# afya (blogs) — RSS Amplifier

Recent posts from the 9 feeds in the RSS Amplifier directory that cover afya.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/afya/blogs>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/afya/blogs.md>

---

## [(untitled)](http://www.huheso.co.tz/2026/08/mboi-mhita-shinyanga-kuhakikisha-hakuna.html)

_2026-08-20 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

MBOI MHITA: SHINYANGA KUHAKIKISHA HAKUNA UHABA WA MADARASA, MADAWATI NA VITI Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita, amesema mkoa huo unaendelea kukagua na kuboresha miradi mbalimbali ya maendeleo, ikiwemo miradi ambayo Mwenge wa Uhuru utapita, huku akisisitiza kuhakikisha hakuna uhaba wa madarasa, viti, meza na madawati katika shule za mkoa huo. Mboni amesema baada ya kukabidhiwa Mwenge wa Uhuru…

## [TACAIDS YAWEKA MIKAKATI MADHUBUTI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/tacaids-yaweka-mikakati-madhubuti.html)

_2026-08-20 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) inaendelea kuimarisha mikakati madhubuti ya kupambana na VVU na UKIMWI kupitia ushirikiano wa kisekta, kuhamasisha vyanzo vya fedha vya ndani, kusogeza huduma karibu na jamii ikiwemo Vituo vya Maarifa kwa madereva wa malori na kuwajengea uwezo vijana na wanawake ili kufikia lengo la kutokomeza kabisa janga hili ifikapo mwaka 2030. Hayo yamebainishwa na…

## [CCM kuimarisha uhusiano na chama cha kikomonisti cha China](https://tanzanialeo.co.tz/ccm-kuimarisha-uhusiano-na-chama-cha-kikomonisti-cha-china/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=ccm-kuimarisha-uhusiano-na-chama-cha-kikomonisti-cha-china)

_2026-08-20 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Aggrey Mwanri, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) nchini Tanzania, Xu…

## [Waandishi Oman, JOWUTA, kuandaa kongamano la kimataifa](https://tanzanialeo.co.tz/waandishi-oman-jowuta-kuandaa-kongamano-la-kimataifa/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=waandishi-oman-jowuta-kuandaa-kongamano-la-kimataifa)

_2026-08-20 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam UJUMBE maalum kutoka Chama cha Waandishi wa Habari wa Ufalme wa Oman (OJA), uliopo nchini leo Agosti 19, 2026 umefanya mazungumzo na Chama cha wafanyakazi…

## [Serengeti awards 2026 usajili wafunguliwa kwa wadau wa utalii](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/20/serengeti-awards-2026-usajili-wafunguliwa-kwa-wadau-wa-utalii/)

_2026-08-20 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WIZARA ya Maliasili na Utalii imetangaza rasmi dirisha la usajili kwa wadau wa uhifadhi na utalii kuwania Serengeti Awards 2026, huku ikiwasisitiza kutumia fursa hiyo kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika uhifadhi wa wanyamapori, maliasili na uendelezaji wa utalii. Dirisha hilo litafunguliwa Agosti 20, 2026 na litafungwa Septemba \[…\] The post Serengeti…

## [MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MTEULE WA TANZANIA NCHINI MALAYSIA](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/makamu-wa-rais-afanya-mazungumzo-na.html)

_2026-08-20 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi mteule wa Tanzania nchini Malaysia, Meja Jenerali Mbaraka Mkeremy, Mazungumzo yaliyofanyika mkoani Dodoma, leo tarehe 20 Agosti 2026. Katika mazungumzo hayo, Makamu wa Rais amempongeza Balozi Mkeremy kwa imani aliyopewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.…

## [SERIKALI YAWASILISHA RASIMU YA MWONGOZO WA URATIBU MAHUSIANO KWA WADAU](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/serikali-yawasilisha-rasimu-ya-mwongozo.html)

