# baada ya (audio feeds) — RSS Amplifier

Recent posts from the 1 feeds in the RSS Amplifier directory that cover baada ya.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/baada-ya/audio>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/baada-ya/audio.md>

---

## [Uchaguzi nchini Zambia, upinzani yalalamikia matokeo ya uchaguzi](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260819-uchaguzi-nchini-zambia-upinzani-yalalamikia-matoke-ya-uchaguzi?GJlXzGgqHj)

_2026-08-19 · Habari RFI-Ki_

Nchini Zambia, Rais Hakainde Hichilema, amechaguliwa kwa muhula wa pili, akimshinda mpinzani wake wa Karibu Brian Mundubile. Hata hivyo kumeshuhudiwa malalamiko ya dosari kadhaa ikiwemo udanganyifu, wizi wa kura na vitisho, mambo yanayoripotiwa wakati wa chaguzi nyingi barani Afrika.s

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/APPELS_ACTU_19-08-26.mp3?guid=ab033668-9be2-11f1-a7fe-db73b9e8d481&source=GJlXzGgqHj)

## [Kuna uwezekano wa asilimia 81 Afrika kukumbwa na hali ya hewa ya Elnino](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260818-kuna-uwezekano-wa-asilimia-81-afrika-kukumbwa-na-hali-ya-hewa-ya-elnino?GJlXzGgqHj)

_2026-08-18 · Habari RFI-Ki_

Ripoti ya wataalam wa hali ya hewa imeonya kuwa Afrika inakabiliwa na uwezekano wa aslimia 81 wa kukumbwa na hali ya hewa ya El Nino. Katika ripoti hiyo, eneo la Kusini mwa Afrika linatarajiwa kukumbwa na

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/HABARI_RAFIKI_18-08-26_OK.mp3?guid=958b8d1e-9b13-11f1-bd0b-7fb2265490de&source=GJlXzGgqHj)

## [Vuguvugu la upinzani nchini DRC C64 kutangaza kufanya maandamano Septemba 15](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260818-vuguvugu-la-upinzani-nchini-drc-c64-kutangaza-kufanya-maandamano-septemba-15?GJlXzGgqHj)

_2026-08-18 · Habari RFI-Ki_

Mwishoni mwa juma lililopita, upinzani nchini DRC kupitia vuguvugu la C64 ulitangaza kuwa utafanya maandamano Septemba 15 kupinga mchakato wa marekebisho ya katiba. Tangazo lao walilitoa baada ya muda waliokuwa wameutoa kwa Rais Felix Tshisekedi kuitisha mazungumzo ya kitaifa kupita.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/HABARI_RAFIKI_17-08-26_OK.mp3?guid=590e3e82-9b12-11f1-9f33-8b1d9630ab60&source=GJlXzGgqHj)

## [Tume Huru ya Uchaguzi nchini Kenya, yatoa kanuni mpya za ufadhili wa kampeni](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260811-tume-huru-ya-uchaguzi-nchini-kenya-yatoa-kanuni-mpya-za-ufadhili-wa-kampeni?GJlXzGgqHj)

_2026-08-11 · Habari RFI-Ki_

Mwaka mmoja kuelekea uchaguzi mkuu nchini Kenya, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, imetoa kanuni mpya za ufadhili wa kampeni za wagombea mbalimbali.Mgombea urais atatakiwa kutumia kiasi cha shilingi za Kenya zisizozidi Bilioni 6 huku vyama vya siasa vikitakiwa kutokuvuka matumizi ya bilioni 25 za Kenya.Tumemuuliza mskilizaji ,anazungumzia vipi kanuni hii ?na nchini mwake , kuna utaratibu kama…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/HABARI_RAFIKI_11_08_2026_KENYA.mp3?guid=9e33eab6-959f-11f1-8189-41de3659ab5f&source=GJlXzGgqHj)

## [Maoni ya mskilizaji Wiki hii kutokana na matangazo yetu](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260717-maoni-ya-mskilizaji-wiki-hii-kutokana-na-matangazo-yetu?GJlXzGgqHj)

_2026-07-17 · Habari RFI-Ki_

Na Hannah Nalianya Kila Ijumaa rfi Kiswahili inakupa nafasi kuchangia mada yoyote kuhusiana na matangazo yetu. Skiza maoni ya Juma hili

