# ccm (blogs) — RSS Amplifier

Recent posts from the 2 feeds in the RSS Amplifier directory that cover ccm.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/ccm/blogs>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/ccm/blogs.md>

---

## [HATIMAYE](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/22/hatimaye/)

_2026-08-22 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Waandishi Wetu HATIMAYE ile siku iliyosubiriwa kwa hamu na Watanzania, ni leo, ambayo Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amezindua Bwawa la kihistoria la kuzalisha umeme la Julius Nyerere (JNHHP). JNHPP ni maono ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, aliyoyajenga na waasisi wenzake kuanzia mwaka 1976, hatimaye leo yametimia chini ya uongozi imara wa Rais \[…\]

## [SAFARI KUTOKA STIEGLER’S GORGE HADI BWAWA LA JULIUS NYERERE](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/22/safari-kutoka-stieglers-gorge-hadi-bwawa-la-julius-nyerere/)

_2026-08-22 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Ramadhani Semtawa ILIKUWA ndoto sasa ni halisi. Ndicho kinachoshuhudiwa na kusikika leo, kwa taifa kuzindua mradi mkubwa wa umeme wa Julius Nyerere, ambao awali ulijulikana Stiegler’s Gorge. Ni mradi wa kihistoria unaoendeleza msingi wa taifa kujitegemea, kwani unapunguza utegemezi wa ununuzi wa umeme kutoka nchi jirani na kulifanya taifa kuwa na zaida ya kuuza \[…\]

## [The problem with workarounds is that they work: CCM Part 3 YT video](https://safetyinsights.org/2026/08/22/the-problem-with-workarounds-is-that-they-work-ccm-part-3-yt-video/)

_2026-08-21 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

The problem with workarounds is that they work, so says Amy Edmondson. And some of the strongest evidence that a barrier/control is weak, can be found by exploring normal, daily work, which can reveal workarounds. In Part 3 of my Critical Control / Barrier series, I explore human factors & human performance within barrier systems.… Continue reading The problem with workarounds is that they work:…

## [TUNDU LISSU AKUTWA NA KESI YA KUJIBU](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/tundu-lissu-akutwa-na-kesi-ya-kujibu/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI WETU MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imemkuta Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ana kesi ya kujibu katika shauri la uhaini linalomkabili. Akisoma uamuzi huo Leo Agosti 21, 2026, Jaji Ndunguru, anayeongoza jopo la majaji linalosikiliza shauri hilo, amesema mahakama imejiridhisha kuwa upande wa \[…\]

## [I&#8217;m speaking at a webinar with Greg Smith &#038; Renae Harding: &#8216;The Role of Audits in WHS Assurance&#8217;](https://safetyinsights.org/2026/08/21/im-speaking-at-a-webinar-with-greg-smith-renae-harding-the-role-of-audits-in-whs-assurance/)

_2026-08-21 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

Register below for a webinar with Greg Smith & Renae Harding where I’ll be presenting my audit research findings – 27th Aug 11am Bris time. Register: https://events.teams.microsoft.com/event/3481d752-09e1-43af-8c03-6c4809e595ee@6b9b3793-91ec-4aa1-88e6-a320740038ab?source=copyLinkLegacyShareEventDialog

## [KUNENGE: JNHPP KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME NCHINI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/kunenge-jnhpp-kuimarisha-upatikanaji-umeme-nchini/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Pwani Na Mwamvua Mwinyi MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema uzinduzi wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), utakaofanyika kesho wilayani Rufiji mkoani hapa, ni atua kubwa ya kihistoria katika kuimarisha upatikanaji nishati ya uhakika nchini. Mradi huo wenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme unaotekelezwa kwa asilimia 60 katika \[…\]

## [CCM YATAKA VIONGOZI WASIOYUMBA -WASIRA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/ccm-yataka-viongozi-wasioyumba-wasira/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Iramba NA MWANDISHI WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amekemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya Chama, akisisitiza umuhimu wa kuzingatia haki kwa kutoegemea maslahi binafsi. Amesema CCM inahitaji viongozi wasioyumba katika masuala ya msingi, hivyo wanachama wanapaswa kuwapa uongozi watu wenye sifa za uadilifu. Wasira aliyasema hayo alipozungumza na \[…\]

## [What happens when AI does the best part of your job? YT Shorts](https://safetyinsights.org/2026/08/21/what-happens-when-ai-does-the-best-part-of-your-job-yt-shorts/)

_2026-08-20 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

AI was supposed to take away the boring or repetitive parts of work. But, now it’s stepping into creative work, and that can change how meaningful a job feels. This YT Short unpacks a study which explored the downstream effects on work meaningfulness, autonomy, skill utilisation, and work identity, when AI takes the creative parts… Continue reading What happens when AI does the best part of your…

