# burudani (blogs) — RSS Amplifier

Recent posts from the 5 feeds in the RSS Amplifier directory that cover burudani.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/burudani/blogs>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/burudani/blogs.md>

---

## [WAPINZANI WASIFU UJASIRI WA SERIKALI MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/wapinzani-wasifu-ujasiri-wa-serikali.html)

_2026-08-21 · SI Media · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

Aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Makini, Coster Kibonde alisema uthubutu aliouonesha Rais Samia Suluhu Hassan kutekeleza mradi wa Kituo cha kuzalisha umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) kupitia fedha za ndani unadhihirisha serikali imejipanga kuongeza tija kwenye maendeleo ya nchi. Alisema hayo akizungumzia uzinduzi rasmi wa kituo hicho utakaofanywa na Rais Samia hapo kesho. “Naipongeza…

## [WASIRA ATAKA MAKUNDI YOTE TUME YA MARIDHIANO](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/wasira-ataka-makundi-yote-tume-ya.html)

_2026-08-21 · SI Media · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema ni muhimu kwa tume itakayoundwa kwa ajili ya mchakato wa maridhiano ishirikishe makundi yote ili kupata mwafaka wa kitaifa. Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira alisema hayo alipozungumza na Kituo cha televisheni cha UTV cha Kampuni ya Azam Media ya Dar es Salaam juzi. “Maridhiano ya kweli ni kuwaleta Watanzania katika makundi mbalimbali pamoja..Tume lazima…

## [PROF. SHEMDOE AWAASA VIONGOZI SERIKALI ZA MITAA KUEPUKA MIGOGORO ILI KUONGEZA UFANISI WA HUDUMA KWA WANANCHI](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/prof-shemdoe-awaasa-viongozi-serikali.html)

_2026-08-21 · Post · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewaasa viongozi katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuepuka migogoro miongoni mwao na baina yao na watumishi wanaowaongoza, akisisitiza kuwa migogoro mahali pa kazi inakwamisha ufanisi na azma ya Serikali ya kuwapelekea wananchi…

## [FIKRA MPYA YAWANOA MACHAMPION WA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/blog-post_694.html)

_2026-08-21 · Maduhu · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

FIKRA MPYA YAWANOA MACHAMPION WA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA Na Marco Maduhu, SHINYANGA Shirika la Fikra Mpya limeendesha mafunzo kwa machampion wa kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia, ambao watahusika kuwezesha upatikanaji wa haki kwa manusura wa vitendo hivyo. TAZAMA VIDEO 👇👇 Akizungumza katika mafunzo hayo, Mkurugenzi wa Shirika la Fikra Mpya, Leah Josiah, amesema shirika hilo…

## [KAHAMA: MWENGE WA UHURU WAZINDUA JENGO LA WARAIBU WA DAWA ZA KULEVYA](http://www.huheso.co.tz/2026/08/kahama-mwenge-wa-uhuru-wazindua-jengo.html)

_2026-08-21 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Na Neema Nkumbi, Kahama Mkuu wa wilaya ya Kahama Frank Nkinda ameupokea mwenge wa uhuru leo agosti 21, 2026 kutoka wa Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Julius Mtatiro. Mwenge wa Uhuru umezindua jengo maalumu la kuhudumia waraibu wa dawa za kulevya lililopo katika Hospitali ya Manispaa ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga, lililogharimu zaidi ya Shilingi milioni 467. Jengo hilo limejengwa kwa ufadhili wa…

## [MWENGE WARIDHISHWA NA UKARABATI WA MADARASA SHULE YA SEKONDARI OLD SHINYANGA](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/blog-post_21.html)

_2026-08-21 · Maduhu · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

MWENGE WARIDHISHWA NA UKARABATI WA MADARASA SHULE YA SEKONDARI OLD SHINYANGA Na Marco Maduhu, SHINYANGA Mwenge wa Uhuru umekagua na kuridhishwa na ukarabati wa vyumba vinne vya madarasa katika shule ya Sekondari Old Shinyanga, uliogharimu Shilingi milioni 58, fedha kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga na Serikali Kuu. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Wazo Mwang’onda, akizungumza…