_2026-08-20 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Serikali imewasilisha rasimu ya Mwongozo wa Uratibu wa Mahusiano baina ya Serikali na Makundi ya Kijamii wa mwaka 2026 kwa wadau mbalimbali ili kupokea maoni na ushauri wao wa mwisho kabla ya mwongozo huo kukamilishwa rasmi na kutolewa kwa umma. Akizungumza katika warsha maalum jijini Dar es Salaam kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Bi. Mary…

## [Songwe yafungua milango kwa Sekta Binafsi kwenye miradi](https://tanzanialeo.co.tz/songwe-yafungua-milango-kwa-sekta-binafsi-kwenye-miradi/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=songwe-yafungua-milango-kwa-sekta-binafsi-kwenye-miradi)

_2026-08-20 · Zahoro mlanzi · Tanzania Leo_

Na Mwandishi Wetu, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabir Makame, amepigia chapuo matumizi ya mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kama njia kuu…

## [PROF. KABUDI AWATAKA WANANCHI KUZINGATIA TAHADHARI ZA MAAFA](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/prof-kabudi-awataka-wananchi-kuzingatia.html)

_2026-08-20 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu–Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi kuzingatia tahadhari na maelekezo yanayotolewa na wataalamu na mamlaka husika ili kupunguza madhara yanayotokana na majanga na maafa. Prof. Kabudi ametoa wito huo tarehe 19 Agosti, 2026 wakati akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Watoa Huduma za Misaada ya Kibinadamu…

## [NIMR to Lead Ethical Oversight in a Multicountry Trial Exploring New Approaches to Prevent Childhood Diarrhoeal Diseases.](https://nimr.or.tz/nimr-to-lead-ethical-oversight-in-a-multicountry-trial-exploring-new-approaches-to-prevent-childhood-diarrhoeal-diseases/)

_2026-08-20 · Erick Mboma · NIMR_

The National Institute for Medical Research (NIMR) is leading ethical oversight in a new multicountry clinical trial investigating whether probiotics can enhance the protection provided by rotavirus vaccination and reduce diarrhoeal disease among children. This approach could also help reduce antibiotic exposure and contribute to efforts to address antimicrobial resistance (AMR).The PRoRota…

## [Hire AI-Powered Freelancers Fast (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/dtMSYOpxp2fw)

_2026-08-20 · **Sponsored**_

Browse and hire skilled professionals using AI tools — free to post, free to apply.

## [MAGAZETI YA LEO ALHAMISI AGOSTI 20, 2026](http://www.huheso.co.tz/2026/08/magazeti-ya-leo-alhamisi-agosti-20-2026.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

https://account.jubna.com/en/rferl/MTk0ODA~

## [Tanzania Yaahidi Kulinda Haki za Wafanyakazi na Kuboresha Mazingira Salama ya Kazi](http://www.huheso.co.tz/2026/08/tanzania-yaahidi-kulinda-haki-za.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Tanzania imeahidi kuhakikisha inalinda haki za wafanyakazi wanaohamia nje na kuwapatia mazingira salama ya kazi. Ahadi hiyo imetolewa Agosti 18, 2026 jijini Dodoma na Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, wakati akizungumza katika mkutano wa Jukwaa la Mawaziri na Kamati ya Kikanda ya Ushauri wa Kitaalamu na Sekretarieti kuhusu Uhamaji wa Nguvu Kazi. Alisisitiza…

## [TANZANIA NA DRC ZAKUBALIANA KUONGEZA KASI YA MIRADI YA UCHUKUZI NA BIASHARA](http://www.huheso.co.tz/2026/08/tanzania-na-drc-zakubaliana-kuongeza.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimefikia makubaliano rasmi ya kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya uchukuzi inayounganisha nchi hizo mbili kwa lengo la kupunguza muda na gharama za usafirishaji wa mizigo sambamba na kupanua wigo wa biashara na uwekezaji kwa manufaa ya pande zote mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa leo katika Ikulu Ndogo iliyopo Zanzibar wakati wa mazungumzo rasmi…