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAKALA_YA_HABARI_RAFIKI_17_07_2026_KUHUSU_MADA_HURU.mp3?guid=9527ec56-81ef-11f1-bb47-357bd9b41020&source=GJlXzGgqHj)

## [Argentina kuvaana na Uhuspania kwenye fainali](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260716-argentina-kuvaana-na-uhuspania-kwenye-fainali?GJlXzGgqHj)

_2026-07-16 · Habari RFI-Ki_

Fainali ya kombe la dunia katika mchezo wa soka, itawakutanisha mabingwa watetezi Argentina na Hispania waliowahi kushinda taji hili mwaka 2010. Mechi hiyo itapigwa siku ya Jumapili nchini Marekani. Unatarajia nani ataibuka mshindi katika mechi hiyo na kwanini. Skiza ya mskilizaji

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_16-07-26_OK.mp3?guid=c7dc6642-812a-11f1-8cf2-79394af737f0&source=GJlXzGgqHj)

## [Ufaransa yaondolewa kwenye kombe la dunia](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260715-ufaransa-yaondolewa-kwenye-kombe-la-dunia?GJlXzGgqHj)

_2026-07-15 · Habari RFI-Ki_

Na Hannah Naliaka Safari ya Ufaransa kutinga fainali za kombe la dunia imefikia tamati baada ya kushindwa mabao 2-0 na Uhispania katika nusu fainali ya kwanza. Unazungumziaje mechi hiyo ? Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/HABARI_RAFIKI_15-07-26_OK.mp3?guid=931824d6-8059-11f1-8e3b-b7c298cf2416&source=GJlXzGgqHj)

## [Bara Ulaya linatathimini kudhibiti mitandao kwa watoto](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260714-bara-ulaya-linatathimini-kudhibiti-mitandao-kwa-watoto?GJlXzGgqHj)

_2026-07-14 · Habari RFI-Ki_

Umoja wa Ulaya unatathmini kuweka marufuku ya matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto kutokana na athari za mitandao hiyo kwa watoto. Unazungumziaje pendekezo hili? Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAKALA_YA_HABARI_RAFIKI_14_07_2026_KUHUSU_WATOTO.mp3?guid=30e50a3a-7f9c-11f1-bdf8-77b4e25bc2d2&source=GJlXzGgqHj)

## [Nani atabeba kombe la dunia mwaka huu](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260713-nani-atabeba-kombe-la-dunia-mwaka-huu?GJlXzGgqHj)

_2026-07-13 · Habari RFI-Ki_

Fainali za kombe la dunia zimefikia hatua ya nusu fainali, huku timu nne zikisalia kwenye mbio za kutwaa ubingwa. Uhispania itacheza na Ufaransa, wakati Uingereza itapambana na mabingwa watetezi Argentina. Unatathmini vipi hatua iliyofikia? Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAKALA_HABARI_RAFIKI_13_07_2026_KUHUSU_WORLD_CUP.mp3?guid=81eb9306-7ec8-11f1-8311-dbb701fa6098&source=GJlXzGgqHj)

## [Maoni yako katika makala ya Habari rafiki Mada huru](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260710-maoni-yako-katika-makala-ya-habari-rafiki-mada-huru?GJlXzGgqHj)

_2026-07-10 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_10-07-26.mp3?guid=aa0b97be-7c6b-11f1-a012-8db244004842&source=GJlXzGgqHj)

## [Refer a Friend, Earn Rewards (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/273Kvp5QhlM6)

_2026-07-10 · **Sponsored**_

Earn rewards when a friend signs up for the Graphite Business Card

## [DRC: Muungano wa upinzani wa C64 kutangaza kuendelea na maandamano yake ya amani Julai 22](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260709-drc-muungano-wa-upinzani-wa-c64-kutangaza-kuendelea-na-maandamano-yake-ya-amani-julai-22?GJlXzGgqHj)

_2026-07-09 · Habari RFI-Ki_

Tangazo hilo limetolewa licha ya kushiriki kwenye mazungumzo ya kisiasa na rais wa Burundi Évariste Ndayishimiye, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_08-07-26.mp3?guid=ffffa514-7b8c-11f1-8494-f9a2c7cb99bd&source=GJlXzGgqHj)

