# elimu (news sources) — RSS Amplifier

Recent posts from the 3 feeds in the RSS Amplifier directory that cover elimu.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/elimu/news>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/elimu/news.md>

---

## [VIONGOZI GEITA WATAKA USHIRIKIANO WA POLISI JAMII UDUMISHWE KUPUNGUZA UHALIFU](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/viongozi-geita-wataka-ushirikiano-wa.html)

_2026-08-22 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Wananchi wa Mkoa wa Geita wametakiwa kuendelea kudumisha na kuimarisha ushirikiano uliopo kati ya Jeshi la Polisi Jamii na wananchi, ili kupunguza uhalifu katika maeneo mbalimbali mkoani humo. Wito huo umetolewa leo Agosti 22, 2026 wakati wa maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa mfumo wa Polisi Jamii nchini, yaliyofanyika katika Viwanja vya CCM Kalangalala mjini Geita.= Akizungumza katika…

## [Rais Samia Awaagiza Viongozi Kujiandaa Kukabiliana na Mvua Kubwa Zinazotarajiwa](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/rais-samia-awaagiza-viongozi-kujiandaa.html)

_2026-08-22 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Na Janeth Raphael - MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi katika ngazi mbalimbali za Serikali kuanza mara moja maandalizi ya kukabiliana na mvua kubwa zinazotarajiwa kunyesha nchini katika kipindi kijacho. Rais Samia amesema utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) unaashiria uwezekano wa kuwepo kwa mvua kubwa, hivyo amewataka…

## [JNHPP Yaweka Msingi Mpya wa Nishati, Tanzania Yaongeza Nguvu ya Uzalishaji Umeme](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/jnhpp-yaweka-msingi-mpya-wa-nishati.html)

_2026-08-22 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Na Janeth Raphael - MichuziTv PWANI: Tanzania imeingia katika hatua mpya ya sekta ya nishati baada ya Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) kuzinduliwa rasmi, huku mradi huo ukitarajiwa kuwa kichocheo muhimu cha shughuli za kiuchumi na kijamii nchini. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi huo leo, Jumamosi, Agosti 22, 2026, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia…

## [VETA YAJIPANGA UTEKELEZAJI WA DIRA YA TAIFA 2050, KUTUMIA NGUZO TATU MUHIMU.](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/veta-yajipanga-utekelezaji-wa-dira-ya.html)

_2026-08-22 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Na Belinda Joseph – Tanga Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetajwa kuwa moja ya taasisi muhimu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, kutokana na mchango wake katika kuwaandaa Watanzania wenye ujuzi unaohitajika katika uzalishaji na shughuli mbalimbali za kiuchumi. Akizungumza na Michuzi TV Agosti 21, 2026, Meneja Mahusiano na Masoko wa VETA, Sitta Peter, amesema…

## [TFS YATUMIA JOGGING KAMA SEHEMU YA KUJIIMARISHA KIAFYA](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/tfs-yatumia-jogging-kama-sehemu-ya.html)

_2026-08-22 · MICHUZI TV · MICHUZI BLOG_

WAFANYAKAZI wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Kanda ya Mashariki wamefanya mazoezi ya kukimbia umbali wa takribani kilomita saba katika eneo la Coco Beach jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya kujiweka katika hali nzuri ya kiafya na utayari wa kutekeleza majukumu yao. Akizungumza baada ya zoezi hilo leo Agosti 22, 2026 Jijini Dar es Salaam, Mhifadhi Mwandamizi wa TFS, Sunday Nachule,…

## [Rais Ruto awataka viongozi wa makanisa kuongoza mijadala ya kitaifa](https://swahili.kbc.co.ke/rais-ruto-awataka-viongozi-wa-makanisa-kuongoza-mijadala-ya-kitaifa/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=rais-ruto-awataka-viongozi-wa-makanisa-kuongoza-mijadala-ya-kitaifa)

_2026-08-22 · Dismas Otuke · KBC Swahili_

Akiwahutubia waumini wa kanisa la African Brotherhood Church (ABC) Women of Faith Congress katika chuo kikuu cha Machakos, siku ya Jumamosi,Rais alisema masuala muhimu ya taifa kama vile ruwaza ya mwaka 2030 yanapaswa kuwa kati ya masuala muhimu yanayoongozwa na kanisa. The post Rais Ruto awataka viongozi wa makanisa kuongoza mijadala ya kitaifa appeared first on KBC Swahili .