## [LUKA Yapongeza Tanzania kwa Kushirikisha Wataalamu wa Afrika kwenye Tume ya UchunguziL](http://www.huheso.co.tz/2026/08/luka-yapongeza-tanzania-kwa.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Jumuiya ya Kifalme ya Afrika (League of United Kingdom of Africa - LUKA) imepongeza uamuzi wa Serikali ya Tanzania wa kuwashirikisha wataalamu wa sheria na majaji kutoka nchi nyingine za Afrika katika Tume ya Uchunguzi wa Kijinai inayochunguza matukio ya vurugu na uhalifu yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Katika tamko lake, Jumuiya hiyo imesema kuwa hatua hiyo ni…

## [Bilioni 600 Zilizowekezwa Chalinze-Dodoma: Mapinduzi ya Kiuchumi na Usalama wa Nishati Nchini](http://www.huheso.co.tz/2026/08/bilioni-600-zilizowekezwa-chalinze.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Kukamilika kwa mradi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma kunaashiria hatua kubwa ya kimkakati yenye tija za kipekee kwa maendeleo ya kiuchumi na ufanisi wa huduma nchini. Kupitia uwekezaji huu uliogharamiwa kwa asilimia 100 na Serikali ya Tanzania kwa takribani Shilingi bilioni 600, nchi inaonesha uwezo mkubwa wa kujitegemea katika kutekeleza miradi…

## [WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMWAKILISHA RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA SADC](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/waziri-wa-ulinzi-na-jkt-amwakilisha.html)

_2026-08-19 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa 46 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Mkutano huo ulifanyika tarehe 16 na 17 Agosti 2026, jijini Durban, Afrika Kusini, ambapo Mhe. Dkt. Nyansaho aliongoza ujumbe wa Serikali ya…

## [NIMR TABORA RESEARCH CENTRE A CENTURY OF SCIENCE: A NEW ERA OF PUBLIC HEALTH IMPACT](https://nimr.or.tz/nimr-tabora-research-centre-a-century-of-science-a-new-era-of-public-health-impact/)

_2026-08-19 · Erick Mboma · NIMR_

From a Sleeping Sickness Unit to a Modern Public Health Research Hub For more than a century, NIMR Tabora has connected scientific discovery with practical public health action. Established in Tabora in 1922 to support regional control of sleeping sickness, the unit has evolved into one of Tanzania’s oldest public health research platforms and a strategic scientific presence in the western zone.…

## [SERIKALI KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI](https://www.habarika24.co.tz/2026/08/serikali-kuongeza-nguvu-mapambano-dhidi.html)

_2026-08-19 · www.habarika24.blogspots.com · Habarika24_

Na. Mwandishi Wetu - Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, ili kuhakikisha Tanzania inafikia lengo la kutokomeza UKIMWI ifikapo mwaka 2030. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera,…

## [MADAKTARI SRI LANKA WAONDOA JIWE LA KILO 3.1 KWENYE KIBOFU CHA MWANAUME](http://www.huheso.co.tz/2026/08/madaktari-sri-lanka-waondoa-jiwe-la.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Madaktari Nchini Sri Lanka wamefanya upasuaji wa kuliondoa jiwe lenye uzito wa kilo 3.1 kwenye kibofu cha mkojo cha Mwanaume mwenye umri wa miaka 55. Upasuaji huo umefanyika katika Hospitali Kuu ya Trincomalee, Mashariki mwa Sri Lanka, baada ya Mwanaume huyo kulazwa hospitalini kufuatia kupata kiharusi ambapo Madaktari waligundua tatizo hilo baada ya kubaini kuwa alikuwa akipata changamoto wakati…

## [VIKUNDI VYA CBRM VYATAKIWA KUWA WALINZI WA BARABARA ITILIMA ‎](http://www.huheso.co.tz/2026/08/vikundi-vya-cbrm-vyatakiwa-kuwa-walinzi.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

