# afrika (audio feeds) — RSS Amplifier

Recent posts from the 6 feeds in the RSS Amplifier directory that cover afrika.

Page: <https://rssamplifier.com/topics/afrika/audio>  
Feed: <https://rssamplifier.com/topics/afrika/audio.md>

---

## [Uchaguzi nchini Zambia, upinzani yalalamikia matokeo ya uchaguzi](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260819-uchaguzi-nchini-zambia-upinzani-yalalamikia-matoke-ya-uchaguzi?GJlXzGgqHj)

_2026-08-19 · Habari RFI-Ki_

Nchini Zambia, Rais Hakainde Hichilema, amechaguliwa kwa muhula wa pili, akimshinda mpinzani wake wa Karibu Brian Mundubile. Hata hivyo kumeshuhudiwa malalamiko ya dosari kadhaa ikiwemo udanganyifu, wizi wa kura na vitisho, mambo yanayoripotiwa wakati wa chaguzi nyingi barani Afrika.s

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/APPELS_ACTU_19-08-26.mp3?guid=ab033668-9be2-11f1-a7fe-db73b9e8d481&source=GJlXzGgqHj)

## [Kuna uwezekano wa asilimia 81 Afrika kukumbwa na hali ya hewa ya Elnino](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260818-kuna-uwezekano-wa-asilimia-81-afrika-kukumbwa-na-hali-ya-hewa-ya-elnino?GJlXzGgqHj)

_2026-08-18 · Habari RFI-Ki_

Ripoti ya wataalam wa hali ya hewa imeonya kuwa Afrika inakabiliwa na uwezekano wa aslimia 81 wa kukumbwa na hali ya hewa ya El Nino. Katika ripoti hiyo, eneo la Kusini mwa Afrika linatarajiwa kukumbwa na

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/HABARI_RAFIKI_18-08-26_OK.mp3?guid=958b8d1e-9b13-11f1-bd0b-7fb2265490de&source=GJlXzGgqHj)

## [Vuguvugu la upinzani nchini DRC C64 kutangaza kufanya maandamano Septemba 15](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260818-vuguvugu-la-upinzani-nchini-drc-c64-kutangaza-kufanya-maandamano-septemba-15?GJlXzGgqHj)

_2026-08-18 · Habari RFI-Ki_

Mwishoni mwa juma lililopita, upinzani nchini DRC kupitia vuguvugu la C64 ulitangaza kuwa utafanya maandamano Septemba 15 kupinga mchakato wa marekebisho ya katiba. Tangazo lao walilitoa baada ya muda waliokuwa wameutoa kwa Rais Felix Tshisekedi kuitisha mazungumzo ya kitaifa kupita.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/HABARI_RAFIKI_17-08-26_OK.mp3?guid=590e3e82-9b12-11f1-9f33-8b1d9630ab60&source=GJlXzGgqHj)

## [Kwa nini bima ya afya ya msafiri ni sharti muhimu kwa mataifa ya Afrika](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260818-kwa-nini-bima-ya-msafiri-ni-sharti-muhimu-kwa-mataifa-ya-afrika?GJlXzGgqHj)

_2026-08-18 · Siha Njema_

Umuhimu wa bima ya afya kwa wasafiri ni pamoja na kupunguza gharama kwa taifa mwenyeji haswa wakati huu nchi nyingi hususan za Afrika zinashuhudia ongezeko la milipuko wa magonjwa ya milipuko Sharti hilo pia linatoa fursa kwa nchi kuboresha mifumo ya afya ili kukidhi mahitaji ya wasafiri wanaohitaji huduma za afya kwa nchi wanazozitembelea.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/SIHA_NJEMA_18-08-26_OK.mp3?guid=c3cf0fac-9ad7-11f1-925a-5b2668a9d0ce&source=GJlXzGgqHj)

## [Malawi na Cameroon zatinga fainali michuano ya WAFCON 2026 nchini Morocco](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260815-malawi-na-cameroon-zatinga-fainali-michuano-ya-wafcon-2026-nchini-morocco?GJlXzGgqHj)

_2026-08-15 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyoangazia leo ni pamoja na uchambuzi wa matokeo na matukio ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kina dada inayofikia tamati wikendi hii, mechi za kufuzu kombe la dunia la basketboli chini ya miaka 18, Kenya yawasilisha nia ya kuandaa mashindano ya dunia ya riadha 2029. Je, Yanga itatetea ubingwa wa ligi kuu Tanzania baada ya kushinda ngao ya jamii?, PSG yashinda taji la UEFA Super Cup, tetesi za…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/jukwaa_15th_aug_2026.mp3?guid=ebfa9d3a-98c4-11f1-85ee-d7c37b4cc29f&source=GJlXzGgqHj)

## [Je, Nchi Inaweza Kuendelea Bila Dira ya Maendeleo?](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260812-je-nchi-inaweza-kuendelea-bila-dira-ya-maendeleo?GJlXzGgqHj)