## [MANYARA TANZANITE MARATHON YALENGA SH1.5 BILIONI KUOKOA WATOTO NJITI](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/manyara-tanzanite-marathon-2026-mbio-za.html)

_2026-08-22 · MICHUZI TV · MICHUZI BLOG_

Manyara Tanzanite Marathon 2026, mbio za hisani zenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi na uwezeshaji wa wodi maalum ya kuwahudumia watoto njiti, zimefanyika leo katika Mji wa Babati, zikiwa na kaulimbiu “Hatua Moja, Okoa Maisha ya Mtoto Njiti.” Mbio hizo za hisani zimeongozwa na Mgeni Rasmi kwa niaba ya Waziri Mkuu, Mhe. Mwigulu Nchemba, Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Daniel Sillo,…

## [Tanzania yatoa msaada wa vifaa vya matibabu kwa DRC kukabiliana na Ebola](https://swahili.kbc.co.ke/tanzania-yatoa-msaada-wa-vifaa-vya-matibabu-kwa-drc-kukabiliana-na-ebola/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=tanzania-yatoa-msaada-wa-vifaa-vya-matibabu-kwa-drc-kukabiliana-na-ebola)

_2026-08-22 · Dismas Otuke · KBC Swahili_

DRC inatarajiwa pia kupokea dozi za chanjo Everbo kutoka Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) kusaidia kukabiliana na maambukizi mapya ya Ebola. The post Tanzania yatoa msaada wa vifaa vya matibabu kwa DRC kukabiliana na Ebola appeared first on KBC Swahili .

## [VIJIJI NA VITONGOJI VYOTE TANZANIA BARA KUWA NA UMEME KABLA YA MWAKA 2030](https://www.madelemonews.co.tz/2026/08/vijiji-na-vitongoji-vyote-tanzania-bara.html)

_2026-08-22 · Madelemo News · MADELEMO NEWS_

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa hatua kubwa iliyofikiwa katika kusambaza umeme nchini, huku akiwataka kuongeza kasi ya kufikisha huduma hiyo kwenye maeneo yaliyosalia. Rais Samia amesema Serikali imeendelea kupanua wigo wa upatikanaji wa umeme kwa wananchi kote nchini, ambapo hadi sasa vijiji vyote 12,318 na…

## [WADAU WA USAFIRI WAIOMBA SERIKALI KURUHUSU MABASI KUSHUSHA ABIRIA MTAANI](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/wadau-wa-usafiri-waiomba-serikali.html)

_2026-08-22 · MICHUZI TV · MICHUZI BLOG_

Na Mwandishi Wetu TAKRIBANI wiki moja tangu agizo la kuondoa Stendi za Mabasi mitaani lianze kutekelezwa Jijini Dar es Salaam, wadau mbalimbali wamedai kushangazwa na hatua hiyo na kuiomba Serikali kurejesha huduma hiyo ili kuwaondolea usumbufu wananchi. Wamesema hatua hiyo inatokana na ukweli kuwa wananchi wameanza 'kuonja joto la jiwe' kutokana na umbali kati ya mahali kilipo Kituo cha Mabasi…

## [Retro Grid Dungeon Crawler (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/XBRg1kHZfHbl)

_2026-08-22 · **Sponsored**_

Retro grid movement with first-person combat, loot and skill-tree progression.

## [NEMC NA JNHPP: USIMAMIZI WA MAZINGIRA KATIKA MIRADI YA KIMKAKATI](https://www.madelemonews.co.tz/2026/08/ndoto-imetimia-na-mpango-wa-kuwa-na.html)

_2026-08-22 · Madelemo News · MADELEMO NEWS_

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki kikamilifu katika uzinduzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), unaofanywa leo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa jukumu la lake la kusimamia na kudhibiti masuala ya mazingira katika miradi ya maendeleo nchini. Ushiriki wa NEMC katika…

## [NJIA ZA KUSAFIRISHA UMEME KUWA NGUZO YA KUPELEKA UMEME WA JNHPP KOTE NCHINI - NDEJEMBI](https://www.madelemonews.co.tz/2026/08/njia-za-kusafirisha-umeme-kuwa-nguzo-ya.html)

_2026-08-22 · Madelemo News · MADELEMO NEWS_

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema Serikali imeendelea kuimarisha miundombinu ya kusafirisha umeme ili kuhakikisha ongezeko la uzalishaji, hususan kutoka katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), linafika kwa uhakika katika maeneo mbalimbali nchini. Akizungumza leo Jumamosi, Agosti 22, 2026, wakati wa hafla ya uzinduzi wa kituo cha kuzalisha umeme cha Julius Nyerere, mgeni rasmi akiwa…