‎Itilima, Simiyu ‎ ‎Vikundi vya kijamii vinavyotekeleza matengenezo ya kawaida ya barabara kupitia Mpango wa CBRM unaotekelezwa na Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) vimetakiwa kushirikiana na wananchi katika kulinda na kutunza miundombinu ya barabara ili iweze kudumu na kuendelea kutoa huduma kwa jamii. ‎ ‎Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Itilima Mhe. Anna Gidarya wakati wa…

## [Play Both Sides Of The Lie (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/uR483ljh5IUz)

_2026-08-19 · **Sponsored**_

Two operatives, one manufactured war — uncover the Complete Truth after both campaigns.

## [MAGAZETI YA LEO JUMATANO AGOSTI 19,2026](http://www.huheso.co.tz/2026/08/magazeti-ya-leo-jumatano-agosti-192026.html)

_2026-08-19 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

https://account.jubna.com/en/rferl/MTk0ODA~

## [DIWANI ZACHARIA SOKO AKABIDHI PHOTOCOPY MACHINE YA SH MILIONI 3.5 KWA SHULE YA MSINGI ANDERSON MSUMBA](http://www.huheso.co.tz/2026/08/diwani-zacharia-soko-akabidhi-photocopy.html)

_2026-08-18 · NKUMBI · HUHESO DIGITAL BLOG_

Diwani wa Kata ya Majengo, Zacharia Soko, akabidhi mashine ya kisasa ya photocopy yenye thamani ya Sh milioni 3.5 kwa Shule ya Msingi Anderson Msumba Na Neema Nkumbi Diwani wa Kata ya Majengo, Zacharia Soko, amekabidhi mashine ya kisasa ya photocopy yenye thamani ya Sh milioni 3.5 kwa Shule ya Msingi Anderson Msumba, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia…

## [CHEREKO CHEREKO BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/chereko-chereko-baraza-la-wafugaji.html)

_2026-08-18 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Kamati tendaji ya Baraza la Wafugaji tarafa ya Ngorongoro imekutana leo tarehe 18 Agosti, 2026 ambapo pamoja na mambo mengine imechambua na kupitisha orodha ya majina ya wanafunzi wa kidato cha tano kutoka kata 11 za tarafa ya Ngorongoro wanaofadhiliwa na Mamlaka ya hifadhi ya eneo la Ngorongoro Majina ya wanafunzi wanaofadhiliwa na Ngorongoro yanatokana na mapendekezo ya kata zote 11 zenye Vijiji…

## [Njia ya kusafirisha umeme kutoka Bwawa la Nyerere Chalinze-Dodoma yakamilika](https://tanzanialeo.co.tz/njia-ya-kusafirisha-umeme-kutoka-bwawa-la-nyerere-chalinze-dodoma-yakamilika/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=njia-ya-kusafirisha-umeme-kutoka-bwawa-la-nyerere-chalinze-dodoma-yakamilika)

_2026-08-18 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

– Umeme wa JNHPP kufika Dodoma kupitia Chalinze -SGR kupata njia yake maalum ya umeme, kuimarisha uhakika wa huduma Na Mwandishi Wetu, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia…

## [Serikali kuendelea kuimarisha afua za UKIMWI nchini](https://tanzanialeo.co.tz/serikali-kuendelea-kuimarisha-afua-za-ukimwi-nchini/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=serikali-kuendelea-kuimarisha-afua-za-ukimwi-nchini)

_2026-08-18 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

Na Mwandishi Wetu, Mwanza SERIKALI imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za masuala ya UKIMWI nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza ushirikiano na wadau mbalimbali katika kuendeleza…

## [TMDA na Mamlaka ya Dawa Denmark zimeingia makubaliano ya ushirikiano](https://tanzanialeo.co.tz/tmda-na-mamlaka-ya-dawa-denmark-zimeingia-makubaliano-ya-ushirikiano/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=tmda-na-mamlaka-ya-dawa-denmark-zimeingia-makubaliano-ya-ushirikiano)