_2026-08-12 · Gurudumu la Uchumi_

Msikilizaji taifa linaweza kuishi siku moja baada ya nyingine bila kujua linaelekea wapi. Lakini taifa linalotaka kujenga uchumi imara, ajira bora na maisha bora kwa wananchi wake, linahitaji zaidi ya mipango ya leo, kwa kifupî linahitaji dira. Kwenye makala ya wiki hii tunaangazia dira ya taifa ni nini.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/MAG_ECONOMIE_12-08-26.mp3?guid=d106a06c-964b-11f1-aeb0-7d99e01fd3b0&source=GJlXzGgqHj)

## [Tume Huru ya Uchaguzi nchini Kenya, yatoa kanuni mpya za ufadhili wa kampeni](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260811-tume-huru-ya-uchaguzi-nchini-kenya-yatoa-kanuni-mpya-za-ufadhili-wa-kampeni?GJlXzGgqHj)

_2026-08-11 · Habari RFI-Ki_

Mwaka mmoja kuelekea uchaguzi mkuu nchini Kenya, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, imetoa kanuni mpya za ufadhili wa kampeni za wagombea mbalimbali.Mgombea urais atatakiwa kutumia kiasi cha shilingi za Kenya zisizozidi Bilioni 6 huku vyama vya siasa vikitakiwa kutokuvuka matumizi ya bilioni 25 za Kenya.Tumemuuliza mskilizaji ,anazungumzia vipi kanuni hii ?na nchini mwake , kuna utaratibu kama…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/HABARI_RAFIKI_11_08_2026_KENYA.mp3?guid=9e33eab6-959f-11f1-8189-41de3659ab5f&source=GJlXzGgqHj)

## [Unaweza kuendelea kunyonyesha hata baada ya kutenganishwa kwa muda na mwanao](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260811-unaweza-kuendelea-kunyonyesha-hata-baada-ya-kutenganishwa-kwa-muda-na-mwanao?GJlXzGgqHj)

_2026-08-11 · Siha Njema_

Imani kuwa mama na mtoto wanapotenganishwa inaweza kuathiri ubora wa maziwa ya mama inapotosha. Watalaam wanasisitiza maziwa ya mama hayawezi kuharibika kwenye titi. Aidha kunyonyesha kwa uaminifu kunaweza kukuepusha na saratani na mbinu pia ya kupanga uzazi.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/SIHA_NJEMA_11-08-26_OK.mp3?guid=c76cdf08-957e-11f1-99a3-7b9dab358cb5&source=GJlXzGgqHj)

## [WAFCON yaingia mtoano, Rayon mabingwa wa CECAFA, CAF yamuunga mkono Infantino](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260808-wafcon-yaingia-mtoano-rayon-mabingwa-wa-cecafa-caf-yamuunga-mkono-infantino?GJlXzGgqHj)

_2026-08-08 · Jukwaa la Michezo_

Tumeangazia uchambuzi wa matokeo na matukio kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika kina dada inayoingia kwenye mtoano, droo ya michuano ya klabu bingwa, CAF yamuunga mkono rais Infantino, Rayon yashinda ubingwa CECAFA baada ya miaka 28, Simba Day ni leo, mshindi wa medali ya fedha mbio za kutembea mita 10,000 kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola 2026 Stephen Ndangiri apigwa marufuku kwa tuhuma za…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/S_PORTS_MAKALA.mp3?guid=48ffdf34-9327-11f1-bec5-6133779e0a1a&source=GJlXzGgqHj)

## [Sehemu ya Pili: Hatifungani ni nini na kwanini inakuhusu](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260805-sehemu-ya-pili-hatifungani-ni-nini-na-kwanini-inakuhusu?GJlXzGgqHj)

_2026-08-05 · Gurudumu la Uchumi_

Mara kadhaa tumesikia serikali zetu zikitangaza kuwa zinauza hati fungani za Serikali za muda mfupi na muda mrefu, yaani Government Bonds na Treasury bill, serikali zikikusanya mabilioni ya fedha kutoka kwa wawekezaji. Sasa je, hatifungani ni nini? Je, mwananchi wa kawaida anaweza kuwekeza?

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_05-08-26.mp3?guid=779d9fd0-8b42-11f1-b1b5-550ac6cc2a27&source=GJlXzGgqHj)

## [Accept your Doppler invite (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/s8Gd3yGiJrlP)

_2026-08-05 · **Sponsored**_

Create your Doppler account using the invite code you received.

## [Darubini ya mashindano ya Wafcon, Jumuiya ya Madola na Cecafa Kagame Cup](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260801-darubini-ya-mashindano-ya-wafcon-jumuiya-ya-madola-na-cecafa-kagame-cup?GJlXzGgqHj)

_2026-08-01 · Jukwaa la Michezo_

Leo kwenye kipindi tunaangazia WAFCON inayoendelea nchini Morocco - Kenya yaaga mashindano huku Tanzania ikisalia na matumaini lakini Nigeria na Afrika Kusini zimeanza kwa kusuasua, wanariadha wanaendelea kunyakua medali katika mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Scotland, wakati mashindano ya Cecafa Kagame Cup yakiingia nusu fainali.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202608/jukwaa_01st_aug.mp3?guid=536799ec-8dc5-11f1-887b-9973daf882d0&source=GJlXzGgqHj)

## [Kwa nini watalaam wanahoji maumivu makali wakati wa hedhi si kawaida](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260731-kwa-nini-watalaam-wanahoji-maumivu-makali-wakati-wa-hedhi-si-kawaida?GJlXzGgqHj)