## [TUNDU LISSU AKUTWA NA KESI YA KUJIBU](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/tundu-lissu-akutwa-na-kesi-ya-kujibu/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI WETU MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imemkuta Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ana kesi ya kujibu katika shauri la uhaini linalomkabili. Akisoma uamuzi huo Leo Agosti 21, 2026, Jaji Ndunguru, anayeongoza jopo la majaji linalosikiliza shauri hilo, amesema mahakama imejiridhisha kuwa upande wa \[…\]

## [MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA KAHAMA, MIRADI 21 YENYE THAMANI YA BILIONI 5.4 YAKAGULIWA](http://www.huheso.co.tz/2026/08/mwenge-wa-uhuru-wapokelewa-kahama.html)

_2026-08-21 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Na Neema Nkumbi, Kahama Mwenge wa Uhuru umepokelewa katika Wilaya ya Kahama na kufanya ziara ya kukagua miradi 21 ya maendeleo yenye thamani ya Shilingi bilioni 5.4. Katika ziara hiyo, Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la msingi katika ujenzi wa madarasa matatu katika Shule ya Sekondari Kagongwa, mradi wenye thamani ya Shilingi milioni 70.4. Kati ya fedha hizo, Shilingi milioni 63 zimetokana na mapato…

## [KUNENGE: JNHPP KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME NCHINI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/kunenge-jnhpp-kuimarisha-upatikanaji-umeme-nchini/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Pwani Na Mwamvua Mwinyi MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema uzinduzi wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), utakaofanyika kesho wilayani Rufiji mkoani hapa, ni atua kubwa ya kihistoria katika kuimarisha upatikanaji nishati ya uhakika nchini. Mradi huo wenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme unaotekelezwa kwa asilimia 60 katika \[…\]

## [CCM YATAKA VIONGOZI WASIOYUMBA -WASIRA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/21/ccm-yataka-viongozi-wasioyumba-wasira/)

_2026-08-21 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Iramba NA MWANDISHI WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amekemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya Chama, akisisitiza umuhimu wa kuzingatia haki kwa kutoegemea maslahi binafsi. Amesema CCM inahitaji viongozi wasioyumba katika masuala ya msingi, hivyo wanachama wanapaswa kuwapa uongozi watu wenye sifa za uadilifu. Wasira aliyasema hayo alipozungumza na \[…\]

## [Point a Domain, Start a Pit (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/lZGuJuo0ZSG8)

_2026-08-21 · **Sponsored**_

Point any domain to a blacked-out, poison-green coming-soon page with an email waitlist.

## [MAGAZETI YA LEO IJUMAA AGOSTI 21, 2026](http://www.huheso.co.tz/2026/08/magazeti-ya-leo-ijumaa-agosti-21-2026.html)

_2026-08-21 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

https://account.jubna.com/en/rferl/MTk0ODA~

## [REDESO, VETA WAFUNDISHA WAKUFUNZI NISHATI SAFI](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/redeso-veta-wafundisha-wakufunzi.html)

_2026-08-20 · Post · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Shirika la Relief to Development Society (REDESO) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) limetoa mafunzo kwa wakufunzi 12 kutoka vyuo vya VETA kuwa wakufunzi wa wakufunzi (Trainers of Trainers - ToT) katika teknolojia za nishati safi. Wakufunzi…

## [(untitled)](http://www.huheso.co.tz/2026/08/mboi-mhita-shinyanga-kuhakikisha-hakuna.html)

_2026-08-20 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

MBOI MHITA: SHINYANGA KUHAKIKISHA HAKUNA UHABA WA MADARASA, MADAWATI NA VITI Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita, amesema mkoa huo unaendelea kukagua na kuboresha miradi mbalimbali ya maendeleo, ikiwemo miradi ambayo Mwenge wa Uhuru utapita, huku akisisitiza kuhakikisha hakuna uhaba wa madarasa, viti, meza na madawati katika shule za mkoa huo. Mboni amesema baada ya kukabidhiwa Mwenge wa Uhuru…

## [RAIS SAMIA, BENKI YA DUNIA WAJADILI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUHARAKISHA MAGEUZI YA KIUCHUMI](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/rais-samia-benki-ya-dunia-wajadili.html)

_2026-08-20 · SI Media · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Agosti20,2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini, Bw. Ndiame Diop. Mazungumzo yao yamelenga kuharakisha uwekezaji wa kimkakati unaolenga kuchochea mabadiliko makubwa ya kiuchumi. Katika mazungumzo hayo Rais Dkt. Samia ameishukuru Benki ya Dunia kwa…