_2026-08-18 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

Na Mwandishi Wetu, Arusha MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba Nchini (TMDA), imeingia mashirikiano na Mamlaka ya Udhibiti wa Dawa ya Denmark, (Danish Medicines Agency-DKMA) katika nyanja ya udhibiti wa…

## [Tanzania yahitaji rasilimali watu wenye afya na vijana wenye fursa](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/tanzania-yahitaji-rasilimali-watu-wenye-afya-na-vijana-wenye-fursa/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Tanzania inahitaji rasilimali watu wenye afya bora, vijana wanaopata fursa na sekta binafsi inayowajibika ili kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Hemed alisema hayo kwa niaba ya Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Lameck Nchemba, wakati wa \[…\] The post Tanzania yahitaji rasilimali watu…

## [TIB Rasilimali Yaongeza Elimu ya Uwekezaji kwa Wananchi](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/tib-rasilimali-yaongeza-elimu-ya-uwekezaji-kwa-wananchi/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KAMPUNI ya TIB Rasilimali Limited imeendelea kutoa elimu ya uwekezaji kwa wananchi kupitia programu yake ya Rasilimali Academy, ikiwa na lengo la kuongeza uelewa kuhusu fursa za uwekezaji katika hisa, hati fungani, mifuko ya uwekezaji wa pamoja na masuala ya usimamizi wa fedha binafsi. Akizungumza kuhusu mpango huo, Mkurugenzi Mkuu \[…\] The post TIB Rasilimali…

## [DCEA yateketeza ekari 603 za bangi mvomero](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/dcea-yateketeza-ekari-603-za-bangi-mvomero/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Morogoro MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza ekari 603 za mashamba ya bangi na kukamata magunia 49 ya bangi katika operesheni maalum iliyofanyika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, huku watuhumiwa 13 wakikamatwa kuhusisiana na mashamba hayo. Operesheni hiyo iliyofanyika katika vijiji vya Misengele, Lugenge, Kisaki na Nyarutanga, \[…\] The post…

## [Ujenzi meli mpya Kigoma kufungua soko la biashara kimataifa- Prof. Mbarawa](https://tanzanialeo.co.tz/ujenzi-meli-mpya-kigoma-kufungua-soko-la-biashara-kimataifa-prof-mbarawa/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=ujenzi-meli-mpya-kigoma-kufungua-soko-la-biashara-kimataifa-prof-mbarawa)

_2026-08-17 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

Na Mwandishi Wetu, Kigoma WAZIRI wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema uwekezaji wa kampuni ya kizawa ya Dar es Salaam Merchant Group katika ujenzi wa chelezo na meli mpya mkoani…

## [Recipe PDFs Ready Fast (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/abuvRYHikGG7)

_2026-08-17 · **Sponsored**_

Turn online or personal recipes into clean, printable PDFs in seconds.

## [TIB yaunga mkono ajenda ya Nishati Safa kuelekea 2050](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/17/tib-yaunga-mkono-ajenda-ya-nishati-safa-kuelekea-2050/)

_2026-08-17 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SAFARI ya mageuzi ya kiuchumi kuelekea Dira ya Taifa 2050 imeanza kushika kasi, huku mijadala kuhusu vichocheo vya uchumi ikiendelea kupewa uzito mkubwa nchini. Miongoni mwa matukio yaliyoibua mjadala huo ni Tamasha la Kizimkazi 2026, lililofanyika kusini mwa Unguja na kukutanisha viongozi wakuu wa serikali, taasisi na wadau mbalimbali wa maendeleo. \[…\] The post TIB…

## [MAKALA; KWANINI UNAWEZA KUAMBIWA NDEGE IMEJAA ILA VITI VIKO TUPU NA HAVINA ABIRIA?](https://www.habarika24.co.tz/2026/08/makala-kwanini-unaweza-kuambiwa-ndege.html)