_2026-07-31 · Siha Njema_

Maumivu wakati msichana au mwanamke anapokuwa kwenye siku zake za hedhi, yanaweza kuwa ya kawaida ila maumivu haya yanapomfanya kushindwa na shughuli za kawaida si kawaida Dkt Dominic Osiemo anasema maumivu haya makali yanaweza kuwa dalili za baadhi ya changamoto za kiafya kama vile Uvimbe au ugonjwa wa Endometriosis.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/SIHA_NJEMA_28-07-26_OK.mp3?guid=38c77424-8cdd-11f1-8c87-0b9b6fc7e5a3&source=GJlXzGgqHj)

## [Hatifungani za serikali na hazina: Kwa nini zinahusu kila mwananchi?](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260729-hatifungani-za-serikali-na-hazina-kwa-nini-zinahusu-kila-mwananchi?GJlXzGgqHj)

_2026-07-29 · Gurudumu la Uchumi_

Mara kadhaa tumesikia serikali zetu zikitangaza kuwa zinauza hati fungani za Serikali za muda mfupi na muda mrefu, yaani Government Bonds na Treasury bill, serikali zikikusanya mabilioni ya fedha kutoka kwa wawekezaji. Sasa je, hatifungani ni nini? Je, mwananchi wa kawaida anaweza kuwekeza?

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_29-07-26.mp3?guid=add5281a-8b3e-11f1-aca8-77c54ba7030c&source=GJlXzGgqHj)

## [CAF: Wafcon, mashindano ya jumuiya ya madola na Kombe la Cecafa yaanza](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260725-caf-wafcon-mashindano-ya-jumuiya-ya-madola-na-kombe-la-cecafa-yaanza?GJlXzGgqHj)

_2026-07-25 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyokuandalia leo ni pamoja na kuanza kwa mashindano ya kina dada ya Afcon, Kombe la Cecafa, mashindano ya Jumuiya ya Madola, tetesi za uhamisho Ulaya na Afrika Mashariki, mahakama ya kutatua migogoro duniani kuskiza kesi ya kubaini bingwa wa Afcon 2025 mwezi Oktoba tarehe nane.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/jukwaa_25th_july.mp3?guid=656565c4-8844-11f1-bd06-8df5cb2cc9d2&source=GJlXzGgqHj)

## [Der Landschaftsfotografie Podcast S01 E112: Markus Albert](https://nicolasalexanderotto.net/der-landschaftsfotografie-podcast-s01-e112-markus-albert/)

_2026-07-24 · Der Landschaftsfotografie Podcast_

BILDBEARBEITUNG MAL ANDERS PHOTOSHOP UND PROTOKOLLPINSEL Heute im Podcast am Start der Frankfurter Fotograf Markus Albert. Seine Arbeiten zeichen sich durch einen ungewöhnlichen visuellen Stil aus, welcher auf die Landschaftsmalerei des späten 18. Jahrhunderts zurück geht. Wir haben über seine unorthodoxe Herangehenseweise an die Bildbearbeitung gesprochen und währenddessen allerlei interessante…

[Listen](https://nicolasalexanderotto.net/wp-content/uploads/2026/07/Podcast-Solo-Episode-112-Markus-Albert_mixdown.mp3)

## [Migogoro ya kimataifa inavyoathiri uchumi wa wananchi Afrika](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260722-migogoro-ya-kimataifa-inavyoathiri-uchumi-wa-wananchi-afrika?GJlXzGgqHj)

_2026-07-22 · Gurudumu la Uchumi_

Katika Makala haya hivi leo tunajadili uhusiano kati ya siasa za kimataifa na uchumi wa wananchi wa Afrika, mara yingi tunasikia taarifa za vita, migogoro ya kisiasa au mivutano kati ya mataifa makubwa kama Urusi na Ukraine, Mashariki ya Kati, au migogoro inayovuruga usafirishaji wa bidhaa duniani. Kuzungumzia hili, hivi leo nimemualika Safari Fungo, mtaalamu wa masuala ya uchumi, utangamano wa…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_22-07-26.mp3?guid=b3a7fed4-85d5-11f1-8777-c7f48c98c05f&source=GJlXzGgqHj)

## [Changamoto ya wanaume na wanawake kukosa hamu ya tendo la ndoa](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260721-changamoto-ya-wanaume-na-wanawake-kukosa-hamu-ya-tendo-la-ndoa?GJlXzGgqHj)

_2026-07-21 · Siha Njema_

Raia mmoja wa Kenya amefika kwenye bunge la kitaifa nchini Kenya akitaka swala la wanaume na wanawake kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa kuorodheshwa kuwa ulemavu Kwa mujibu wa daktari Dominic Osiemo ,tatizo hilo linachangiwa na maswala kadhaa yakiwemo matumizi ya dawa za kisukari ,shinikizo la damu na msongo wa mawazo.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/SIHA_NJEMA_21-07-26_OK.mp3?guid=7086cafc-851e-11f1-87df-b529d8dcc1bf&source=GJlXzGgqHj)

## [Visa vya kung'atwa na Nyoka vyaongezeka kaunti ya Turkana Nchini Kenya](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260721-visa-vya-kung-atwa-na-nyoka-vyaongezeka-kaunti-ya-turkana-nchini-kenya?GJlXzGgqHj)

