# fedha (blogs) — RSS Amplifier

Recent posts from the 1 feeds in the RSS Amplifier directory that cover fedha.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/fedha/blogs>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/fedha/blogs.md>

---

## [Lissu akutwa na kesi ya kujibu, akitaja mashahidi 11](https://nukta.co.tz/lissu-akutwa-na-kesi-ya-kujibu-akitaja-mashahidi-11)

_2026-08-21 · Lucy Samson · Nukta Habari_

Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania imemkuta Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu na kesi ya kujibu katika mashtaka ya uhaini yanayomkabili, hatua itakayomfanya aendelee tena kusota mahabusu huku akijitetea kujinasua katika shtaka hilo. Uamuzi huo, uliotolewa na Jaji Dunstan Ndunguru kwa niaba ya majaji wenzie wawili, ni pigo kwa \[…\] The post Lissu akutwa na…

## [Dola yaendelea kudhoofika, Euro, Pauni kuimarika](https://nukta.co.tz/dola-yaendelea-kudhoofika-euro-pauni-kuimarika)

_2026-08-21 · Fatuma Hussein · Nukta Habari_

The post Dola yaendelea kudhoofika, Euro, Pauni kuimarika appeared first on Nukta Habari .

## [Chalamila kutegua kitendawili cha mabasi stendi ya Magufuli](https://nukta.co.tz/chalamila-kutegua-kitendawili-cha-mabasi-stendi-ya-magufuli)

_2026-08-19 · Fatuma Hussein · Nukta Habari_

Ahadi hiyo ilipokelewa kwa shangwe na Wananchi waliokuwa katika eneo hilo kuanzia saa nne asubuhi wakisubiri ujio wa mkuu wa mkoa. The post Chalamila kutegua kitendawili cha mabasi stendi ya Magufuli appeared first on Nukta Habari .

## [Agizo la Chalamila Stendi ya Magufuli laibua maoni mseto](https://nukta.co.tz/agizo-la-chalamila-stendi-ya-magufuli-laibua-maoni-mseto)

_2026-08-19 · Waandishi Wetu · Nukta Habari_

Baadhi ya Wananchi wametoa maoni mseto kufuatia agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila, lililozitaka shughuli za mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani kuhamia katika stendi kuu ya mabasi ya Magufuli. The post Agizo la Chalamila Stendi ya Magufuli laibua maoni mseto appeared first on Nukta Habari .

## [Pauni yashuka thamani dhidi ya Shilingi ya Tanzania](https://nukta.co.tz/pauni-yashuka-thamani-dhidi-ya-shilingi-ya-tanzania)

_2026-08-19 · Fatuma Hussein · Nukta Habari_

Leo, mteja anayenunua Pauni NMB analipa chini ya CRDB, wakati anayezibadilisha kwenda Shilingi anapata kiwango cha juu zaidi CRDB. The post Pauni yashuka thamani dhidi ya Shilingi ya Tanzania appeared first on Nukta Habari .

## [Euro yaimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Agosti 18, 2026](https://nukta.co.tz/euro-yaimarika-dhidi-ya-shilingi-ya-tanzania-leo-agosti-18-2026)

_2026-08-18 · Fatuma Hussein · Nukta Habari_

Kwa mtu anayekwenda kununua Euro leo, NMB inauza Euro kwa Sh3,196, ambayo ni Sh24.29 chini ya CRDB inayouza kwa Sh3,220.29. The post Euro yaimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Agosti 18, 2026 appeared first on Nukta Habari .

## [Euro yaendelea kuimarika dhidi ya shilingi ya Tanzania](https://nukta.co.tz/euro-yaendelea-kuimarika-dhidi-ya-shilingi-ya-tanzania-2)

_2026-08-17 · Fatuma Hussein · Nukta Habari_

Anayehitaji kununua Euro atalipa zaidi kupitia CRDB, ambako Euro moja inanunuliwa kwa Sh3,213.75, ikilinganishwa na Sh3,188 kwa NMB. The post Euro yaendelea kuimarika dhidi ya shilingi ya Tanzania appeared first on Nukta Habari .

## [Tanzania inavyoweza kunufaika na ongezeko la simu janja](https://nukta.co.tz/tanzania-inavyoweza-kunufaika-na-ongezeko-la-simu-janja)

_2026-08-15 · Kelvin Makwinya · Nukta Habari_

Mamilioni ya simu inamaanisha mamilioni ya ‘units’ zinazofanya kazi ndani ya uchumi wetu wa kidijitali ambapo kwamwekezaji, hilo ni soko. The post Tanzania inavyoweza kunufaika na ongezeko la simu janja appeared first on Nukta Habari .

## [Samir Yassine ateuliwa CEO mpya BOA Tanzania](https://nukta.co.tz/samir-yassine-ateuliwa-ceo-mpya-boa-tanzania)

_2026-08-14 · Kelvin Makwinya · Nukta Habari_

Kabla ya kuteuliwa kuwa bosi wa juu wa BOA Tanzania, Yassine alikuwa ni sehemu ya uongozi wa benki hiyo akihudumu kama Naibu Mkurugenzi Mtendaji anayesimamia biashara kwa kipindi cha miaka mitano kabla ya kutangazwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa BOA Uganda mwaka 2024. The post Samir Yassine ateuliwa CEO mpya BOA Tanzania appeared first on Nukta Habari .

## [Shilingi yaimarika dhidi ya Euro na Pauni yabaki tulivu dhidi ya dola](https://nukta.co.tz/shilingi-yaimarika-dhidi-ya-euro-na-pauni-yabaki-tulivu-dhidi-ya-dola-2)

_2026-08-14 · Kelvin Makwinya · Nukta Habari_

Wanunuzi wa sarafu hizo wataendelea kununua sarafu hiyo kwa bei nafuu huku wauzaji wakinufaika kwa kupata kiasi kikubwa cha shilingi. The post Shilingi yaimarika dhidi ya Euro na Pauni yabaki tulivu dhidi ya dola appeared first on Nukta Habari .

## [Non-custodial Crypto Payments & Escrow (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/t8bk16U9Xr9h)

_2026-08-14 · **Sponsored**_

Accept multi-chain crypto with trustless escrow, instant confirmations, and no KYC

## [Nukta AI, Pawa AI zaungana kuimarisha teknolojia ya lugha za Kiafrika](https://nukta.co.tz/nukta-ai-pawa-ai-zaungana-kuimarisha-teknolojia-ya-lugha-za-kiafrika)

_2026-08-13 · Fatuma Hussein · Nukta Habari_

Afisa Maendeleo ya Biashara wa Nukta Africa, amesema ushirikiano huo utasaidia kampuni kuendeleza bidhaa zake. The post Nukta AI, Pawa AI zaungana kuimarisha teknolojia ya lugha za Kiafrika appeared first on Nukta Habari .

## [The story that changed my career](https://nukta.co.tz/the-story-that-changed-my-career)

_2026-08-13 · Fatuma Hussein · Nukta Habari_

As I dug deeper into research, studied scientific publications and spent hours speaking with medical experts, the story began to grow. The post The story that changed my career appeared first on Nukta Habari .