_2026-08-16 · www.habarika24.blogspots.com · Habarika24_

. VIDEO YA MAKALA 👇👇 MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA-TCAA Kwanini Ndege inaweza kuwa na viti vya abiria vilivyo wazi lakini ikaelezwa kwamba Ndege Imejaa? Umewahi kusafiri na ndege ya abiria halafu ukakuta baadhi ya viti vipo wazi bila abiria lakini ukaambiwa ndege imejaa? Leo Tunakuletea Ufafanuzi na elimu ya kutosha kuhusu Hali hiyo. TCAA

## [NI DHAMBI KUBWA KWA MWANAUME WA KIHADZABE KUTAHIRIWA](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/ni-dhambi-kubwa-kwa-mwanaume-wa.html)

_2026-08-16 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Wahadzabe ni kabila linalopatikana mkabala na ziwa Eyasi pembezoni mwa hifadhi ya Ngorongoro na habari za maisha yao zimehifadhiwa katika makumbusho ya Urithi Jiopaki liyopo Karatu Mkoani Arusha. Pamoja na mabadiliko ya ulimwengu na elimu kutolewa lakini kabila hili bado haliamini katika tohara kwa kijana wa kiume, kwao hiyo ni mwiko wakiamini binadamu anastahili kuwa kama alivyozaliwa. Sababu…

## [Rais Samia kuzindua Mradi wa JNHPP Agosti 22, 2026](https://tanzanialeo.co.tz/rais-samia-kuzindua-mradi-wa-jnhpp-agosti-22-2026/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=rais-samia-kuzindua-mradi-wa-jnhpp-agosti-22-2026)

_2026-08-15 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

-Ni Mradi wa JNHPP ni matokeo ya uwekezaji wa trilioni 7.4 Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu…

## [TOA kujadili utekelezaji Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kuwanufaisha wananchi](https://tanzanialeo.co.tz/toa-kujadili-utekelezaji-dira-ya-taifa-ya-maendeleo-2050-ili-kuwanufaisha-wananchi/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=toa-kujadili-utekelezaji-dira-ya-taifa-ya-maendeleo-2050-ili-kuwanufaisha-wananchi)

_2026-08-15 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mkutano Mkuu wa 16 wa Mwaka wa Taasisi ya Maboresho katika Mamlaka za Serikali za Mitaa (TOA) unatarajiwa kujadili mchango wa ugatuzi wa madaraka katika kufikia…

## [Sekta ya madini yavutia uwekezaji wa trilioni 9 ndani ya miaka 4](https://tanzanialeo.co.tz/sekta-ya-madini-yavutia-uwekezaji-wa-trilioni-9-ndani-ya-miaka-4/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=sekta-ya-madini-yavutia-uwekezaji-wa-trilioni-9-ndani-ya-miaka-4)

_2026-08-15 · Mary Mashina · Tanzania Leo_

-Mikataba ya msingi 14 ya madini yasainiwa -Serikali yasaini Mkataba wa Bilioni 265 na Kampuni ya Henan Yudi Mining ya Mradi wa Graphite Morogoro Na Mwandishi Wetu, Morogoro Waziri wa…

## [Rais Dkt. Samia anatarajia kuzindua JNHPP Agosti, 22 2026](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/15/rais-dkt-samia-anatarajia-kuzindua-jnhpp-agosti-22-2026/)

_2026-08-15 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiakuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) Agosti,22 2026 katika eneo la mradi Rufiji, Mkoa wa Pwani. JNHPP ni miongoni mwa miradi mikubwa na ya kimkakati katika historia ya sekta ya nishati nchini.Kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115 za \[…\] The post Rais Dkt. Samia anatarajia kuzindua…

## [NIMR na HJF Kuimarisha Ushirikiano wa Tafiti za Afya](https://nimr.or.tz/nimr-na-hjf-kuimarisha-ushirikiano-wa-tafiti-za-afya/)