_2026-07-21 · Siha Njema_

Kaunti ya Turkana inaongoza nchini Kenya kwa visa vya watu kung'atwa na nyoka. Wataalamu wa afya wanasema mabadiliko ya tabianchi, joto kali na changamoto za upatikanaji wa huduma za afya vinaongeza hatari kwa wakazi wa maeneo mengi ya kaunti hiyo,huku shirika la afya duniani WHO likisema visa vya kuumwa na nyoka vinapuuzwa wakati huu karibia watu 32000 wakifariki kila mwaka kutokana na sumu ya…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/SIHA_NJEMA_14-07-26_OK.mp3?guid=38d06aca-84e5-11f1-81de-1d36bc2bd5dc&source=GJlXzGgqHj)

## [145: Att resa på olika sätt &#8211; en maxad vår i Europa](https://attresapodden.se/145-att-resa-pa-olika-satt-en-maxad-var-i-europa/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=145-att-resa-pa-olika-satt-en-maxad-var-i-europa)

_2026-07-18 · Att resa - podden_

Hur vet man vilken resa man behöver? Är det drömresan till Azorerna, en spontan vecka i Italien, en favoritplats man alltid återvänder till – eller några dagar där man bara får leva vardagsliv i Lissabon? I det här avsnittet summerar vi vår intensiva resevår och pratar om varför olika resor fyller helt olika behov. Efter månader fyllda av resor möts vi äntligen i poddstudion för att blicka…

[Listen](https://media.blubrry.com/attresapodden/content.blubrry.com/attresapodden/145-Att_resa_pa_olika_sa_tt-en_maxad_va_r_i_Europa.mp3)

## [Ufaransa na Uingereza zaondolewa kwenye nusu fainali Kombe la Dunia](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260718-ufaransa-na-uingereza-zaondolewa-kwenye-nusu-fainali-kombe-la-dunia?GJlXzGgqHj)

_2026-07-18 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyokuandalia leo ni pamoja uchambuzi wa nusu fainali, mechi ya mshindi wa tatu na taarifa kuu kuhusu Kombe la Dunia kuhusu washindi kutuzwa pete pamoja na medali na kombe huku Ballon d'Or yatangaza mchezaji anayecheza nje ya Ulaya ana uwezo wa kushinda tuzo hiyo. Timu ya taifa ya kina dada ya Kenya na Tanzania zasafiri kwa ajili ya Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Morocco, fainali ya Congo Cup…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/jukwaa_18th_july.mp3?guid=a20a6954-82c5-11f1-ae6d-c5cf415204d3&source=GJlXzGgqHj)

## [Never miss a game (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/5DCF88obTj81)

_2026-07-18 · **Sponsored**_

Follow any team; get an hour and one-minute web and email reminders.

## [Maoni ya mskilizaji Wiki hii kutokana na matangazo yetu](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260717-maoni-ya-mskilizaji-wiki-hii-kutokana-na-matangazo-yetu?GJlXzGgqHj)

_2026-07-17 · Habari RFI-Ki_

Na Hannah Nalianya Kila Ijumaa rfi Kiswahili inakupa nafasi kuchangia mada yoyote kuhusiana na matangazo yetu. Skiza maoni ya Juma hili

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAKALA_YA_HABARI_RAFIKI_17_07_2026_KUHUSU_MADA_HURU.mp3?guid=9527ec56-81ef-11f1-bb47-357bd9b41020&source=GJlXzGgqHj)

## [Argentina kuvaana na Uhuspania kwenye fainali](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260716-argentina-kuvaana-na-uhuspania-kwenye-fainali?GJlXzGgqHj)

_2026-07-16 · Habari RFI-Ki_

Fainali ya kombe la dunia katika mchezo wa soka, itawakutanisha mabingwa watetezi Argentina na Hispania waliowahi kushinda taji hili mwaka 2010. Mechi hiyo itapigwa siku ya Jumapili nchini Marekani. Unatarajia nani ataibuka mshindi katika mechi hiyo na kwanini. Skiza ya mskilizaji

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_16-07-26_OK.mp3?guid=c7dc6642-812a-11f1-8cf2-79394af737f0&source=GJlXzGgqHj)

## [Ufaransa yaondolewa kwenye kombe la dunia](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260715-ufaransa-yaondolewa-kwenye-kombe-la-dunia?GJlXzGgqHj)

_2026-07-15 · Habari RFI-Ki_

Na Hannah Naliaka Safari ya Ufaransa kutinga fainali za kombe la dunia imefikia tamati baada ya kushindwa mabao 2-0 na Uhispania katika nusu fainali ya kwanza. Unazungumziaje mechi hiyo ? Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/HABARI_RAFIKI_15-07-26_OK.mp3?guid=931824d6-8059-11f1-8e3b-b7c298cf2416&source=GJlXzGgqHj)

## [Sarafu za kidijitali ‘Cryptocurrency’ uwekezaji wa kisasa wenye fursa na hatari](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260715-sarafu-za-kidijitali-cryptocurrency-uwekezaji-wa-kisasa-wenye-fursa-na-hatari?GJlXzGgqHj)