## [SERIKALI YAWASILISHA RASIMU YA MWONGOZO WA URATIBU MAHUSIANO KWA WADAU](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/serikali-yawasilisha-rasimu-ya-mwongozo.html)

_2026-08-20 · SI Media · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

Serikali imewasilisha rasimu ya Mwongozo wa Uratibu wa Mahusiano baina ya Serikali na Makundi ya Kijamii wa mwaka 2026 kwa wadau mbalimbali ili kupokea maoni na ushauri wao wa mwisho kabla ya mwongozo huo kukamilishwa rasmi na kutolewa kwa umma. Akizungumza katika warsha maalum jijini Dar es Salaam kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Bi. Mary…

## [TANZANIA YAZIDI KUIMARISHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/tanzania-yazidi-kuimarisha-mazingira-ya.html)

_2026-08-20 · SI Media · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

Juhudi kubwa zinazofanywa na Wizara ya Viwanda nMa Biashara kwa kushirikiana na taasisi zake za kimkakati zimeanza kuzaa matunda yanayoonekana wazi katika kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara, kuongeza uzalishaji, na kuvutia mitaji mipya ya uwekezaji nchini. Hayo yamebainishwa wazi na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Deodatus Mwanyika, alipokuwa…

## [TACAIDS YAWEKA MIKAKATI MADHUBUTI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/tacaids-yaweka-mikakati-madhubuti.html)

_2026-08-20 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) inaendelea kuimarisha mikakati madhubuti ya kupambana na VVU na UKIMWI kupitia ushirikiano wa kisekta, kuhamasisha vyanzo vya fedha vya ndani, kusogeza huduma karibu na jamii ikiwemo Vituo vya Maarifa kwa madereva wa malori na kuwajengea uwezo vijana na wanawake ili kufikia lengo la kutokomeza kabisa janga hili ifikapo mwaka 2030. Hayo yamebainishwa na…

## [KAMPENI ZA UPOTOSHAJI MITANDAONI ZAZIDI KUKOSA MASHIKO UWEKEZAJI MKUBWA KOROSHO WAJA](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/kampeni-za-upotoshaji-mitandaoni-zazidi.html)

_2026-08-20 · SI Media · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

Tanzania inazidi kutakata na kimataifa katika kuvutia mitaji mikubwa ya kigeni, huku juhudi za baadhi ya watu wanaojaribu kuzuia maendeleo na uwekezaji nchini kupitia maneno ya ovyo na kampeni za upotoshaji mitandaoni zikizidi kukosa mashiko. Wakati wapinga maendeleo wakijitahidi kupotosha ukweli mtandaoni, vitendo na ukweli wa uwekezaji thabiti kutoka kwa wawekezaji wakubwa wa kimataifa unazidi…

## [MWENGE WA UHURU WAZINDUA TAWI LA CRDB TINDE](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/mwenge-wa-uhuru-wazindua-tawi-la-crdb.html)

_2026-08-20 · Post · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Mwenge wa Uhuru ukiwa katika Tawi la Benki ya CRDB Tinde mkoani Shinyanga wakati wa uzinduzi rasmi wa tawi hilo. Mwenge wa Uhuru ukiwa katika Tawi la Benki ya CRDB Tinde mkoani Shinyanga wakati wa uzinduzi rasmi wa tawi hilo. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo…

## [WAKULIMA NA WAFUGAJI KUNUFAIKA NA MIKOPO CRDB BANK KWA KUPATA DHANA BORA ZA KILIMO](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/wakulima-na-wafugaji-kunufaika-na.html)

_2026-08-20 · SI Media · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

Mkurugenzi wa Mikopo wa Benki ya CRDB, Xavery Makwi, akiimba shairi wakati wa uzinduzi wa Tawi la Benki ya CRDB Tinde mkoani Shinyanga. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Michael Mwang’onda, akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakifurahia wakati wa uzinduzi wa Tawi la Benki ya CRDB Tinde mkoani Shinyanga. Na Stella Herman,Shinyanga Upatikanaji wa huduma za kifedha umeendelea…

## [Hire AI-Powered Professionals (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/w4fspdd9pmto)

_2026-08-20 · **Sponsored**_

Browse public gigs, message candidates, and run video interviews — free to start.