## [RAIS SAMIA AZINDUA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA JULIUS NYERERE](https://www.madelemonews.co.tz/2026/08/rais-samia-azindua-kituo-cha-kuzalisha.html)

_2026-08-22 · Madelemo News · MADELEMO NEWS_

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Jumamosi Agosti 22, 2026, amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), kilichopo Rufiji, Mkoa wa Pwani. JNHPP ni mradi mkubwa wa kimkakati katika sekta ya nishati nchini, wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115 kupitia mitambo tisa, kila mmoja ukiwa na uwezo wa Megawati 235. Mradi huo umegharimu…

## [Absa Tanzania Yaongeza Juhudi za Kuwawezesha Wasichana katika Teknolojia kupitia GirlCode Hackathon](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/absa-tanzania-yaongeza-juhudi-za.html)

_2026-08-22 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Benki ya Absa Tanzania, kwa kushirikiana na GirlCode, shirika lisilo la kiserikali lenye makao yake nchini Afrika Kusini linalolenga kuwawezesha wasichana kutoka mazingira yenye changamoto kwa kuwapatia ujuzi na rasilimali za kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika sekta ya teknolojia, imetangaza kurejea kwa mashindano ya GirlCode Tanzania Hackathon kwa mwaka wa pili mfululizo. Hatua hiyo…

## [RAIS SAMIA AWASILI JNHPP KWA UZINDUZI WA KITUO CHA UMEME](https://www.madelemonews.co.tz/2026/08/rais-samia-awasili-jnhpp-kwa-uzinduzi.html)

_2026-08-22 · Madelemo News · MADELEMO NEWS_

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika eneo la Mradi wa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), Rufiji, Mkoa wa Pwani, kwa ajili ya uzinduzi rasmi wa kituo hicho. Rais Samia alipowasili katika eneo la mradi, alisalimiana na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, pamoja na viongozi mbalimbali waliohudhuria tukio hilo. Uzinduzi wa…

## [VIONGOZI WAWASILI JNHPP KUSHUHUDIA UZINDUZI WA KITUO CHA UMEME](https://www.madelemonews.co.tz/2026/08/viongozi-wawasili-jnhpp-kushuhudia.html)

_2026-08-22 · Madelemo News · MADELEMO NEWS_

Viongozi mbalimbali wamewasili katika Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), kilichopo Rufiji, mkoani Pwani, kushuhudia uzinduzi rasmi wa kituo hicho. JNHPP kina uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme , hatua inayotarajiwa kuongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa Tanzania katika uzalishaji wa nishati ya umeme. Uzinduzi wa kituo hicho unaashiria hatua muhimu katika juhudi za Serikali…

## [UZINDUZI WA JNHPP KUWEKA HISTORIA MPYA KATIKA SEKTA YA NISHATI TANZANIA](https://www.madelemonews.co.tz/2026/08/uzinduzi-wa-jnhpp-waweka-historia-mpya.html)

_2026-08-22 · Madelemo News · MADELEMO NEWS_

Rufiji, Pwani — Agosti 22, 2026: Tanzania leo inaweka hatua nyingine muhimu katika sekta ya nishati kufuatia uzinduzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) unaofanyika katika eneo la Rufiji, Mkoa wa Pwani. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan , anatarajiwa kuongoza hafla hiyo ya uzinduzi wa mradi wenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 (MW) . Mradi huo…

## [Arsenal waanza kutetea ubingwa wa EPL kwa kishindo](https://swahili.kbc.co.ke/arsenal-waanza-kutetea-ubingwa-wa-epl-kwa-kishindo/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=arsenal-waanza-kutetea-ubingwa-wa-epl-kwa-kishindo)

_2026-08-22 · Dismas Otuke · KBC Swahili_

Arsenal walishinda taji hilo kwa mara ya kwanza Mei mwaka huu baada ya subira ya miaka 22, wakizoa pointi 82, kushinda mechi 25, kupiga sare saba na kupoteza tano. The post Arsenal waanza kutetea ubingwa wa EPL kwa kishindo appeared first on KBC Swahili .

## [Wanyonyi awika Laussane Diamond League](https://swahili.kbc.co.ke/wanyonyi-awika-laussane-diamond-league/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=wanyonyi-awika-laussane-diamond-league)

_2026-08-22 · Dismas Otuke · KBC Swahili_

Wanyonyi alitumia muda wa dakika 1 sekunde 42.19, kuvuka mstari wa mwisho na kudumisha uongozi wake msimu huu ambapo sasa amezoa pointi 35. The post Wanyonyi awika Laussane Diamond League appeared first on KBC Swahili .