_2026-07-15 · Gurudumu la Uchumi_

Katika miaka ya hivi karibuni, sarafu za kidijitali maarufu kama cryptocurrency zimezidi kuvutia watu wengi duniani. Wapo waliopata faida kubwa, lakini pia wapo waliopoteza fedha nyingi kutokana na kushuka kwa thamani ya sarafu hizo. Leo katika Makala ya Gurudumu la Uchumi, tunajiuliza: Je, sarafu za kidijitali ‘cryptocurrency’ ni uwekezaji wa kweli, au ni uwekezaji wenye hatari kubwa ambao watu…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_15-07-26.mp3?guid=42245d0e-8056-11f1-998b-b7c298cf2416&source=GJlXzGgqHj)

## [Bara Ulaya linatathimini kudhibiti mitandao kwa watoto](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260714-bara-ulaya-linatathimini-kudhibiti-mitandao-kwa-watoto?GJlXzGgqHj)

_2026-07-14 · Habari RFI-Ki_

Umoja wa Ulaya unatathmini kuweka marufuku ya matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto kutokana na athari za mitandao hiyo kwa watoto. Unazungumziaje pendekezo hili? Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAKALA_YA_HABARI_RAFIKI_14_07_2026_KUHUSU_WATOTO.mp3?guid=30e50a3a-7f9c-11f1-bdf8-77b4e25bc2d2&source=GJlXzGgqHj)

## [Nani atabeba kombe la dunia mwaka huu](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260713-nani-atabeba-kombe-la-dunia-mwaka-huu?GJlXzGgqHj)

_2026-07-13 · Habari RFI-Ki_

Fainali za kombe la dunia zimefikia hatua ya nusu fainali, huku timu nne zikisalia kwenye mbio za kutwaa ubingwa. Uhispania itacheza na Ufaransa, wakati Uingereza itapambana na mabingwa watetezi Argentina. Unatathmini vipi hatua iliyofikia? Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAKALA_HABARI_RAFIKI_13_07_2026_KUHUSU_WORLD_CUP.mp3?guid=81eb9306-7ec8-11f1-8311-dbb701fa6098&source=GJlXzGgqHj)

## [Mbio za nusu fainali Kombe la Dunia, Kocha mpya wa Yanga ni nani?](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260711-mbio-za-nusu-fainali-kombe-la-dunia-kocha-mpya-wa-yanga-ni-nani?GJlXzGgqHj)

_2026-07-11 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyokuandalia leo ni pamoja na uchambuzi wa raundi ya 16 bora na robo fainali michuano ya Kombe la Dunia, Misri na Morocco zikiaga mashindano, Mbappe na Messi wang'ang'ania kiatu cha dhahabu, Yanga yapata kocha mpya Manqoba Mngqithi kutoka Afrika Kusini, Emmanuel Wanyonyi avunja rekodi ya mita 1000m mashindano ya Diamond League, mchezo mpya wa Flag Football waendelea kukua na kupata umaarufu…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/Jukwaa_11th_july.mp3?guid=a3fdf860-7d44-11f1-90be-3d1ed36326f4&source=GJlXzGgqHj)

## [Maoni yako katika makala ya Habari rafiki Mada huru](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260710-maoni-yako-katika-makala-ya-habari-rafiki-mada-huru?GJlXzGgqHj)

_2026-07-10 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_10-07-26.mp3?guid=aa0b97be-7c6b-11f1-a012-8db244004842&source=GJlXzGgqHj)

## [Mashirika ya kiraia Afrika yaanza kampeni dhidi ya madeni ya umma](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260710-mashirika-ya-kiraia-afrika-yaanza-kampeni-dhidi-ya-madeni-ya-umma?GJlXzGgqHj)

_2026-07-10 · Siha Njema_

Mashirika ya kiraia yanasema nchi za Afrika zinalipa deni na kuachwa na kiasi kidogo cha pesa kuendesha shughuli muhimu za serikali ,sekta ya afya ikiathirika zaidi Mashirika haya yanataka umoja wa Afrika kuja na jopo ambalo litakuwa linaangazia maswala yote kuhusu mikopo ili kupunguza dhulma kwa nchi zinazoendelea

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/SIHA_NJEMA_07-07-26_OK.mp3?guid=45541bfe-7c55-11f1-8cda-9380539ec062&source=GJlXzGgqHj)

## [DRC: Muungano wa upinzani wa C64 kutangaza kuendelea na maandamano yake ya amani Julai 22](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260709-drc-muungano-wa-upinzani-wa-c64-kutangaza-kuendelea-na-maandamano-yake-ya-amani-julai-22?GJlXzGgqHj)

_2026-07-09 · Habari RFI-Ki_

Tangazo hilo limetolewa licha ya kushiriki kwenye mazungumzo ya kisiasa na rais wa Burundi Évariste Ndayishimiye, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_08-07-26.mp3?guid=ffffa514-7b8c-11f1-8494-f9a2c7cb99bd&source=GJlXzGgqHj)

## [Point once, get highlights (Sponsored)](https://crawlproof.com/a/BuEpyZWBQz5W)

_2026-07-09 · **Sponsored**_

Get minutes worth watching from a whole game — point once

## [Kodi na Maendeleo: Je, tunapata thamani ya kodi tunazolipa?](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260708-kodi-na-maendeleo-je-tunapata-thamani-ya-kodi-tunazolipa?GJlXzGgqHj)