_2026-08-15 · Erick Mboma · NIMR_

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Henry M. Jackson Foundation (HJF) ya Marekani zimejadili namna ya kuendeleza ushirikiano katika tafiti za afya, ikiwa ni pamoja na kufanya tafiti za pamoja, kuimarisha uwezo wa watafiti na kutumia miundombinu iliyopo kupanua wigo wa tafiti nchini.Majadiliano hayo yalifanyika tarehe 13 Agosti 2026 katika Kituo cha Utafiti cha NIMR Mbeya,…

## [NIMR and HJF Strengthen Health Research Collaboration](https://nimr.or.tz/nimr-and-hjf-strengthen-health-research-collaboration/)

_2026-08-15 · Erick Mboma · NIMR_

The National Institute for Medical Research (NIMR) and the U.S.-based Henry M. Jackson Foundation (HJF) have discussed strategies to strengthen the existing collaboration in health research including joint research, capacity building for researchers, and making better use of existing infrastructure to expand the scope of health research in Tanzania.The discussions took place on 13th August 2026 at…

## [JESHI LA POLISI LINAMSHIKILIA WAKILI PETER MADELEKA KWA TUHUMA ZA KUDHARAU AMRI YA MAHAKAMA KUU](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/jeshi-la-polisi-linamshikilia-wakili.html)

_2026-08-14 · Habarifasternews · HabariFaster News_

## [NGORONGORO MAMBO NI SUPER TAMASHA LA KIZIMKAZI](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/ngorongoro-mambo-ni-super-tamasha-la.html)

_2026-08-14 · Habarifasternews · HabariFaster News_

Wazanzibar husema, Zanzibar ni njema atakaye aje, Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro ni miongoni mwa taasisi zilizoshiriki tamasha la Kizimkazi 2026 na kukakabidhiwa cheti kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutambua ushiriki wa mamlaka hiyo ambayo imevutia maelefu ya wananchi kushuhudia vivutio vya utalii mubashara katika viwanja vya…

## [NIMR and Museen Stade Strengthen Strategic Partnership to Advance Research, Heritage and Tourism at Amani Hill](https://nimr.or.tz/nimr-and-museen-stade-strengthen-strategic-partnership-to-advance-research-heritage-and-tourism-at-amani-hill/)

_2026-08-14 · Erick Mboma · NIMR_

The National Institute for Medical Research (NIMR) and Museen Stade of Germany have formalized their partnership through the signing of a collaboration agreement under the WAYS – Towards Fair and Sustainable International Partnerships Programme. The agreement was signed on 13th August 2026 at the NIMR Headquarters sub-Office in Dar es Salaam.The collaboration agreement follows the approval of…

## [UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO](https://www.habarifasternews.co.tz/2026/08/utabiri-wa-hali-ya-hewa-kwa-saa-24_0926061596.html)

_2026-08-14 · Habarifasternews · HabariFaster News_

## [NIMR Mbeya Yawafikia Wakulima, Kuimarisha Ushirikishwaji wa Jamii katika Utafiti wa Afya.](https://nimr.or.tz/nimr-mbeya-yawafikia-wakulima-kuimarisha-ushirikishwaji-wa-jamii-katika-utafiti-wa-afya/)

_2026-08-13 · Erick Mboma · NIMR_

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Kituo cha Mbeya, imetumia Maonesho ya Wakulima na Wafugaji (Nanenane) Kanda ya Kusini kuwafikia wananchi moja kwa moja, hususan wakulima ambao ni sehemu kubwa ya washiriki katika tafiti zake, kwa kutoa elimu ya afya, huduma za uchunguzi na elimu kuhusu tafiti za afya zinazofanyika katika Kanda ya Kusini.Maonesho hayo, yaliyofikia kilele…

## [Kafulila kuongoza mhadhara wa umma kuhusu nafasi ya ubia (PPP) katika maendeleo ya watu](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/12/kafulila-kuongoza-mhadhara-wa-umma-kuhusu-nafasi-ya-ubia-ppp-katika-maendeleo-ya-watu/)