## [PROF. NOMBO ATEMBELEA BANDA LA TUME YA TAIFA YA UNESCO MAONESHO YA WIKI YA ELIMU,TANGA](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/prof-nombo-atembelea-banda-la-tume-ya.html)

_2026-08-22 · Othman Michuzi · MICHUZI BLOG_

Na Julitha Mlay ,NATCOM KATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, ametembelea Banda la Tume ya Taifa ya UNESCO ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika maadhimisho ya Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu Kitaifa yanayoendelea jijini Tanga. Katika ziara hiyo, Prof. Nombo alipata fursa ya kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na Tume hiyo, pamoja na maudhui…

## [Build with the cheapest GPUs (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/Lng7Sads22YA)

_2026-08-22 · **Sponsored**_

Deployed a live API in minutes; one user spent under $10.

## [NEEMA: MKONDO WA AMALI WATOA FURSA KWA VIJANA KUJIAJIRI](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/neema-mkondo-wa-amali-watoa-fursa-kwa.html)

_2026-08-22 · Othman Michuzi · MICHUZI BLOG_

MWANAFUNZI wa Kidato cha Tatu katika Shule ya Ufundi Tanga, Neema Bundala akionesha uwezo wake wa kujua mfumo wa nchini unafavyofanya kazi kwenye Banda la NACTVET ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu inayoendelea katika katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, jijini Tanga. Na Mwandishi Wetu, Tanga MWANAFUNZI wa Kidato cha Tatu katika Shule ya Ufundi Tanga, Neema Bundala, amesema…

## [VETA TANGA YABUNI MASHINE YA KUTOTOLESHEA VIFARANGA 840](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/veta-tanga-yabuni-mashine-ya.html)

_2026-08-22 · Othman Michuzi · MICHUZI BLOG_

MWANAFUNZI wa Chuo cha VETA Tanga , Maria Moshi akizungumza na wananchi waliotembelea Banda la VETA kwenye ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu inayoendelea katika katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, jijini Tanga waliotaka kujua mashine ya kutoteleshea vifaranga. Na Mwandishi Wetu, Tanga CHUO cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Tanga kimebuni mashine ya kutotoleshea…

## [TCAA YAPONGEZWA KWA MABORESHO YA HUDUMA NA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA SEKTA YA ANGA](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/tcaa-yapongezwa-kwa-maboresho-ya-huduma.html)

_2026-08-22 · Othman Michuzi · MICHUZI BLOG_

WAZIRI wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa (Mb) akizungumza katika bamda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) alipotembelea wakati wa Kongamano la Nne la Kimataifa la Sekta ya Uchukuzi na Usafirishaji, linalofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imepongezwa kwa kuendelea kusimamia sekta ya usafiri wa anga kwa ufanisi na…

## [MEZA YA MAGAZETI LEO AGOSTI 22, 2026: HAYA NDIO YANAYOTAWALA KWENYE VICHWA VYA HABARI](https://www.madelemonews.co.tz/2026/08/meza-ya-magazeti-leo-agosti-22-2026.html)

_2026-08-22 · Madelemo News · MADELEMO NEWS_

Magazeti ya Tanzania leo, Jumamosi Agosti 22, 2026, yanaendelea kuangazia taarifa mbalimbali muhimu zinazogusa masuala ya kitaifa, uchumi, jamii, michezo na matukio yanayoendelea nchini na duniani. Katika Meza ya Magazeti ya Madelemo News , wasomaji wanapata muhtasari wa mada zinazovuta perhatian ya umma na ambazo zimepewa nafasi katika vyombo mbalimbali vya habari. UZINDUZI WA JNHPP RUFIJI…

## [VETA KUZALISHA WATAALAMU 400 WAZAWA KATIKA SEKTA YA MADINI](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/veta-kuzalisha-wataalamu-400-wazawa.html)

_2026-08-22 · Othman Michuzi · MICHUZI BLOG_

Afisa Uratibu wa Ukuzaji Mitaala wa VETA Mhandisi Audiface Tarimo akizungumza na waandishi wa habari katika Banda la VETA kwenye Wiki ya Kitaifa ya Elimu,Ujuzi na Ubunifu linalofanyika Shule ya Sekondari Usagara jijini Tanga. Na Mwandishi Wetu, Tanga MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inatarajia kuzalisha wataalamu wazawa wapatao 400 katika sekta ya madini baada ya wataalamu wake…

## [LST YAANZISHA MFUMO WA KIDIJITALI WA e-FIELD MIS 2026](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/lst-yaanzisha-mfumo-wa-kidijitali-wa-e.html)