_2026-07-08 · Gurudumu la Uchumi_

Katika makala ya Gurudumu la Uchumi hivi leo, tunajadili nafasi ya kodi katika maendeleo ya uchumi, umuhimu wa kulipa kodi, na jinsi serikali na wananchi wanavyoweza kushirikiana kujenga uchumi imara na wenye manufaa kwa wote.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/MAG_ECONOMIE_08-07-26.mp3?guid=c7b833ec-7aba-11f1-8941-8115b569da94&source=GJlXzGgqHj)

## [Siku ya Kiswahili duniani Juni 07 2026](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260707-siku-ya-kiswahili-duniani-juni-07-2026?GJlXzGgqHj)

_2026-07-07 · Habari RFI-Ki_

Dunia hivi leo inaadhimisha siku ya Kiswahili Duniani, kutambua mchango wa lugha ya Kiswahili katika kuunganisha watu, tamaduni na mataifa mbalimbali, kauli mbiu ikiwa Kiswahili Lugha ya kimataifa ya amani, mshikamano na diplomasia ya kiuchumi.” Siku hii inafanyika wakati pia RFI Kiswahili tunatimiza miaka 16 tangu tulipoanza kurusha matangazo yetu, una ujumbe gani kwetu?

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_07-07-26.mp3?guid=c5942848-7a22-11f1-b844-319e252bcfee&source=GJlXzGgqHj)

## [Je, serikali ya Afrika Kusini ilichukua hatua za kutosha kulinda usalama wa raia wa kigeni?](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260706-je-serikali-ya-afrika-kusini-ilichukua-hatua-za-kutosha-kulinda-usalama-wa-raia-wa-kigeni?GJlXzGgqHj)

_2026-07-06 · Habari RFI-Ki_

Wiki iliyopita, maelfu ya raia wa mataifa mbalimbali ya Afrika waliondoka Afrika Kusini kutokana na hofu ya usalama baada ya maandamano yaliyolenga wageni. Baadhi ya nchi zimeikosoa serikali ya Afrika Kusini kwa kushindwa kudhibiti hali hiyo.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_06-07-26_OK.mp3?guid=aa1630ea-794e-11f1-9578-71106e32aecc&source=GJlXzGgqHj)

## [Kombe La Dunia 2026: Raundi ya 32 yakamilika, Morocco na Misri zafuzu 16 bora](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260704-kombe-la-dunia-2026-raundi-ya-32-yakamilika-morocco-na-misri-zafuzu-16-bora?GJlXzGgqHj)

_2026-07-04 · Jukwaa la Michezo_

Tuliyokuandalia leo ni mkusanyiko wa matukio ya raundi ya 32, je ni wakati timu changa kuanza kutamba? Timu mbili tu za Afrika kati ya tisa zafuzu kumi na sita bora, nini kimeiponza Afrika? uchambuzi wa raundi ya 16 bora inaanza leo, kiatu cha dhahabu na mechi za kufuzu Kombe la Dunia la wasichana chini ya miaka 17. Yanga yashinda ubingwa wa Tanzania kwa mara ya 32 huku DRC ikifuzu raundi ya pili…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/jukwaa_04_july.mp3?guid=2e8daade-77c3-11f1-82d7-f9d3412b6fa2&source=GJlXzGgqHj)

## [Timu ya DRC ya Leopard yaondolewa na Uingereza kwenye mashindano ya kombe la dunia](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260703-timu-ya-drc-ya-leopard-yaondolewa-na-uingereza-kwenye-mashindano-ya-kombe-la-dunia?GJlXzGgqHj)

_2026-07-03 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/APPELS_ACTU_02-07-26.mp3?guid=2d7e81c2-76ec-11f1-a8b9-1d81afdc4925&source=GJlXzGgqHj)

## [Maandamano ya Afrika Kusini kushinikiza wageni kuondoka yaibua maswali](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260703-maandamano-ya-afrika-kusini-kushinikiza-wageni-kuondoka-yaibua-maswali?GJlXzGgqHj)

_2026-07-03 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/HABARI_RAFIKI_01-07-26_OK.mp3?guid=fe9655de-76ea-11f1-b73f-2d617bb3142b&source=GJlXzGgqHj)

## [Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yaadhimisha miaka 66 ya Uhuru](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260703-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-congo-yaadhimisha-miaka-66-ya-uhuru?GJlXzGgqHj)

_2026-07-03 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202607/HABARI_RAFIKI_30-06-26_OK.mp3?guid=4fea8ece-76ea-11f1-a081-1d81afdc4925&source=GJlXzGgqHj)

## [Uganda : Yamfurusha wakili na mwanaharakati Martha Karua](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260701-uganda-yamfurusha-wakili-na-mwanaharakati-martha-karua?GJlXzGgqHj)

_2026-07-01 · Habari RFI-Ki_

Tunaangazia serikali ya Uganda kumfurusha wakili na mwanaharakati wa Kenya, Martha Karua nchini humo, ikiwa ni mwendelezo wa matukio ambayo yamekuwa yakishuhudiwa hapa Afrika Mashariki. Skiza maoni ya waskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_24-06-26_OK.mp3?guid=41b1f360-6fce-11f1-9cdc-8b18087b57bb&source=GJlXzGgqHj)