## [MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MTEULE WA TANZANIA NCHINI MALAYSIA](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/makamu-wa-rais-afanya-mazungumzo-na.html)

_2026-08-20 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi mteule wa Tanzania nchini Malaysia, Meja Jenerali Mbaraka Mkeremy, Mazungumzo yaliyofanyika mkoani Dodoma, leo tarehe 20 Agosti 2026. Katika mazungumzo hayo, Makamu wa Rais amempongeza Balozi Mkeremy kwa imani aliyopewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.…

## [CCM INAHESHIMU UPINZANI–KIHONGOSI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/20/ccm-inaheshimu-upinzani-kihongosi/)

_2026-08-20 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na REHEMA MAIGALA KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema Chama kinaheshimu maoni ya wanasiasa na vyama vyote vya upinzani. MAWAZO MBADALA Pia, CCM imesisitiza iko tayari kuyafanyia kazi mawazo yenye msingi kutoka kwa vyama vya upinzani kwa maslahi mapana ya nchi. Kihongosi alisema hayo jijini Dar \[…\]

## [PROF. KABUDI AWATAKA WANANCHI KUZINGATIA TAHADHARI ZA MAAFA](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/prof-kabudi-awataka-wananchi-kuzingatia.html)

_2026-08-20 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu–Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi kuzingatia tahadhari na maelekezo yanayotolewa na wataalamu na mamlaka husika ili kupunguza madhara yanayotokana na majanga na maafa. Prof. Kabudi ametoa wito huo tarehe 19 Agosti, 2026 wakati akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Watoa Huduma za Misaada ya Kibinadamu…

## [LUKA YAPONGEZA TANZANIA KWA KUSHIRIKISHA WATALAAMU WA AFRIKA KWENYE TUME YA UCHUNGUZI](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/luka-yapongeza-tanzania-kwa.html)

_2026-08-20 · SI Media · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

Jumuiya ya Kifalme ya Afrika (League of United Kingdom of Africa - LUKA) imepongeza uamuzi wa Serikali ya Tanzania wa kuwashirikisha wataalamu wa sheria na majaji kutoka nchi nyingine za Afrika katika Tume ya Uchunguzi wa Kijinai inayochunguza matukio ya vurugu na uhalifu yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Katika tamko lake, Jumuiya hiyo imesema kuwa hatua hiyo ni…

## [BILIONI 600 ZILIZOWEKEZWA CHALINZE - DODOMA: MAPINDUZI YA KIUCHUMI NA USALAMA WA NISHATI NCHINI](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/bilioni-600-zilizowekezwa-chalinze.html)

_2026-08-20 · SI Media · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

Kukamilika kwa mradi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma kunaashiria hatua kubwa ya kimkakati yenye tija za kipekee kwa maendeleo ya kiuchumi na ufanisi wa huduma nchini. Kupitia uwekezaji huu uliogharamiwa kwa asilimia 100 na Serikali ya Tanzania kwa takribani Shilingi bilioni 600, nchi inaonesha uwezo mkubwa wa kujitegemea katika kutekeleza miradi…

## [TANZANIA NA DRC ZAKUBALIANA KUONGEZA KASI YA MIRADI YA UCHUKUZI NA BIASHARA](https://www.shinyangapressclub.co.tz/2026/08/tanzania-na-drc-zakubaliana-kuongeza.html)

_2026-08-20 · SI Media · SHINYANGA PRESS CLUB BLOG_

Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimefikia makubaliano rasmi ya kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya uchukuzi inayounganisha nchi hizo mbili kwa lengo la kupunguza muda na gharama za usafirishaji wa mizigo sambamba na kupanua wigo wa biashara na uwekezaji kwa manufaa ya pande zote mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa leo katika Ikulu Ndogo iliyopo Zanzibar wakati wa mazungumzo rasmi…

## [JAB YATOA ELIMU YA SHERIA NA MAADILI KWA WAANDISHI CROWN MEDIA](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/waandishi-crown-media-watakiwa.html)

_2026-08-20 · Unknown · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Na Mwandishi Wetu. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewataka Waandishi wa Habari wa Crown Media kulinda imani ya umma kwa kuzingatia weledi, maadili, uadilifu na uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao. Wito huo umetolewa wakati wa mafunzo ya siku mbili…

## [MAGAZETI YA LEO ALHAMISI AGOSTI 20, 2026](http://www.huheso.co.tz/2026/08/magazeti-ya-leo-alhamisi-agosti-20-2026.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

https://account.jubna.com/en/rferl/MTk0ODA~

## [THPS YATAMBULISHA MRADI WA TANZANIA FAST HEALTH MANISPAA YA KAHAMA KUIMARISHA HUDUMA ZA VVU](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/thps-yatambulisha-mradi-wa-tanzania.html)