_2026-08-12 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

KITUO cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre) kinatarajiwa kufanya mhadhara wa umma utakaolenga kujadili mchango wa ubia kati ya sekta umma na sekta binafsi katika kuchochea maendeleo ya watu na uchumi wa taifa. Mhadhara huo utaongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa PPP Centre, Mhe. David Kafulila ukiwa umebeba mada ya \[…\] The post Kafulila kuongoza mhadhara wa umma kuhusu nafasi…

## [Vyama vyote ni sawa hakuna chama kidogo wala kikubwa](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/12/vyama-vyote-ni-sawa-hakuna-chama-kidogo-wala-kikubwa/)

_2026-08-12 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu,Dodoma VYAMA vya Siasa vyote nchini vina hadhi sawa na hakuna chama kinachopaswa kujiona chenyewe ni kikubwa kiliko vingine kutokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria za nchi. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Profesa Palamagamba Kabudi alipokuwa \[…\] The post Vyama vyote ni sawa hakuna chama…

## [Mavunde aagiza masoko ya madini kuwa wazi mpaka usiku](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/11/mavunde-aagiza-masoko-ya-madini-kuwa-wazi-mpaka-usiku/)

_2026-08-11 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

▪️ Lengo ni kurahisisha huduma kwa wateja ▪️ Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kupunguza tozo zinazowaumiza wachimbaji wadogo ▪️ Dhahabu tani 67.8 zenye thamani ya Sh trilioni 18.4 zazalishwa kwenye viwanda vya usafishaji ▪️Waziri Mavunde aeleza mkakati wa kukuza biashara ya Tanzanite Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, ameiagiza Tume ya Madini \[…\] The post Mavunde aagiza…

## [RITA yaimarisha usajili wa matukio muhimu ya binadamu](https://www.lajiji.co.tz/2026/08/11/rita-yaimarisha-usajili-wa-matukio-muhimu-ya-binadamu/)

_2026-08-11 · Esther Mnyika · LAJIJI MEDIA_

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) umeendelea kuimarisha usajili wa matukio muhimu ya binadamu nchini kwa kutumia mifumo ya kidijitali na kusogeza huduma karibu na wananchi, hatua inayolenga kuhakikisha kila mwananchi anapata nyaraka muhimu za utambulisho na kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii na kiuchumi. Waziri wa Katiba na \[…\] The post…

## [Today is your last opportunity to submit your abstract for the 5th Traditional Medicine Scientific Conference.](https://nimr.or.tz/today-is-your-last-opportunity-to-submit-your-abstract-for-the-5th-traditional-medicine-scientific-conference/)

_2026-08-06 · Erick Mboma · NIMR_

Today is your last opportunity to submit your abstract for the 5th Traditional Medicine Scientific Conference.Share your research, engage with experts, and contribute to advancing evidence-based traditional medicine.📩 𝐒𝐮𝐛𝐦𝐢𝐭 𝐲𝐨𝐮𝐫 𝐚𝐛𝐬𝐭𝐫𝐚𝐜𝐭 𝐭𝐨𝐝𝐚𝐲 𝐛𝐞𝐟𝐨𝐫𝐞 𝐭𝐡𝐞 𝐝𝐞𝐚𝐝𝐥𝐢𝐧𝐞. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec…

## [NIMR, Partners Advance Efforts to Strengthen Tanzania’s Clinical Trial Oversight Framework](https://nimr.or.tz/nimr-partners-advance-efforts-to-strengthen-tanzanias-clinical-trial-oversight-framework/)

_2026-07-28 · Erick Mboma · NIMR_

The National Institute for Medical Research (NIMR) in collaboration with the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), other local and international partners, on 28th July, 2026 convened a stakeholders’ consultative meeting in Dar es Salaam to discuss strategies for strengthening Tanzania’s clinical trial oversight policy and legal framework.The meeting, held at the CEEMI Hall, NIMR…