## [Siku ya Kiswahili duniani Juni 07 2026](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260707-siku-ya-kiswahili-duniani-juni-07-2026?GJlXzGgqHj)

_2026-07-07 · Habari RFI-Ki_

Dunia hivi leo inaadhimisha siku ya Kiswahili Duniani, kutambua mchango wa lugha ya Kiswahili katika kuunganisha watu, tamaduni na mataifa mbalimbali, kauli mbiu ikiwa Kiswahili Lugha ya kimataifa ya amani, mshikamano na diplomasia ya kiuchumi.” Siku hii inafanyika wakati pia RFI Kiswahili tunatimiza miaka 16 tangu tulipoanza kurusha matangazo yetu, una ujumbe gani kwetu?

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_07-07-26.mp3?guid=c5942848-7a22-11f1-b844-319e252bcfee&source=GJlXzGgqHj)

## [Je, serikali ya Afrika Kusini ilichukua hatua za kutosha kulinda usalama wa raia wa kigeni?](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260706-je-serikali-ya-afrika-kusini-ilichukua-hatua-za-kutosha-kulinda-usalama-wa-raia-wa-kigeni?GJlXzGgqHj)

_2026-07-06 · Habari RFI-Ki_

Wiki iliyopita, maelfu ya raia wa mataifa mbalimbali ya Afrika waliondoka Afrika Kusini kutokana na hofu ya usalama baada ya maandamano yaliyolenga wageni. Baadhi ya nchi zimeikosoa serikali ya Afrika Kusini kwa kushindwa kudhibiti hali hiyo.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_06-07-26_OK.mp3?guid=aa1630ea-794e-11f1-9578-71106e32aecc&source=GJlXzGgqHj)

## [Timu ya DRC ya Leopard yaondolewa na Uingereza kwenye mashindano ya kombe la dunia](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260703-timu-ya-drc-ya-leopard-yaondolewa-na-uingereza-kwenye-mashindano-ya-kombe-la-dunia?GJlXzGgqHj)

_2026-07-03 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_02-07-26.mp3?guid=2d7e81c2-76ec-11f1-a8b9-1d81afdc4925&source=GJlXzGgqHj)

## [Maandamano ya Afrika Kusini kushinikiza wageni kuondoka yaibua maswali](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260703-maandamano-ya-afrika-kusini-kushinikiza-wageni-kuondoka-yaibua-maswali?GJlXzGgqHj)

_2026-07-03 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/HABARI_RAFIKI_01-07-26_OK.mp3?guid=fe9655de-76ea-11f1-b73f-2d617bb3142b&source=GJlXzGgqHj)

## [Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yaadhimisha miaka 66 ya Uhuru](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260703-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-congo-yaadhimisha-miaka-66-ya-uhuru?GJlXzGgqHj)

_2026-07-03 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/HABARI_RAFIKI_30-06-26_OK.mp3?guid=4fea8ece-76ea-11f1-a081-1d81afdc4925&source=GJlXzGgqHj)

## [Uganda : Yamfurusha wakili na mwanaharakati Martha Karua](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260701-uganda-yamfurusha-wakili-na-mwanaharakati-martha-karua?GJlXzGgqHj)

_2026-07-01 · Habari RFI-Ki_

Tunaangazia serikali ya Uganda kumfurusha wakili na mwanaharakati wa Kenya, Martha Karua nchini humo, ikiwa ni mwendelezo wa matukio ambayo yamekuwa yakishuhudiwa hapa Afrika Mashariki. Skiza maoni ya waskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_24-06-26_OK.mp3?guid=41b1f360-6fce-11f1-9cdc-8b18087b57bb&source=GJlXzGgqHj)

## [Mkuu wa majeshi nchini Uganda kuamuru kufungwa runinga ya NTV](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260630-mkuu-wa-majeshi-nchini-uganda-kuamuru-kufungwa-runinga-ya-ntv?GJlXzGgqHj)

_2026-06-30 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_29-06-26_OK.mp3?guid=3214934c-747c-11f1-acdf-e3536907b568&source=GJlXzGgqHj)