_2026-08-19 · Post · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Dkt. Honoratha Rutatinisibwa, akizungumza wakati wa utambulisho wa Mradi wa Tanzania FAST Health unaotekelezwa na THPS katika Manispaa ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga, Agosti 19, 2026. Picha na Kadama Malunde Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Dkt.…

## [Tanzania Yaahidi Kulinda Haki za Wafanyakazi na Kuboresha Mazingira Salama ya Kazi](http://www.huheso.co.tz/2026/08/tanzania-yaahidi-kulinda-haki-za.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Tanzania imeahidi kuhakikisha inalinda haki za wafanyakazi wanaohamia nje na kuwapatia mazingira salama ya kazi. Ahadi hiyo imetolewa Agosti 18, 2026 jijini Dodoma na Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, wakati akizungumza katika mkutano wa Jukwaa la Mawaziri na Kamati ya Kikanda ya Ushauri wa Kitaalamu na Sekretarieti kuhusu Uhamaji wa Nguvu Kazi. Alisisitiza…

## [Web Coding With AI, Live (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/XhQOH4n9gXLj)

_2026-08-19 · **Sponsored**_

Collaborative screen sharing with simultaneous remote control, open source.

## [LUKA Yapongeza Tanzania kwa Kushirikisha Wataalamu wa Afrika kwenye Tume ya UchunguziL](http://www.huheso.co.tz/2026/08/luka-yapongeza-tanzania-kwa.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Jumuiya ya Kifalme ya Afrika (League of United Kingdom of Africa - LUKA) imepongeza uamuzi wa Serikali ya Tanzania wa kuwashirikisha wataalamu wa sheria na majaji kutoka nchi nyingine za Afrika katika Tume ya Uchunguzi wa Kijinai inayochunguza matukio ya vurugu na uhalifu yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Katika tamko lake, Jumuiya hiyo imesema kuwa hatua hiyo ni…

## [WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMWAKILISHA RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA SADC](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/waziri-wa-ulinzi-na-jkt-amwakilisha.html)

_2026-08-19 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa 46 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Mkutano huo ulifanyika tarehe 16 na 17 Agosti 2026, jijini Durban, Afrika Kusini, ambapo Mhe. Dkt. Nyansaho aliongoza ujumbe wa Serikali ya…

## [WASIRA ATAKA WANA CCM WAKUTANE, WASIINGIE MKENGE KWA MANENO YA MITANDAONI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/wasira-ataka-wana-ccm-wakutane-wasiingie-mkenge-kwa-maneno-ya-mitandaoni/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu – Singida MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka wanachama wa CCM kukutana mara kwa mara katika vikao rasmi vya chama ili kujadili masuala muhimu na kuepuka kupotoswa na taarifa zisizo na ukweli zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii. Akizungumza leo Agosti 19, 2026 Wilaya ya Ikungi mkoani Singida \[…\]

## [TUTAENDELEA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO YA UKIMWI &#8211; YONAZI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/tutaendelea-kuongeza-nguvu-mapambano-ya-ukimwi-yonazi/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI MAALUMU, Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, kuhakikisha Tanzania inatokomeza virusi hivyo ifikapo mwaka 2030.Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na…

## [KETE NGUMU SIMBA, PAMBA JIJI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/kete-ngumu-simba-pamba-jiji/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na NASRA KITANA KIKOSI cha Simba leo kinashuka dimbani katika mchezo namba mbili, kumenyana na Pamba Jiji katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Simba itakuwa ugenini kupepetana na Pamba Jiji katika mechi itakayopigwa dimba la CCM Kirumba, Mwanza kuanzia majira ya saa 10:00 jioni. Timu hiyo yenye maskani yake Mtaa \[…\]

## [MATOKEO CHANYA YA MRADI WA ELIMU WA BARRICK-TWIGA FUTURE FOWARD EDUCATION PROGRAM YAANZA KUONEKANA](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/matokeo-chanya-ya-mradi-wa-elimu-wa.html)

_2026-08-19 · Post · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Muonekano wa bweni la kisasa lililojengwa kupitia mradi wa elimu wa Barrick -Twiga Muonekano wa sehemu ya madarasa ya kisasa yaliyojengwa kwa fedha kutoka Barrick Muonekano wa sehemu ya madarasa ya kisasa yaliyojengwa kwa fedha kutoka Barrick Viongozi wa CCM na Serikali na…