## [Tweaking accident investigations for better learning &#8211; webinar](https://safetyinsights.org/2026/08/21/tweaking-accident-investigations-for-better-learning-webinar/)

_2026-08-20 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

Hey friends – I’ll be joining SÄKU to discuss some traps and ways to tweak investigations to enhance learning on Oct 8th. Register: https://en.xn--sku-qla.se/events/tweaking-accident-investigations-to-gain-better-organisational-learning-with-ben-hutchinson

## [CCM INAHESHIMU UPINZANI–KIHONGOSI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/20/ccm-inaheshimu-upinzani-kihongosi/)

_2026-08-20 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na REHEMA MAIGALA KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema Chama kinaheshimu maoni ya wanasiasa na vyama vyote vya upinzani. MAWAZO MBADALA Pia, CCM imesisitiza iko tayari kuyafanyia kazi mawazo yenye msingi kutoka kwa vyama vya upinzani kwa maslahi mapana ya nchi. Kihongosi alisema hayo jijini Dar \[…\]

## [AI publishing with human taste (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/0VlQnWycEXeH)

_2026-08-20 · **Sponsored**_

Convert AI research into blogs, podcasts, and newsletters with optional human review.

## [PROF. KABUDI AWATAKA WANANCHI KUZINGATIA TAHADHARI ZA MAAFA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/20/prof-kabudi-awataka-wananchi-kuzingatia-tahadhari-za-maafa/)

_2026-08-20 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na, Mwandishi wetu – Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu–Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi kuzingatia tahadhari na maelekezo yanayotolewa na wataalamu na mamlaka husika ili kupunguza madhara yanayotokana na majanga na maafa. Prof. Kabudi ametoa wito huo Agosti 19, 2026, akizungumza katika maadhimisho ya Siku \[…\]

## [WASIRA ATAKA WANA CCM WAKUTANE, WASIINGIE MKENGE KWA MANENO YA MITANDAONI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/wasira-ataka-wana-ccm-wakutane-wasiingie-mkenge-kwa-maneno-ya-mitandaoni/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu – Singida MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka wanachama wa CCM kukutana mara kwa mara katika vikao rasmi vya chama ili kujadili masuala muhimu na kuepuka kupotoswa na taarifa zisizo na ukweli zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii. Akizungumza leo Agosti 19, 2026 Wilaya ya Ikungi mkoani Singida \[…\]

## [TUTAENDELEA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO YA UKIMWI &#8211; YONAZI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/tutaendelea-kuongeza-nguvu-mapambano-ya-ukimwi-yonazi/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI MAALUMU, Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, kuhakikisha Tanzania inatokomeza virusi hivyo ifikapo mwaka 2030.Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na…

## [KETE NGUMU SIMBA, PAMBA JIJI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/kete-ngumu-simba-pamba-jiji/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na NASRA KITANA KIKOSI cha Simba leo kinashuka dimbani katika mchezo namba mbili, kumenyana na Pamba Jiji katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Simba itakuwa ugenini kupepetana na Pamba Jiji katika mechi itakayopigwa dimba la CCM Kirumba, Mwanza kuanzia majira ya saa 10:00 jioni. Timu hiyo yenye maskani yake Mtaa \[…\]

## [MIAKA 50 YA UPUNGUFU WA MAFUTA YA KULA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/miaka-50-ya-upungufu-wa-mafuta-ya-kula/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na JOE NAKAJUMO MOJA ya malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni Tanzania kuwa mzalishaji mkuu wa chakula Afrika na kuwa miongoni mwa nchi 10 bora katika uzalishaji wa chakula. Kwa miaka kadhaa mfululizo, uzalishaji wa mazao ya chakula umekuwa ukiongezeka. Tani milioni 18 za mazao ya chakula zilizalishwa mwaka 2020/2021 na ziliongezeka hadi tani milioni \[…\]

## [Impact of Resilience Engineering on Physical Symptoms of Construction Workers](https://safetyinsights.org/2026/08/19/impact-of-resilience-engineering-on-physical-symptoms-of-construction-workers/)

_2026-08-18 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

What does Resilience Engineering reveal about construction workers’ physical and psychological symptoms? This study surveyed 741 workers from China exploring the above question. PS. Check out my YouTube and recent Critical Control / barrier vid: https://youtu.be/Ly1mEn\_KCLQ?si=yG3yRVOM0r2eyyKI Shout a coffee: https://buymeacoffee.com/benhutchinson Extracts: · Dynamic safety capability refers to…

## [NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA BWAWA LA JULIUS NYERERE YA CHALINZE &#8211; DODOMA IMEKAMILIKA: MRAMBA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/njia-ya-kusafirisha-umeme-kutoka-bwawa-la-julius-nyerere-ya-chalinze-dodoma-imekamilika-mramba/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI WETU KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma imekamilika hatua itakayowezesha umeme unaozalishwa katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) kufika Dodoma kupitia Chalinze. Mramba ameyasema hayo leo, Agosti 18, 2026, akikagua hatua \[…\]