_2026-08-22 · Othman Michuzi · MICHUZI BLOG_

Na Mwandishi Wetu, Tanga TAASISI ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) imeondoa matumizi ya karatasi kwa wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo sehemu za kazi (field) katika ofisi na taasisi mbalimbali nchini na kuanza kutumia mfumo wa kidijitali wa kusimamia mafunzo hayo unaotambulika kama LST e-FIELD MIS 2026. Hatua hiyo inalenga kurahisisha usimamizi wa mafunzo kwa vitendo…

## [Kampeni ya Chanjo ya Polio Yalenga Kuwafikia Watoto 207,096 Jijini Dodoma](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/kampeni-ya-chanjo-ya-polio-yalenga.html)

_2026-08-21 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Na. Mwandishi wetu, DODOMA Wizara ya Afya kupitia Idara ya Kinga, Sehemu ya Elimu ya Afya kwa Umma, imewataka wananchi wa Jiji la Dodoma kujitokeza na kuwapeleka watoto wenye umri wa chini ya miaka 10 kupata chanjo ya matone ya Polio, ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kuongeza kinga dhidi ya ugonjwa huo. Akizungumza kuhusu kampeni hiyo, Magdalena Dinawi kutoka Wizara ya Afya, Idara ya Kinga, alisema…

## [KAMATI YA BUNGE YAISHAURI SERIKALI KUONGEZA RUZUKU KWA TBA](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/kamati-ya-bunge-yaishauri-serikali.html)

_2026-08-21 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiomba Serikali kuongeza ruzuku kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), ili kuwezesha kuongeza kasi ya ujenzi wa nyumba za makazi ya watumishi wa umma nchini. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Selemani Kakoso, wakati wa ziara ya kukagua miradi ya nyumba za watumishi inayotekelezwa na TBA katika maeneo ya Kisasa na Nzuguni jijini Dodoma,…

## [VIJANA TANGA WABUNI TEKNOLOJIA YA KUWAOKOA WAVUVI](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/vijana-tanga-wabuni-teknolojia-ya.html)

_2026-08-21 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Na Oscar Assenga, TANGA Programu ya Tanga Yetu imeendelea kuwa chachu ya maendeleo kwa vijana na watoto wa Jiji la Tanga, kupitia miradi inayolenga kuimarisha elimu, ujuzi, teknolojia na ubunifu kwa ajili ya kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii. Akizungumza katika Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu, Afisa Mawasiliano wa Programu ya Tanga Yetu, Cliford Sangai, alisema programu…

## [TASAC YASHIRIKI MKUTANO WA NNE WA KIMATAIFA WA USAFIRISHAJI, LOJISTIKI NA USIMAMIZI](https://www.madelemonews.co.tz/2026/08/tasac-yashiriki-mkutano-wa-nne-wa.html)

_2026-08-21 · Madelemo News · MADELEMO NEWS_

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeshiriki katika Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Usafirishaji, Lojistiki na Usimamizi (ICTLM 2026), uliofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam. Mkutano huo umewakutanisha wadau kutoka sekta za usafirishaji, lojistiki, biashara na uchukuzi kwa lengo la kujadili fursa, changamoto na maendeleo katika sekta hizo, pamoja na kubadilishana uzoefu…

## [Non-custodial Crypto Payments & Escrow (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/2kIeh1HgLK0K)

_2026-08-21 · **Sponsored**_

Accept multi-chain crypto with trustless escrow, instant confirmations, and no KYC

## [BALOZI SALUM AZITAKA FCC, TBS NA WMA KUPAMBANA NA BIDHAA BANDIA NA DUNI.](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/balozi-salum-azitaka-fcc-tbs-na-wma.html)

_2026-08-21 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Mameneja wa Kanda na Mikoa wa Taasisi za Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Tume ya Ushindani (FCC) pamoja na Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) wameagizwa kuhakikisha hakuna bidhaa bandia na duni katika maeneo yao wanayoyasimamia kiutendaji. Maelekezo hayo yametolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mhe. Balozi Waziri Rajab Salum, wakati wa kikao cha menejimenti za Tume ya Ushindani…

## [GH Tanzania Yaadhimisha Miaka 15 ya Utumishi Kazini kwa Maafisa Wakaguzi na Askari.](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/gh-tanzania-yaadhimisha-miaka-15-ya.html)