## [MADAKTARI SRI LANKA WAONDOA JIWE LA KILO 3.1 KWENYE KIBOFU CHA MWANAUME](http://www.huheso.co.tz/2026/08/madaktari-sri-lanka-waondoa-jiwe-la.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Madaktari Nchini Sri Lanka wamefanya upasuaji wa kuliondoa jiwe lenye uzito wa kilo 3.1 kwenye kibofu cha mkojo cha Mwanaume mwenye umri wa miaka 55. Upasuaji huo umefanyika katika Hospitali Kuu ya Trincomalee, Mashariki mwa Sri Lanka, baada ya Mwanaume huyo kulazwa hospitalini kufuatia kupata kiharusi ambapo Madaktari waligundua tatizo hilo baada ya kubaini kuwa alikuwa akipata changamoto wakati…

## [VIKUNDI VYA CBRM VYATAKIWA KUWA WALINZI WA BARABARA ITILIMA ‎](http://www.huheso.co.tz/2026/08/vikundi-vya-cbrm-vyatakiwa-kuwa-walinzi.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

‎Itilima, Simiyu ‎ ‎Vikundi vya kijamii vinavyotekeleza matengenezo ya kawaida ya barabara kupitia Mpango wa CBRM unaotekelezwa na Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) vimetakiwa kushirikiana na wananchi katika kulinda na kutunza miundombinu ya barabara ili iweze kudumu na kuendelea kutoa huduma kwa jamii. ‎ ‎Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Itilima Mhe. Anna Gidarya wakati wa…

## [MIAKA 50 YA UPUNGUFU WA MAFUTA YA KULA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/19/miaka-50-ya-upungufu-wa-mafuta-ya-kula/)

_2026-08-19 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na JOE NAKAJUMO MOJA ya malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni Tanzania kuwa mzalishaji mkuu wa chakula Afrika na kuwa miongoni mwa nchi 10 bora katika uzalishaji wa chakula. Kwa miaka kadhaa mfululizo, uzalishaji wa mazao ya chakula umekuwa ukiongezeka. Tani milioni 18 za mazao ya chakula zilizalishwa mwaka 2020/2021 na ziliongezeka hadi tani milioni \[…\]

## [MAGAZETI YA LEO JUMATANO AGOSTI 19,2026](http://www.huheso.co.tz/2026/08/magazeti-ya-leo-jumatano-agosti-192026.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

https://account.jubna.com/en/rferl/MTk0ODA~

## [CRDB YAZINDUA TAWI JIPYA MAGANZO](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/crdb-yazindua-tawi-jipya-maganzo.html)

_2026-08-18 · Post · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026 ukiwa katika Benki ya CRDB Maganzo, Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, wakati wa uzinduzi wa tawi hilo, Agosti 18, 2026. Mkurugenzi wa Mikopo wa Benki ya CRDB, Xavery Makwi, akitoa taarifa kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt.…

## [DIWANI ZACHARIA SOKO AKABIDHI PHOTOCOPY MACHINE YA SH MILIONI 3.5 KWA SHULE YA MSINGI ANDERSON MSUMBA](http://www.huheso.co.tz/2026/08/diwani-zacharia-soko-akabidhi-photocopy.html)

_2026-08-18 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Diwani wa Kata ya Majengo, Zacharia Soko, akabidhi mashine ya kisasa ya photocopy yenye thamani ya Sh milioni 3.5 kwa Shule ya Msingi Anderson Msumba Na Neema Nkumbi Diwani wa Kata ya Majengo, Zacharia Soko, amekabidhi mashine ya kisasa ya photocopy yenye thamani ya Sh milioni 3.5 kwa Shule ya Msingi Anderson Msumba, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia…

## [NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA BWAWA LA JULIUS NYERERE YA CHALINZE &#8211; DODOMA IMEKAMILIKA: MRAMBA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/njia-ya-kusafirisha-umeme-kutoka-bwawa-la-julius-nyerere-ya-chalinze-dodoma-imekamilika-mramba/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na MWANDISHI WETU KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma imekamilika hatua itakayowezesha umeme unaozalishwa katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) kufika Dodoma kupitia Chalinze. Mramba ameyasema hayo leo, Agosti 18, 2026, akikagua hatua \[…\]