## [SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA AFUA ZA UKIMWI NCHINI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/serikali-kuendelea-kuimarisha-afua-za-ukimwi-nchini/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu, MWANZA SERIKALI imesema imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za ukimwi nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza ushirikiano na wadau katika kuendeleza mapambano dhidi ya virusi hivyo. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, alipotembelea na \[…\]

## [FVS MWAROBAINI TLP KUPUNGUZA MAKOSA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/fvs-mwarobaini-tlp-kupunguza-makosa/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

ABDUL DUNIA Na NASRA KITANA WAKATI mechi za mzunguko wa kwanza Ligi Kuu Tanzania Bara, msimu huu, zikimalizika mwisho mwa wiki, Teknolojia ya Usaidizi wa Video (FVS), imeelezwa inaweza kuwa tiba ya makosa ya waamuzi na kuleta usawa kwa timu katika kuamua matukio uwanjani. FVS ilianza kutumika katika mechi ya Ngao ya Jamii, iliyochezwa wiki \[…\]

## [What makes a safety control “enough” for high-energy hazards? Defining and testing acceptable alternative controls when a Direct Control is not feasible](https://safetyinsights.org/2026/08/18/what-makes-a-safety-control-enough-for-high-energy-hazards-defining-and-testing-acceptable-alternative-controls-when-a-direct-control-is-not-feasible/)

_2026-08-17 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

When no Direct Control (DC) is appropriate, how do we decide when alternative measures are sufficient? This study developed decision aids for answering that question and tested whether the rules helped practitioners make more consistent decisions when judging Alternative Controls (AC). Shared under an open access licence. PS. Check out my YouTube and recent Critical… Continue reading What makes a…

## [Retro Grid Dungeon Crawler (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/Gm5qpbfgsdDy)

_2026-08-17 · **Sponsored**_

Retro grid movement with first-person combat, loot and skill-tree progression.

## [MKUCHIKA, LUBINGA, MNDOLWA WASIFU USHIRIKIANO CCM, SWAPO](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/17/mkuchika-lubinga-mndolwa-wasifu-ushirikiano-ccm-swapo/)

_2026-08-17 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na SIMON NYALOBI BAADHI ya wanasiasa wakongwe nchini, wamesema ushirikiano baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vya ukombozi Kusini mwa Afrika, umezidi kuimarika. Waliyasema hayo zikiwa ni siku chache baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, kufanya mazungumzo na Katibu wa Chama cha SWAPO cha Namibia, Sophia Shaningwa. Dk. Migiro na \[…\]

## [Part 3 &#8211; Critical Control / Barriers: Human Factors &#038; realistic human performance expectations](https://safetyinsights.org/2026/08/17/part-3-critical-control-barriers-human-factors-realistic-human-performance-expectations/)

_2026-08-16 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

Ogres have layers, and so do barriers. Human performance isn’t separate from the barrier system, rather in socio-technical environments, human action is often a key mechanism through which a barrier functions. In part 3 of the Critical Control / Barrier series, we unpack how to properly specify human performance as a credible control without straying… Continue reading Part 3 – Critical Control /…

## [Interpretive Debt: How Organisations Accumulate Hidden Liabilities When Humans Defer Sensemaking to Automated Systems](https://safetyinsights.org/2026/08/15/interpretive-debt-how-organisations-accumulate-hidden-liabilities-when-humans-defer-sensemaking-to-automated-systems/)

_2026-08-14 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

Does deferring decision-making to automated systems degrade our ability to understand our own organisations? This Weickian sensemaking theory article argues ‘Perhaps’ – what they call interpretive debt. E.g. a loan officer dets a ‘decline’ flag from an AI tool but accepts the recommendation without reviewing the applicant’s bank statements, or a manager relies on a… Continue reading Interpretive…

## [Does it matter who manages daily ‘safety’ in a business? YT Shorts](https://safetyinsights.org/2026/08/14/does-it-matter-who-manages-daily-safety-in-a-business-yt-shorts/)

_2026-08-13 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

Does it matter who manages daily ‘safety’ in a business? According to a ~32-country study, maybe. When business owners take direct control of day-to-day safety decisions and responsibilities, workplace accident rates worsened. So who delivered better results: safety officers or employee reps? Check the video to find out. PS. I expect some will challenge the… Continue reading Does it matter who…

## [Does the absence of incidents tell you how well risks are managed?](https://safetyinsights.org/2026/08/13/does-the-absence-of-incidents-tell-you-how-well-risks-are-managed/)

_2026-08-13 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

Does the absence of incidents tell you how well risks are managed? In part 1 of our chat, Marcin Nazaruk explores why traditional ‘safety approaches’ can miss things like: 1. The normal variability in how work is performed every day 2. Constraints that limit or shape workers’ available choices 3. And error traps that make… Continue reading Does the absence of incidents tell you how well risks are…