_2026-08-21 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Maafisa Wakaguzi na Askari wa intake ya 20211/2012 maarufu kwa jina GH Tanzania wanatarajia kuadhimisha miaka 15 ya utumishi wao kazini katika hafla ambayo itakayofanyika Jumamosi, Agosti 22, 2026, katika Shule ya Msingi Mitindo, Misungwi mkoani Mwanza. Maadhimisho hayo yanatarajiwa kuwa sehemu muhimu ya kutathmini safari ya miaka 15 ya utumishi, huku yakilenga kuimarisha mshikamano, upendo na…

## [WAZIRI KAIRUKI AZINDUA AWAMU YA PILI YA FAIBA MLANGONI KWAKO, ATOA MAELEKEZO MANNE KWA TTCL](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/waziri-kairuki-azindua-awamu-ya-pili-ya.html)

_2026-08-21 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Na Mwandishi Wetu - Dar es Salaam Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki, ametoa maelekezo manne kwa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), akilitaka kuhakikisha Awamu ya Pili ya Mradi wa Faiba Mlangoni Kwako (Fiber to the Home – FTTH) inawanufaisha wananchi kwa kuwapatia huduma yenye ubora, uhakika na gharama nafuu. Waziri Kairuki ametoa maelekezo hayo…

## [RIHANNA AENDELEA KUFURAHIA MAISHA YA UMAMA NA WATOTO WAKE](https://www.madelemonews.co.tz/2026/08/rihanna-aendelea-kufurahia-maisha-ya.html)

_2026-08-21 · Madelemo News · MADELEMO NEWS_

Msanii maarufu wa muziki kutoka Barbados, Rihanna, ameendelea kuonyesha upande wake wa maisha ya familia huku akitumia muda zaidi pamoja na watoto wake. Baada ya kurejea kutoka Barbados, Rihanna alionekana kufurahia muda wa pamoja na watoto wake jijini New York. Wakati akiwa nchini kwao Barbados, msanii huyo aliwapa watoto wake nafasi ya kufurahia mazingira ya visiwani, ikiwemo kutembelea maeneo…

## [Kenya yaunga mkono ubunifu wa kidijitali](https://swahili.kbc.co.ke/kenya-yaunga-mkono-ubunifu-wa-kidijitali/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=kenya-yaunga-mkono-ubunifu-wa-kidijitali)

_2026-08-21 · Marion Bosire · KBC Swahili_

Kenya imethibitisha tena dhamira yake ya kuimarisha miundombinu ya kidijitali na kupokea teknolojia ibuka ili kuchochea ukuaji wa uchumi na kuiweka nchi katika nafasi ya kuwa kitovu kinachoongoza cha kidijitali barani Afrika. Katibu wa idara ya Utangazaji na Mawasiliano, Steve Isaboke, alisema hayo katika mkutano wa FiberHome World Tour, Kenya, uliofanyika katika Hoteli ya JW \[…\] The post Kenya…

## [KITUO CHA KURASINI KUANZA KUHUDUMIA MIZIGO NOVEMBA, KUPUNGUZA MSONGAMANO BANDARI YA DAR ES SALAAM](https://www.madelemonews.co.tz/2026/08/kituo-cha-kurasini-kuanza-kuhudumia.html)

_2026-08-21 · Madelemo News · MADELEMO NEWS_

Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema Kituo cha Lojistiki cha Kurasini kinachojengwa katika eneo la zamani la EPZA, Dar es Salaam, kinatarajiwa kuanza rasmi kuhudumia makasha ya mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam mwezi Novemba mwaka huu Prof. Mbarawa amesema hayo leo Agosti 21,2026,wakati akikagua maendeleo ya Mradi wa Upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam katika eneo hilo, akieleza…

## [Serikali na wadau wa ubunifu wahimiza ushirikiano](https://swahili.kbc.co.ke/serikali-na-wadau-wa-ubunifu-wahimiza-ushirikiano/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=serikali-na-wadau-wa-ubunifu-wahimiza-ushirikiano)

_2026-08-21 · Marion Bosire · KBC Swahili_

Wazo hilo lilitolewa na mkurugenzi wa Filamu katika Idara ya masuala ya vijana na uchumi wa ubunifu, kwenye kongamano la Behind the Scenes The post Serikali na wadau wa ubunifu wahimiza ushirikiano appeared first on KBC Swahili .