## [Mkuu wa majeshi nchini Uganda kuamuru kufungwa runinga ya NTV](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260630-mkuu-wa-majeshi-nchini-uganda-kuamuru-kufungwa-runinga-ya-ntv?GJlXzGgqHj)

_2026-06-30 · Habari RFI-Ki_

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_29-06-26_OK.mp3?guid=3214934c-747c-11f1-acdf-e3536907b568&source=GJlXzGgqHj)

## [Kampeni kuhakikisha vyakula vilivyosindikwa vina maandishi ya kuonya](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260630-kampeni-kuhakikisha-vyakula-vilivyosindikwa-vina-maandishi-ya-kuonya?GJlXzGgqHj)

_2026-06-30 · Siha Njema_

Tafiti kadhaa za kiafya zimebainisha magonjwa mengi yasiyoambukizwa yana uhusiano mkubwa na vyakula vilivyosindikwa na hali ya watu kukosa kuzingatia mazoezi ya kila mara. Kenya ikiwa taifa la kwanza Afrika Mashariki kupitisha mwongozo unaotoa maelekezo kuhusu viwango vya madini ambavyo vyakula au vinywaji vinavyouzwa vinafaa kukidhii au kwa lugha ya kiingereza Kenya Nutrient Profile Model,sasa…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/SIHA_NJEMA_30-06-26_OK.mp3?guid=ab0e078a-747a-11f1-9fbe-e3536907b568&source=GJlXzGgqHj)

## [Kombe la Dunia 2026: Timu saba za Afrika zafuzu hatua ya muondoano](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260627-kombe-la-dunia-2026-timu-saba-za-afrika-zafuzu-hatua-ya-muondoano?GJlXzGgqHj)

_2026-06-27 · Jukwaa la Michezo_

Hatua ya makundi kwenye Kombe la Dunia inafikia kilele hii leo, ni timu gani zimefuzu hatua ya mtoano? Wiki ya pili ya michuano hii imeshuhudia rekodi zikiwekwa na kuvunjwa huku mataifa ya Afrika yakiendelea kufanya vizuri zaidi, lakini pia tutakupa uchambuzi wa mechi za kesho asubuhi. Aidha tumeangazia michuano ya Afrika Mashariki mchezo wa Baseball, tetesi za uhamisho na mashindano ya Paris…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/Jukwaa_27th_june.mp3?guid=fd986404-723c-11f1-bb68-3d610b7cd326&source=GJlXzGgqHj)

## [Kila Ijumaa unapata nafasi kutoa maoni ndani ya rfi Kiswahili](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260626-kila-ijumaa-unapata-nafasi-kutoa-maoni-ndani-ya-rfi-kiswahili?GJlXzGgqHj)

_2026-06-26 · Habari RFI-Ki_

Kila Ijumaa unapata nafasi kuchangia chochote kile, pengine ulikiskia kwenye matangazo yetu au kile kinafanyika hapo uliopo. Skiza maoni ya mskilizaji

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_26-06-26_OK.mp3?guid=823d855c-7177-11f1-a3f0-9b37fc2e51ce&source=GJlXzGgqHj)

## [Kenya : Miaka miwili baada ya maandamano ya Gen Z](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260625-kenya-miaka-miwili-baada-ya-maandamano-ya-gen-z?GJlXzGgqHj)

_2026-06-25 · Habari RFI-Ki_

Shaba yetu leo inalenga nchini Kenya mbapo raia nchini humo wameadimisha miaka miwili tangu kutokea kwa maandamano ya mwaka 2024 ya vijana waliokuwa wapigigania mageuzi nchini humo. Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_25-06-26_OK.mp3?guid=ec199ee8-70af-11f1-b8e1-a3b5228db9b9&source=GJlXzGgqHj)

## [Der Landschaftsfotografie Podcast S01 E111: Mark Robertz](https://nicolasalexanderotto.net/der-landschaftsfotografie-podcast-s01-e111-mark-robertz/)

_2026-06-25 · Der Landschaftsfotografie Podcast_

LANDSCHAFTSFOTOGRAFIE VON DEUTSCHLAND BIS IN DEN IRAN Heute zu Gast im Podcast: Mark Robertz! Der Landschafts- und Reisefotograf begeistert seit vielen Jahren mit seinen stimmungsvollen Aufnahmen weit ab von Klischees. In dieser Episode sprechen wir über seinen fotografischen Werdegang, die Entstehung seiner Bilder und die Verantwortung als Reiseleiter. Außerdem ging es um seine Arbeiten in…

[Listen](https://nicolasalexanderotto.net/wp-content/uploads/2026/06/Podcast-Solo-Episode-111-Mark-Robertz_mixdown.mp3)

## [144: Att resa på longstay](https://attresapodden.se/144-att-resa-pa-longstay/?utm_source=rss&#038;utm_medium=rss&#038;utm_campaign=144-att-resa-pa-longstay)

_2026-06-25 · Att resa - podden_

I betalt samarbete med Takeda. Vi är många som drömmer om att resa bort för att prova på livet utomlands under en kortare eller längre period – med eller utan familj. Annika och hennes familj (man och tre barn) har spenderat flera längre perioder på Koh Lanta i Thailand, där barnen har gått i svensk skola. Hur fungerar ett sådant upplägg rent praktiskt, vad kostar det, vilka utmaningar och…