## [Kila Ijumaa unapata nafasi kutoa maoni ndani ya rfi Kiswahili](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260626-kila-ijumaa-unapata-nafasi-kutoa-maoni-ndani-ya-rfi-kiswahili?GJlXzGgqHj)

_2026-06-26 · Habari RFI-Ki_

Kila Ijumaa unapata nafasi kuchangia chochote kile, pengine ulikiskia kwenye matangazo yetu au kile kinafanyika hapo uliopo. Skiza maoni ya mskilizaji

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_26-06-26_OK.mp3?guid=823d855c-7177-11f1-a3f0-9b37fc2e51ce&source=GJlXzGgqHj)

## [Kenya : Miaka miwili baada ya maandamano ya Gen Z](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260625-kenya-miaka-miwili-baada-ya-maandamano-ya-gen-z?GJlXzGgqHj)

_2026-06-25 · Habari RFI-Ki_

Shaba yetu leo inalenga nchini Kenya mbapo raia nchini humo wameadimisha miaka miwili tangu kutokea kwa maandamano ya mwaka 2024 ya vijana waliokuwa wapigigania mageuzi nchini humo. Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_25-06-26_OK.mp3?guid=ec199ee8-70af-11f1-b8e1-a3b5228db9b9&source=GJlXzGgqHj)

## [Crypto Payments, No Custody (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/8RxfgUJJINnq)

_2026-06-25 · **Sponsored**_

Send crypto to merchant wallets via API with real-time updates and automatic fees.

## [Waziri wa Uingereza kuondoka afisini Septemba](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260623-waziri-wa-uingereza-kuondoka-afisini-septemba?GJlXzGgqHj)

_2026-06-23 · Habari RFI-Ki_

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu baada ya shinikizo kutoka ndani ya chama chake na kupungua kwa uungwaji mkono wa raia. Je, viongozi wanapaswa kujiuzulu wanapopoteza uungwaji mkono wa wananchi? Skiza makala ya maoni ya waskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_23-06-26_OK.mp3?guid=3e51db6e-6f0a-11f1-9239-1b80738d4fd8&source=GJlXzGgqHj)

## [Msongo wa mawazo changamoto kwa wanaume](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260622-msongo-wa-mawazo-changamoto-kwa-wanaume?GJlXzGgqHj)

_2026-06-22 · Habari RFI-Ki_

Ulimwengu umeadhimisha wiki ya afya ya akili kwa wanaume, wataalamu wanaonya kuwa msongo wa mawazo na matumizi ya dawa za kulevya vinachangia matatizo ya afya ya akili miongoni mwa wanaume. Unafikiri kwa nini wanaume wengi huumia kimya bila kutafuta msaada? Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_22-06-26_OK.mp3?guid=f29fcd78-6e48-11f1-8661-914084b50d42&source=GJlXzGgqHj)

## [Maendeleo ya timu za Afrika kwenye mechi kuwania kombe la dunia 2026](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260619-maendeleo-ya-timu-za-afrika-kwenye-mechi-kuwania-kombe-la-dunia-2026?GJlXzGgqHj)

_2026-06-19 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_18-06-26_OK.mp3?guid=a722c546-6ba3-11f1-a47f-5f84c6f3b9ac&source=GJlXzGgqHj)

## [Je ,Haki za mtoto wa Kiafrika zinaheshimiwa au ni maadhimisho tu ?](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260619-je-haki-za-mtoto-wa-kiafrika-zinaheshimiwa-au-ni-maadhimisho-tu?GJlXzGgqHj)

_2026-06-19 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_17-06-26_OK.mp3?guid=ae2f5a58-6ba2-11f1-ac99-074fc410fdc3&source=GJlXzGgqHj)

## [Marekani na Iran zimekubaliana kufikia makubaliano ya kukomesha vita](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260616-marekani-na-iran-zimekubaliana-kufikia-makubaliano-ya-kukomesha-vita?GJlXzGgqHj)

_2026-06-16 · Habari RFI-Ki_

Rais Donald Trump anasema Mlango Bahari wa Hormuz pia utafunguliwa tena hivi karibuni.Mkataba wa amani, unatarajiwa kutiwa saini siku ya Ijumaa, wiki hii nchini Uswizi

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_16-06-26_OK.mp3?guid=a4079276-6994-11f1-b0f8-156fe55e2899&source=GJlXzGgqHj)