## [RC BURIAN ATOA MWELEKEO KWA WANANCHI 66 WA MSAKANGOTO](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/rc-burian-atoa-mwelekeo-kwa-wananchi-66.html)

_2026-08-21 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Na Oscar Assenga, MUHEZA MKUU wa Mkoa wa Tanga, Balozi Dkt. Batilda Burian, amewataka wananchi 66 wa Kitongoji cha Bago Maisha Plus ,Kijiji cha Msakangoto, Kata ya Kigombe wilayani Muheza, kuondoka katika eneo walilokuwa wakiishi na kuhamia eneo jipya lililotengwa na Serikali ya Kijiji, huku akiahidi kuwa Serikali itaendelea kuwasaidia katika kipindi cha mpito. Wananchi hao wamekumbwa na…

## [TANZANIA, UBELGIJI KUIMARISHA BIASHARA NA UWEKEZAJI](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/tanzania-ubelgiji-kuimarisha-biashara.html)

_2026-08-21 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Ubelgiji nchini Tanzania, Mhe. Lot Debruyne, katika Ofisi Ndogo za Wizara, jijini Dar es Salaam. Baada ya makabidhiano hayo, viongozi hao wamejadili namna ya kuendelea kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na ushirikiano kati ya…

## [Wachimbaji madini Tanzania kuanzisha benki](https://swahili.kbc.co.ke/wachimbaji-madini-tanzania-kuanzisha-benki/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=wachimbaji-madini-tanzania-kuanzisha-benki)

_2026-08-21 · Marion Bosire · KBC Swahili_

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emmanuel Tutuba, ameridhia kuanzishwa kwa Benki hiyo Maalum. The post Wachimbaji madini Tanzania kuanzisha benki appeared first on KBC Swahili .

## [Katibu Kipronoh asema serikali inanuia kuiboresha sekta ya chai](https://swahili.kbc.co.ke/katibu-kipronoh-asema-serikali-inanuia-kuiboresha-sekta-ya-chai/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=katibu-kipronoh-asema-serikali-inanuia-kuiboresha-sekta-ya-chai)

_2026-08-21 · Martin Mwanje · KBC Swahili_

Katika katika Wizara ya Kilimo Dkt. Kipronoh Ronoh leo Ijumaa amekutana na wakulima wa majani chai katika kiwanda cha Chelal katika kaunti ya Kericho. Ni wakati wa mkutano huo aliposisitiza dhamira ya serikali kuhakikisha sekta ya chai inakuwa ya kisasa, yenye ushindani na inayotoa kipaumbele kwa wakulima. Chelal ni miongoni mwa viwanda 17 vilivyo katika \[…\] The post Katibu Kipronoh asema serikali…

## [SIMANJIRO WAJIPANGA KUSHIRIKI MANYARA TANZANITE MARATHON 2026](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/simanjiro-wajipanga-kushiriki-manyara.html)

_2026-08-21 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MADIWANI, watumishi na baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wamejipanga kikamilifu kuhakikisha wanashiriki kwa wingi mbio za Manyara Tanzanite Marathon 2026 zinazotarajia kufanyika mjini Babati. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Kaleya Melita Mollel akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani amesema wamejipanga ipasavyo kushiriki…

## [FIFA YATOA ADHABU KALI KUFUATIA TUKIO LA FAINALI YA KOMBE LA DUNIA](https://www.madelemonews.co.tz/2026/08/fifa-yatoa-adhabu-kali-kufuatia-tukio.html)

_2026-08-21 · Madelemo News · MADELEMO NEWS_

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetoa adhabu kwa baadhi ya wachezaji na viongozi wa Argentina na Hispania kufuatia matukio yaliyotokea baada ya fainali ya Kombe la Dunia 2026 kati ya Hispania na Argentina. Tukio hilo lilitokea baada ya mchezo wa fainali, ambapo hali ya sintofahamu ilijitokeza kati ya baadhi ya wachezaji wa timu hizo. Miongoni mwa waliopewa adhabu kali ni kiungo wa Argentina,…

## [Arsenal kufungua Ligi Kuu Uingereza Ijumaa dhidi ya Coventry](https://swahili.kbc.co.ke/arsenal-kufungua-ligi-kuu-uingereza-ijumaa-dhidi-ya-coventry/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=arsenal-kufungua-ligi-kuu-uingereza-ijumaa-dhidi-ya-coventry)

_2026-08-21 · Dismas Otuke · KBC Swahili_

Arsenal walishinda taji hilo kwa mara ya kwanza Mei mwaka huu baada ya subira ya miaka 22, wakizoa pointi 82, kushinda mechi 25, kupiga sare saba na kupoteza tano. The post Arsenal kufungua Ligi Kuu Uingereza Ijumaa dhidi ya Coventry appeared first on KBC Swahili .

