Agosti 19, 2026 Wilaya ya Ikungi mkoani Singida \[…\]

## [Watu Saba Wafariki Baada ya Ndege Kuanguka Samburu East](https://ngasumedia.co.ke/watu-saba-wafariki-baada-ya-ndege-kuanguka-samburu-east/)

_2026-08-19 · ngasumedia · NGASU NEWS_

Watu saba, akiwemo rubani, wamefariki dunia baada ya ndege ndogo kuanguka katika eneo la Sabache Hills, Samburu East. Kwa mujibu wa taarifa za polisi, ndege hiyo iliyotambuliwa kwa jina Lady Lorry, ilianguka majira ya saa 3:13 asubuhi, ikiwa njiani kutoka Suyian, Laikipia, kuelekea Loisaba Conservancy. Waliofariki wametajwa kuwa Josh Outran, Roger Duarte, Adam Navaty, Stephen \[…\] The post Watu…

## [TUTAENDELEA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO YA UKIMWI &#8211; YONAZI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/tutaendelea-kuongeza-nguvu-mapambano-ya-ukimwi-yonazi/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI MAALUMU, Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, kuhakikisha Tanzania inatokomeza virusi hivyo ifikapo mwaka 2030.Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na…