[Listen](https://media.blubrry.com/attresapodden/content.blubrry.com/attresapodden/144-Att_resa_p_longstay_med_spons.mp3)

## [Je, kukopa kunasaidia ukuaji wa uchumi au kunaleta hatari za siku zijazo?](https://www.rfi.fr/sw/makala/gurudumu-la-uchumi/20260624-je-kukopa-kunasaidia-ukuaji-wa-uchumi-au-kunaleta-hatari-za-siku-zijazo?GJlXzGgqHj)

_2026-06-24 · Gurudumu la Uchumi_

Msikilizaji nchi nyingi za Afrika Mashariki zimeendelea kukopa ili kufadhili maendeleo, na huku wadau wengine wakisema mikopo ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi, Wengine wanaonya kuwa madeni yanapoongezeka kupita kiasi, serikali hulazimika kutumia fedha nyingi kulipa madeni hayo badala ya kuboresha huduma muhimu kama vile afya, elimu na ajira. Katika Makala ya Gurumu la Uchumi hivi leo, tunauliza: Je,…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/MAG_ECONOMIE_24-06-26.mp3?guid=a4549596-6fb4-11f1-b599-895fd0b87d64&source=GJlXzGgqHj)

## [Waziri wa Uingereza kuondoka afisini Septemba](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260623-waziri-wa-uingereza-kuondoka-afisini-septemba?GJlXzGgqHj)

_2026-06-23 · Habari RFI-Ki_

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu baada ya shinikizo kutoka ndani ya chama chake na kupungua kwa uungwaji mkono wa raia. Je, viongozi wanapaswa kujiuzulu wanapopoteza uungwaji mkono wa wananchi? Skiza makala ya maoni ya waskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_23-06-26_OK.mp3?guid=3e51db6e-6f0a-11f1-9239-1b80738d4fd8&source=GJlXzGgqHj)

## [Kwa nini ni muhimu wanaume kuzingatia afya zao haswa afya ya akili](https://www.rfi.fr/sw/makala/siha-njema/20260623-kwa-nini-ni-muhimu-wanaume-kuzingatia-afya-zao-haswa-afya-ya-akili?GJlXzGgqHj)

_2026-06-23 · Siha Njema_

Mwezi Juni ni mwezi wa kutoa uhamasisho kuhusu afya ya akili miongoni mwa wanaume ,swala la afya ambalo hupuuzwa mno Daktari Dominic Osiemo anasema wanaume wana haki wa kuonesha hisia ,kueleza maumivu yao na kutaka kuskizwa. Na wanapofanya hivyo wanalinda afya zao za akili. Anaonya wanaume wengi wanakuwa hatarini kwa sababu wanajaribu kudhihirishia jamii kuwa wao ni imara siku zote. Baadhi ya…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/SIHA_NJEMA_23-06-26_OK.mp3?guid=65b91fb8-6ee3-11f1-8ecb-ed9400012577&source=GJlXzGgqHj)

## [Msongo wa mawazo changamoto kwa wanaume](https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20260622-msongo-wa-mawazo-changamoto-kwa-wanaume?GJlXzGgqHj)

_2026-06-22 · Habari RFI-Ki_

Ulimwengu umeadhimisha wiki ya afya ya akili kwa wanaume, wataalamu wanaonya kuwa msongo wa mawazo na matumizi ya dawa za kulevya vinachangia matatizo ya afya ya akili miongoni mwa wanaume. Unafikiri kwa nini wanaume wengi huumia kimya bila kutafuta msaada? Skiza maoni ya mskilizaji.

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/HABARI_RAFIKI_22-06-26_OK.mp3?guid=f29fcd78-6e48-11f1-8661-914084b50d42&source=GJlXzGgqHj)

## [Wiki ya kwanza Kombe la Dunia 2026. Matokeo na Matukio yaliyojiri](https://www.rfi.fr/sw/makala/jukwaa-la-michezo/20260620-wiki-ya-kwanza-kombe-la-dunia-2026-matokeo-na-matukio-yaliyojiri?GJlXzGgqHj)

_2026-06-20 · Jukwaa la Michezo_

Leo tumeangazia kwa undani matukio na matokeo yote ya wiki ya kwanza michuano ya Kombe la Dunia 2026 - Mbappe, Messi waweka historia wakati Cape Verde na DRC zikihangaisha miamba wa soka wa ulaya, Tunisia yamfuta kazi kocha, uchambuzi wa mechi za leo. Aidha ni mwaka mmoja kuelekea Kombe la Mataifa ya Africa 2027, matokeo ya tenisi kombe la Davis Cup, Police fc ya Rwanda yamfuta kazi kocha wake,…

[Listen](https://audio.audiomeans.fr/pfx/b035a7c4-de15-11ef-9e7b-cfc4fb0c91f4/aod-rfi.akamaized.net/rfi/swahili/audio/modules/actu/202606/Jukwaa_Leo_20th.mp3?guid=2f459ee6-6cc4-11f1-bafd-1d07b89971bd&source=GJlXzGgqHj)