## [SUZA YATUMIA TAFITI KUTATUA CHANGAMOTO ZA JAMII.](https://www.michuzi.co.tz/2026/08/suza-yatumia-tafiti-kutatua-changamoto.html)

_2026-08-21 · Ahmad Michuzi · MICHUZI BLOG_

Na Belinda Joseph – Tanga CHUO Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimeeleza namna tafiti zinazofanywa na chuo hicho zinavyolenga kutatua changamoto za wananchi na kuchochea maendeleo ya Taifa, ikiwemo sekta ya uvuvi na madini. Akizungumza katika Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu inayoendelea Tanga, Makamu Mkuu wa SUZA, Prof. Said Ali Hamad Vuai, amesema chuo hicho kinafanya utafiti wa…

## [Vijana 3 wajeruhiwa Mombasa katika kisa cha ufyatuaji risasi](https://swahili.kbc.co.ke/vijana-3-wajeruhiwa-mombasa-katika-kisa-cha-ufyatuaji-risasi/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=vijana-3-wajeruhiwa-mombasa-katika-kisa-cha-ufyatuaji-risasi)

_2026-08-21 · KBC Digital News · KBC Swahili_

Kamanda wa Polisi katika kaunti ya Mombasa Stella Jerono amethibitisha kisa cha ufyatuaji risasi kilichohusisha mlinzi wa Gavana wa Mombasa Abdullswamad Sherrif Nassir na vijana. Kisa hicho kilitokea leo Ijumaa wakati wa mkutano uliofanyika katika uwanja wa Bomu, kaunti ndogo ya Changamwe. Vijana hao walidaiwa kupigwa risasi mkutano huo ulipogeuka kuwa wenye vurugu walipoanza kutoa \[…\] The post…

## [Serikali yatenga bilioni 1.4 kwa usambazaji umeme Busia](https://swahili.kbc.co.ke/serikali-yatenga-bilioni-1-4-kwa-usambazaji-umeme-busia/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=serikali-yatenga-bilioni-1-4-kwa-usambazaji-umeme-busia)

_2026-08-21 · KBC Digital News · KBC Swahili_

Waziri wa Nishati Opiyo Wandayi anasema serikali imetenga shilingi bilioni 1.46 za kuunganisha umeme katika zaidi ya nyumba 17,000 katika kaunti ya Busia. Akizungumza katika vijiji vya Mabunge na Muramia katika kaunti ndogo ya Nambale, Wandayi amesema hatua hiyo inalenga kupanua upatikanaji wa umeme na kuboresha mapato ya wakazi wa eneo hilo. Aliongeza kuwa eneo \[…\] The post Serikali yatenga…

## [Kindiki asema serikali iko katika mwelekeo sahihi wa maendeleo](https://swahili.kbc.co.ke/kindiki-asema-serikali-iko-katika-mwelekeo-sahihi-wa-maendeleo/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=kindiki-asema-serikali-iko-katika-mwelekeo-sahihi-wa-maendeleo)

_2026-08-21 · Marion Bosire · KBC Swahili_

Amewasihi Wakenya kuunga mkono Rais William Ruto katika azma yake ya kuchaguliwa tena. The post Kindiki asema serikali iko katika mwelekeo sahihi wa maendeleo appeared first on KBC Swahili .

## [Maandalizi ya siku kuu ya Mashujaa yashika Kasi](https://swahili.kbc.co.ke/maandalizi-ya-siku-kuu-ya-mashujaa-yashika-kasi/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=maandalizi-ya-siku-kuu-ya-mashujaa-yashika-kasi)

_2026-08-21 · Marion Bosire · KBC Swahili_

Maandalizi ya sherehe za mwaka huu za siku kuu ya Mashujaa yamezidi kushika kasi, huku kaunti za Elgeyo-Marakwet, Nandi na Uasin Gishu zikitarajiwa kuandaa hafla hiyo ya kitaifa kwa pamoja. Waziri wa Usalama wa Ndani, Kipchumba Murkomen, alisema maandalizi yanaendelea vizuri baada ya kuanza ziara ya kukagua miradi inayohusishwa na sherehe hizo katika kaunti hizo \[…\] The post Maandalizi ya siku kuu…

## [Vinka aahidi burudani ya kipekee](https://swahili.kbc.co.ke/vinka-aahidi-burudani-ya-kipekee/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=vinka-aahidi-burudani-ya-kipekee)

_2026-08-21 · Marion Bosire · KBC Swahili_

Anaandaa tamasha ya "Vinka Live and Loud", leo Ijumaa Agosti 21, 2026 katika uwanja wa Lugogo jijini Kampala. The post Vinka aahidi burudani ya kipekee appeared first on KBC Swahili .