## [&#8216;All useful systems are sociotechnical&#8217; &#8211; Part 2 extracts from Leveson&#8217;s book](https://safetyinsights.org/2026/08/13/all-useful-systems-are-sociotechnical-part-2-extracts-from-levesons-book/)

_2026-08-12 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

‘All useful systems are sociotechnical’ Part 2 extracts from Leveson’s ‘An introduction to Systems Engineering’. This is from a systems engineering & cybernetics perspective. PS. Check out my YouTube and recent Critical Control / barrier vid: https://youtube.com/@safe\_as\_pod?si=iUaDPJynPemQRZhY Shout a coffee: https://buymeacoffee.com/benhutchinson · Leveson argues that “All useful systems are…

## [What happens when operators misunderstand the design and designers misunderstand the operators?](https://safetyinsights.org/2026/08/12/what-happens-when-operators-misunderstand-the-design-and-designers-misunderstand-the-operators/)

_2026-08-11 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

What happens when operators misunderstand the design and designers misunderstand the operators? Couple of partial extracts from Busby & Hibberd’s 2002 article which explored accident report sources to construct mismatches between operator and designer assumptions. PS. Check out my YouTube and recent Critical Control / barrier vid: https://youtube.com/@safe\_as\_pod?si=iUaDPJynPemQRZhY Shout a…

## [Rework as a systemic risk amplifier: Exposure-normalized modeling of safety frequency and severity](https://safetyinsights.org/2026/08/11/rework-as-a-systemic-risk-amplifier-exposure-normalized-modeling-of-safety-frequency-and-severity/)

_2026-08-10 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

Does construction rework act as a safety risk amplifier? This study from Peter E.D Love analysed data from 599 projects. PS. Check out my YouTube and recent Critical Control / barrier vid: https://youtube.com/@safe\_as\_pod?si=iUaDPJynPemQRZhY Shout a coffee: https://buymeacoffee.com/benhutchinson Extracts:· “Rework is not only a response to quality deviations but also an activity that alters task…

## [Dr Marcin Nazaruk Part 1: HOP, New View, Learning from Daily Work](https://safetyinsights.org/2026/08/10/dr-marcin-nazaruk-part-1-hop-new-view-learning-from-daily-woek/)

_2026-08-09 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

Today I chat with Dr Marcin Nazaruk, who shares his practical experience and research on learning from daily work and application on Safety-II and HOP principles to improve learning and risk management. The discussion also explores themes around risk controls, work constraints, risk assessments, and error traps. Check out Part 1 and please help like… Continue reading Dr Marcin Nazaruk Part 1: HOP,…

## [Blame has more layers, like Ogres, compared to praise: &#8216;asymmetric morality&#8217;](https://safetyinsights.org/2026/08/08/blame-has-more-layers-like-ogres-compared-to-praise-asymmetric-morality/)

_2026-08-07 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

Ogres have layers. And apparently so too blame more than praise! This explored whether we judge negative behaviour differently from positive behaviour via blame & praise. PS. Check out my YouTube and recent Critical Control / barrier vid: https://youtube.com/@safe\_as\_pod?si=iUaDPJynPemQRZhY Shout a coffee: https://buymeacoffee.com/benhutchinson Tl;dr: blame and praise aren’t opposite versions of…

## [Build with the cheapest GPUs (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/yJpeZNUqjqr3)

_2026-08-07 · **Sponsored**_

Deployed a live API in minutes; one user spent under $10.

## [Does adding more checks make work &#8216;safer&#8217;? Critical Controls part 2](https://safetyinsights.org/2026/08/07/does-adding-more-checks-make-work-safer-critical-controls-part-2/)

_2026-08-07 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

Does adding more checks and more people make work ‘safer’? I think it’s an easy assumption to make, but in Part 2 of my Critical Control / Barrier / Safeguard series, we explore why this may not be an ideal assumption. Two related ideas are: 1. The fallacy of independence: Several controls can share the… Continue reading Does adding more checks make work ‘safer’? Critical Controls part 2

## [Haddon 1974: Why do we blame people instead of fixing a poorly designed system?](https://safetyinsights.org/2026/08/06/haddon-1974-why-do-we-blame-people-instead-of-fixing-a-poorly-designed-system/)

_2026-08-06 · Ben Hutchinson · SafetyInsights.org_

Why do we blame people for failing to compensate for a poorly designed system? A cool extract from Baker & Haddon’s 1974 article about people and poor design (in my view, Haddon is among the GOATs). They argue that ‘traditionally’ (lolz those silly dark age people of yesteryear, not like us modern elites who stopped… Continue reading Haddon 1974: Why do we blame people instead of fixing a poorly…