## [CHEREKO CHEREKO BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/chereko-chereko-baraza-la-wafugaji.html)

_2026-08-18 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Kamati tendaji ya Baraza la Wafugaji tarafa ya Ngorongoro imekutana leo tarehe 18 Agosti, 2026 ambapo pamoja na mambo mengine imechambua na kupitisha orodha ya majina ya wanafunzi wa kidato cha tano kutoka kata 11 za tarafa ya Ngorongoro wanaofadhiliwa na Mamlaka ya hifadhi ya eneo la Ngorongoro Majina ya wanafunzi wanaofadhiliwa na Ngorongoro yanatokana na mapendekezo ya kata zote 11 zenye Vijiji…

## [TANZANITE ROYAL GIN YAWAKUTANISHA WASANII NA MANYARA TANZANITE MARATHON](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/tanzanite-royal-gin-yawakutanisha.html)

_2026-08-18 · Unknown · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Na Mwandishi Wetu, Manyara Manyara Tanzanite Marathon 2026 inatarajiwa kuwa na burudani ya aina yake baada ya wasanii maarufu nchini, Dully Sykes, Banana Zoro na Mr Blue, kuthibitisha kushiriki na kutumbuiza katika tukio hilo litakalofanyika Agosti 22, 2026 mjini Babati, mkoani…

## [SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA AFUA ZA UKIMWI NCHINI](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/serikali-kuendelea-kuimarisha-afua-za-ukimwi-nchini/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na Mwandishi Wetu, MWANZA SERIKALI imesema imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za ukimwi nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza ushirikiano na wadau katika kuendeleza mapambano dhidi ya virusi hivyo. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, alipotembelea na \[…\]

## [TRAMEPRO YAHIMIZA UTAFITI WA TIBA ASILIA KWA AFYA ENDELEVU AFRIKA](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/tramepro-yahimiza-utafiti-wa-tiba.html)

_2026-08-18 · Unknown · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira Tanzania (TRAMEPRO) limezitaka Serikali za Afrika kuingiza tiba asilia, utafiti wa kisayansi na uhifadhi wa mazingira katika ajenda ya afya ya bara hilo, likisema hatua hiyo ni muhimu katika kujenga…

## [FVS MWAROBAINI TLP KUPUNGUZA MAKOSA](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/18/fvs-mwarobaini-tlp-kupunguza-makosa/)

_2026-08-18 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

ABDUL DUNIA Na NASRA KITANA WAKATI mechi za mzunguko wa kwanza Ligi Kuu Tanzania Bara, msimu huu, zikimalizika mwisho mwa wiki, Teknolojia ya Usaidizi wa Video (FVS), imeelezwa inaweza kuwa tiba ya makosa ya waamuzi na kuleta usawa kwa timu katika kuamua matukio uwanjani. FVS ilianza kutumika katika mechi ya Ngao ya Jamii, iliyochezwa wiki \[…\]

## [MKUCHIKA, LUBINGA, MNDOLWA WASIFU USHIRIKIANO CCM, SWAPO](https://uhurupublications.co.tz/2026/08/17/mkuchika-lubinga-mndolwa-wasifu-ushirikiano-ccm-swapo/)

_2026-08-17 · Abdurahman Jumanne · Uhuru Publication_

Na SIMON NYALOBI BAADHI ya wanasiasa wakongwe nchini, wamesema ushirikiano baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vya ukombozi Kusini mwa Afrika, umezidi kuimarika. Waliyasema hayo zikiwa ni siku chache baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, kufanya mazungumzo na Katibu wa Chama cha SWAPO cha Namibia, Sophia Shaningwa. Dk. Migiro na \[…\]

## [WANAHABARI WAHIMIZWA KUSAIDIA WAKULIMA WA PAMBA KUZALISHA KWA TIJA](https://www.bmgmedia.co.tz/2026/08/waandishi-wanolewa-kuhusu-pamba-tcb.html)

_2026-08-17 · Post · BMG Digital_

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com Picha ya pamoja ya washiriki wa mafunzo ya siku moja kwa waandishi wa habari kuhusu uandishi na uripoti wa habari za zao la pamba, yaliyofanyika katika Ukumbi wa Bodi ya Pamba, Mjini Shinyanga, Agosti 17, 2026. Picha na Kadama Malunde Washiriki wa mafunzo ya siku moja kwa…

